Tanzania, Qatar agree to deepen ties in sports, cultural tourism
DAR ES SALAAM: TANZANIA and Qatar are set to deepen cooperation in sports, tourism, culture, and investment following high-level talks in Dar es Salaam. This was reached in a key…
Investors seek to partner with Tanzania in establishing mineral processing plants
CAPE TOWN: TANZANIA’S participation in the Mining Indaba International conference held from 8-12 February 2026 in Cape Town, South Africa, has generated new investment opportunities following high-level engagements between the…
Call for public institutions to properly survey the land to avoid disputes
LUSHOTO: THE Tanzanian government has urged public institutions to survey and secure their land to prevent encroachment and reduce land disputes affecting public areas. The Minister for Lands, Housing and…
MOI treats 1,306 patients in Dr Samia’s 100 days
DAR ES SALAAM: THE Muhimbili Orthopedic and Brain Institute (MOI) has said that in the 100 days of President Samia Suluhu Hassan, they will provide medical relief worth Sh100 million…
Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu (TISEZA) kwa kushirikiana na Youth Dream Foundation (SYDF) imeanzisha programu inayolenga…
Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu (TISEZA) kwa kushirikiana na Youth Dream Foundation (SYDF) imeanzisha programu inayolenga kutatua changamoto ya upatikanaji wa ajira kwa vijana, hasa wanapomaliza vyuo. Katibu Mkuu…
MAFAILI YA EPSTEIN: FBI walivyowaweka kwenye rada watu kumi – 9
Agosti 10, 2019, Epstein alikutwa amefariki dunia. Taarifa ya kitababu ikasema alijiua.
Iran na Urusi kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Ghuba ya Oman
Iran na Urusi zitafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Ghuba ya Oman, huku mvutano na Marekani ukifikia kilele. Imechapishwa: 18/02/2026 – 13:50 Dakika 1 Wakati wa kusoma Na: RFI…
PM warns against misappropriation of funds for development projects
SAME: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has said it is unacceptable for government officials to receive funds for development projects and then fail to use them on time, warning that such…
Vizingiti vinavyofanya safari ya Katiba mpya kuwa ndefu
Safari ya Tanzania kuandika Katiba mpya imeendelea kuwa ndefu kukiwa na ahadi ya kisiasa...
Muungano Uendelee Kuimarisha Uchumi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Wizara ya Fedha ya Jamhuri…
Kwaresima na Ramadhani zaanza kwa wakati mmoja katika muungano nadra wa kiroho
Kwa mara ya kwanza katika kipindi cha zaidi ya miaka 30, Kwaresima na Ramadhani zimekutana Februari 18, na kutoa fursa ya kipekee kwa imani ya pamoja.
Wagonjwa 1,306 wapewa msamaha matibabu MOI
DAR ES SALAAM: TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imesema katika siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan wametoa msamaha wa matibabu wenye gharama ya Sh milioni…
TCRA seeks public participation in WSIS stocktaking, photo contests
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) has opened invitations for the public to participate in the WSIS (World Summit on the Information Society) Stocktaking, Prizes, and Photo…
Abdihamid Moallin aziingiza tatu vitani Bara
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Ufundi wa Yanga, Abdihamid Moallin ‘Master Lecturer’, huenda akarejea Tanzania hivi karibuni ikiwa atafikia makubaliano na timu tatu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara, baada ya kuonyesha uhitaji mkubwa…
Ramadhan Chobwedo ni kazi tu TRA United
KIUNGO mshambuliaji wa TRA United, Ramadhan Salum Chobwedo, ingawa kwa sasa amefunga bao moja dhidi ya Tanzania Prisons, anasema malengo yake makuu ni kuhakikisha mchango wake unasaidia timu kushinda.
Dr Mwinyi okays a proposal to build a College of Diplomacy, Parliamentary Services
ZANZIBAR: PRESIDENT Hussein Ali Mwinyi said Zanzibar needs more universities to position itself globally as a key hub for high-quality education and professional training across various fields. President Mwinyi made…
Dr Mwinyi okays a proposal to build a College of Diplomacy, Parliamentary Services
ZANZIBAR: PRESIDENT Hussein Ali Mwinyi said Zanzibar needs more universities to position itself globally as a key hub for high-quality education and professional training across various fields. President Mwinyi made…
JKT Tanzania yakaribia malengo ya msimu
KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema wanayasogelea malengo yao ya msimu huu, aliyoyataja ni ubora wa timu kila inapocheza mechi, wachezaji viwango vyao kuwa juu na kuhakikisha wanamaliza nafasi…
Kocha Laizer aanika tatizo la Fountain Gate
FOUNTAIN GATE inapitia wakati mgumu, ikiwa haijashinda tangu mwaka huu 2026 uanze kwenye michuano ya Ligi Kuu Bara, lakini kocha wa kikosi hicho, Mohammed Ismail ‘Laizer’ amelitaja tatizo linalowasumbua.
