Waziri Ndejembi, Balozi wa Oman wajadili mafuta, gesi
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Oman nchini Tanzania, Saud Al-Shidhani yaliyolenga kuimarisha na kuendeleza ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika sekta ya…
#CAFCLDraw Ligi ya Mabingwa Afrika
#CAFCLDraw Ligi ya Mabingwa Afrika Robo fainali:- RS Berkane vs Al Hilal Esperance vs Al Ahly Mamelodi vs Stade Malien AS FAR vs Pyramids Nusu fainali:- Esperance/Al Ahly vs Mamelodi/Stade…
Zambia yawakamata zaidi ya raia 80 wa Kongo kwa kukaa nchini kinyume cha sheria
Operesheni kubwa iliyofanywa mwishoni mwa wiki iliyopita na Idara ya Uhamiaji ya Zambia katika jiji la Ndola ilisababisha kukamatwa kwa zaidi ya raia 80 wa Kongo, ambao baadhi yao walifukuzwa…
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania #Follow @itvtz @radioonetanzania @capitaldigitaltanzania.
TRA yasifu fedha za ndani ujenzi JNHPP
DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imesifu matumizi sahihi ya fedha za kodi za watanzania katika Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere. Hatua hiyo ni kufuatia ziara yao…
Hii ndio ‘sura’ ya bajeti mwaka 2026/27 Zanzibar
Kwa mwaka 2026/27, Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) inakadiriwa kufikia...
RAAB survey reveals eye health challenges in Zanzibar
ZANZIBAR: ZANZIBAR Ministry of Health has received the findings of the Rapid Assessment of Avoidable Blindness (RAAB) survey conducted across Unguja and Pemba between November 24 and December 17, last…
‘Kuna haja kuibua, kulea waandishi bunifu Watanzania’
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda, amesema kuwa jukumu la Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) ni kuandaa na kusambaza vitabu vya shule, ikiwemo vitabu vya kiada na…
Emmanuel Macron nchini India kuimarisha uhusiano wa Ufaransa na mshirika wa kimkakati
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amewasili siku ya Jumatatu jioni, Februari 16, nchini India kwa ziara rasmi ya siku tatu inayolenga kuimarisha ushirikiano wa karibu ambao tayari upo, huku kukiwa…
Tanzania, France deepen cooperation in fire, rescue operations
DAR ES SALAAM: TANZANIA and France are moving to deepen cooperation in fire and rescue services following high-level talks between emergency services leaders in Dar es Salaam. The discussion was…
Mfumo wa kidijitali kusaidia wafugaji Tanzania kudhibiti magonjwa ya mifugo
Magonjwa ya mifugo yanaendelea kuwa changamoto duniani, yakisababisha vifo, kushuka kwa uzalishaji na hasara kwa wafugaji. Nchini Tanzania shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa – FAO linaimarisha…
Mizozo na udhaifu wa mifumo ya afya vyachochea vifo vya wajawazito; Majawabu yaainishwa
Uchambuzi mpya kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) na HRP, amba oni mpango wa taasisi za Umoja wa Mataifa wa utafiti kuhusu uzazi wa binadamu, unaonesha kuwa karibu theluthi mbili…
Vimbunga mfululizo vyatikisa Madagascar, maelfu ya watoto wapoteza Makazi: UNICEF
Maelfu ya watoto nchini Madagascar wanakabiliwa na hatari kubwa baada ya kimbunga Gezani kupiga pwani ya mashariki kwa upepo uliozidi kilomita 200 kwa saa, kuharibu nyumba, hospitali na shule limesema…
Miaka minne ya vita Ukraine utoto umeporwa na watu wanaendelea kutawanywa: UN
Mateso ya raia nchini Ukraine hayaoneshi dalili yoyote ya kupungua huku maadhimisho ya miaka minne ya uvamizi kamili wa Urusi yakikaribia, wakati mashambulizi dhidi ya miundombinu ya nishati, kukatika kwa…
Wataalamu wa UN waonya: Waathirika wa “Epstein Files” wako hatarini kufuatia utoaji wa taarifa usiozingatia ulinzi wa faragha
Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wameeleza wasiwasi mkubwa kuhusu madhara yanayoweza kuwapata waathirika waliotajwa katika nyaraka zinazojulikana kama “Epstein Files”, wakisema mchakato wa utoaji wa taarifa…
Njugumawe ni kila kitu Lebanon
Nchini Lebanon, kwa vizazi vingi, njugumawe ambazo ni aina ya zao la mikunde, zimekuwa chakula muhimu. Kuanzia rojo lake linalotumiwa kulia kaukau hadi mandazi, njugumawe zimekuwa utambulisho wa taifa hili…
#HABARI: Wafadhili wa Mradi wa Tanzania ya Kidijitali, unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Du…
#HABARI: Wafadhili wa Mradi wa Tanzania ya Kidijitali, unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia, wamewasili nchini na kutembelea utekelezaji wa mradi huo jijini Arusha…
Washukiwa 9 Wakamatwa kwa Kupanga Mazishi Feki Wakiwa na Jeneza na Waombolezaji Kusafirisha Makaa
Mamlaka imeanzisha msako wa kuwasaka watu tisa wanaojificha kama usafiri haramu wa mkaa kama msafara wa mazishi nchini Malawi, wakikabiliwa na hukumu zinazowezekana.
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….FEBRUARI 17, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....FEBRUARI 17, 2026
Vifaa tiba vya Mil 183/- kusaidia upasuaji rekebishi MNH
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imepokea vifaa tiba vyenye thamani ya Sh milioni 183 kutoka Shirika la Operation Smile ikiwemo darubuni za upasuaji bobezi na darubini za kujifunzia ambavyo…
Zaidi ya 6,000 kukutana Mbeya kujadili fursa za ufugaji nyuki
Zaidi ya wananchi 6,000 ikiwamo vikundi 570 vya vijana, wanatarajia kukutana jijini Mbeya kwa...
#CAFCCDraw Kombe la Shirikisho Afrika
#CAFCCDraw Kombe la Shirikisho Afrika. Robo fainali:- Al Masry vs Belouizdad, Olympic Club De Safi vs Wydad AC, AS Otoho vs Zamalek SC, AS Maniema Union vs ASM Alger. Nusu…
MNH receives medical equipment worth 183m/- for reconstructive surgery.
DAR ES SALAAM: MUHIMBILI National Hospital (MNH) has received medical equipment worth approximately 183m/- from Operation Smile, including surgical microscopes and training microscopes (Skill Lab). The equipment is expected to…
Handeni seeks solace in a clean energy campaign
HANDENI: A clean cooking energy campaign has reached residents at markets and bus stations in Handeni District, Tanga, as part of government efforts to promote safe and sustainable energy use…
Mwanamke Ashinda Kesi Dhidi ya Mwajiri Wake Aliyemuondoa Katika Whatsapp na Kulipwa KSh4.4m
Mahakama ya Kenya imeamua kuwa kumwondoa mfanyikazi katika kikundi rasmi cha WhatsApp cha kazi ni kinyume cha sheria, na kumpa mwanamke fidia ya KSh 4.4 milioni.
Tanzania, Oman seek to deepen bilateral ties in the energy sector
DAR ES SALAAM: PLANS are underway for Tanzania and Oman to strengthen their bilateral ties in the area of energy. This was disclosed in a discussion between Tanzania’s Minister for…
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Kawe, Mhe
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Kawe, Mhe. Geofrey Timoth, amesema kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo ametenga Shilingi milioni 17.5 kwa ajili ya ujenzi wa kivuli, huku akisisitiza kuwa kazi…
Sh2.4 trilioni kujenga miradi 26 ya kimkakati Zanzibar
Miradi 26 ya kimkakati yenye thamani ya Sh2.411 trilioni imepangwa kutekelezwa katika visiwa...
Somalia kuanza kutoa pasipoti za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
Somalia inatarajiwa kuanza kutoa hati ya kusafiria ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa raia wake; ikiungana na nchi nyingine wanachama katika kutumia hati ya kusafiria ya kikanda.
Polisi yawafunda watendaji wa mitaa, vijiji na kata Geita
JESHI la Polisi nchini limetoa mafunzo kwa watendaji wa mtaa, vijiji na kata mkoani Geita ili washiriki kikamirifu katika kulinda amani na kuimarisha usalama wa raia na mali zao. Chifu…
TET hails Book Writing Award for nurturing young writers
DAR ES SALAAM: THE Director General of the Tanzania Institute of Education (TET), Dr Anneth Komba, has said the Mwalimu Nyerere National Creative Writing Award is a key tool in…
Mwigulu aagiza aliyembaka mwanafunzi Tanga, kuachiwa huru asakwe
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesimulia tukio la mwanafunzi wa kidato cha kwanza mkoani...
Equity Bank, Mixx by Yas partner to expand financial inclusion
DAR ES SALAAM: FOLLOWING the growing use of financial services through mobile network agents, Equity Bank Tanzania has officially entered into a strategic partnership with Mixx by Yas in a…
Mkenya Afariki Ungereza Kutokana na Baridi Baada ya Kutupwa Nje ya Makazi Yake na Serikali
Familia yalaumu huduma za kijamii za Uingereza kwa kifo cha mhamiaji Mkenya Kepha Otundo kutokana na hali ya baridi kali huko Reading baada ya kufurushwa kwake
Nyerere Creative Writing Award expands to four categories
DAR ES SALAAM: THE Chairperson of the Mwalimu Nyerere National Award Committee, Prof Penina Mlama, has said the Mwalimu Nyerere National Creative Writing Award has been expanded from two categories…
Revised land policy hailed for empowering Tanzanian women and villages
ARUSHA: IT is a big relief for Tanzanian women and their villages following a revised land policy that members of the National Assembly must ensure is effectively implemented. It was…
Ujasiri ulivyochochea mafanikio ya Asha Baraka
Maisha ni safari, lakini muhimu ni kuwa na malengo na kupambana kuhakikisha kwamba yanatimia.
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55….FEBRUARI 17, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55....FEBRUARI 17, 2026
Tanzania hosts Joint Satellite Forum for SADC’s space experts
DAR ES SALAAM: Tanzania has made history as the host of the 2026 SADC Joint Satellite Forum, a five-day summit bringing together space and satellite experts from Southern African Development…
Katavi launches project to ensure quality health services for women, children
MPANDA: THE Safe Pregnancy and Child Project has been officially launched in the Katavi Region to ensure that pregnant women and children receive quality health services. Speaking during the introduction…
Ujenzi daraja la Jangwani Dar washika kasi
UJENZI wa Daraja la Jangwani lenye urefu wa mita 390 na upana wa mita 41 unaeendelea mkoani Dar es Salaam. SOMA: Mambo yaiva ujenzi daraja Jangwani Wizara ya Ujenzi imesema…
Quality MHS services cement Tanzania-Comoros medical diplomacy
DAR ES SALAAM: THE health sector cooperation between the Comoros government and Muhimbili National Hospital (Upanga and Mloganzila) has continued to strengthen following the official visit of the Permanent Secretary…
Mauaji yaliyofanywa na umati wa watu yaliyoishtua dunia
Takribani asilimia 9 ya watu milioni 174 wa Bangladesh ni wa makundi ya kidini ya wachache, wengi wao wakiwa Wahindu. Mahusiano na Waislamu walio wengi kwa muda mrefu yamekuwa yakikumbwa…
Iran yaadhimisha Siku ya Arobaini ya Mashahidi wa ghasia za kigaidi
Wairani leo wanashiriki katika hafla kubwa ya kitaifa mjini Tehran kuadhimisha siku ya arobaini tangu kuuawa kishahidi kwa watu waliopoteza maisha yao katika mashambulizi ya kigaidi ya Januari 8 na…
Idadi ya vifo vya Kimbunga Gezani yapanda hadi 59 nchini Madagascar
Idadi ya watu waliopoteza maisha kufuatia Kimbunga Gezani nchini Madagascar imeongezeka hadi 59, huku watu 804 wakijeruhiwa. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya hivi karibuni iliyotolewa na Ofisi ya…
Mtaalamu: Sera ya biashara ya Marekani barani Afrika inaendeshwa kwa mabavu na ghiliba za kisiasa
Marekani inajaribu kudumisha nafasi yake barani Afrika kupitia matumizi ya mabavu na ghiliba za kisiasa, huku ikizingatia zaidi nishati na madini muhimu, tofauti na ushirikiano mpana wa kiuchumi wa China…
UN yatoa wito mpya wa kutokomeza ukoloni
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema ingawa zaidi ya mataifa 100 yamepata uhuru tangu mwaka 1945, mchakato wa kuondoa ukoloni bado haujakamilika. Ametoa kauli hiyo akifungua kikao…
Watatu walivyoepa kitanzi cha kunyongwa Mbeya
Mahakama ya Rufaa imebatilisha adhabu ya kunyongwa hadi kufa waliyokuwa wamehukumiwa watu...