Huyu baba Sasha mbona anatamba ugenini halafu kama Wendy hana kauli kwa huyu ujamaa (James) 😎👀
Huyu baba Sasha mbona anatamba ugenini halafu kama Wendy hana kauli kwa huyu ujamaa (James) 😎👀
Mohamed Timbulo, mhitimu wa ualimu kutoka Kilinjiko Islamic College, alirejea nyumbani akiwa na matumaini ya kupata ajira
Mohamed Timbulo, mhitimu wa ualimu kutoka Kilinjiko Islamic College, alirejea nyumbani akiwa na matumaini ya kupata ajira. Baada ya changamoto, mwaka 2019 aliamua kujiajiri na kuanzisha biashara ya nguo za…
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali ncini zimeleta adha kwa wananchi wa Kata ya Mapambano na Kijiji cha Masagala…
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali ncini zimeleta adha kwa wananchi wa Kata ya Mapambano na Kijiji cha Masagala, Manispaa ya Tabora baada ya maji kuzidi kingo za Bwawa la…
#HABARI: Rais William Ruto angeshinda muhula wa pili iwapo uchaguzi wa Urais ungefanyika hivi leo, hii ni kwa mujibu wa utafiti …
#HABARI: Rais William Ruto angeshinda muhula wa pili iwapo uchaguzi wa Urais ungefanyika hivi leo, hii ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na kampuni ya utafiti ya Infotrak. Hata hivyo…
Mvua kubwa zilizonyesha katika maeneo mbalimbali nchini zimeathiri usafiri wa treni, zikisababisha abiria kukwama kwa muda
Mvua kubwa zilizonyesha katika maeneo mbalimbali nchini zimeathiri usafiri wa treni, zikisababisha abiria kukwama kwa muda. Hali hiyo imeathiri madaraja ya reli ya zamani, hususan Kidete, Kilosa mkoani Morogoro, na…
🔴TAARIFA YA HABARI YA DISEMBA 28, 2025 – MVUA KUBWA ZILIZONYESHA SEHEMU MBALIMBALI ZALETA MAAFA
🔴TAARIFA YA HABARI YA DISEMBA 28, 2025 - MVUA KUBWA ZILIZONYESHA SEHEMU MBALIMBALI ZALETA MAAFA
Hutaki mtoto wako awe mnafiki? fanya haya
Wazazi wengi hupitia hali kama hii. Kile wanachomjua mtoto wao nacho si kile kinachofahamika...
Tuzo Mchezaji Bora ni za kipekee
Tuzo mpya ya Mchezaji Bora wa Mechi (Man of the Match) imeanza kutolewa rasmi katika Kombe la...
Stars katika hesabu AFCON 2025
Sare ya bao 1-1, iliyoipata Taifa Stars juzi katika Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON)...
Stars katika hesabu za vidole AFCON 2025
SARE ya bao 1-1, iliyoipata Taifa Stars juzi katika Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON), dhidi ya Uganda ‘The Cranes’, imeiweka timu hiyo katika mtego wa kufuzu hatua ya 16…
Urejeshaji mito iliyojaa mchanga na kupoteza mikondo yake, tabasamu kwa wakulima na wafugaji Mbarali
Ni saa nne asubuhi katika Kijiji cha Mwatenga, Kata ya Mahongole wilayani Mbarali. Jua bado...
Mmoja afariki dunia, watatu wakipigwa na radi Tabora
Kijana mmoja aitwaye Mwagala Malando (19), mkazi wa kata ya Itambilo wilayani Kaliua mkoani...
Kufuatia mauaji ya mkazi wa Mtaa wa Zavala Kata ya Buyuni wilaya ya Ilala Dar es Salaam, Salehe Idd Salehe mnamo Disemba 4, 2024…
Kufuatia mauaji ya mkazi wa Mtaa wa Zavala Kata ya Buyuni wilaya ya Ilala Dar es Salaam, Salehe Idd Salehe mnamo Disemba 4, 2024 Jeshi la polisi limetakiwa kutumia uwezo…
Bocco aanza kazi rasmi Simba
SIKU chache baada ya Mwanaspoti kuripoti kuwa John Bocco atarejea Simba, nyota huyo tayari ametambulishwa na kuanza rasmi kazi ya kocha wa timu ya vijana wa timu hiyo, ikielezwa amewekwa…
Kijiji kilichotaka kuipora KKKT ardhi chaangukia pua kortini
Nani mmiliki halali wa hekari 30? Hili ndilo swali ambalo Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Arusha...
