#HABARI:Polisi nchini Kenya wamethibitisha kumkamata mshukiwa mkuu wa kike wa vifo vya waumini wa mafunzo potovu, ambaye anasa…
#HABARI:Polisi nchini Kenya wamethibitisha kumkamata mshukiwa mkuu wa kike wa vifo vya waumini wa mafunzo potovu, ambaye anasadikiwa kutoroka wakati wa kukamatwa kwa awamu ya kwanza ya wafuasi wa Kanisa…
Uchaguzi Tanzania 2025: Wabunge wa CCM ‘walioanguka’ kura za wajumbe
5 Agosti 2025 Katika kile kinachoonekana kama mabadiliko ya upepo wa kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wabunge kadhaa waliokuwa wakitetea nafasi zao wamejikuta wakitemwa na wajumbe wa chama…
Iran yaapa kulipiza kisasi baada ya Australia kumfukuza balozi wake
Iran imeapa kuchukua hatua zinazofaa za kulipiza kisasi baada ya Australia kumfukuza balozi wa Jamhuri ya Kiislamu nchini humo kwa madai ya “chuki dhidi ya Wayahudi,” na kusisitiza kwamba vitendo…
Hatma ya Mpina urais mikononi mwa Tume (INEC)
Chanzo cha picha, ACT Dakika 21 zilizopita Hatma ya mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, ipo njia panda baada ya Msajili wa Vyama vya Siasa kutangaza kuwa uteuzi wake haujakidhi…
#HABARI: Kufuatia mauaji ya Mlinzi wa Soko la Ussoke, lililopo Wilaya ya Urambo mkoani wa Tabora, Bw
#HABARI: Kufuatia mauaji ya Mlinzi wa Soko la Ussoke, lililopo Wilaya ya Urambo mkoani wa Tabora, Bw. Nasoro Mgalula, aliyeuawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Agosti 18. 2025, wakati…
#HABARI: Mgombea wa Ubunge Jimbo la Mbulu Vijijini kwa tiketi ya CCM Dr.Emanuel Nuwas amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo ka…
#HABARI: Mgombea wa Ubunge Jimbo la Mbulu Vijijini kwa tiketi ya CCM Dr.Emanuel Nuwas amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo katika Ofisi za Msimamizi wa Uchaguzi wa jimbo hilo na…
Mwandishi habari ajiuzulu Reuters akilalamikia hatua ya shirika hilo kuhalalisha mauaji ya Israel dhidi ya waandishi habari
Mpiga picha wa Canada, Valerie Zink, ametangaza kujiuzulu kutoka kwenye shirika la habari la Reuters, akipinga nafasi ya shirika hilo katika kuendeleza propaganda za Israel na kuhalalisha mauaji ya waandishi…
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 26, 2025 – MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATENGUA UTEUZI MGOMBEA URAIS WA ACT
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 26, 2025 – MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATENGUA UTEUZI MGOMBEA URAIS WA ACT
Dira Ya Dunia
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki Source link
#HABARI: Bw.Lutengano Mwalwiba ambaye aliyeteuliwa na Chama cha mapinduzi kupeperusha bendera ya chama hicho kuomba ridhaa kwa …
#HABARI: Bw.Lutengano Mwalwiba ambaye aliyeteuliwa na Chama cha mapinduzi kupeperusha bendera ya chama hicho kuomba ridhaa kwa wananchi ya ubunge jimbo la Busokelo Mkoa wa Mbeya, amefika ofisi za msimamizi…
Mgombea wa chama cha Republican achoma Qur'ani ili kuunga mkono kampeni yake ya uchaguzi
Mgombea wa chama cha Republican wa kiti cha Kongresi huko Texas, anayejulikana kwa uadui wake mkubwa dhidi ya Waislamu amewakasirisha Waislamu zaidi ya bilioni mbili duniani kwa kuchoma moto nakala…
#HABARI: Kaya zaidi ya 400 katika Mtaa wa Kwa Kibosha, Kata ya Mapinga, Bagamoyo, mkoani Pwani, wameiomba Serikali kuingilia kat…
#HABARI: Kaya zaidi ya 400 katika Mtaa wa Kwa Kibosha, Kata ya Mapinga, Bagamoyo, mkoani Pwani, wameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa ardhi katika eneo hilo lenye ukubwa wa takribani…
Uchaguzi Tanzania 2025: Mbio za kisiasa zaanza rasmi, je nini kitarajiwe?
