Skip to content
  • Wed. Feb 25th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Cyril Ramaphosa amshukuru Putin kwa kurejea kwa Waafrika Kusini walioajiriwa nchini Ukraine Sierra Leone-Guinea: Wanajeshi kumi na sita wa Sierra Leone wakamatwa mpakani Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran Al-Burhan atoa fursa ya msamaha kwa wapiganaji wa RSF watakaoweka silaha zao chini
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Cyril Ramaphosa amshukuru Putin kwa kurejea kwa Waafrika Kusini walioajiriwa nchini Ukraine

February 25, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Sierra Leone-Guinea: Wanajeshi kumi na sita wa Sierra Leone wakamatwa mpakani

February 25, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote

February 25, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran

February 25, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Al-Burhan atoa fursa ya msamaha kwa wapiganaji wa RSF watakaoweka silaha zao chini

February 25, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Cyril Ramaphosa amshukuru Putin kwa kurejea kwa Waafrika Kusini walioajiriwa nchini Ukraine
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Cyril Ramaphosa amshukuru Putin kwa kurejea kwa Waafrika Kusini walioajiriwa nchini Ukraine
Sierra Leone-Guinea: Wanajeshi kumi na sita wa Sierra Leone wakamatwa mpakani
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Sierra Leone-Guinea: Wanajeshi kumi na sita wa Sierra Leone wakamatwa mpakani
Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote
HABARI ZA KIPEKEE
Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote
Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran
HABARI ZA KIPEKEE
Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran
Uncategorized
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Uncategorized
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Cyril Ramaphosa amshukuru Putin kwa kurejea kwa Waafrika Kusini walioajiriwa nchini Ukraine
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Cyril Ramaphosa amshukuru Putin kwa kurejea kwa Waafrika Kusini walioajiriwa nchini Ukraine
Sierra Leone-Guinea: Wanajeshi kumi na sita wa Sierra Leone wakamatwa mpakani
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Sierra Leone-Guinea: Wanajeshi kumi na sita wa Sierra Leone wakamatwa mpakani
Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote
HABARI ZA KIPEKEE
Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote
Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran
HABARI ZA KIPEKEE
Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran
Uncategorized

🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UFUNDI UMEME, AGOSTI 25, 2025

August 25, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UFUNDI UMEME, AGOSTI 25, 2025

Uncategorized

🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025

August 25, 2025 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA: SAA MBILI NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025

IDHAA YA DUNIA

Amka Na BBC

August 25, 2025 mjombazecoder

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Uncategorized

Gaza: ‘Sheria ya kimataifa ya kibinadamu inakataza matumizi ya njaa kama njia ya vita’

August 25, 2025 mjombazecoder

Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, ambao umetangaza hali ya njaa katika mji wa Gaza na maeneo jirani, Wapalestina 500,000 wako katika hali mbaya ya kiafya kutokana na Israel kuzuia…

Uncategorized

🔴KUMEKUCHA MICHEZO: TANZANIA KUTOLEWA CHAN…AGOSTI 25, 2025

August 25, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA MICHEZO: TANZANIA KUTOLEWA CHAN…AGOSTI 25, 2025

Uncategorized

Urusi yaituhumu Ukraine kwa kukishambulia kinu cha nyuklia

August 25, 2025 mjombazecoder

Maafisa wa Urusi walisema vituo kadhaa vya umeme na nishati vililengwa katika mashambulizi ya usiku kucha Jumamosi. Moto kwenye kinu cha nyuklia ulizimwa haraka bila majeruhi wowote kuripotiwa. Licha ya…

Uncategorized

Iran: Ayatollah Ali Khamenei atoa wito kwa Wairan kuungana dhidi ya Marekani

August 25, 2025 mjombazecoder

Kiongozi Muadhamu wa Iran anaishutumu Marekani—mshirika wa Israel—kwa kutaka “kuitiisha” nchi yake na kuupindua utawala wake. Imechapishwa: 25/08/2025 – 07:04 Dakika 2 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma yanayofuata…