Tanzania yaongoza kuuza bidhaa zake Uganda
Tanzania imeendelea kuwa kinara wa mauzo ya bidhaa zake nchini Uganda, ikifikisha thamani ya...
Pina aanika kilichomrudisha Zenji
BAADA ya Mwanaspoti kuripoti taarifa kwamba mshambuliaji Abdallah Idd ‘Pina’ alikuwa ameachana na Pamba Jiji aliyoitumikia kwa miezi sita na kurejesha majeshi yake Zanzibar kujiunga na Muembe Makumbi, nyota huyo…
Zelenskiy, Trump kujadili mpango wa amani Florida
Rasimu ya mpango wa amani wenye vipengele 20 inatarajiwa kuwa kitovu cha mazungumzo kati ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy na mwenzake wa Marekani Donald Trump.
Somalia yapinga vikali kutambuliwa Somaliland
Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amesema hatua ya Israel kulitambua jimbo lililojitenga la Somaliland kama taifa huru ni tishio kwa usalama na uthabiti wa dunia.
Touadéra awania muhula wa tatu Jamuhuri ya Afrika ya Kati
Wapiga kura nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati wamejitokeza kumchagua rais mpya, wabunge na serikali za mitaa huku rais wa sasa, Faustin-Archange Touadéra, akitarajiwa kuibuka mshindi kwa muhula wa tatu.
Machafuko mapya yaripotiwa Syria
Ghasia zimezuka nchini Syria kati ya wafuasi na wapinzani wa serikali ya Syria, na kusababisha majeruhi kadhaa katika mfululizo wa machafuko unaoendelea tangu kuondolewa madarakani kwa Bashar al‑Assad mwaka jana.
AFCON: Gabon yaonyeshwa kivumbi na Msumbiji
Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika inaendelea kutimua vumbi, Msumbiji imeicharaza Gabon mabao 3-2 katika mechi za Kundi F ndani ya Uwanja wa Adrar.
Beki Mghana apewa ‘Thank You’ Namungo
KLABU ya Namungo iko katika hatua za mwisho za kuachana na beki wa kati wa kikosi hicho, Mghana Daniel Amoah, baada ya kudaiwa benchi la ufundi la kikosi hicho haliko…
Baada ya kumalizika kwa mchezo wa jana wa AFCON kati ya Tanzania na Uganda, nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, alipotoa kau…
Baada ya kumalizika kwa mchezo wa jana wa AFCON kati ya Tanzania na Uganda, nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, alipotoa kauli kwa waandishi wa habari alisema haoni kama atakuwa…
Mashujaa yasaka beki wa kulia
LICHA ya maafande wa Mashujaa kuachana na beki wa kati, Abdulmalik Zakaria aliyejiunga Singida Black Stars, uongozi wa kikosi hicho umeweka wazi kuondoka kwa mchezaji huyo si pengo tofauti na…
Wazir JR arejesha majeshi Dodoma Jiji
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Dodoma Jiji, Waziri Junior anatarajiwa kuanza kuitumikia timu hiyo kupitia dirisha dogo la usajili litakapofunguliwa Januari Mosi, 2026 baada ya awali nyota huyo kwenda kucheza soka…
Fountain Gate yavizia straika Mbeya Kwanza
WAKATI dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa Alhamisi mabosi wa Fountain Gate wameanza mazungumzo ya kupata saini ya mshambuliaji nyota wa kikosi cha Mbeya Kwanza inayoshiriki Ligi ya Championship, Boniface…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MOROGORO- DISEMBA 28, 2025
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MOROGORO- DISEMBA 28, 2025
Mapinduzi 2026 kuna vita ya wageni
BAADA jana Jumapili michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 kufunguliwa kwa kuchezwa mechi moja tu kati ya Mlandege na Singida Black Stars, leo Jumatatu zinapigwa mbili ikiwamo ile ya wageni…
Libya inamuomboleza mkuu wa majeshi aliyefariki katika ajali ya ndege
Mamia ya watu Jumapili waliomboleza mkuu wa jeshi la Libya na wengine saba waliouawa katika ajali ya ndege huko Uturuki.
