Nangu: Kuna tofauti kubwa kati ya Simba na JKT Tanzania
BEKI wa kati wa Simba aliyepo katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 akiwa na timu ya taifa, Taifa Stars, Wilson Nangu amesema kuna utofauti kubwa ya…
Straika Mkongomani aingia rada za Dodoma
MABOSI wa Dodoma Jiji wameanza maboresho ya kikosi hicho kimya kimya katika dirisha hili dogo linalofunguliwa rasmi leo Januari 1, 2026, ambapo kwa sasa wanakaribia kupata saini ya mshambuliaji nyota…
Tra Bi ajiandaa kusepa Singida Black Stars
BEKI wa kati wa raia wa Ivory Coast anayekipiga Singida Black Stars, Anthony Tra Bi Tra yupo katika hatua za mwisho za kuachana na kikosi hicho dirisha hili dogo la…
Zakaria amtibulia Kennedy Juma singida
UONGOZI wa Singida Black Stars una mpango wa kumtoa kwa mkopo nahodha wa timu hiyo, Kennedy Juma kwenda Mashujaa ambako umemng’oa Abdulmalik Zakaria.
Kelvin Kijili kuibukia TRA United
TRA United imetuma ofa Singida Black Stars ya kumtaka beki wa kulia, Kelvin Kijili, ili kuongeza nguvu ndani ya kikosi hicho kwa ajili ya raundi ya pili msimu huu.
#HABARI: Mwaka 2025 umekuwa wa mafanikio makubwa kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), ambapo kaulimbiu ya “Mpango Umewezekan…
#HABARI: Mwaka 2025 umekuwa wa mafanikio makubwa kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), ambapo kaulimbiu ya "Mpango Umewezekana" imetafsiriwa kwa vitendo kupitia kuimarika kwa hali ya upatikanaji wa nishati nchini.…
Ujenzi wa nyumba za madaktari warahisisha utoaji huduma Kitogani
Tatizo la masafa marefu yaliyokuwa yakiwakabili madaktari na wahudumu wa afya katika utoaji wa...
Mrindoko afariki dunia, Tirdo yamlilia
Profesa Mtambo, amesema taasisi imepata pigo kutokana na kupoteza mchango wa Mrindoko katika...
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limemfikisha Mahakamani Mathias Fabiani John (25), mtumihiwa wa mauaji ya Bw
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limemfikisha Mahakamani Mathias Fabiani John (25), mtumihiwa wa mauaji ya Bw. Juma Samli Napone (42), fundi ujenzi na mkazi wa mtaa Indiani Kota…
Polisi Tanga wajipanga kulinda usalama mkesha wa mwaka mpya
Jeshi la Polisi limewashukuru wakazi wa Mkoa wa Tanga kwa kumaliza mwaka 2025 kwa amani na...
Hukumu kesi ya aliyetoroka bandarini akituhumiwa kusafirisha bangi, Januari 15
Wanadaiwa kutenda kosa hilo Mei 11, 2024 eneo la ukaguzi wa mizigo katika Bandari ya Dar es...
Fundi aliyebomoa ukuta ni miongoni mwa mashahidi 55, kesi kuporomoka jengo Kariakoo
Washtakiwa wanadaiwa kutenda makosa yao kinyume na kifungu 195 na 198 cha Kanuni ya Adhabu...
Wananchi 500 wafanyiwa uchunguzi, matibabu ya moyo bure Arusha
Zaidi ya wananchi 500 wa Mkoa wa Arusha wamenufaika na huduma ya uchunguzi na matibabu bure ya...
Manispaa ya Iringa kutumia Sh800 milioni kujenga Hospitali ya Wilaya
Mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Iringa unaotarajiwa kugharimu zaidi ya Sh800 milioni...
Mkaja wa bibi (au mkaja wa mama) ni zawadi au shukrani inayotolewa kwa mama/bibi (wakunga/wazee wa kike) wa mchumba kwa kumlea n…
Mkaja wa bibi (au mkaja wa mama) ni zawadi au shukrani inayotolewa kwa mama/bibi (wakunga/wazee wa kike) wa mchumba kwa kumlea na kumlea binti/mwanamke aliyekuwa bibi arusi, na ni tofauti…
Vitisho vipya vya Trump dhidi ya Iran; ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa na mkataba wa Umoja wa Mataifa
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu amesema kuwa, vitisho vya Trump dhidi ya Iran ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
Traore, Goita wapiga marufuku Wamarekani kuingia nchi mwao
Serikali ya Mali inaongozwa na Rais wa mpito Assimi Goïta chini ya ikiwa utawala wa kijeshi na...
