🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI…NOVEMBA 29, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI...NOVEMBA 29, 2025
LEO, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania inafanya mkutano wake wa 12
LEO, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania inafanya mkutano wake wa 12. Mkutano huu utaanza saa 2:00 asubuhu na kuruka mbashara kupitia AzamSports2HD. #TPLB #Azamtvsports (Feed generated with FetchRSS)
Iran yasusia droo ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 kufuatia kukataliwa viza na Marekani
Shirikisho la Soka la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (FFIRI) limetangaza kuwa halitohudhuria droo ya Kombe la Dunia FIFA 2026 wiki ijayo mjini Washington, baada ya Marekani kukataa kutoa viza…
Kwa kupiga marufuku shughuli za kundi la ‘Palestine Action’, Uingereza ni mtetezi kweli wa uhuru wa kutoa maoni?
Kundi linalolitetea taifa madhulumu la Palestina nchini Uingereza liitwalo 'Palestine Action' limesema, kupigwa marufuku uendeshaji wa shughuli zake na serikali ya London ni hatua ya kidikteta.
Kwa kupiga marufuku shughuli za kundi la ‘Palestine Action’, hivi kweli UK ni mtetezi wa uhuru wa kutoa maoni?
Kundi linalolitetea taifa madhulumu la Palestina nchini Uingereza liitwalo 'Palestine Action' limesema, kupigwa marufuku uendeshaji wa shughuli zake na serikali ya London ni hatua ya kidikteta.
Jumamosi, 29 Novemba, 2025
Leo ni Jumamosi mwezi 8 Mfunguo Tisa Jamadithani 1447 Hijria ambayo inasadifiana na 29 Novemba 2025 Miladia.
‘Tanzania, partners stay united’
DAR ES SALAAM: TANZANIA and the diplomatic corps accredited to the country have reaffirmed their continuous commitment to deepening cooperation and strengthening the bonds of mutual partnership. Minister for Foreign…
Matangazo ya Jioni 29.11.2025
Muhtasari: Trump aonya juu ya zingatio la kufungwa kabisa kwa anga ya Venezuela----Ujumbe wa Ukraine njiani kuelekea Washington kwa mazungumzo ya kumaliza vita-----Idadi ya vifo kutokana na mafuriko na maporomoko…
Matangazo ya Mchana 29.11.2025
Urusi yaushambulia mji wa Kyiv kwa makombora na droni mapema leo asubuhi.+++Marais wa Kongo na Rwanda kusaini makubaliano ya amani nchini Marekani +++Safari za ndege duniani zatatizika kufuatia tahadhari ya…
Rapid bus services back on route
DAR ES SALAAM: DAR Rapid Transit Agency (DART) has announced the resumption of public transport services starting today, beginning with phase one routes from Ubungo Terminal to Gerezani, Kivukoni and…
#SerieA Como, Como, Como…..!!!
#SerieA Como, Como, Como…..!!! Nimewaita mara tatu…!!! FT: Como 2-0 Sassuolo Laliga inaendelea LIVE #ZBC2 #SerieA #LigiKuuItalia #SerieAUpdates #Sassuolo #Como #ComoSassuolo (Feed generated with FetchRSS)
Uturuki yachaguliwa tena katika Baraza la Kimataifa la Masuala ya Bahari la Umoja wa Mataifa: wizara
Matokeo chanya ya uchaguzi yanasisitiza nafasi ya kuaminika ya Ankara katika usalama wa baharini, usafirishaji na huduma za bandari, kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki.
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 28 NOVEMBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 28 NOVEMBA 2025
Vijana wanaofanya shughuli mbalimbali za uzalishaji mali katika maeneo ya Soko la Bombambili na stendi ya magari ya Ruhuwiko man…
Vijana wanaofanya shughuli mbalimbali za uzalishaji mali katika maeneo ya Soko la Bombambili na stendi ya magari ya Ruhuwiko manispaa ya Songea wamewatuhumu watendaji wanaosimamia utolewaji wa mikopo ya asilimia…
Wahitimu zaidi ya 200 wa ngazi mbalimbali za kozi za kitaaluma za maji wamehakikishiwa nafasi za ajira sambamba na ushirikiano w…
Wahitimu zaidi ya 200 wa ngazi mbalimbali za kozi za kitaaluma za maji wamehakikishiwa nafasi za ajira sambamba na ushirikiano wa kikazi na serikali kupitia wizara ya maji hususani kwenye…
Azam FC hesabu bado hazijakubali
ZANZIBAR; WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano Kombe la Shirikisho Afrika, timu ya Azam FC, imekubali kipigo cha bao 0-1 kwa Wydad AC ya Morocco kwenye Uwanja wa New Amaan Complex…
“Katika matumizi ya uwekezaji katika nchi yetu, Mataifa mengi yanataka kuingia na kuchukua rasilimali hizi bure kwa kigezo cha k…
"Katika matumizi ya uwekezaji katika nchi yetu, Mataifa mengi yanataka kuingia na kuchukua rasilimali hizi bure kwa kigezo cha kwamba Teknolojia yetu haitoshi"Nathaniel Maseka - Mchambuzi wa Masuala ya Uchumi…
Umoja wa Afrika umesitisha uanachama wa Guinea-Bissau kufuatia mapinduzi ya kijeshi
Jeshi la Guinea-Bissau limemteua Jenerali Horta Inta-A kama Rais wa mpito wa nchi hiyo siku ya Alhamisi.