#MEZAHURU”…..japo nimefuatilia kwa namna flani nimekuja kugundua wadada wa kazi wana changamoto zao binafsi ambazo hawana nguv…
#MEZAHURU".....japo nimefuatilia kwa namna flani nimekuja kugundua wadada wa kazi wana changamoto zao binafsi ambazo hawana nguvu ya kuweza kujielezea, kwamba kwa mfano anajua kabisa labda mimi hapa kazi nimeshindwa......sina…
#HABARI: Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amemwambia Makamu Mwenyekiti Bara wa chama hich…
#HABARI: Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amemwambia Makamu Mwenyekiti Bara wa chama hicho, John Heche, “njoo unitembelee bana, ujee” wakati wakizungumza mahakamani leo. Kauli hiyo…
Aliyeacha uganga wa tiba asilia anaswa kwa wizi Geita
DODOMA: JESHI la Polisi mkoani Geita linamshikilia Bahati Bushirika anayetuhumiwa kujihusisha na wizi kwa kutumia dawa za kienyeji kuwafanya waathirika wapate usingizi ili kutekeleza uhalifu. Kamanda wa Polisi mkoa wa…
Miaka minane aidai Halmashauri Dar Sh50 milioni, kliniki ya sheria yamsaidia
Amesema katika kipindi chote hicho alikumbana na misukosuko ya kifedha, ikiwamo kushindwa...
Kihongosi: Viongozi mkiendekeza fitina, kushughulikiana mtaharibu kazi
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amewataka...
Msumbiji: Maafisa wawili wa zamani wa vyeo vya juu wahojiwa kuhusu ghasia za baada ya Uchaguzi
Nchini Msumbiji, kamanda wa zamani wa polisi Bernardino Rafael na Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani Pascoal Ronda wamehojiwa siku ya Jumanne, Februari 17, na Mwanasheria Mkuu. Kesi hii…
CRDB FEDERATION CUP: Mchambuzi wa soka, Andrew Kingamkono, amesema anatarajia kocha wa Azam SC, Florent Ibenge, kufanya mzunguko…
CRDB FEDERATION CUP: Mchambuzi wa soka, Andrew Kingamkono, amesema anatarajia kocha wa Azam SC, Florent Ibenge, kufanya mzunguko wa wachezaji na kuwapa nafasi zaidi vijana katika mashindano ya CRDB Federation…
Chuo cha Diplomasia kujengwa Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar inahitaji kuwa na vyuo vikuu vingi zaidi vitakavyosaidia kuiweka Zanzibar katika ramani ya kimataifa kama…
Viongozi vyama vya wafanyakazi vyatakiwa kuzingatia sheria
DODOMA:Viongozi wa vyama vya Wafanyakazi, Waajiri na Shirikisho nchini wametakiwa kuwa mstari wa mbele kuzingatia sheria na katiba za vyama vyao ili kuendelea kuleta ustawi na tija sehemu za kazi…
🔴MEZAHURU ; ELIMU YA UZAZI VYUONI….FEBRUARI 18, 2026
🔴MEZAHURU ; ELIMU YA UZAZI VYUONI....FEBRUARI 18, 2026
ZUWENA: Soka la wanawake limenipeleka Sierra Leone
UPAMBANAJI wa kiungo Mtanzania, Zuwena Aziz 'Zizou' anayechezea timu ya Mogbwemo Queens inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Sierra Leone, haukuwa rahisi kuna kipindi alitamani kuachana kabisa na mchezo huo wa…
Kuzimwa mtandao Gabon, wanazuoni waonya wataka mbinu mbadala Afrika
Wanazuoni wameyataka mataifa ya Afrika kubuni njia mbadala wa mitandao ya kijamii itakayoweza...
Tanzania yaanika ilichokipata mkutano COP30, Brazil
Tanzania imefanikiwa kuzibebesha nchi za Afrika ajenda ya nishati safi ya kupikia iliyoasisiwa...
