Mgahawa huu unauziwa chakula unalipa taka badala ya pesa
Chanzo cha picha, Ritesh Saa 1 iliyopita Katika jiji la Ambikapur, jimbo la Chhattisgarh, India, watu wenye njaa hupata mlo kamili bila kulipa pesa bali kwa kubadilisha taka za plastiki…
🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025
Togo: Miezi mitatu na nusu baadaye, serikali mpya bado inasubiriwa
Raia wa Togo bado wanasubiri kuundwa kwa serikali mpya, kufuatia kujiuzulu kwa timu ya zamani Mei 2. Kujiuzulu kulikuja usiku wa kuamkia kuapishwa kwa Faure Gnassingbé kuwa Waziri Mkuu ikiwa…
UN, OIC, EU, RSF na hata waitifaki wa Israel walaani shambulio la kinyama lililoua wanahabari Ghaza
Taasisi za kimataifa ukiwemo Umoja wa Mataifa, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC, Umoja wa Ulaya, Shirika la Wanahabari Wasio na Mipaka (RSF) na hata nchi kadhaa za Magharibi waitifaki…
Marekani: Baada ya kuachiliwa kwake, Kilmar Abrego Garcia huenda akasafirishwa Uganda
Kilmar Abrego Garcia, raia wa El Salvador, kwa mara nyingine yuko hatarini kufukuzwa kutoka Marekani, safari hii kutumwa nchini Uganda. Imechapishwa: 26/08/2025 – 07:31 Dakika 2 Wakati wa kusoma Matangazo…
#HABARI: Wananchi katika Kijiji cha Nyang’oma Wilaya ya Musoma mkoani Mara, wamekumbwa na taharuki baada ya uwepo wa wimbi la Ny…
#HABARI: Wananchi katika Kijiji cha Nyang’oma Wilaya ya Musoma mkoani Mara, wamekumbwa na taharuki baada ya uwepo wa wimbi la Nyani na Fisi ambao wanahusishwa na imani za kishirikiana kuwa…
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: SAKATA LA MZIZE YANGA BADO LA MOTO, MSIMAMIZI WAKE AFUNGUKA…AGOSTI 26, 2025
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: SAKATA LA MZIZE YANGA BADO LA MOTO, MSIMAMIZI WAKE AFUNGUKA…AGOSTI 26, 2025
Libya: Uhusiano kati ya Marshal Haftar na Uturuki waendelea kuimarika
Uhusiano kati ya Ankara na mbabe wa kivita wa mashariki mwa Libya, yaliyoanzishwa mwezi Aprili mwaka huu, yameendelea kushuhudiwa siku ya Jumatatu, Agosti 25, kwa ziara ya mkuu wa idara…
DRC: Viongozi wa kidini waungana kwa ajili ya mazungumzo ya kitaifa Jumuishi
Kama ilivyoombwa na ofisi ya rais wa Kongo mwezi Juni, Makanisa ya Kikatoliki na Kiprotestanti yameungana na madhehebu mengine ya kidini ili kupendekeza mtazamo wa pamoja wa kufanyika kwa mazungumzo…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
Pezeshkian amwambia Putin: Iran haijawahi kamwe kutaka kumiliki silaha za nyuklia
Rais Masoud Pezeshkian jana Jumatatu alizungumza kwa simu na Rais Vladimir Putin wa Russiai na kumweleza kuwa Tehran haijawahi kutaka kumiliki wala haitatafuta silaha za nyuklia, akisisitiza msimamo wa muda…
#HABARI: Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA), Bi Irene Mlola, amewataka wakulima nchi…
#HABARI: Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA), Bi Irene Mlola, amewataka wakulima nchini kuacha mara moja tabia ya kuuza mazao yao nje ya mfumo…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 26, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 26, 2025
Vita vya Ukraine: Trump aviita Vita nchini Ukraine ‘Mgogoro wa Kibinafsi’
Chanzo cha picha, Reuters Vita nchini Ukraine vimegeuka kuwa “mzozo mkubwa wa kibinadamu,” Rais wa Marekani Donald Trump alisema wakati wa mkutano na waandishi wa habari. Baadaye kidogo, akijibu swali…
Trump akutana na rais wa Korea Kusini Ikulu ya White House
Mada ya Korea Kaskazini ilikuwa miongoni mwa mambo yaliyojadiliwa huku rais huyo wa Marekani akisema kuwa angependa kukutana na Kim Jong Un mwaka huu. Trump pia alisema kuwa ana mahusiano…
🔴KUMEKUCHA:HUDUMA ZA UGOMBOAJI MIZIGO….AGOSTI 26, 2025
🔴KUMEKUCHA:HUDUMA ZA UGOMBOAJI MIZIGO….AGOSTI 26, 2025
Aliyekuwa mbabe wa dawa za kulevya Mexico akiri mashitaka
Alisema anasikitika kwa kusaidia kujaza nchini Marekani dawa za kulevya aina ya kokeini, heroini na dawa zingine haramu na kwa kuchochea ghasia mbaya nchini Mexico. Aliomba radhi na kusema kuwa…
Iran na Ulaya kuendelea na mazungumzo ya nyuklia mjini Geneva
Iran na nchi tatu zenye nguvu za Ulaya – Ujerumani, Ufaransa na Uingereza – zinatazamiwa kuanza tena mazungumzo ya nyuklia huko Geneva, Uswisi siku ya Jumanne, yakiangazia maswala ya nyuklia…
Burkina Faso na Mali zakosa kikao cha wakuu wa majeshi Afrika
Nchi za Burkina Faso na Mali, zinazoongozwa na wanajeshi, hazikutuma wawakilishi kwenye mkutano wa wakuu wa majeshi barani Afrika unaofanyika kwa siku nchini Nigeria. Imechapishwa: 26/08/2025 – 05:51Imehaririwa: 26/08/2025 –…
#SWALILAKIPIMAJOTO:”Maagizo ya serikali kulipa fidia wananchi wanaopisha miradi ya kimkakati
#SWALILAKIPIMAJOTO:”Maagizo ya serikali kulipa fidia wananchi wanaopisha miradi ya kimkakati. Je, Yanasimamiwa utekelezaji wake kwa wakati kuepusha malalamiko?”.