Kwa Razan mambo sio mambo, Mama Abdulaziz ameshikilia bango, upande mwingine Bi Fatma anakutana na mama mkwe wake (bibi yake Mar…
Kwa Razan mambo sio mambo, Mama Abdulaziz ameshikilia bango, upande mwingine Bi Fatma anakutana na mama mkwe wake (bibi yake Maryam) mambo nayeye yanabadilika. Usikose kutazama UMMY leo saa 1:00…
Bunge la Iran lapongeza kurushwa kwa mafanikio satelaiti tatu katika anga za mbali
Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) imepongeza kurushwa kwa satelaiti tatu zilizotengenezwa zilizotengenezwa na wataalamu wa hapa nchini, na kuitaja hatua hiyo kuwa mafanikio ya kihistoria katika mpango…
Aziza kazi anayo mikononi mwa familia yake ya kikatili
Aziza kazi anayo mikononi mwa familia yake ya kikatili. Analazimika kukutana na watu ambao hafanani nao kitabia. Usikose kutazama 06 of Us kuanzia saa 2:00 usiku ndani ya #AzamTWO
Katika juhudi za kuendelea kukuza zao la kahawa nchini, Bodi ya Kahawa imegawa zaidi ya miche 5,000,000 kwa wakulima wa zao hilo…
Katika juhudi za kuendelea kukuza zao la kahawa nchini, Bodi ya Kahawa imegawa zaidi ya miche 5,000,000 kwa wakulima wa zao hilo mikoa ya Nyanda za juu Kusini wakilenga wakulima…
Zanzibar embarks on the construction of three referral hospitals with staff housing
ZANZIBAR: THE Revolutionary Government of Zanzibar said it has embarked on the construction of three major referral hospitals: the new Mnazi Mmoja Hospital, the Binguni Cancer Treatment Hospital, and a…
Kalesi Bey na Sophia kwa nyakati tofauti wanaomba muungano na Lucas dhidi ya Osman
Kalesi Bey na Sophia kwa nyakati tofauti wanaomba muungano na Lucas dhidi ya Osman. Je, mipango yao itaenda hadi wapi? Usikose kutazama uhondo wa OTTOMAN leo saa 4:00 usiku ndani…
Usikose kutazama THE PRICE leo saa 3:00 usiku, wakati Zein akiendelea kula msoto wa hisia dhidi ya Sarah ambaye hana tena habari…
Usikose kutazama THE PRICE leo saa 3:00 usiku, wakati Zein akiendelea kula msoto wa hisia dhidi ya Sarah ambaye hana tena habari naye. Ni kupitia #AzamTWO pekee.
UN yalaani marekebisho ya sheria yenye lengo la kuzidi kuibana UNRWA
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amelaani kupitishwa na Bunge la Knesset la Israel, tarehe 29 Desemba, kwa marekebisho ya sheria kuhusu kusitishwa kwa shughuli za Shirika la…
WFP: Licha ya kiza kinene teknolojia na ubunifu kusaidia kukabili njaa duniani 2026
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesema ukosefu wa chakula utaendelea kuwa katika viwango vya kutisha katika mwaka ujao wa 2026, huku mamilioni ya watu…
Tunashukuru tumewasili na kupokelewa salama Burundi lakini hali bad oni tete: Mkimbizi Maseka
Kutana na Maseka ambaye ni miongoni mwa makumi ya maelfu ya wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, waliovuka mpaka na kuingia nchi Jirani ya Burundi baada ya ghasia…
FAO yawaletea tija wakulima Shabelle Somalia kwa miundombinu ya maji
Jamii za wakulima katika mkoa wa middle Shabelle, Somalia, zimeathiriwa vibaya na ukame na mafuriko yanayodhoofisha kilimo na uhakika wa chakula. Ili kukabiliana na hili, Shirika la Umoja wa Mataifa…
COVID-19 yaendelea kusabisha vifo Ulaya
Hii leo shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni, WHO, limesema licha ya kwamba ugonjwa wa COVID-19 si tena tishio la afya ya umma duniani, bado virusi vya ugonjwa…
Kusimama kwa Mv Malagarasi kwachochea ujenzi wa daraja
Katika picha hiyo, kijana aliyerekodi video ambaye hakutaja jina lake, alisikika akieleza kuwa...
Chuo Kikuu Mzumbe kampasi ya Tanga kupokea wanafunzi 2026
Hatua hiyo ni baada ya kukamilika kwa ujenzi wa majengo na miundombinu mingine.
Rais Pezeshkian: Iran itatoa jibu kali na la kumjutisha adui
Rais wa Iran amesisitiza kwamba, jibu la Jamhuri ya Kiislamu kwa uchokozi wowote litakuwa kali na litamfanya adui ajute.