Chanzo cha picha, CCM Maelezo ya picha, Wagombea tiketi ya urais na makamu wa rais kupitia CCM Rais Samia Suluhu Hassan na Dkt. Emmanuel Nchimbi. Maelezo kuhusu taarifa Author, Na…
#HABARI: Watumishi wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Mbeya, wameagizwa kwa wafungwa wote ambao wamejiandikisha katika daftari la kup…
#HABARI: Watumishi wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Mbeya, wameagizwa kwa wafungwa wote ambao wamejiandikisha katika daftari la kupiga kura, kuhakikisha wanapata haki yao hiyo ya msingi ya kupiga kura…
Israel: Maafisa wakuu wa jeshi wagawanyika kuhusu operesheni Gaza, watu wamiminika mitani
Maandamano makubwa yamefanyika nchini Israel leo Jumanne, Agosti 26. Waandamanaji wengi wameandamana katika maeneo mbalimbali nchini Israel wakipinga vita huko Gaza na kudai makubaliano ya kuachiliwa kwa mateka ambao bado…
Israel yashambulia katika Ukingo wa Magharibi
Jeshi la Israel limefanya mashambulio katika mji wa Ukingo wa Magharibi wa Ramallah hivi leo na kuwajeruhi watu 14 na kufanya uharibifu kwenye mji huo. Hayo yameelezwa na shirika la…
Putin atuhumiwa kufanya hila kutokutana na Zelensky
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz ameituhumu Moscow kwamba inaendesha kile alichokiita mkakati wa kuchelewesha hatua za kufikia makubaliano ya amani na Ukraine. Katika mkutano na Waziri Mkuu wa Canada Mark…
Serikali ya DRC na waasi wa M23 warudi Doha
Wajumbe wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa kundi la M23 wamerejea tena kwenye meza ya mazungumzo mjini Doha. Hayo yameelezwa na wajumbe hivi leo kufuatia…
Jeshi la Nigeria laokoa watu 76 waliokuwa wametekwa nyara, wamo wanawake na watoto
Maafisa wa serikali ya Nigeria wamesema, jeshi la anga limeokoa watu 76 waliokuwa wametekwa nyara, wakiwemo wanawake na watoto. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
Wanajeshi wanaofuata siasa kali wafukuzwa Bundeswehr
Tayari jeshi la Ujerumani limeshawafukuza wanajeshi 90 baada ya kuthibitishwa kuwa na misimamo ya siasa kali za mrengo wa kulia mnamo mwaka jana. Wizara ya ulinzi Ujerumani, ambayo ilikuwa ikijibu…
No Reforms No Election vs Oktoba Tunatiki: Kuzaa mwelekeo mpya wa siasa Tanzania?
Chanzo cha picha, x Maelezo kuhusu taarifa Author, Yusuph Mazimu Nafasi, Akiripoti kutoka BBC Dar es Salaam 10 Juni 2025 Kwa siku kadhaa sasa kuna sauti mbili zinazoshindana katika mdundo…
“Utumishi wa Umma unaozingatia viwango vya juu vya weledi, unaopatikana na kuendelezwa kwa kufuata misingi ya haki, umahiri na u…
“Utumishi wa Umma unaozingatia viwango vya juu vya weledi, unaopatikana na kuendelezwa kwa kufuata misingi ya haki, umahiri na utendaji bora ndani ya utumishi wetu wa Umma” – Mhe.Samia Suluhu…
#HABARI:Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma, wamejitokeza kumsindikiza Dkt…
#HABARI:Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma, wamejitokeza kumsindikiza Dkt.Juma Zuberi Homera, kuchukukua fomu ya kugombea Ubunge kwenye Jimbo hilo, baada ya kuteuliwa…
Ufaransa yakabidhi fuvu la mfalme Toera
Ufaransa leo imerejesha nchini Madagascar mafuvu ya watu watatu waliouwawa wakati wa enzi za ukoloni. Miongoni mwa mafuvu yaliyorejeshwa ni la mtu anayeaminika alikuwa mfalme wa Madagascar aliyekatwa kichwa na…