Watu Laki Tano warejea jijini Khartoum tangu jeshi kulidhibiti : UN
Umoja wa Mataifa unasema, watu zaidi ya Laki Tano, wamerejea katika jiji kuu la Sudan Khartoum mwezi Julai, miezi minne baada ya jeshi kulidhibiti.
Botswana yatangaza hali ya dharura kufuatia uhaba wa dawa
Aliongeza kuwa Wizara ya Fedha imeidhinisha bajeti ya dharura ya dola milioni 18.7 ili kuushughulikia mzozo huo. Rais Duma Boko alisema jeshi litasimamia usambazaji wa dawa za dharura, huku shehena…
🔴MAGAZETI: MIKOA 13 YATOSA WANAWAKE CCM…AGOSTI 26, 2025
🔴MAGAZETI: MIKOA 13 YATOSA WANAWAKE CCM…AGOSTI 26, 2025
Burkina, Mali zasusia mkutano wa ulinzi Afrika mjini Abuja
Pamoja na Niger — ambayo pia iko chini ya utawala wa kijeshi — Mali na Burkina Faso zilijiondoa kwenye jumuiya ya kikanda ya ECOWAS Januari, baada ya kuunda Muungano wao…
Ligi Kuu England: Vilabu sita vikubwa vinahitaji wachezaji gani kabla usajili kufungwa?
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo kuhusu taarifa Author, Phil McNulty Nafasi, BBC Dakika 32 zilizopita Vilabu vyote vya vya Ligi Kuu ya England vimetumia zaidi ya pauni bilioni 2…
Viongozi walaani shambulizi la Israel kwenye hospitali Gaza
Maafisa wa afya wa Gaza wamesema shambulizi hilo kwenye hospitali ya Nasser huko Khan Younis liliwauwa watu 20 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 80. Ni miongoni mwa mashambulizi mabaya zaidi…
Raia 13 wauawa na wanamgambo wa RSF huko Darfur, Sudan
Raia wasiopungua 13 wa Sudan wameripotiwa kuuawa na wapiganaji wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko Darfur Kaskazini. Source link
Uchaguzi Tanzania 2025: Mpina kuchuana na Samia Oktoba 29
Chanzo cha picha, ACT Maelezo ya picha, Mpina 7 Agosti 2025 ACT Wazalendo imemuidhinisha rasmi bwana Luhaga Mpina kuwa mmoja wa wagombea wa Urais atakayechuana na Rais Samia Suluhu Hassan…
Israel yaendelea kumwaga damu za wanahabari Gaza, yaua wengine 4
Kwa akali wanahabari wanne wa Kipalestina, akiwemo mpiga picha wa televisheni ya Al-Jazeera, ni miongoni mwa watu 15 waliouawa shahidi katika shambulio jipya la Israel dhidi ya hospitali moja iliyoko…
26.08.2025 Matangazo ya Mchana
SK2 / S02S26.08.202526 Agosti 2025 Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Viongozi wa kidini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewasilisha mpango wa kuanzisha mchakato shirikishi na wa kitaifa wa amani…
26.08.2025 Matangazo ya Asubuhi
DIRA.BZ26.08.202526 Agosti 2025 Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Israel iliishambulia kwa makombora mojawapo ya hospitali kuu katika Ukanda wa Gaza / Kenya inasherehekea baada ya kufanikiwa kutokomeza ujangili unaolenga faru…
26.08.2025 Taarifa ya Habari Asubuhi
DIRA.BZ26.08.202526 Agosti 2025 Israel yaishambulia hospitali Gaza na kuuwa watu 20, wakiwemo waandishi habari na waokoaji // Rais Trump wa Marekani akutana na rais mpya wa Korea Kusini katika Ikulu…
Ndege 10 kubwa zaidi za kijeshi duniani 2025
Chanzo cha picha, Antonov 124 Maelezo kuhusu taarifa Author, Sharad Ranabhat Nafasi, Aviationa2z 8 Agosti 2025 Ndege hizi zimeundwa sio tu kusafirisha mizigo mizito lakini pia kupaa kwa kasi na…
Hamas, Jihadul Islami zalaani uvamizi wa kifashisti wa Israel dhidi ya Yemen
Harakati za Muqawama wa Kiislamu za Palestina za Hamas na Jihadul Islami zimeshutumu vikali mashambulizi mabaya ya Israel dhidi ya mji mkuu wa Yemen na miundombinu ya kiraia, na kuyaelezea…
Mambo 5 unayopaswa kufahamu kuhusu hatari ya virutubisho kabla ya kuvitumia
Chanzo cha picha, Getty Images 10 Agosti 2025 Kuanzia poda ya collagen hadi pipi za kinga, virutubisho viko kila mahali: katika kurasa zetu za Instagram, kwenye rafu za maduka makubwa,…
Pezeshkian: Migawanyiko kati ya mataifa ya Kiislamu inainufaisha Israel pekee
Rais wa Iran amesema umoja wa wananchi wa Iran na katika mataifa yote ya Kiislamu ndiyo kinga kuu dhidi ya vitisho vya maadui, akionya kuwa migawanyiko ni kwa maslahi ya…
Heche na Sifuna: Je, ni pacha wa siasa za uwajibikaji Afrika Mashariki?