Mkutano wa Bodi ya Amani utachochea utekelezaji wa makubaliano ya Gaza- Di Carlo
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo limekuwa na kikao cha ngazi ya mawaziri wakijadili hali ya Mashariki ya Kati hususan suala la Palestina ambapo wamejulishwa kuwa hali katika…
Tanzania yajipanga kutokomeza kichocho kwa watoto wadogo
Serikali ya Tanzania na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo UNDP kupitia Ushirikiano wa Upatikanaji na Ufikishaji wa Huduma (ADP), inaendesha mpango wa majaribio wa kihistoria katika…
Watengeneza maudhui kupoteza mapato kutokana na kasi ya maendeleo ya AI
Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO, limesema wabunifu wa maudhui duniani kwa lugha ya kiingereza content creators wanakabiliwa na hatari ya kupoteza hadi asilimia 24…
Hatimaye misaada yafika Kordofan Kusini baada ya kukosekana miezi 3
Msafara wa pamoja wa mashirika ya Umoja wa Mataifa umefikisha misaada muhimu ya kibinadamu katika miji ya Dilling na Kadugli, Jimbo la Kordofan Kusini nchini Sudan, ikiwa ni misaada ya…
Wakazi wa Gaza huko Palestina wahaha kumudu mlo wakati wa mfungo wa Ramadhani
Waumini wa dini ya kiislamu duniani kote wameanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, kipindi kinachoambatana na sio tu ibada bali pia mlo kama vile futari na daku. Hata hivyo…
#HABARI: Wakati akikusanya vitu vyake ili kuondoka Mahakamani Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alimuona dada yake Mchungaji Ros…
#HABARI: Wakati akikusanya vitu vyake ili kuondoka Mahakamani Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alimuona dada yake Mchungaji Rose Masesa akamsisitiza kusali kwa bidii akimuombea. “Pray hard,” alisema Lissu. Huku dada…
Mbamba Bay port upgrade to boost southern Tanzania trade, SADC
RUVUMA: On the calm shores of Lake Nyasa in Ruvuma Region, an ambitious inland port upgrading project is steadily taking shape. Designed to improve the smooth flow of goods, people…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….FEBRUARI 18, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....FEBRUARI 18, 2026
Russian Spring festival under the skies of Tanzania
DAR ES SALAAM: On February 16, the Russian Centre for Science and Culture in Dar es Salaam transformed a corner of the city into a lively outpost of Slavic tradition,…
Haya ndiyo matumizi sahihi ya ‘Earbuds’, kuepuka madhara
Ikiwa unatumia vifaa vya kusikilizia sauti masikioni kama Earbuds unapaswa kujua mwongozo...
Mwigulu aonya watendaji wanaokwamisha miradi ya maendeleo
WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema haikubaliki kwa watendaji wa Serikali kupokea fedha za utekelezaji wa miradi kisha kushindwa kuzitumia kwa wakati, hali inayosababisha wananchi kukosa huduma na maendeleo yaliyokusudiwa.…
Tanzania renews efforts to increase honey export from 24 to 50 percent by 2027
DODOMA: TANZANIA’S Forestry and Beekeeping Department has been directed to develop deliberate strategies to increase honey production and exports in order to boost economic benefits and contribute more to the…
Soko la samaki mtandaoni lazinduliwa Ziwa Tanganyika
Hatua mpya ya mapinduzi ya kidijitali katika sekta ya uvuvi imepigwa kufuatia kuzinduliwa kwa...
Je, inawezekana kuunda “NATO ya Waarabu – Waislamu?
Majadiliano kuhusu kuunda "NATO ya Kiislamu" imekuwa moja ya hoja kuu za mazungumzo katika vyombo vya habari vya Kiarabu.
Diamond anakaba kotekote
Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, ameendelea kuandika historia katika mtandao wa YouTube.
Waziri Mkuu aagiza Takukuru Kilimanjaro kuchunguza miradi isiyokamilika
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amemwagiza Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...
#MEZAHURU “…..sisi tunawatia moyo tunawafundisha namna gani wanaweza wakajikwamua kimaisha kwa kufanya kazi za nyumbani kwa ua…
#MEZAHURU ".....sisi tunawatia moyo tunawafundisha namna gani wanaweza wakajikwamua kimaisha kwa kufanya kazi za nyumbani kwa uaminifu kwa bidii.....kabla hatujawaunganisha na sehemu husika kwa ajili ya kazi za nyumbani huwa…