🔴DAKIKA 45 NA KAMISHNA JENERALI (DCEA), BW ARETAS JAMES LYIMO
🔴DAKIKA 45 NA KAMISHNA JENERALI (DCEA), BW ARETAS JAMES LYIMO.
Dira Ya Dunia
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira Ya Dunia
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 25, 2025 – WAZIRI MKUU MAJALIWA AHIMIZA AMANI UCHAGUZI MKUU
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 25, 2025 – WAZIRI MKUU MAJALIWA AHIMIZA AMANI UCHAGUZI MKUU
#HABARI: Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Lupa, Wilaya ya Chunya, Mkoa Mbeya, Mh
#HABARI: Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Lupa, Wilaya ya Chunya, Mkoa Mbeya, Mh. Masache Njelu Kasaka, aliyefanikiwa kutetea nafasi yake na kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupeperusha bendera ya…
Godwin Asediba wa Ghana ashinda Tuzo ya BBC Komla Dumor ya 2025
Mwandishi huyo mwenye umri wa miaka 29 mara nyingi huangazia masuala ya maslahi ya binadamu yanayolenga kufichua ukosefu wa haki na kupaza sauti za jamii zilizotengwa.
Ogiek wanapigania kurejea msituni Mau
Jamii ya Ogiek nchini Kenya inapigania kurejesha ardhi ya mababu zao katika msitu wa Mau. Jamii hiyo imeishi msituni humo kwa muda mrefu japo serikali ya Kenya imewalazimisha kuondoka.
Uturuki yalaani shambulizi la Israel dhidi ya wanahabari
Maafisa wa Palestina wamesema karibu watu 20 wakiwemo waandishi wa habari watano, waliuawa kwenye shambulizi la Israel kwenye Hospitali ya Nasser. Mkuu wa idara hiyo ya mawasiliano Burhanettin Duran ameandika…
Wadephul amtaka Putin kuzungumza mara moja na Zelensky
Wadephul amesema hayo alipokutana na mwenzake wa Croatia Gordan Grlić Radman katika mji mkuu Zagreb, akisema Putin atakuwa anajidanganya, ikiwa anadhani atacheza na muda. “Lazima tuendelee kuishinikiza Urusi. Ndiyo maana,…
Dira Ya Dunia
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Netanyahu aahidi kuwaondoa wanajeshi wake Lebanon
Taarifa ya ofisi ya Netanyahu imesema ikiwa Jeshi la Lebanon (LAF) litachukua hatua zinazohitajika kuwapokonya silaha Hezbollah, Israel itashiriki hatua za kubadilishana, na kuwapunguza kwa hatua wanajeshi wake, chini ya…
Marais wa Iran na Urusi wajadili mpango wa nyuklia wa Iran
Rais wa Urusi Vladimir Putin alizungumza kwa njia ya simu na Rais Masoud Pezeshkian wa Iran, hii ikiwa ni kulingana na Ikulu ya Kremlin na kugusia hali ya mpango wa…
Sudan yakabiliwa na janga la kiutu baada ya mashambulizi
Hali ya kibinadamu katika mji wa El-Fasher nchini Sudan inazidi kuzorota baada ya mashambulizi mapya ya vikosi vya wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF) yaliyosababisha vifo, utekaji na uharibifu mkubwa.…
Indonesia na Marekani waanza luteka za pamoja za mwaka
Luteka hizo, zinazolenga kuhakikisha uthabiti katika eneo la Asia-Pasifiki, zinafanyika wakati Marekani inaangazia kuhakikisha washirika wao wanachukulia kwa uzito zaidi vitisho ambavyo huenda vikaletwa na China. Zaidi ya wanajeshi 4,000…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MARA : AGOSTI 25, 2025 – NYANI NA FISI WAGEUKA TISHIO KWA WANANCHI
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MARA : AGOSTI 25, 2025 – NYANI NA FISI WAGEUKA TISHIO KWA WANANCHI
Gaza: Ishirini, wakiwemo wanahabari watano wauawa, katika shambulio la Israel Khan Younis
Waandishi watano wanaofanya kazi katika vyombo vya habari vya kimataifa wameuawa tarehe 25 Agosti katika mashambulizi ya Israel. Mashambulizi hayo yameikumba hospitali moja kusini mwa Ukanda wa Gaza na kusababisha…
Israel yatuhumiwa kuwalenga wanahabari huko Gaza
Mapema Jumatatu asubuhi, Israel imeshambulia kwa makombora mawili hospitali kubwa zaidi kusini mwa Ukanda wa Gaza ya al-Nasser huko Khan Younis na kusababisha vifo vya watu 19 wakiwemo wanahabari 4.…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
#HABARI: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe
#HABARI: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amezindua mradi wa kuwasaidia watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani (Children in Street Situation (CiSS)…
