EAC yaunga mkono mamlaka ya kujitawala Somalia baada ya Israel kuitambua rasmi Somaliland
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imevunja ukimya wake kuhusu hali ya mvutano unaoendelea nchini Somalia na Somaliland, na kuthibitisha uungaji mkono wake kwa Somalia.
Jeshi la Iran: Tupo katika hali bora zaidi kumkabili adui
Jeshi la Iran limeonya kwamba, hatua yoyote ya uadui kutoka kwa maadui itakabiliwa na jibu kali, huku likisisitiza juu ya utayarifu wake wa kulilinda na kulihami taifa.
Mohammed Shia’ al-Sudani: Iran haiingilii mambo ya ndani ya Iraq
Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiingilii masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.
Wasomali waandamana kuilaani Israel kwa kuitambua Somaliland
Mamia ya wanachi wa Somalia jana Jumapili walifanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hyo, Mogadishu kupinga na kulaani uamuzi wa utawala haramu wa Israel wa kuitambua kana nchi huru…
CCM yafunga kampeni Fuoni ikihimiza wapiga kura kujitokeza
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefunga kampeni zake za uchaguzi mdogo katika Jimbo la Fuoni kwa...
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali mkoani Tabora zimeleta adha kwa wananchi wa kata ya mapambano na kiji…
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali mkoani Tabora zimeleta adha kwa wananchi wa kata ya mapambano na kijiji cha masagala vilivyopo manispaa ya Tabora baada ya bwawa la Italia…
TMA cherishes its weather accuracy as 25 Tanzanian regions see heavy rains
DAR ES SALAAM: The Acting Director General of the Tanzania Meteorological Authority (TMA), Dr Ladislaus Chang’a, has said that weather forecasts issued by the authority have an accuracy rate of…
Sarafu ya Dhahabu ya BRICS Iko Njiani
MWEKEZAJI maarufu wa Marekani, Robert Kiyosaki, amesisitiza wito wake wa kuwekeza katika madini ya thamani na fedha za kidijitali akidai kuwa dola ya Marekani ipo hatarini kupoteza nguvu. Kiyosaki amesema…
Katika mji wa Tunduma, mkoani Songwe, zaidi ya vijana 600 kutoka kabila la Wasafwa, lenye asili yake mkoani Mbeya, wamefanya mat…
Katika mji wa Tunduma, mkoani Songwe, zaidi ya vijana 600 kutoka kabila la Wasafwa, lenye asili yake mkoani Mbeya, wamefanya matembezi ya kitamaduni na kufunga kwa muda barabara ya mjini…
Lindi hits a high mark in the road safety campaign in the festive season
LINDI: LINDI region has been hailed for effective monitoring of road safety campaigns during the ongoing festive season. The Tanzanian Head of the Road Safety Education Desk, Senior Superintendent of…
Algeria yaifuata Misri, Msumbiji yaandika historia
Cameroon na mabingwa watetezi Côte d’Ivoire usiku wa kuamkia leo walitoshana nguvu kwa sare ya...
China inafanya mazoezi ya kijeshi kuzunguka Taiwan ikiiga kukamatwa na kuzingirwa kwa maeneo muhimu ya kisiwa hicho, kama onyo d…
China inafanya mazoezi ya kijeshi kuzunguka Taiwan ikiiga kukamatwa na kuzingirwa kwa maeneo muhimu ya kisiwa hicho, kama onyo dhidi ya "vikosi vya Taiwan." Jeshi la ardhini, jeshi la wanamaji,…
Friends of Kagera waamua kugusa maisha ya wahitaji
KAGERA: Umoja wa wanachama wa mtandaoni wanaoishi ndani na nje ya Mkoa wa Kagera, unaofahamika kama Friends of Kagera, umeamua kuanza safari mpya ya kugusa maisha ya wahitaji na makundi…
#HABARI: Abiria wanaosafiri na Treni ya SGR iliyotoka Dodoma saa 11:15 alfajiri kuelekea Dar es Salaam, wamekwama Stesheni ya Ng…
#HABARI: Abiria wanaosafiri na Treni ya SGR iliyotoka Dodoma saa 11:15 alfajiri kuelekea Dar es Salaam, wamekwama Stesheni ya Ngerengere kwa zaidi ya saa mbili huku ikitajwa kuna hitilafu imejitokeza…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limefanikiwa kuteketeza shamba la bangi lenye ukubwa wa hekta 2.5 katika eneo la Mnyik…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limefanikiwa kuteketeza shamba la bangi lenye ukubwa wa hekta 2.5 katika eneo la Mnyika, Kijiji cha Chonwe, Wilaya ya Kipolisi ya Ruhembe, Kilosa.…
Mvua kubwa kunyesha katika mikoa 20 nchini Tanzania
Mamlaka ya Hali ya Hewa ya Tanzania (TMA) imeonya kuwa mvua kubwa zitanyesha katika mikoa ya 20 ya nchini humo.