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na Mabalozi, Wana…
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na Mabalozi, Wanadiplomasia wanaowakilisha nchi na taasisi mbalimbali duniani ambapo amewahakikishia kuwa nchi iko…
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu, Reuben Kwagilwa,…
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu, Reuben Kwagilwa, Leo Novemba 28.2025, amefanya ziara katika Halmashauri ya Morogoro na kutembelea Mradi…
“Unajua ushindani wa kibiashara ….nipale ambapo uwanja unakuwa upo ‘Fair’ kwamba kila mtu anaweza kufanya Biashara kulingana n…
"Unajua ushindani wa kibiashara ....nipale ambapo uwanja unakuwa upo 'Fair' kwamba kila mtu anaweza kufanya Biashara kulingana na taratibu mbazo zimewekwa, lakini inakuwa pale ambapo kunatokea vizuizi" Walter Nguma -…
Yanga yawatuliza Waarabu kwao
ALGERIA; MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A kati ya JS Kabyllie ya Algeria na Yanga ya Dar es Salaam umemalizika muda mfupi uliopita nchini Algeria kwa matokeo ya…
Mke wa Rais wa Uturuki Emine Erdogan ahimiza hatua za kimataifa kuhusu chakula, upotevu wa maji
Mke wa Rais wa Uturuki Emine Erdogan pia anasifu vuguvugu la Kutokuwepo kwa Taka - mpango bora wa mazingira ambao ameupigia debe - akiuelezea kama "fomula kali" ya kupunguza taka…
Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (Dart) ametangaza kurejeshwa kwa shughuli za usafirishaji kwa barabara ya Morogoro kuanzia kitu…
Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (Dart) ametangaza kurejeshwa kwa shughuli za usafirishaji kwa barabara ya Morogoro kuanzia kituo kikuu cha Ubungo kwenda Kivukoni gerezani na Muhimbili. #AzamTVUpdates Mhariri | John…
Vijiji vitatu vilivyopo katika wilaya ya Nkasi, vimeanza kunufaika na Mpango wa Matumizi bora ya ardhi kwa kurejeshewa maeneo y…
Vijiji vitatu vilivyopo katika wilaya ya Nkasi, vimeanza kunufaika na Mpango wa Matumizi bora ya ardhi kwa kurejeshewa maeneo yao baada ya mamlaka husika kupitia na kuhakiki upya mipaka ya…
🔴#KIPIMAJOTO: VITA KIUCHUMI KIKANDA NA KIMATAIFA
🔴#KIPIMAJOTO: VITA KIUCHUMI KIKANDA NA KIMATAIFA. JE, WATANZANIA WAJIPANGE VIPI KUKABILIANA NAYO NGAZI ZOTE?
Fuatilia simulizi ya Tumaini Mfinanga, kijana wa miaka 28, ambaye mwaka 2018 alihukumiwa kifungo cha miaka 60 gerezani baada ya …
Fuatilia simulizi ya Tumaini Mfinanga, kijana wa miaka 28, ambaye mwaka 2018 alihukumiwa kifungo cha miaka 60 gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kubaka na kumpa ujauzito mwanafunzi. Kwa…
Serikali imeeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kutokupata athari za moja kwa moja endapo Bunge la Ulaya litapitisha azimio la k…
Serikali imeeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kutokupata athari za moja kwa moja endapo Bunge la Ulaya litapitisha azimio la kusitisha misaada kwa Tanzania, kwa kuwa fedha zinazojadiliwa ni za…
Waziri wa Maji, Juma Aweso ametengua nafasi ya Meneja wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) wa Wil…
Waziri wa Maji, Juma Aweso ametengua nafasi ya Meneja wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) wa Wilaya ya Kibamba kutokana na tuhuma za kutofanya…
RSF nchini Sudan watuhumiwa kuigeuza hospitali ya Kordofan Magharibi kuwa kambi ya kijeshi
Kundi la Madaktari nchini Sudan limesema kwamba wapiganaji wa RSF wameigeuza Hospitali ya Al-Nuhud kuwa kituo cha kijeshi, hatua iliyowalazimu wahudumu wa afya kukimbia na kuwaacha raia bila huduma muhimu.