Vita Sudan: RSF yanalenga maeneo ya Kimkakati katika Jiji la El-Fasher
Hali ya utulivu kwa sasa inatawala huko El-Fasher, mji mkuu wa Darfur Kaskazini, mji pekee katika jimbo hilo ulio chini ya udhibiti wa jeshi. Mapigano makali yameendelea kwa siku tisa…
#HABARI: Wananchi wa Mkoa wa Singida zikiwemo taasisi mbalimbali wameombwa kuendelea kujitokeza kuchangia damu katika Hospitali …
#HABARI: Wananchi wa Mkoa wa Singida zikiwemo taasisi mbalimbali wameombwa kuendelea kujitokeza kuchangia damu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida, ilikuweza kuokoa maisha ya wagonjwa wakiwemo wanaojifungua na…
Dira Ya Dunia
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
#HABARI: Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Mbulu Vijijini, Ndugu Flatei Gregory Massay, amechukua fomu ya kugombea Ubunge katika Jimbo …
#HABARI: Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Mbulu Vijijini, Ndugu Flatei Gregory Massay, amechukua fomu ya kugombea Ubunge katika Jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo. Amekabidhiwa fomu hiyo…
#HABARI: Kiza Mayeye, aliyeteuliwa na chama cha Allaince for Change and Transparent, (ACT-Wazalendo) kuwa mgombea wa nafasi ya U…
#HABARI: Kiza Mayeye, aliyeteuliwa na chama cha Allaince for Change and Transparent, (ACT-Wazalendo) kuwa mgombea wa nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Kigoma Kaskazini, amefika katika ofisi za Msimamizi wa…
Khamenei: Tatizo letu na Marekani haliwezi kutatuliwa
Nchi hizi tatu za Ulaya ziliipa Iran hadi mwishoni mwa mwezi wa Agosti kuingia katika makubaliano mapya ya nyuklia, kinyume chake, imetishia na kufungua njia ya kurejeshwa kwa maazimio ya…
#HABARI: Aliyekuwa akitetea Jimbo la Tanga Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ummy Mwalimu, amezungumza mara baada y…
#HABARI: Aliyekuwa akitetea Jimbo la Tanga Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ummy Mwalimu, amezungumza mara baada ya jina lake kutorudi katika vikao vya kuchuja wagombe ubunge. Amewataka…
Mkahawa mpya wa Korea Kaskazini ambao ni raia wa Urusi pekee wanaoweza kuutumia
Eneo jipya la mapumziko katika ufuo wa bahari wa Korea Kaskazini limefunguliwa lakini kwa raia wa Urusi pekee.
🔴HABARI ZA SAA: SAA NANE NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA NANE NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
INEC yamjibu Polepole, yasisitiza uhuru wa mifumo yake ya uchaguzi
Polepole alidai kuwa mifumo ya CCM, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) na Tume ya Uchaguzi imeunganishwa, kauli ambayo alidai inakiwezesha chama chake kupata ushindi hata kabla ya siku ya…
Shambulizi la Israel laua raia pamoja na waandishi, Gaza
Kulingana na Wizara ya Afya ya Gaza waliouawa ni wagonjwa waliolazwa kwenye ghorofa ya nne ya Hospitali ya Nasser na juhudi za uokozi zinaendelea. Mkaazi wa Gaza Shadi Al-Arabi amenukuliwa…
Ufaransa: Hatukubaliani na matamshi ya balozi wa Marekani
Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa imesema kwenye taarifa jana Jumapili kwamba imemtaka Kushner kufika kwenye Wizara hiyo na kuongeza kuwa madai yake “hayakubaliki.” Taarifa hiyo imesema Ufaransa inapinga…
Dirisha la fomu za ubunge kwa CCM lafunguliwa rasmi
Dirisha la uchukuaji wa fomu za kuwania ubunge kwa wanachama wa CCM limefunguliwa rasmi ikiwa ni siku chache baada ya maamuzi ya mwisho yaliyofanywa na Halmashauri Kuu ya Chama cha…
Bangladesh: Hatuwezi tena kuwasaidia wakimbizi wa Rohingya
Muhammad Yunus ameiomba jamii ya kimataifa kusaka suluhu endelevu kuelekea mzozo huo wa wakimbizi. Ametoa matamshi hayo kwenye maadhimisho ya miaka minane tangu zaidi ya wakimbizi 700,000 walipoingia kwenye mji…
CHAN 2024: Afrika Mashariki fungu la kukosa, Uganda nje kama Tanzania na Kenya
Timu za taifa za Kenya na Tanzania zimeaha mashindano ya CHAN hii leo baada ya kufungwa katika mechi za robo fainali.