Mechi za mwisho hatua ya makundi AFCON zinaanza kuunguruma leo kwa michezo ya Kundi A na B
Mechi za mwisho hatua ya makundi AFCON zinaanza kuunguruma leo kwa michezo ya Kundi A na B. Misri wameshafuzu hatua ya 16 bora baada ya kushinda mechi mbili za kwanza,…
Baada ya Manula sasa ni Zuberi Foba
Mwaka 2008 Azam FC ilipanda daraja kushiriki ligi kuu msimu wa 2008/09.
#HABARI: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP Alex Mkama, amefanya ziara ya kikazi katika eneo la Iyovi, wilayani Kilosa, ku…
#HABARI: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP Alex Mkama, amefanya ziara ya kikazi katika eneo la Iyovi, wilayani Kilosa, kukagua hali ya usalama baada ya kifusi cha matope kuporomoka…
NIRC intensifies efforts to address the impacts of droughts and floods in Arumeru
ARUMERU: IN efforts to address the impacts of climate change, including droughts and floods, the National Irrigation Commission (NIRC) has continued to provide training to farmers on the management and…
Msipandishe bei vifaa vya shule
WAKATI Watanzania wakiendelea kuungana na watu wengine duniani kusherehekea sikukuu za mwisho wa mwaka, maandalizi ya wanafunzi kurejea shuleni nayo yamepamba moto. The post Msipandishe bei vifaa vya shule first…
Mapinduzi Cup 2026… Ni rekodi, burudani na mkwanja
Safari ya kulisaka taji la Mapinduzi 2026 ilianza jana Jumapili, Desemba 28, 2025 kwa kupigwa...
Takriban watu 13 wamefariki na karibu 100 wamejeruhiwa baada ya treni kuacha njia katika eneo la kusini-magharibi mwa Mexico la …
Takriban watu 13 wamefariki na karibu 100 wamejeruhiwa baada ya treni kuacha njia katika eneo la kusini-magharibi mwa Mexico la Oaxaca, limesema jeshi la wanamaji la Mexico. Treni hiyo, iliyokuwa…
Botswana, Guinea ya Ikweta na Gabon zimeondolewa kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika la 2025 baada ya kushindwa kupata pointi hata…
Botswana, Guinea ya Ikweta na Gabon zimeondolewa kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika la 2025 baada ya kushindwa kupata pointi hata moja katika hatua ya makundi. Botswana, ambayo imemaliza ikiwa…
Burhan wa Sudan anakataa mapatano, kusitisha mapigano hadi waasi waondoke
Abdel Fattah al-Burhan alisema kwamba wale ambao waliitaka serikali kusalimu amri wanapaswa badala yake kuwashauri wapiganaji wa wanamgambo kujisalimisha.
Jengeni watoto wenye kuthamini amani
DIWANI wa Viti Maalumu Tarafa ya Suye mkoani Arusha, Michelle Mrema amewataka wanawake nchini kuendelea kuwa walezi wa amani, uvumilivu na mshikamano, akisisitiza kuwa misingi hiyo ni muhimu katika kuwalea…
Tuseme Riyard ndio amegoma kuzeeka
DAR ES SALAAM: Riyard Mahrez ni kama amegoma kuzeeka hivi, katika maisha ya soka nadra sana ingawa inatokea kumkuta mchezaji wa miaka 34 akiwa bado anakiwasha. Mpaka sasa AFCON 2025,…
Stars AFCON hopes alive
MOROCCO: TANZANIA remain optimistic about reaching the Africa Cup of Nations knockout stage after a 1-1 draw with Uganda on Saturday left Group C open ahead of the final round…
Mexico train crash kills 13 and injures almost 100
MEXICO: At least 13 people died and almost 100 were injured after a train derailed in Mexico’s south-eastern Oaxaca region, the Mexican navy said. The train, which was travelling between…
Mapinduzi Cup rebranded after NMB seals five-year sponsorship
ZANZIBAR: MAPINDUZI Cup has been rebranded as the NMB Mapinduzi Cup after NMB Bank signed a five-year title sponsorship deal, a move officials say will strengthen football development in the…
Araqchi: Tunaunga mkono mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Yemen
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi amesema kuna ulazima wa kulindwa umoja wa ardhi na mamlaka ya kujitawala ya Yemen, huku kukiwa na ongezeko la mvutano…
Msimu wa chini wa utalii wavunja rekodi
MAKUNDI ya watalii kutoka barani Ulaya na Asia yakitumia ndege binafsi yameendelea kumiminika katika msimu huu wa chini wa utalii kwenda kuangalia vivutio vya utalii katika Hifadhi ya Taifa ya…
Mozambique edge Gabon in five-goal thriller