IDHAA YA DUNIA

Mashambulizi ya Ukraine huko Urusi yapandisha bei ya mafuta duniani

August 25, 2025 mjombazecoder

Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yamesababisha moto mkubwa katika vituo muhimu vya mafuta, ikiwemo Ust-Luga na kiwanda cha Novoshakhtinsk, ambacho kinasafisha mafuta kwa ajili ya kuuza nje

Uncategorized

Paris yamtaka balozi wa Marekani nchini Ufaransa kutengua kauli yake kuhusu chuki kwa Wayahudi

August 25, 2025 mjombazecoder

Charles Kushner ameitakiwa kufika Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa leo Jumatatu, Agosti 25, baada ya kueleza “wasiwasi wake mkubwa kuhusu kuongezeka kwa chuki dhidi ya Wayahudi nchini Ufaransa…

Uncategorized

Mashambulizi ya Israel nchini Yemen yauwa watu sita

August 25, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa Wizara ya Afya inayoendeshwa na Wahouthi amesema shambulizi la Israel liliwaua watu sita na kuwajeruhi 86. Mashambulizi hayo ndio ya karibuni kabisa katika zaidi ya mwaka mmoja wa…

Uncategorized

Zelensky atoa wito wa mkutano na Putin kutafuta amani

August 25, 2025 mjombazecoder

Ukraine iliadhimisha Siku ya UhuruJumapili katika tukio lililohudhuriwa na maafisa wa Magharibi akiwemo balozi wa Marekani Keith Kellogg. Zelensky anasema lazima shinikizo liendelee kutolewa kwa Urusi ili kumaliza vita, kwa…

Uncategorized

Kimbunga Kajiki chapiga kusini mwa China kikielekea Vietnam

August 25, 2025 mjombazecoder

Kiasi ya watu 20,000 walihamishwa kutoka maeneo yanayoweza kuwa hatari kabla ya dhoruba hiyo. Boti za wavuvi zilirejea bandarini na zaidi ya wafanyakazi 21,000 wakahamia maeneo salama. Kimbunga Kajiki kilitarajiwa…

Uncategorized

Afrika Kusini inakusudia kuimarisha nguvu zake za kidiplomasia katika suala la Ukraine

August 25, 2025 mjombazecoder

Afrika Kusini inazidi kuimarisha jukumu lake kama mpatanishi katika suala la vita nchini Ukraine. Kama mwenyekiti wa G20 mwaka huu, nchi hii inatumia jukwaa hili ili sauti yake iweze kusikika.…

IDHAA YA DUNIA

Mahakama DRC yaombwa Kabila anyongwe kwa tuhuma uhaini

August 25, 2025 mjombazecoder

Waendesha mashtaka wa kijeshi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamemuombea hukumu ya rais wa zamani wa nchi hiyo Joseph Kabila kwa tuhuma za uhaini na kushirikiana na kundi la…

Uncategorized

#KIPIMAJOTO: Vyama vya Siasa 18 Kisiwani Zanzibar kutia saini kutekeleza kanuni za maadili za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu Kisiwan…

August 25, 2025 mjombazecoder

#KIPIMAJOTO: Vyama vya Siasa 18 Kisiwani Zanzibar kutia saini kutekeleza kanuni za maadili za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu Kisiwani humo. Je, vitekeleze kivitendo yaliyopo katika kanuni hizo?

Uncategorized

Bundesliga: Hamburg yatoa sare tasa, Cologne yapata ushindi

August 25, 2025 mjombazecoder

Klabu hiyo iliyopandishwa daraja msimu huu ilitumia muda mwingi kujilinda zaidi katika mchezo wa jana. Hamburg ilikuwa klabu ya mwisho muasisi wa Bundesliga iliyocheza kila msimu tangu ligi kuu ilipoanzishwa…

Uncategorized

🔴KUMEKUCHA: CHANGAMOTO ZA MAKANDARASI WAZAWA….AGOSTI 25, 2025

August 25, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA: CHANGAMOTO ZA MAKANDARASI WAZAWA….AGOSTI 25, 2025

Uncategorized

Gabon: Brice Oligui Nguema apinga baadhi ya wagombea ubunge kukataliwa kushiriki uchaguzi

August 25, 2025 mjombazecoder

Malalamiko na hasira za wagombea waliokataliwa katika uchaguzi wa wabunge na serikali za mitaa nchini Gabon wa Septemba 27, 2025, bado hayajasikilizwa. Imechapishwa: 25/08/2025 – 05:59 Dakika 1 Wakati wa…