Ajali ya basi yaua mmoja, kujeruhi 20 Dodoma
Siku tatu baada ya ajali iliyotokea mkoani Tanga na kusababisha vifo vya watu watano, nyingine...
Sera ya nyaraka, kumbukumbu mbioni Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema ipo katika hatua za mwisho kukamilisha Sera ya...
#LIVE:TAARIFA Y HABARI YA JIONI – 28/12/2025
#LIVE:TAARIFA Y HABARI YA JIONI - 28/12/2025
Leo saa 4:00 usiku katika movie ya kihindi kupitia AzamTWO ni kitu cha Dial 100
Leo saa 4:00 usiku katika movie ya kihindi kupitia AzamTWO ni kitu cha Dial 100. Movie hii imetafsiriwa kwa Kiswahili. #Dial100 #AzamTWO
London yaonya DRC: ‘Mkubali kurudi kwa raia wenu au mpoteze fursa ya kuingia Uingereza’
Uingereza imetangaza masharti magumu ya visa kwa raia wa DRC baada ya kushindwa kwa mazungumzo na Kinshasa kuhusu kurejea kwa wahamiaji haramu na raia waliohukumiwa. Imechapishwa: 28/12/2025 – 14:57 Dakika…
Fanya haya matarajio ya ndoa yanapoyeyuka
Ni muhimu kujua ni nini cha kufanya wakati matarajio ya ndoa yanapoyeyuka, ili kuokoa uhusiano...
Syria: Vikosi vya usalama vyawaua watu wawili huku vikitawanya maandamano ya Alawite
Vikosi vya usalama vya Syria vimewaua watu wawili leo Jumapili, Desemba 28, huku vikitawanya maandamano ya Alawite katika eneo la pwani, kulingana na Shirika la Haki za Binadamu nchini Syria…
Rais wa Somalia asema Israel kuitambuwa Somaliland kunatishia utulivu wa kikanda
Israel kuitambuwa Somaliland, ambayo “inahimiza” harakati za kujitenga duniani kote, ni “tishio” kwa usalama na utulivu wa Pembe ya Afrika, Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud ametangaza mnamo Desemba 28,…
Madagascar: Rais wa zamani wa Baraza la Seneti Richard Ravalomanana akamatwa
Rais wa zamani wa Baraza la Seneti Richard nchini Madagascar, Ravalomanana anakabiliwa na utaratibu kisheria. Kiongozi huyu maarufu wa utawala wa Rajoelina, aliyetukanwa na waandamanaji wakati wa maandamano ya hivi…
Satelaiti tatu za Iran zarushwa katika anga za mbali , ni hatua madhubuti ya kiteknolojia
Satelaiti tatu za Iran zilizoundwa ndani ya nchi , ‘Paya’, ‘Zafar 2’ na ‘Kowsar’, leo zimerushwa katika anga za mbali kwa kutumia roketi ya kubeba satelaiti aina ya Soyuz kutoka…
Mpogolo: Wahusika mauaji ya mzee Salehe wakamatwe
DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo ameliagiza Jeshi la Polisi kupitia Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, ACP Yustino Mgonja kutumia utaalamu na timu yake…
#HABARI: Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoani Tabora limefanikiwa kuwaokoa watu wanne, akiwemo mama mjamzito, waliosombwa na maji…
#HABARI: Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoani Tabora limefanikiwa kuwaokoa watu wanne, akiwemo mama mjamzito, waliosombwa na maji usiku wa kuamkia leo katika Kata ya Malolo Manispaa ya Tabora, wakiwa…
Umoja wa Ulaya unahimiza kuheshimiwa kwa mamlaka ya Somalia baada ya Israel kuitambua Somaliland
Umoja wa Ulaya umesisitiza kuwa mamlaka ya Somalia inapaswa kuheshimiwa baada ya Israel kulitambua rasmi eneo lake la kaskazini la Somaliland kuwa taifa huru.