🔴HABARI ZA SAA: SAA SABA NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA SABA NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
Jeshi la Urusi ladai kuteka kijiji kingine cha Ukraine
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imeesema vikosi vyake vimeteka eneo la Zaporizke, ambako hivi karibuni wanajeshi wa Urusi waliingia kwa mara ya kwanza tangu vita vilipozuka miaka mitatu na nusu…
Iran: Mazungumzo ya nyuklia na Ulaya yatafanyika Geneva
Kituo cha televisheni cha taifa kimesema duru hiyo mpya ya mazungumzo ya ngazi ya manaibu waziri itahusisha mataifa hayo matatu yaliyosaini makubaliano ya Nyuklia ya 2015, pamoja na Umoja wa…
Wanahabari wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel
Mashambulizi ya Israel katika hospitali ya al Nasser huko Gaza leo Jumatatu yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 15 wakiwemo waandishi wa habari watatu. Mpiga picha Hussam al-Masri, mmoja wa waandishi…
Jinsi Urusi inavyojaribu kimya kimya kujishindia ushawishi ulimwenguni zaidi ya Magharibi
Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, kituo cha habari kinachoungwa mkono na serikali ya Urusi RT kimepanua uwepo wake wa kimataifa.
Berlin yabadilisha jina lenye utata wa ubaguzi wa rangi
Kwa muda mrefu mtaa wa Mitte jijini Berlin umetaka kubadilisha jina la barabara yake Mohrenstrasse kwa sababu kihistoria jina ‘Mohr‘ lilitumika kuwatambulisha watu wenye asili ya Afrika lakini kwa njia…
#MEZAHURU:”Kodi Mawinga” tunaangazia utaratibu unaoanzishwa na TRA kwa Mawinga wanaotangaza Biashara zao kupitia mitandaoni kuji…
#MEZAHURU:”Kodi Mawinga” tunaangazia utaratibu unaoanzishwa na TRA kwa Mawinga wanaotangaza Biashara zao kupitia mitandaoni kujisajili na kulipa kodi, Je, ni sahihi au sio sahihi?
M23 yaishtumu serikali kutumia mamluki kushambulia ngome zao
Mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yamechukua sura mpya baada ya waasi wa M23 kuishutumu serikali kwa kutumia mamluki wa kigeni kushambulia maeneo wanayoyadhibiti, ikiwemo eneo la makazi…
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
#HABARI: Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Karagwe, Ndugu Alloys Simba Maira, amemkabidhi fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi ya Ubun…
#HABARI: Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Karagwe, Ndugu Alloys Simba Maira, amemkabidhi fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Karagwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu…
Uteuzi wa kushangaza CCM, Ummy Mwalimu akitoswa, Baba Levo aula
Chama tawala nchini Tanzania, CCM, kimehitimisha mchakato wa uteuzi wa wagombea wake wa ubunge kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, ambapo matokeo yake yameibua mshangao baada ya baadhi ya majina…
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Mhe
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Mhe. Waziri Kombo amepongeza ushirikiano wa Tanzania na Japan kupitia JICA katika ufadhili wa uendelezaji…
Tetesi za soka Jumapili :Al-Ittihad yamnyemelea Fernandes
Al-Ittihad wanataka kumsajili Bruno Fernandes wa Manchester United na tayari wamefanya mazungumzo na wawakilishi wa kiungo huyo wa kati wa Ureno.