#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, limewataka wazazi na walezi kuchukua hatua za mapema kwa watoto wao, hususani vijana, pa…
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, limewataka wazazi na walezi kuchukua hatua za mapema kwa watoto wao, hususani vijana, pale wanapoanza kuonyesha dalili za kujihusisha na vitendo vya uhalifu, ili…
#VIDEO: Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt
#VIDEO: Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na majirani zake kabla ya kwenda kwenye majukumu yake. "Nikiwa naelekea kwenye shughuli za kiserikali, nilipata pia…
#HABARI: Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe
#HABARI: Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, amewataka wananchi kuepuka kushiriki katika maandamano yanayoweza kuchochea vurugu na kuhatarisha amani ya nchi. Amesema ni muhimu kwa Watanzania…
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU – 28 NOVEMBA 2025 – TRENI YA SGR YA MIZIGO KUANZA FREBRUARI 2026
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU - 28 NOVEMBA 2025 - TRENI YA SGR YA MIZIGO KUANZA FREBRUARI 2026
Naibu Waziri aanzia kazi mtandaoni, apewa mambo saba
Siku 12 baada ya kuteuliwa na kuapishwa, mawaziri na naibu wao kila mmoja kwa kasi na njia...
Tanzania, DRC zaimarisha masoko biashara ya nafaka
Serikali ya Tanzania imeendelea kupanua wigo wa masoko ya mazao ya nafaka katika ukanda wa...
Uturuki, Ujerumani kuimarisha ushirikiano: Fidan
Katika mazungumzo yaliyofanyika Berlin, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Hakan Fidan, amesema kuna nia thabiti ya kisiasa kuendeleza uhusiano wa pande mbili na kufufua mchakato wa Uturuki kujiunga…
Heche, Mnyika walivyopangua kifungo madai ya kuidharau Mahakama
Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiwamo Makamu Mwenyekiti - Bara...
Mashujaa yabanwa nyumbani, Johola azidi kufunika
MAAFANDE wa Mashujaa ya Kigoma leo jioni ilishindwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kubanwa mbavu nyumbani na Dodoma Jiji na kutoka suluhu, huku kipa wa…
Serikali yaibua mkakati mpya kwa vijana
Wakati Serikali ikitangaza mikakati nane ya kukuza uwekezaji katika mwaka 2025/2026, vijana...
Tanzania yapuuzia vitisho vya Umoja wa Ulaya
Waziri wa mambo ya nje Thabit Kombo amesema Tanzania haitakabiliwa na njaa wala kusimama kwa maendeleo licha ya EU kusitisha misaada, kwani ina vyanzo vingi vya mapato.
Aziz KI na wenzake wakiandaa nondo za mwisho kuikabili Azam CAFCC
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
#KIPIMAJOTO: Vita kiuchumi kikanda na kimataifa
#KIPIMAJOTO: Vita kiuchumi kikanda na kimataifa. Je, watanzania wajipange vipi kukabiliana nayo ngazi zote?
Zaka Zakazi: Kuna Aziz KI na wengine, lakini tutakabiliana nao
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Wakazi Mbezi washtaki kwa Waziri Aweso maji kutoka usiku wakiwa wamelala
Wananchi wa Kata ya Mbezi, hususani maeneo ya Msakuzi, Mpiji Magohe, Msumi na Saranga...
Sonko asema mapinduzi ya Guinea Bissau sio halali
Waziri Mkuu wa Senegal Ousmane Sonko amesema mapinduzi ya wiki hii nchini Guinea-Bissau sio halali na akataka mchakato wa uchaguzi kuruhusiwa kuendelea, hatua inayoongeza sauti ya kikanda dhidi ya mapinduzi…
Ujerumani yaishinikiza Ubelgiji kutumia mali ya Urusi
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema leo kuwa anaishinikiza serikali ya Ubelgiji kufikia makubaliano na Umoja wa Ulaya ya kutumia mali ya Urusi iliyofungiwa kuifadhili Ukraine.
Papa Leo akutana na viongozi wa Kikristo Mashariki ya Kati
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo wa kumi na nne, amelaani ghasia zinazotokea kwa jina la dini wakati wa tukio la kihistoria na viongozi wa Kikristo kutoka Mashariki…
Tunisia yawahukumu viongozi wa upinzani hadi miaka 45 jela
Mahakama ya rufaa ya Tunisia imewahukumu vifungo vya hadi miaka 45 jela viongozi wa upinzani, wafanyabiashara na wanasheria, hatua inayotajwa kuwa ishara ya kuongezeka kwa utawala wa kimabavu wa Rais…
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema taasisi zote zilizo chini ya wizara yake zinapaswa kujikita kwenye uchumi …
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema taasisi zote zilizo chini ya wizara yake zinapaswa kujikita kwenye uchumi shindani wa viwanda kwa kuongeza ubunifu na ufanisi, ili kuzalisha bidhaa…
UDSM yakoleza kasi elimu kidijitali
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeanza safari ya kutekeleza mkakati wa kutoa elimu...