MOROCCO: MOZAMBIQUE staged a thrilling 3-2 victory over Gabon in a pulsating Group F encounter at the Africa Cup of Nations, keeping their hopes alive in what was an open,…
Tanzania draws tourism lessons from Morocco ahead of AFCON 2027
RABAT: TANZANIA is taking advantage of the Africa Cup of Nations (AFCON) 2025 finals to study ways to promote its tourism sector and attract investment, ahead of its joint hosting…
Strong export performance narrows Tanzania’s external gap
DAR ES SALAAM: Strong export performance played a decisive role in narrowing the current account deficit in the year ending October, signalling a marked improvement in the country’s external balance…
How community midwives reduce maternal deaths in Central Africa
DAR ES SALAAM: THE Central African Republic has one of the highest maternal mortality rates in the world, with 829 deaths per 100 000 live births recorded in 2023. Behind…
The evolving face of gender-based violence in Tanzania
GENDER-BASED violence is one of those phrases people think they understand until they are asked to explain it. Most answers come quickly, violence against women and children. That answer is…
A year of growth, threats and greater awareness
DAR ES SALAAM: AS the year 2025 comes to an end, one thing has become very clear in Tanzania: Our daily lives are now more connected to the internet than…
Ulimwengu wa Spoti, Dec 29
Hujambo mpenzi mskilizaji na hususan mfuatiliaji wa matukio ya spoti na karibu katika kipindi chetu cha mwisho mwaka huu 2025, tuangazie baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyoshuhudiwa ndani ya…
Muungano wa Waandishi wa Habari: Israel imewaua wanafamilia 706 wa waandishi wa habari huko Gaza
Jeshi la Israel limewaua watu 706 kutoka familia za waandishi wa habari katika Ukanda wa Gaza tangu kuanza kwa vita vya mauaji ya kimbari mnamo Oktoba 7, 2023. Taarifa hii…
Eritrea yataka Baraza la Usalama la UN itoe tamko juu ya kutambuliwa kwa Somaliland na Israel
Eritrea imetaka kutolewa kwa tamko kutoka kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa juu ya kutambuliwa kwa Somaliland na Israel, ikionya kwamba hatua hiyo inaweza kuchochea ukosefu wa usalama…
Msimamo wa Uingereza dhidi ya wahamiaji wa DRC; kwa nini London inashadidisha mashinikizo dhidi ya nchi za Kiafrika
Uingereza imeibua wimbi kubwa la mijibizo na malalamiko ya ndani na ya kimataifa kwa hatua yake ya kuweka vizuizi vya viza na kupitisha mageuzi makali kwa utoaji hifadhi ya ukimbizi.
Kiongozi wa Yemen: Tutachukua hatua za kijeshi dhidi ya uwepo wowote wa Israel huko Somaliland
Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kwamba uwepo wowote wa Israel huko Somaliland utatambuliwa kama shabaha ya kijeshi, kwa sababu ni uchokozi dhidi ya Somalia na Yemen na…
TANROADS begins measures to ease Morogoro Road congestion
KIBAHA: AS the government prepares strategies for constructing an expressway between Mailimoja in Kibaha Municipal Council, Coast Region and Morogoro Region through Chalinze Council, the Tanzania National Roads Agency (TANROADS)…
New Year gift must enforce traffic discipline
DAR ES SALAAM: EVERYDAY our roads seem to host a circus, and the clowns ride Bajaj and bodaboda. We all deserve to use the roads and consider also others with…
Katibu Mkuu na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw
Katibu Mkuu na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa amewahakikishia Watanzania kuwa mkataba ambao Tanzania na Zambia zimeingia na China wa uboreshaji wa reli ya TAZARA utakuwa na manufaa…
Daktari MNH atumia likizo kuhudumia wagonjwa
DAKTARI Bingwa Bobezi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Frank Muhamba amejiwekea utaratibu wa kutumia muda wake wa likizo kutoa huduma za kibingwa bobezi katika Hospitali ya Rufaa ya…
Pangani Basin still has water distribution capacity
KILIMANJARO: DESPITE growing concerns over water scarcity linked to climate change, the Pangani Basin Water Board (PBWB) still has the capacity to distribute water to users without developing new water…