Chanzo cha picha, Facebook Maelezo ya picha, John Heche Maelezo kuhusu taarifa Author, Leilah Mohammed Nafasi, BBC Swahili Akiripoti kutoka Nairobi Kenya 11 Agosti 2025 Iwapo wewe ni mgeni katika…
Mwanamke aliyegunduliwa na ujauzito katika ini lake – ilikuwaje?
Chanzo cha picha, Prabhat Kumar/BBC Maelezo ya picha, Intrahepatic ectopic pregnancy ni mimba adimu zaidi duniani. Katika hili, mtoto huanza kukua katika ini badala ya mfuko wa uzazi 13 Agosti…
Araghchi: Historia haitasamehe usuasuaji zaidi katika kukomesha janga la Gaza
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi ametoa wito wa kuchukuliwa hatua madhubuti za kimataifa kukomesha mauaji ya halaiki ya Israel yanayoendelea huko Gaza, akisema kuwa nchi zote…
Fahamu dalili sita kuu za ugonjwa wa figo
Chanzo cha picha, AFP via Getty Images Maelezo kuhusu taarifa Author, Deepak Mandal Nafasi, BBC 13 Agosti 2025 Figo hufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja katika mwili wetu. Huondoa taka…
Nani atachukua jukumu la usalama huko Gaza baada ya vita?
Kwa mujibu wa Burt, Gaza kwa sasa ni “jinamizi la kiusalama” kwa chombo chochote cha kusimamia. Ukanda huo, amesema, umejaa magenge, silaha, na uhalifu. “Kazi ya kwanza itakuwa ni kuzuia…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 25, AGOSTI 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 25, AGOSTI 2025
Samir Halila: Mfahamu mtu anayepigiwa upatu kutawala Ukanda wa Gaza
Katika siku za hivi karibuni, mfanyabiashara wa Kipalestina Samir Halila amekuwa akitajwa zaidi katika vyombo vya habari vya Kiarabu na kimataifa, huku kukiwa na mazungumzo juu ya uwezekano wa kuchukua…
🔴AIBUYAKO: MADEREVA WASIOVAA MIKANDA YA USALAMA YAMEWAKUTA!
🔴AIBUYAKO: MADEREVA WASIOVAA MIKANDA YA USALAMA YAMEWAKUTA! 25, AGOSTI 2025
Fahamu kwanini Iran inashirikiana na Urusi na China
Uingereza ilisema jana kwamba kwa muda mrefu imekuwa ikiweka wazi kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni tishio kwa amani na usalama wa kimataifa na kwamba Tehran imeshindwa kutoa hakikisho…
#HABARI: Baada ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kumteua John Luhende kuwa mgombea Jimbo la Bukene, Kada huyo am…
#HABARI: Baada ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kumteua John Luhende kuwa mgombea Jimbo la Bukene, Kada huyo amefika Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya…
#HABARI:Mteule wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa nafasi ya ubunge Jimbo la Musoma Mjini Mgore Miraji amechukua fomu ya kugombea n…
#HABARI:Mteule wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa nafasi ya ubunge Jimbo la Musoma Mjini Mgore Miraji amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo huku akiahidi kuwalipa deni walilomkopesha wakazi wa Musoma…
#HABARI: Mfanyabiashara maarufu Mjini Moshi, Bw
#HABARI: Mfanyabiashara maarufu Mjini Moshi, Bw. Ibrahimu Shao, amechukua fomu ya kuwania Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Jimbo la Moshi Mjini. Mgombea Ubunge huyo amekabidhiwa fomu…
Jinsi vijana wasio na kazi China wanavyojifanya wameajiriwa
Badala ya kukaa nyumbani wakikabiliwa na shinikizo la kijamii na kifamilia, baadhi yao sasa wanachagua kutumia fedha zao kulipia huduma ya kuingia kwenye ofisi za kuigiza kazi maeneo yanayoitwa kwa…