Tumuombee Rais, tuliombee Taifa
Kauli ya Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi, kuwaomba viongozi wa dini kumuombea Rais, Samia...
TRA: Ole wenu mnaokwepa kodi
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeonya wafanyabiashara wanaokwepa kulipa kodi, ikisema watawagundua na kupata hasara zaidi. Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda alitoa onyo hilo akizindua Kituo cha Huduma kwa…
Ethiopia: Abiy Ahmed ampokea Rais wa Uturuki Addis Ababa kwa heshima kubwa
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesimama nchini Ethiopia siku ya Jumanne, Februari 17, ziara yake ya kwanza tangu miaka 11 ilitopita. Yeye na Waziri Mkuu Abiy Ahmed walisaini mikataba…
Sekondari 52, Veta moja zawekewa nishati safi
SERIKALI imezindua awamu ya kwanza ya mradi wa kusambaza nishati safi ya kupikia katika taasisi zinazohudumia watu zaidi ya 100. Awamu hiyo inahusisha shule 52 za sekondari na chuo kimoja…
Fahamu namna ya kujilinda usirekodiwe na kamera za siri
Kenya na Ghana ni mfano wa matukio ya kurekodiwa kwa kamera za siri kutokana na kisa cha raia wa Urusi ambaye alidaiwa kurekodi wanawake bila idhini yao, kisha kuchapishwa video…
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: …FEBRUARI 18, 2026
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: ...FEBRUARI 18, 2026
Mwigulu: Watendaji msizoee shida za wananchi
WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza watendaji waache kuzoea matatizo ya wananchi na kuyaona ni salamu za kawaida. Dk Mwigulu ameyasema hayo Lushoto mkoani Tanga akiendelea na ziara kutembelea miradi…
Basma na mdogo wake hawajui mdogo wao yuko wapi
Basma na mdogo wake hawajui mdogo wao yuko wapi. Obedi kwenye harakati zake anamteka mtu..Usikose kutazama UMMY leo saa 1:00 usiku ndani ya #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
Senegal: Ofisi ya mashtaka yasema kifo cha mwanafunzi wa UCAD hakihusiani na uvurugu za polisi
Katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika siku ya Jumanne, Februari 17, Mwendesha mashtaka wa umma, Ibrahim Ndoye, amesema kwamba mwanafunzi huyo kutoka Chuo Kikuu cha Cheikh Anta Diop cha…
DRC: EU yatangaza zaidi ya euro milioni 81 kama msaada wa kibinadamu kwa waathiriwa wa mgogoro
Wakati wa ziara ya Hadja Lahbib, Kamishna wa Ulaya anayehusika na Usawa, Maandalizi na Usimamizi wa Migogoro jijini Kinshasa, EU imetangaza Jumanne, Februari 17, kutolewa kwa euro milioni 81.2 milioni…
🔴#MAGAZETI: WAFUASI WA LIPUMBA, WANAOMPINGA WATWANGANA / ISHU YA MPANZU BARKER AMALIZA UTATA
🔴#MAGAZETI: WAFUASI WA LIPUMBA, WANAOMPINGA WATWANGANA / ISHU YA MPANZU BARKER AMALIZA UTATA....
Hali ya kawaida yaanza kurejea katika Mji wa Uvira nchini DRC
Mwezi mmoja baada ya waasi wa M23/AFC kuondoka kwenye mji wa Uvira jimboni Kivu Kusini, Mashariki mwa DRC, maisha ya kawaida yameanza kurejea taratibu, huku utawala wa Kinshasa ukirejea. Imechapishwa:…
Tiba za jadi zinavyoongoza licha ya mageuzi ya hospitali za kisasa-3
Wakati Watanzania wengi bado wanategemea tiba asili, Tanzania inapiga hatua kubwa katika ajenda...
Gabon: Mamlaka yazima mitandao ya kijamii hadi hatu nyingine itakapochukuliwa
Mamlaka Kuu ya Mawasiliano ya Gabon (HAC) imeamua Jumanne jioni, Februari 17, 2026, kuzima mara moja mitandao ya kijamii kote nchini hadi hatua nyingine itakapochukuliwa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji…
Droni zatumika katika vita vya mashariki ya DRC
Kama ilivyo huko Ukraine, Sudan na kwenye eneo la Sahel, matumizi ya ndege zisizo na rubani yameendelea kuonesha nguvu ya misuli ya mataifa na sasa hivi kwenye eneo la mashariki…
Zelenskiy asema Trump anamshinikiza kupita kiasi
Mpango wowote unaoitaka Ukraine kutoa eneo ambalo Urusi haijaliteka katika eneo la mashariki mwa Donbas utakataliwa na Waukraine ikiwa utapigiwa kura ya maoni.
Kenya: Wafanyikazi katika viwanja vya ndege wasitisha mgomo wao
Muungano wa wafanyakazi wa viwanja vya ndege nchini Kenya (KAWU) umesitisha mgomo wake ulioanza Jumatatu baada ya maafikiano na Wizara ya Uchukuzi. Imechapishwa: 18/02/2026 – 04:35 Dakika 1 Wakati wa…
Mazeozi ya kijeshi ya IRGC Ghuba ya Uajemi, nembo ya uwezo wa kujilinda na wa kistratijia wa Iran
Awamu ya kwanza ya mazoezi ya Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imefanyika katika visiwa vya Iran kwenye maji ya Ghuba ya Uajemi.
Jumatano, 18 Februari, 2026
Leo ni Jumatano 29 Sha'ban 1447 Hijria sawa na 18 Februari 2026.