Uncategorized

Mateka 76 wakombolewa na mmoja auawa katika operesheni ya Jeshi kaskazini mwa Nigeria

August 25, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Wanahewa la Nigeria limefanya operesheni ya uokoaji katika Jimbo la Katsina, ambalo linapakana na Niger, kati ya usiku wa Ijumaa, Agosti 22, na asubuhi ya Jumamosi, Agosti 23.…

Uncategorized

🔴MAGAZETI: KILIO, KICHEKO CCM / PACOME, BOYELI WAACHIWA MSALA….AGOSTI 25, 2025

August 25, 2025 mjombazecoder

🔴MAGAZETI: KILIO, KICHEKO CCM / PACOME, BOYELI WAACHIWA MSALA….AGOSTI 25, 2025

Uncategorized

DRC: Mapigano makali kati ya jeshi la Kongo na AFC/M23 yashuhudiwa Kivu Kusini wikendi nzima

August 25, 2025 mjombazecoder

Mapigano hayo yameripotiwa katika eneo la Mwenga, huku mazungumzo ya amani kati ya mamlaka ya Kinshasa na kundi la M23 yakiendelea nchini Qatar hivi sasa. Imechapishwa: 25/08/2025 – 05:39 Dakika…

IDHAA YA DUNIA

Amka Na BBC

August 25, 2025 mjombazecoder

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Uncategorized

Mali: Raia watoroka kwa wingi miji ya jimbo la Ségou iliyoshambuliwa na wanajihadi

August 25, 2025 mjombazecoder

Wakati jeshi la Mali bado halijachukua tena udhibiti wa ngome zake zilizoshambuliwa na wanajihadi wa JNIM katikati mwa nchi siku ya Jumanne, Agosti 19, raia kutoka vijiji jirani, ambao pia…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 25, 2025

August 25, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 25, 2025

IDHAA YA DUNIA

Simulizi ya jasusi wa Marekani ambaye ndege yake ilidunguliwa juu ya anga ya Urusi

August 25, 2025 mjombazecoder

Tarehe 19 Agosti 1960, miaka 65 iliyopita wiki hii, mahakama moja mjini Moscow ilimkabidhi rubani wa Marekani, Francis Gary Powers, kifungo cha miaka 10 baada ya kukamatwa na vikosi vya…

Uncategorized

25.08.2025 Matangazo ya Jioni

August 25, 2025 mjombazecoder

Israel yatuhumiwa kuwalenga wanahabari huko Gaza+++Warohingya wataka wahakikishiwe usalama kurudi kwao+++Hali ya kibinadamu Sudan yazorota kufuatia mashambulizi ya RSF

Uncategorized

Zanzibar – Kisiwa maarufu cha viungo duniani

August 25, 2025 mjombazecoder

25.08.202525 Agosti 2025 Zanzibar inasifika kwa uwepo wa mashamba ya viungo ambapo wageni hujifunza kuhusu karafuu, mdalasini, vanila na viungo vyingine vinavyokifanya kisiwa hicho kuwa kitovu cha biashara ya viungo…

Uncategorized

Utamaduni wa jamii ya Wasuba nchini Kenya

August 25, 2025 mjombazecoder

25.08.202525 Agosti 2025 Jamii ya Wasuba nchini Kenya ni mojawapo ya makabila ya asili yaliyo na historia ya kipekee na tamaduni tajiri, ingawa kwa sasa jamii hiyo inakabiliwa na changamoto…

Uncategorized

25.08.2025 Matangazo ya Mchana

August 25, 2025 mjombazecoder

SK2 / S02S25.08.202525 Agosti 2025 Wanahabari kadhaa wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel+++Jeshi la Urusi ladai kuteka kijiji kingine cha Ukraine kwenye jimbo la Dnipropetrovsk+++Tanzania- Dirisha la fomu za ubunge…

Uncategorized

25.08.2025 Matangazo ya Asubuhi

August 25, 2025 mjombazecoder

DIRA.BZ25.08.202525 Agosti 2025 Katika matangazo yetu ya asubuhi hivi leo utasikia makala zetu za Mbiu ya Mnyonge, Mbio ya Munyonge, Mtu na Mazingira, Vijana Tugutuke na Jukwaa la manufaa. Sikiliza…