#HABARI: Benki ya NMB, imeendelea kushirikiana na Serikali, kupitia mradi wa ongeza thamani katika zao la Korosho kwa kutoa mash…
#HABARI: Benki ya NMB, imeendelea kushirikiana na Serikali, kupitia mradi wa ongeza thamani katika zao la Korosho kwa kutoa mashine 12 kwa wabanguaji wadogo wa zao hilo Mkuranga, mkoani Pwani,…
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, limewataka wazazi na walezi kuchukua hatua za mapema kwa watoto wao, hususani vijana, pa…
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, limewataka wazazi na walezi kuchukua hatua za mapema kwa watoto wao, hususani vijana, pale wanapoanza kuonyesha dalili za kujihusisha na vitendo vya uhalifu, ili…
#VIDEO: Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt
#VIDEO: Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na majirani zake kabla ya kwenda kwenye majukumu yake. "Nikiwa naelekea kwenye shughuli za kiserikali, nilipata pia…
#HABARI: Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe
#HABARI: Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, amewataka wananchi kuepuka kushiriki katika maandamano yanayoweza kuchochea vurugu na kuhatarisha amani ya nchi. Amesema ni muhimu kwa Watanzania…
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU – 28 NOVEMBA 2025 – TRENI YA SGR YA MIZIGO KUANZA FREBRUARI 2026
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU - 28 NOVEMBA 2025 - TRENI YA SGR YA MIZIGO KUANZA FREBRUARI 2026
Naibu Waziri aanzia kazi mtandaoni, apewa mambo saba
Siku 12 baada ya kuteuliwa na kuapishwa, mawaziri na naibu wao kila mmoja kwa kasi na njia...
Tanzania, DRC zaimarisha masoko biashara ya nafaka
Serikali ya Tanzania imeendelea kupanua wigo wa masoko ya mazao ya nafaka katika ukanda wa...
Uturuki, Ujerumani kuimarisha ushirikiano: Fidan
Katika mazungumzo yaliyofanyika Berlin, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Hakan Fidan, amesema kuna nia thabiti ya kisiasa kuendeleza uhusiano wa pande mbili na kufufua mchakato wa Uturuki kujiunga…
Heche, Mnyika walivyopangua kifungo madai ya kuidharau Mahakama
Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiwamo Makamu Mwenyekiti - Bara...
Mashujaa yabanwa nyumbani, Johola azidi kufunika
MAAFANDE wa Mashujaa ya Kigoma leo jioni ilishindwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kubanwa mbavu nyumbani na Dodoma Jiji na kutoka suluhu, huku kipa wa…
Serikali yaibua mkakati mpya kwa vijana
Wakati Serikali ikitangaza mikakati nane ya kukuza uwekezaji katika mwaka 2025/2026, vijana...
Tanzania yapuuzia vitisho vya Umoja wa Ulaya
Waziri wa mambo ya nje Thabit Kombo amesema Tanzania haitakabiliwa na njaa wala kusimama kwa maendeleo licha ya EU kusitisha misaada, kwani ina vyanzo vingi vya mapato.
Aziz KI na wenzake wakiandaa nondo za mwisho kuikabili Azam CAFCC
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
#KIPIMAJOTO: Vita kiuchumi kikanda na kimataifa
#KIPIMAJOTO: Vita kiuchumi kikanda na kimataifa. Je, watanzania wajipange vipi kukabiliana nayo ngazi zote?
Zaka Zakazi: Kuna Aziz KI na wengine, lakini tutakabiliana nao
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Wakazi Mbezi washtaki kwa Waziri Aweso maji kutoka usiku wakiwa wamelala
Wananchi wa Kata ya Mbezi, hususani maeneo ya Msakuzi, Mpiji Magohe, Msumi na Saranga...
Sonko asema mapinduzi ya Guinea Bissau sio halali
Waziri Mkuu wa Senegal Ousmane Sonko amesema mapinduzi ya wiki hii nchini Guinea-Bissau sio halali na akataka mchakato wa uchaguzi kuruhusiwa kuendelea, hatua inayoongeza sauti ya kikanda dhidi ya mapinduzi…
Ujerumani yaishinikiza Ubelgiji kutumia mali ya Urusi
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema leo kuwa anaishinikiza serikali ya Ubelgiji kufikia makubaliano na Umoja wa Ulaya ya kutumia mali ya Urusi iliyofungiwa kuifadhili Ukraine.
Papa Leo akutana na viongozi wa Kikristo Mashariki ya Kati
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo wa kumi na nne, amelaani ghasia zinazotokea kwa jina la dini wakati wa tukio la kihistoria na viongozi wa Kikristo kutoka Mashariki…
Tunisia yawahukumu viongozi wa upinzani hadi miaka 45 jela
Mahakama ya rufaa ya Tunisia imewahukumu vifungo vya hadi miaka 45 jela viongozi wa upinzani, wafanyabiashara na wanasheria, hatua inayotajwa kuwa ishara ya kuongezeka kwa utawala wa kimabavu wa Rais…