Serikali yazungumza na jumuiya ya kimataifa kuhusu Oktoba 29
Tanzania imewaeleza washirika wake wa kimataifa kuwa itaendeleza kwa nguvu mpya ushirikiano wa...
TMA yatangaza ongezeko la joto katika mikoa minne
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari kuhusu kuongezeka kwa kiwango cha joto...
Tanzania receives over 152,000 tourists in 21 days of November
ARUSHA, TANZANIA has received 152,223 domestic and international tourists just three weeks of November. The Minister for Natural Resources and Tourism, Dr Ashatu Kijaji who visited the Ngorongoro Conservation Area…
Kampeni za urais Uganda zavutia umati mkubwa wa watu
Kampeni za urais nchini Uganda zinazidi kupamba moto huku umati mkubwa ukijitokeza kuwafuatilia Rais Yoweri Museveni na mpinzani wake mkuu Robert Kyagulanyi almaarufu Bobi Wine. Rangi za njano na nyekundu…
#HABARI: Serikali imeendelea kuanzisha Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi, kuanzia ngazi ya Vijiji/Mtaa, Kata, Wilaya na …
#HABARI: Serikali imeendelea kuanzisha Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi, kuanzia ngazi ya Vijiji/Mtaa, Kata, Wilaya na Mkoa ambapo katika kipindi cha mwaka 2020 hadi 2025, jumla ya Majukwaa 15,147 yameanzishwa,…
Trump: Tutawakataa wahamiaji kutoka nchi masikini
Rais wa Marekani Donald Trump amesema atasimamisha kwa muda wageni kutokea nchi alizoziita "masikini" kuhamia huko, siku moja baada ya raia wa Afganistan kudaiwa kuwapiga risasi wanajeshi wawili wa ulinzi…
Prof Mkumbo atoa maagizo TISEZA, ataka mapinduzi kiuchumi
DAR ES SALAAM: WIZARA ya Nchi Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji imeiagiza Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi (TISEZA) kuhakikisha inavutia uwekezaji wenye thamani ya Dola…
#HABARI: Rais William Ruto amewakejeli viongozi wa upinzani kwa kuwabwaga katika chaguzi ndogo zilizokamilika jana katika maeneo…
#HABARI: Rais William Ruto amewakejeli viongozi wa upinzani kwa kuwabwaga katika chaguzi ndogo zilizokamilika jana katika maeneo bunge tofauti nchini Kenya. Wagombea wa vyama vya UDA na ODM wakiibuka na…
Uturuki inapaswa kujumuishwa katika mipango ya ulinzi ya EU kama mshirika wa kimkakati: Ujerumani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Wadephul, ameahidi kuimarisha ushirikiano na Ankara, akisema mpango wa EU wa ununuzi wa pamoja wa vifaa vya ulinzi wenye thamani ya bilioni $173…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MOROGORO – 28 NOVEMBA 2025- WENYEVITI WATAKIWA KUPISHA UCHUNGUZI
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MOROGORO - 28 NOVEMBA 2025- WENYEVITI WATAKIWA KUPISHA UCHUNGUZI
Putin asema atasitisha vita iwapo Ukraine itawaondoa wanajeshi wake
Rais wa Urusi, Vladmir Putin, sasa anasema atasitisha vita ya Ukraine ikiwa utawala wa Kiev utawaondoa wanajeshi wake toka kwenye miji yote inayodaiwa na Moscow, akionya kuwa tofauti na hapo…
Mabasi ya mwendokasi 50 kuwasili mwezi ujao, huduma kurejea kesho
Wakati Serikali ikianza vikao na wadau vya kurejesha huduma za mabasi yaendayo haraka katika...
#HABARI: Watu wasiojulikana wamevamia Makaburi ya Dodoma, yaliyoko katika Mtaa wa Mageuzi, Kata ya Ngokolo, Manispaa ya Shinyang…
#HABARI: Watu wasiojulikana wamevamia Makaburi ya Dodoma, yaliyoko katika Mtaa wa Mageuzi, Kata ya Ngokolo, Manispaa ya Shinyanga na kuvunjavunja vigae na kuiba clips zinazoshikilia vigae vilivyowekwa kuimarisha na kupendezesha…
Saccos ya Polisi yatajwa kuwasaidia watendaji kujiepusha na rushwa
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Camillus Wambura amesema kuanzishwa kwa Chama cha Kuweka na...