Dr Mollel wins Siha Constituency’s parliamentary seat
SANYA JUU: THE Independent National Electoral Commission (INEC) has announced former Deputy Minister of Health, Dr Godwin Mollel, as the winner of the parliamentary seat for Siha Constituency in Kilimanjaro…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara kupitia kitengo cha usalama barabarani limetoa wito kwa madereva wasio na sifa za kisheria kuende…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara kupitia kitengo cha usalama barabarani limetoa wito kwa madereva wasio na sifa za kisheria kuendesha vyombo vya moto kuchukua hatua za kurejea darasani kwa…
Madereva wanaotumia barabara ya Mandela jijini Dar es Salaam wameendelea kulalamikia foleni kubwa inayosababishwa na utaratibu u…
Madereva wanaotumia barabara ya Mandela jijini Dar es Salaam wameendelea kulalamikia foleni kubwa inayosababishwa na utaratibu usio rafiki wa maegesho ya magari ya mizigo yanayoingia na kutoka katika bandari kavu…
Rais Mwinyi aunda tume kutathmini fidia miradi maendeleo
Hatua hiyo inakuja kufuatia kuibuka kwa malalamiko ya wananchi katika maeneo yanakotekelezwa...
Mamlaka ya Udhibiti wa Mbegu Bora nchini, TOSCI, imeanza zoezi la ukaguzi wa mawakala wa pembejeo za kilimo mkoani Rukwa, ambapo…
Mamlaka ya Udhibiti wa Mbegu Bora nchini, TOSCI, imeanza zoezi la ukaguzi wa mawakala wa pembejeo za kilimo mkoani Rukwa, ambapo imechukua hatua ya kumfungia mmoja wa mawakala hao baada…
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt. Bashiru Ally, amesema Serikali ina mpango wa kupanua masoko ya nyama katika soko la kimataifa kwa kuuza tani 50,000 kwa mwaka, kutoka tani 14,000…
LNG, Mahenge Graphite, Kabanga Nickel lure US investors to Tanzania
DAR ES SALAAM: LIQUEFIED Natural Gas (LNG) project, the Kabanga Nickel project, and the Mahenge Graphite project peaked the meeting between the Tanzanian government and the United States of America,…
Tanzania cherishes strategic, infrastructural projects that shaped 2025
DAR ES SALAAM: MEGA strategic and infrastructural projects Tanzania implemented make 2025 a banner in the development sector. The completion of these projects has brought major transformations to Tanzania’s transport…
#HABARI: Waziri Mkuu wa zamani wa Bangladesh Khaleda Zia, ambaye wengi walidhani kuwa angeshinda katika Uchaguzi wa mwaka ujao k…
#HABARI: Waziri Mkuu wa zamani wa Bangladesh Khaleda Zia, ambaye wengi walidhani kuwa angeshinda katika Uchaguzi wa mwaka ujao kuongoza nchi yake kwa mara nyingine tena, amefariki dunia akiwa na…
Promote your country’s beauty, Tanzanian diaspora urged
DAR ES SALAM: THE Chairman of Tanzanians living in Sweden, Norman Jasson has urged all diaspora to build a culture of speaking positively about Tanzania in the countries they live…
Rais wa Somalia: Israel inataka kudhibiti njia za baharini Pembe ya Afrika
Rais wa Somalia kwa mara nyingine amelaani uchokozi wa utawala wa Kizayuni wa kutambua ramsi kujitenga Somaliland na maeneo mengine ya Somalia nakusisitiza kuwa, lengo la Israel ni kudhibiti njia…
Kisu cha ngariba; Vijana 41 waaga dunia Afrika Kusini wakipashwa tohara
Takriban vijana 41 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na taratibu 'zisizofaa' za upashaji tohara nchini Afrika Kusini mwezi Novemba na Desemba mwaka huu unaomalizika wa 2025, mamlaka za nchi hiyo zilitangaza…
Radiamali ya Russia kwa vitisho vipya vya US, Israel dhidi ya Iran
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova amejibu vitisho vya hivi karibuni vilivyotolewa na Rais wa Marekani na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel…
Matumizi nishati safi ya kupikia yafungua fursa mpya za ajira
Imebainika kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia yanaendelea kufungua fursa mbalimbali za...
Karibu kutazama namna Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lilivyotekeleza mipango yake kwa mwaka 2025 kupitia utekelezaji wa mir…
Karibu kutazama namna Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lilivyotekeleza mipango yake kwa mwaka 2025 kupitia utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati na maboresho ya huduma kwa wateja, hatua zilizoimarisha upatikanaji…
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI – 31/12/2025
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI - 31/12/2025
Dr Mwinyi forms a commission to assess the compensation of people affected by the government projects
ZANZIBAR: The President of Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi, has established a commission to review and assess compensation matters following the implementation of the Isles’ government projects in various areas of…
Mechi za makundi AFCON zinakamilika leo Jumatano
Mechi za makundi AFCON zinakamilika leo Jumatano Algeria ameshafuzu hatua ya mtoano anakamilisha ratiba kwa kukipiga na Equatorial Guinea. Sudan na Burkina Faso kila mmoja ana alama tatu. Je, ni…