Uncategorized

25.08.2025 Taarifa ya Habari Asubuhi

August 25, 2025 mjombazecoder

DIRA.BZ25.08.202525 Agosti 2025 Mashambulizi ya Israel kwenye mji mkuu wa Yemen, Sanaa yauwa watu sita // Rais Zelensky wa Ukraine atoa wito wa mkutano na Rais Putin wa Urusi huku…

IDHAA YA DUNIA

Utapiamlo watishia maisha ya watoto 132,000 Gaza-Ripoti

August 24, 2025 mjombazecoder

Ripoti ya IPC,shirika linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa linalohusika na ufuatiliaji wa usalama wa chakula, linakadiria kuwa “utapiamlo unatishia maisha ya watoto 132,000.

IDHAA YA DUNIA

Vita vya Israel-Iran vyamfukuzisha kazi Mkuu wa Idara ya Ujasusi Marekani

August 24, 2025 mjombazecoder

Luteni Jenerali Jeffery Kruse, ametimuliwa ikiwa ni wiki chache tu baada ya Ikulu ya White House kukosoa ripoti kuhusu athari za mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran ya Juni 22,…

IDHAA YA DUNIA

Israel yaushambulia mji wa Gaza wakati ikijiandaa kuuchukua mji huo

August 24, 2025 mjombazecoder

Ndege na vifaru vimeshambulia sehemu za mji wa Gaza huku mipango ya Israel ya kuliteka eneo kubwa la mijini katika eneo hilo.

Uncategorized

#HABARI: Vyombo vya Usalama Mkoa wa Tabora na Wilaya ya Urambo, vimeanza oparesheni ya kuwasaka popote walipo watu wasiojulikana…

August 24, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Vyombo vya Usalama Mkoa wa Tabora na Wilaya ya Urambo, vimeanza oparesheni ya kuwasaka popote walipo watu wasiojulikana waliomuua mlinzi wa soko la Ussoke, lililopo wilayani Urambo, Bw. Nasoro…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 24, 2025 – RAIS SAMIA ASISITIZA AMANI

August 24, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 24, 2025 – RAIS SAMIA ASISITIZA AMANI

Uncategorized

#HABARI: Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imemteua John Luhende, kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Bukene mkoan…

August 24, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imemteua John Luhende, kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Bukene mkoani Tabora. Luhende ametangazwa kupeperusha bendera hiyo jana Jumamosi Agosti 23,…

Uncategorized

#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe

August 24, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiombewa dua na watoto yatima wa Kituo cha Watoto Yatima Mburahati mara baada ya kuwasili katika ukumbi…

Uncategorized

#HABARI: Aliyekuwa Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo amemshukuru Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt

August 24, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Aliyekuwa Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo amemshukuru Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa imani yake kubwa kwake ikiwemo kumpendekeza na kisha…

Uncategorized

🔴HAPA NA PALE KUTOKA KIGOMA : AGOSTI 24, 2025 – UJENZI WA SOKO WADHITI MAGONJWA YA MLIPUKO

August 24, 2025 mjombazecoder

🔴HAPA NA PALE KUTOKA KIGOMA : AGOSTI 24, 2025 – UJENZI WA SOKO WADHITI MAGONJWA YA MLIPUKO

Uncategorized

Watu kadhaa wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel

August 24, 2025 mjombazecoder

Wakati huo huo, kumeripotiwa pia mashambulizi katika maeneo ya mashariki na kaskazini mwa mji huo wa Gaza katika vitongoji vya Zeitoun, Shejaia na Sabra huku majengo kadhaa yakiripuliwa katika mji…

Uncategorized

Urusi: Nchi za Ulaya zinalenga “kuzuia” mchakato wa amani

August 24, 2025 mjombazecoder

Lavrov amekemea hatua ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ya kuweka masharti na kulazimisha kukutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin, akisisitiza kuwa majaribio hayo yanalenga kuvuruga mchakato wa amani…