Mawaziri wakuu wa Canada na Ubelgiji wakutana na Merz
Akihutubia mkutano wa pamoja wa waandishi wa habari baada ya kukutana na kansela wa Ujerumani Friedrich Merz mjini Berlin, Carney amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa na fursa za malighafi na…
#HABARI: Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Mafia mkoani Pwani Bwana Salehe Kikweo amefariki dunia asubuhi ya leo wakati ak…
#HABARI: Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Mafia mkoani Pwani Bwana Salehe Kikweo amefariki dunia asubuhi ya leo wakati akipatiwa matibabu Hospitali ya Halmashauri ya Mji Handeni. Akithibitisha kutokea…
Ushawishi wa muziki katika jamii
26.08.202526 Agosti 2025 Muziki una ushawishi mkubwa mno katika jamii – ni sauti iliyo na nguvu isiyoonekana na inayogusa mioyo ya watu, kubadilisha fikra na kuleta mabadiliko ya kijamii kwa…
Uchaguzi Tanzania 2025: Mambo 6 muhimu ya kukumbukwa ya Bunge la 12 la Tanzania
Chanzo cha picha, Bunge Maelezo kuhusu taarifa Author, Na Yusuph Mazimu Nafasi, Akiripoti kutoka BBC Dar es Salaam 27 Juni 2025 Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
Tangu Agosti 6, jeshi la Israel limebomoa kikamilifu majengo zaidi ya 1,000 ya Mji wa Ghaza
Shirika la Ulinzi wa Raia la Palestina limetangaza kuwa jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limebomoa kikamilifu majengo zaidi ya 1,000 katika vitongoji vya Zeitoun na Sabra katika Mji…
Iran yajadili masuala ya nyuklia na mataifa matatu ya Ulaya
Mataifa hayo ya E3 yalikuwa yametoa pendekezo la kuchelewesha utekelezaji wa mfumo huo unaojulikana kwa Kiingereza kama snapback mechanism iwapo Iran ingekubali masharti matatu: kuanza tena mazungumzo na Marekani, kuruhusu…
Waisraeli waandamana kushinikiza kumalizwa kwa vita Gaza
Waandamanaji hao walizuia barabara kadhaa katika mji wa Tel Aviv huku wakipeperusha bendera za Israel na picha za mateka. Baadhi yao walikusanyika karibu na Ubalozi wa Marekani huku wengine wakiandamana…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA DODOMA: AGOSTI 26, 2025 – CHANGAMOTO YA CHEMBA YA MAJI TAKA YATATULIWA
🔴HAPA NA PALE KUTOKA DODOMA: AGOSTI 26, 2025 – CHANGAMOTO YA CHEMBA YA MAJI TAKA YATATULIWA
“Ndugu yangu Dkt
“Ndugu yangu Dkt. Khatibu Kazungu Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, sio mgeni kweli hili umeshashika nafasi mbalimbali, nikuambie tu kwamba Dodoma sio tu Makao Makuu ya Nchi yetu bali…
#HABARI: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bariadi Vijijini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Masanja Kadogosa, amechukua fom…
#HABARI: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bariadi Vijijini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Masanja Kadogosa, amechukua fomu ya kwenye Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Bariadi Vijijini…
UN: Mtu 1 kati ya wanne duniani hana maji salama ya kunywa
Umoja wa Mataifa umeonya leo kuwa zaidi ya watu bilioni mbili duniani kote bado wanakabiliwa na ukosefu wa upatikanaji wa maji ya kunywa yaliyo salama. UN imesema mtu mmoja kati…
Uchaguzi Tanzania 2025: Bunge lahitimishwa – Je, ‘No Reforms’ ya Chadema imezikwa rasmi?
Chanzo cha picha, Ikulu Maelezo ya picha, Rais Samia akihutubia kuhitimisha shughuli za bunge la 12, Juni 27, 2025 Maelezo kuhusu taarifa Author, Yusuph Mazimu Nafasi, Akiripoti kutoka BBC Dar…
Spoti, Agosti 25
Natumai u bukheri wa afya hapo ulipo msikilizaji mpenzi. Karibu tuangazie baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbali mbali za dunia. BONYEZA…
Burkina Faso na Mali zakwepa mkutano wa ulinzi Nigeria
Mali, Burkinafaso na Niger, ambazo zote zipo chini ya uongozi wa kijeshi, zilijiondoa katika Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi ECOWAS, mwezi Januari baada ya kuunda muungano wao wa pamojawa…
Ujerumani: Jeshi lina chembe chembe za siasa kali
Jeshi hilo pia limechukua hatua dhidi ya wanajeshi wengine sita walionesha mienendo ya siasa kali. Wizara ya ulinzi Ujerumani ambayo ilikuwa ikijibu maswali kwenye uchunguzi wa kamati ya bunge kutoka…
#HABARI: Miradi ya umeme inaendelea kuleta matokeo chanya nchini ambapo moja ya miradi hiyo ni Kinyerezi Complex, Vituo vya kuza…
#HABARI: Miradi ya umeme inaendelea kuleta matokeo chanya nchini ambapo moja ya miradi hiyo ni Kinyerezi Complex, Vituo vya kuzalisha umeme kwa njia ya gesi asilia vinavyozalisha hadi Megawati 575…
#HABARI: “Nitoe wito kwa Wakuu wa Mikoa kwamba wanatakiwa kuhakikisha wanakuwa karibu na wananchi, ili kuzifahamu kero zao na ku…
#HABARI: “Nitoe wito kwa Wakuu wa Mikoa kwamba wanatakiwa kuhakikisha wanakuwa karibu na wananchi, ili kuzifahamu kero zao na kuzitafutia ufumbuzi kwa kushirikiana na watendaji.” – Mhe.Samia Suluhu – Rais…
Uchaguzi Tanzania 2025: Kwa nini watia nia wengi wanakimbilia CCM?
Chanzo cha picha, MITANDAO Maelezo kuhusu taarifa Mbio za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 zinazidi kushika kasi. Ni uchaguzi ambao Watanzania watamchagua rais wa Jamhuri ya Muugano, wabunge, madiwani…
#HABARI: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Bw
#HABARI: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbagala kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Bw. Kakulu Burchad Kakulu, amechukua fomu katika Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kwa ajili ya kuomba…
“Tunakushukuru kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi, umefanya kazi kubwa sana ya kukiunganisha Chama Cha Mapinduzi kipindi cha muda …
“Tunakushukuru kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi, umefanya kazi kubwa sana ya kukiunganisha Chama Cha Mapinduzi kipindi cha muda mfupi ambacho umefanya kazi kama Mwenezi wa chama” – Mhe.Samia Suluhu…
Jumanne, tarehe 26 Agosti, 2025
Leo ni Jumanne tarehe Pili Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na tarehe 26 Agosti 2025. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
Uchaguzi Tanzania 2025: Upinzani Tanzania unajimaliza wenyewe?
Chanzo cha picha, Dira 23 Julai 2025 Katika taifa linalohitaji mabadiliko yoyote, vyama vya siasa vikiwepo vya upinzani huwa na nafasi ya kipekee. Nchini Tanzania vyama vya upinzani ambavyo vilitarajiwa…
#HABARI: Mtia nia Paul Makonda, mara baada ya kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa Arusha mjini leo Agosti 26, 2025 alimpandisha j…
#HABARI: Mtia nia Paul Makonda, mara baada ya kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa Arusha mjini leo Agosti 26, 2025 alimpandisha jukwaani mkewe na kumtambulisha kwa wana-Arusha. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania…
Pigo jingine kwa Mpango wa Abraham; Kwa nini Libya inapinga uhusiano wa kawaida na Israel?
Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya imekataa nchi hiyo kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
#HABARI: Alan Thomas Mvano ambaye ameteuliwa na Chama cha Mapinduzi CCM kupeperusha bendera katika Jimbo la Kakonko tayari amech…
#HABARI: Alan Thomas Mvano ambaye ameteuliwa na Chama cha Mapinduzi CCM kupeperusha bendera katika Jimbo la Kakonko tayari amechukua fomu INEC, ili kuanzakwa Kampeni za kugombea Ubunge katika Jimbo hilo…
Jinsi Taiwan inavyojiandaa na mashambulizi ya China
Maelezo kuhusu taarifa Author, Tessa Wong Nafasi, BBC Dakika 8 zilizopita Ilikuwa ni Ijumaa nyingine asubuhi kwenye kisiwa cha Taiwan cha Kinmen, kilomita chache kutoka pwani ya China, wakati king’ora…