Prof Mkumbo tasks TISEZA to generate 15bn US dollars in revenue
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority (TISEZA) has inaugurated its Board of Directors in a move aimed to fast-tracking the improvement of the country’s business…
Binti wa Zuma ajiuzulu ubunge Afrika Kusini
Zuma-Sambudla hajatoa ufafanuzi wowote hadharani kuhusu madai ya kuwarubuni watu kuenda kupigana nje ya nchi.
Tunisia: Wanasiasa wa upinzani wahukumiwa kifungo cha hadi miaka 45 jela
Wanasiasa karibu 40 wa upinzani nchini Tunisia wamehukumiwa kifungo cha miaka hadi 45 jela kwa kosa la kuhujumu usalama wa nchi. Imechapishwa: 28/11/2025 – 15:24Imehaririwa: 28/11/2025 – 15:33 Dakika 1…
Watumishi waliofukuzwa kazi, wakakata rufaa, hii habari njema kwao
Tume ya Utumishi wa Umma imepanga kufanya mkutano wa pili katika mwaka wa fedha 2025/26 kwa...
Vijana wasomi wakumbushwa kuwa na wazalendo
Serikali imewataka wahitimu wa vyuo vikuu kuonyesha mfano wa moyo wa uzalendo katika nchi yao...
Mwendokasi warejea Ubungo kwenda mjini
DAR ES SALAAM: WAKALA wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es salaam (DART) imerejesha huduma za usafiri wa umma katika awamu ya kwanza, kuanzia Ubungo Terminal kuelekea Gerezani, Kivukoni na Muhimbili.…
TIA Mwanza yatakiwa kuchangamkia fursaÂ
MWANZA: WAHITIMU wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Kampasi ya Mwanza wametakiwa kuchangamkia na kutumia fursa zilizopo katika Mkoa wa Mwanza ili kujiletea maendeleo na kuchangia katika ustawi wa Taifa.…
Watumishi TCAA wasifiwa baraza lenye viwango
DAR ES SALAAM: Watumishi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), wamepongezwa kwa kuendesha Baraza la Wafanyakazi lenye tija ambalo ni kichocheo muhimu cha maamuzi makubwa ya kuboresha huduma…
GSM yaweka rekodi usafirishaji
DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya GSM Group imeingia hatua mpya ya kihistoria baada ya kupokea magari 100 ya kusafirishia mafuta kutoka kampuni ya malori Sino truck Tanzania hatua inayotajwa kuongeza…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imeendelea na juhudi za kuboresha huduma na kuongeza uwazi katika masuala ya map…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imeendelea na juhudi za kuboresha huduma na kuongeza uwazi katika masuala ya mapato, ambapo kupitia mkutano maalum uliowakutanisha viongozi wa wafanyabiashara, wawakilishi…
Rais Trump anapanga kuwazuia raia kutoka nchi zinazoendelea kuingia Marekani
Rais wa Donald Trump amesema anapanga kuzuia raia kutoka nchi zinazoendelea kuingia nchini Marekani, siku moja baada ya raia wa Afghanistan kudaiwa kuwapiga risasi wanajeshi wawili jijini Washington. Imechapishwa: 28/11/2025…
Kocha Man United kuondoa watatu Januari 2026
KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim yupo tayari kuruhusu wachezaji watatu kuondoka dirisha lijalo la usajili la Januari.
Jumuiya ya EAC yahairisha kikao cha marais kilichopangwa mwezi huu
Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC imeahirisha kikao cha marais kilichopangwa kufanyika mwezi huu hadi Januari mwakani. Imechapishwa: 28/11/2025 – 14:39 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma yanayofuata…
PSG kuiharibia Barcelona kwa Rashford
LICHA ya kuonyesha nia ya kuendelea kusalia Barcelona na kusaini mkataba wa kudumu, ripoti zinadai Paris Saint-Germain imeingia kwenye kinyang’anyiro cha kumsajili mshambuliaji Marcus Rashford dirisha lijalo, jambo ambalo linaweza…
DRC: Maswali yaibuka kuhusu matumizi ya bajeti ya FARDC
Nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo maswali mengi yameibuliwa kuhusu kuongezeka kwa matumizi ya bajeti iliyotolewa katika mfuko wa serikali ili kugharamia operesheni kadhaa za kijeshi tangu kuzuka kwa waasi…