Uncategorized

Jeshi la anga la Nigeria lauua magaidi 35 wa Boko Haram

August 24, 2025 mjombazecoder

Ehimen Ejodame, msemaji wa Jeshi la Anga la Nigeria amesema mashambulizi hayo yalilenga majimbo manne ya Kumshe, Borno, Katsina na karibu na mpaka wa Cameroon ambayo yamewezesha pia kuokolewa kwa…

Uncategorized

Khamenei: Raia wa Iran tuungane dhidi ya mipango ya Marekani

August 24, 2025 mjombazecoder

Khamenei ameyatoa matamshi hayo siku ya Jumapili katika msikiti mmoja mjini Tehran, akisisitiza kuwa baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel, maafisa wa Marekani walikutana barani Ulaya ili kujadili serikali…

Uncategorized

#HABARI: Madereva bodaboda jijini Mbeya, wamelalamikia baadhi ya wamiliki wa usafiri huo kuwapa mikataba kandamizi ambayo huwafa…

August 24, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Madereva bodaboda jijini Mbeya, wamelalamikia baadhi ya wamiliki wa usafiri huo kuwapa mikataba kandamizi ambayo huwafanya kutotimiza malengo yao. Madereva bodaboda wamebainisha hayo baada ya kupata fursa ya kukopeshwa…

Uncategorized

#HABARI: Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imetoa ufafanuzi kuhusu mwenendo wa soko la mbaazi duniani,…

August 24, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imetoa ufafanuzi kuhusu mwenendo wa soko la mbaazi duniani, ikieleza mafanikio na changamoto zinazolikumba zao hilo muhimu kwa wakulima wa…

Uncategorized

#NUKUU: “Mungu atapokea maombi yetu, swala zetu, dua zetu, ikiwa nyoyo zetu zina amani, kwasababu ukiomba huna amani hata ile du…

August 24, 2025 mjombazecoder

#NUKUU: “Mungu atapokea maombi yetu, swala zetu, dua zetu, ikiwa nyoyo zetu zina amani, kwasababu ukiomba huna amani hata ile dua utaiweka kinyumenyume………” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…

Uncategorized

🔴TAMASHA LA MICHEZO: WENYEJI CHAN 2024 WAUMALIZA MWENDO ..AGOSTI 24, 2025

August 24, 2025 mjombazecoder

🔴TAMASHA LA MICHEZO: WENYEJI CHAN 2024 WAUMALIZA MWENDO ..AGOSTI 24, 2025

Uncategorized

Hofu ya vita Ulaya yazua wimbi la uandikishaji jeshini

August 24, 2025 mjombazecoder

Shule ya sheria haikumfundisha Constance jinsi ya kufanya mazoezi, kutambua alama za mawasiliano ya redio, au kulala kifudifudi juu ya zege huku akielekeza bunduki yake kwa adui. Badala yake, mwanafunzi…

Uncategorized

Ukraine yaadhimisha miaka 34 ya uhuru wake

August 24, 2025 mjombazecoder

Hayo yanajiri wakati viongozi mbalimbali wa Ulaya wametoa wito wa kusitishwa kwa vita kati ya Urusi na Ukraine ambavyo vimedumu kwa zaidi ya miaka mitatu. Viongozi kadhaa akiwemo Mfalme Charles…

Posts pagination

1 … 624 625 626 … 628

Recent Posts

  • Cyril Ramaphosa amshukuru Putin kwa kurejea kwa Waafrika Kusini walioajiriwa nchini Ukraine
  • Sierra Leone-Guinea: Wanajeshi kumi na sita wa Sierra Leone wakamatwa mpakani
  • Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote
  • Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran
  • Al-Burhan atoa fursa ya msamaha kwa wapiganaji wa RSF watakaoweka silaha zao chini

Recent Comments

No comments to show.

Archives

  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Cyril Ramaphosa amshukuru Putin kwa kurejea kwa Waafrika Kusini walioajiriwa nchini Ukraine

February 25, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Sierra Leone-Guinea: Wanajeshi kumi na sita wa Sierra Leone wakamatwa mpakani

February 25, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Araghchi asisitizia fursa ya kufikia mwafaka na US, kulindwa mamlaka ya nchi kwa gharama yoyote

February 25, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran

February 25, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS