Benin yaifunga Botswana kwa ushindi wa kwanza kabisa katika AFCON
Hatimaye Benin inasherehekea ushindi katika shindano la bara katika jaribio la 16 kufuatia mechi yao ya kwanza mwaka wa 2004.
Iran: Tumejiandaa kutoa jibu chungu zaidi kwa wavamizi
Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameonya kwamba, kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kitakabiliwa na jibu la haraka na la kuumiza zaidi, akisisitiza utayarifu wa Vikosi vya…
Dunia yaendelea kulaani hatua ya Israel ya ‘kuigawa vipande’ Somalia
Nchi za dunia na taasisi mbali mbali za kimataifa zimeendelea kulaani uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kutambua eneo la Somaliland, ambalo limejitenga na Somalia, kama taifa huru…
Russia yasisitiza haja ya kuundwa taifa huru la Palestina
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov amesema kwamba, Moscow ingali inaunga mkono suuala la kuanzishwa kwa taifa huru la Palestina.
WHO: Unywaji wa pombe unaua watu 800,000 kila mwaka Ulaya
Unywaji wa pombe unasababisha vifo vya watu zaidi ya 800,000 kila mwaka barani Ulaya, na kusababisha kifo kimoja kati ya kila vifo kumi na moja, kwa mujibu wa ripoti ya…
Hii familia ya Yavut ina mambo mazito sana
Hii familia ya Yavut ina mambo mazito sana. Dah hawana utu hata kidogo. Jemo, Yusuf na Jevdet wajivika ujasiri kumuokoa Aziza. Usikose kutazama 6 of Us leo saa 2:00 usiku…
Mambo ya Msuva Afcon hayo!
MOROCCO; Simon Msuva mfungaji wa bao la Tanzania (Taifa Stars) katika mchezo dhidi ya Uganda (The Cranes) uliofanyika Desemba 27, 2025 fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), akishangilia…
Ujirani wa Tanzania, Uganda ulivyohamia AFCON, Msuva aandika rekodi
Tanzania na Uganda wamebakisha mchezo mmoja kwa kila timu ambao ndio utaamua hatima yao kwenye...
🔴#KUMEKUCHA: 28 DESEMBA 2025- AFU ZA KIUSTAWI ZA KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI
🔴#KUMEKUCHA: 28 DESEMBA 2025- AFU ZA KIUSTAWI ZA KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI
Iran yalaani shambulio la kigaidi katika msikiti wa Imam Ali (as) nchini Syria
Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulio la kigaidi dhidi ya waumini katika Msikiti wa Imam Ali ibn Abi Talib (AS) katika…
🔴 #ITVMAGAZETINI: CHANZO CHA MVI MAPEMA HIKI HAPA- 28 DISEMBA 2025
🔴 #ITVMAGAZETINI: CHANZO CHA MVI MAPEMA HIKI HAPA- 28 DISEMBA 2025
Iran yalaani hatua ya Israel ya kukiuka mamlaka ya kujitawala Somalia
Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha utawala wa Kizayuni cha kukiukaji wazi mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya…
Mbolea ya ruzuku inayotolewa na Serikali
Mbolea ya ruzuku inayotolewa na Serikali. Je, inawafikia wakulima kwa wakati kuendana na msimu wa kilimo ?
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI…..DISEMBA 28, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI.....DISEMBA 28, 2025
Mungu akikupa baraka kuishi mwaka 2026 utamfanyia nini?
Wako watu wengi ambao walitamani kuishi mwaka tunaomaliza 2025 lakini hawakupata hiyo nafasi...
Somalia yaitaka Israel ifute uamuzi wake wa kuitambua Somaliland
Somalia imeitaka Israel kubatilisha hatua yake ya kulitambua rasmi eneo la 'Somaliland, ambalo limejitenga na Somalia, kama taifa huru na lenye mamlaka kamili. Somalia imelaani hatua hiyo na kuitaja kuwa…
Guinea Conakry kufanya uchaguzi wa urais wa kihistoria leo Jumapili; Mamadi Doumbouya anashiriki
Guinea Conakry leo Jumapili inatarajiwa kufanya uchaguzi wake wa kwanza wa urais tangu baada ya mapinduzi ya kijeshi mwaka 2021. Zoezi hili linayoashiria hatua muhimu katika kipindi cha uongozi wa…
Trump adai: Zelensky hana mpango wowote kwa ajili ya amani ya Ukraine
Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine hana mpango wowote hadi yeye Trump aidhinishe.
China yaweka vikwazo kwa makampuni ya Marekani kwa sababu ya mauzo ya silaha kwa Taiwan
China imeyawekea vikwazo makampuni 20 ya ulinzi ya Marekani na watendaji wake 10 wakuu kutokana na shehena kubwa zaidi ya mauzo ya silaha za Marekani kwa Taiwan.
Jumapili, 28 Disemba, 2025
Leo ni Jumapili mwezi 7 Rajab 1447 Hijria mwafaka na 28 Disemba 2025 Miladia.
Kwa nini utawala wa Kizayuni unaogopa uhuru wa vyombo vya habari?
Bunge la utawala ghasibu wa Israel (Knesset) limelipa idhini baraza la mawaziri la utawala huo kufunga kanali za televisheni za kigeni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu kwa muda wa miaka…
Matukio mbalimbali mechi ya Taifa Stars Afcon
MOROCCO;MOROCCO; PICHA za matukio mbalimbali mchezo wa Kundi C fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kati ya Uganda (The Cranes) dhidi ya Tanzania (Taifa Stars) uliochezwa usiku wa…
Aaaah Binti Msumi mwamba bwana kapindisha 🙌😅
Aaaah Binti Msumi mwamba bwana kapindisha 🙌😅
Likizo ya kazi kwa waajiriwa ni nafasi nzuri ya kupumzika na kujipanga upya kwa aijli ya kurejea na nguvu, ari, hamasa na mtazam…
Likizo ya kazi kwa waajiriwa ni nafasi nzuri ya kupumzika na kujipanga upya kwa aijli ya kurejea na nguvu, ari, hamasa na mtazamo bora zaidi wa kufanya kazi huku wengi…
Wakazi wa manispaa ya Mtwara Mikindani wamesema ubovu wa miundombinu ya barabara unawaathiri katika shughuli zao za kila siku hu…
Wakazi wa manispaa ya Mtwara Mikindani wamesema ubovu wa miundombinu ya barabara unawaathiri katika shughuli zao za kila siku huku wakiziomba mamlaka ziwatatulie tatizo hilo. #AzamTVUpdates Mhariri | @moseskwindi
Bei za baadhi ya bidhaa za vyakula katika soko la Mawenzi, mkoani Morogoro zimepanda kwa zaidi ya asilimia 50 hali iliyochangiwa…
Bei za baadhi ya bidhaa za vyakula katika soko la Mawenzi, mkoani Morogoro zimepanda kwa zaidi ya asilimia 50 hali iliyochangiwa na sababu mbalimbali kama inavyoeleza taarifa ya Theresia Mwanga.…
Ngajilo Bonanza 2025 yazinduliwa mjini Iringa
IRINGA: Bonanza kubwa la michezo lililoandaliwa na Mbunge wa Iringa Mjini, Fadhili Ngajilo, lijulikanalo kama Ngajilo Bonanza 2025, limezinduliwa rasmi leo katika Uwanja wa Samora, Manispaa ya Iringa, huku likitarajiwa…
🔴TAARIFA YA HABARI YA DISEMBA 27, 2025 – NAMTUMBO YAPOKEA SHEHENA YA MBOLEA ZA RUZUKU
🔴TAARIFA YA HABARI YA DISEMBA 27, 2025 - NAMTUMBO YAPOKEA SHEHENA YA MBOLEA ZA RUZUKU
Rais wa Ivory Coast atafuta wingi wa viti bungeni
Ivory Coast imefanya uchaguzi wa wabunge, miezi miwili baada ya Alassane Ouattara mwenye umri wa miaka 83 kushinda uchaguzi wa urais na kuongeza muda wa utawala wake hadi miaka 14.
Italia yakamata watu tisa kwa tuhuma za kuifadhili Hamas
Mamlaka za Italia zimewakamata watu tisa wanaohusishwa na mashirika matatu ya misaada kwa tuhuma za kukusanya mamilioni ya euro ili kulifadhili kundi la wanamgambo wa Kipalestina, Hamas.
UN yatarajia makubaliano ya kudumu Thailand-Cambodia
Mkuu wa Tume ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa, Volker Turk, amesema anatumai kwamba makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Thailand na Cambodia hatimaye yataleta amani na kuimarisha…
AFCON: Benin yaponyoka na ushindi dhidi ya Botswana
Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika inaendelea kurindima nchini Morocco, huku kila timu ikiendelea kujipambanua kutafuta tiketi ya raundi ya mtoano.
China: Kampuni zingine za Marekani zawekewa vikwazo kwa kuhusika na mauzo ya silaha kwa Taiwan
China imetangaza vikwazo siku ya Ijumaa, Desemba 26, dhidi ya kampuni 20 ya Marekani katika sekta ya ulinzi, ikiwa ni pamoja na kituo cha Boeing. Beijing inalipiza kisasi dhidi ya…
Adaiwa kujinyonga hadi kufa kisa kushindwa kulipa mahari
Taarifa zinaeleza kuwa Oiso, aliyekuwa fundi wa kuchomelea alikuwa akiishi na mkewe Anderika...
Watoto wa Diogo Jota warejea Anfield
Watoto wawili wa staa wa zamani wa Liverpool Diago Jota leo wamerejea kwenye Uwanja wa Anfield...
Jinsi Mashabiki wa Mpira Tanzania Wanavyogundua Jackpot za Casino
Ukweli unaonekana wazi katika ulimwengu wa michezo Tanzania: mashabiki wa mpira wanaendelea kugundua jackpot za casino. Ni maendeleo ya kawaida mashabiki wanaobeti mechi za Simba SC dhidi ya Young Africans…
Abuja na Washington watafautiana kuhusu shambulio la jeshi la Marekani nchini Nigeria
Makundi ya jihadi yaliyolengwa na mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Nigeria siku ya Alhamisi hayakujulikana siku ya Jumamosi, huku Washington na Abuja zikitoa maelezo tofauti kidogo kuhusu matukio hayo.…
Abdulla aiagiza Wizara ya Afya kutoa kipaumbele cha ajira kwa wazawa
Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla ameiagiza Wizara ya Afya...
🔴HAPA NA PALE KUTOKA – DISEMBA 27, 2025
🔴HAPA NA PALE KUTOKA NJOMBE - DISEMBA 27, 2025
Chad: Jeshi lataja shambulio la kijeshi la Sudan kama ‘uchokozi usio na msingi’
Chad imelaani shambulio la Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa mpakani kati ya nchi hizo mbili, ambalo limesababisha vifo vya wanajeshi wawili wa Chad. Imechapishwa: 27/12/2025 –…
#HABARI: Mwili wa Afisa Usafirishaji kupitia pikipiki, Hamisi Ramadhan (18) mkazi wa Kata ya Isevya Wilaya ya Tabora umekutwa um…
#HABARI: Mwili wa Afisa Usafirishaji kupitia pikipiki, Hamisi Ramadhan (18) mkazi wa Kata ya Isevya Wilaya ya Tabora umekutwa umetelekezwa kwenye mtaro wa maji katika mtaa na Kata ya Malolo…
Sudan: Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wazuru El-Fasher miezi miwili baada ya RSF kuteka mji
Kitengo cha Sudan cha Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) kimetangaza siku ya Ijumaa, Desemba 26, 2025, kwamba kilizuru mji wa El-Fasher, ambao ulitekwa Oktoba…
Pazia la Mapinduzi Cup 2026 lafunguliwa na mambo mawili
KWA namna waandaaji wa Kombe la Mapinduzi 2026 walivyopanga ratiba ya ufunguzi ni wazi waliangalia mambo mawili.
Mtibwa SUGAR yataka straika wa kimataifa
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema hautakurupuka kufanya usajili katika dirisha dogo, lakini moja ya nafasi zitakazofanyiwa kazi ni eneo la ushambuliaji ukilenga kushusha straika mmoja wa kimataifa anayejua kufunga mabao…