Kenya na Misri kushirikiana katika miradi ya maji na biashara
Kenya na Misri zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wao katika miradi ya maendeleo na miundombinu ya maji, ikiwemo ujenzi wa mabwawa, katika juhudi za kukabiliana na athari za ukame unaoendelea kuathiri mamilioni…
Rais Pezeshkian: Iran haitaki silaha za nyuklia
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza tena kuwa nchi hii haitaki kumiliki silaha za nyuklia kwa aina yoyote ile.
Rais Pezeshkian: Iran haitaki silaha za nyuklia kwa njia yoyote
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza tena kuwa nchi hii haitaki kumiliki silaha za nyuklia kwa aina yoyote ile.
Wataalamu wa UN waonya kuhusu hatari zinazowakabili waathirika wa “Mafaili ya Epstein”
Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamesema, wana wasiwasi mkubwa kuhusu madhara yanayoweza kuwapata waathirika waliotajwa katika nyaraka zinazojulikana kama "Mafaili ya Epstein" (Epstein Files), na kueleza…
Katika hotuba ya kuaga, Yunus asema kupinduliwa Hasina ulikuwa ukombozi kwa Bangladesh
Kiongozi wa mpito wa Bangladesh Muhammad Yunus, ametangaza kujiuzulu katika hotuba ya kuaga kwa taifa aliyotoa kabla ya kukabidhi mamlaka kwa serikali iliyochaguliwa.
Israel yashadidisha mateso kwa Wapalestina inaowashikilia kwenye magereza yake
Jumuiya ya Wafungwa wa Palestina imetangaza kuwa, kwa mujibu wa ziara za ukaguzi zilizofanywa na wanasheria wake na ushuhuda uliorekodiwa, utawala wa kizayuni wa Israel umeshadidisha udhalilishaji na ushinikizaji wa…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI FEBRUARI 18, 2026
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI FEBRUARI 18, 2026
#KIPIMAJOTO: Migogoro ya ardhi kuchukua muda mwingi wa mikutano ya wananchi
#KIPIMAJOTO: Migogoro ya ardhi kuchukua muda mwingi wa mikutano ya wananchi. Je, maamuzi yanafanyiwa kazi kwa wakati?
Tarique Rahman Waziri mkuu wa Bangladesh ni nani?
Katika safari yake ya siasa Rahman ametuhumiwa na wapinzani wake kuwa na mapendeleo, ufisadi, na kuishi uhamishoni baada ya kuuawa kwa babake.
SMZ : Usafirishaji mizigo utaboreshwa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali imejipanga kikamilifu kumaliza changamoto za usafiri na usafirishaji wa mizigo katika Kisiwa cha Pemba. The…
‘Mawaziri watabaki Tanga nikiondoka’
WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amewaagiza baadhi ya mawaziri alioambatana nao katika ziara yake mkoani Tanga kubaki mkoani humo ili kufuatilia na kutatua changamoto zilizoibuliwa na wananchi. Masuala hayo yalitokana…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefungua kituo kipya cha huduma katika eneo la Masaki Dar es Salaam ambacho kipo chini ya mko…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefungua kituo kipya cha huduma katika eneo la Masaki Dar es Salaam ambacho kipo chini ya mkoa kodi Kinondoni lengo likiwa ni kuendelea kusogesa huduma…
Vijana wanufaika mikopo asilimia10 Kongwa
KIKUNDI cha Vijana Wazalendo kutoka Mamlaka ya Mji Mdogo Kibaigwa, Wilaya ya Kongwa, kimekabidhiwa magari mawili yenye thamani ya Sh milioni 75 kwa ajili ya biashara ya usafirishaji, ikiwa ni…
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Juma Mwenda amewataka wafanyabiashara wenye madeni ya kodi kufika kwen…
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Juma Mwenda amewataka wafanyabiashara wenye madeni ya kodi kufika kwenye ofisi za mamlaka hiyo kutafuta suluhu badala ya kuhangaika na madalali…
Huzuni kwa familia ya Kayi 🥲 #AzamTWO
Huzuni kwa familia ya Kayi 🥲 #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 17, 2026
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 17, 2026
SGR kusafirisha makontena ya mizigo
SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limezindua huduma ya usafirishaji wa makontena kwa kutumia Reli ya Kisasa ya Standard Gauge Railway (SGR), hatua inayolenga kupanua wigo wa biashara, kupunguza msongamano bandarini…
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 17, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 17, 2026
Huyu Melis bado anampenda Jemo eeh😆
Huyu Melis bado anampenda Jemo eeh😆 (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Moses Kusilukwa amesema matumizi ya TEHAMA ni miongoni mwa vipaumbele vya Serikali kutokana…
#HABARI: Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Moses Kusilukwa amesema matumizi ya TEHAMA ni miongoni mwa vipaumbele vya Serikali kutokana na kurahisisha huduma kwa Wananchi. Amesema hayo wakati akiongea kwenye Kikao kazi…
Simba yaanza vyema Kombe la Shirikisho, KMC yatupwa nje
Simba imetinga raundi ya 32 bora ya Kombe la Shirikisho la CRDB msimu huu baada ya leo kuibuka...
Matumaini kwa waandishi, wachapishaji vitabu
Ahadi ya Serikali ya kuchapisha vitabu vya washindi wa Tuzo ya Taifa ya Uandishi Bunifu ya...
Huyu ndio Katanga sasa…Teddy naye hakomi 😅🥹
Huyu ndio Katanga sasa...Teddy naye hakomi 😅🥹 #ZoraSeries (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Mamlaka za kidini nchini Saudi Arabia, imetangaza kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani baada ya kuonekana kwa mwezi mw…
#HABARI: Mamlaka za kidini nchini Saudi Arabia, imetangaza kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani baada ya kuonekana kwa mwezi mwandamo nchini humo hii leo. Kwa mujibu wa mamlaka nchini humo…