Tetesi za soka Ulaya Jumanne: Cristiano Ronaldo kusitisha mgomo wake Saudia
Cristiano Ronaldo anatazamiwa kurejea Saudi Arabia, mabadiliko katika chumba cha baraza la Barcelona huenda yakaamua iwapo Marcus Rashford atasalia Uhispania, na Zinedene Zidane huenda akarejea Real Madrid.
Lavrov: Kadhia ya Epstein imedhihirisha sura halisi ya ‘kuabudu shetani’ ya watu mashuhuri wa Magharibi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, mtindo mchafu wa maisha wa mfadhili na mhalifu wa vitendo vya ngono wa Marekani Jeffrey Epstein pamoja na tapo lake…
Lavrov: Kadhia ya Epstein imedhihirisha sura halisi ya ‘kuabudu shetani’ ya watu muhimu wa Magharibi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, mtindo mchafu wa maisha wa mfadhili na mhalifu wa vitendo vya ngono wa Marekani Jeffrey Epstein pamoja na tapo lake…
Lavrov: Kadhia ya Epstein imedhihirisha sura halisi ya ‘ushetani’ ya watu muhimu wa Magharibi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, mtindo mchafu wa maisha wa mfadhili na mhalifu wa vitendo vya ngono wa Marekani Jeffrey Epstein pamoja na tapo lake…
Siku 100 za Rais Samia zenye uzuri wa simanzi
Makala hii haizitazami siku 100 hizi kwa macho ya sifa wala lawama, bali kwa mizani ya uhalisia. Ni jaribio kuelewa kwa nini siku 100 za Rais Samia zinaweza kuitwa zenye…
Jumanne, 10 Februari, 2026
Leo ni Jumanne tarehe 21 Sha'ban 1447 Hijria, sawa na tarehe 10 Februari 2026.
Kuungana makundi ya Kipalestina dhidi ya njama za utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi
Makundi ya mapambano ya ukombozi ya Palestina yamesisitiza ulazima wa kukabiliana na mipango ya Wazayuni wenye misimamo mikali katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Rais Pezeshkian: Mazungumzo ya Iran na Marekani ni ‘fursa nzuri’ ya kutatua suala la nyuklia
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Marekani na Iran yanatoa fursa nzuri ya kufikia suluhu “inayoridhisha pande zote ” kuhusu suala…
Zambia yaripoti visa 20 vipya vya kipindupindu ndani ya saa 24
Zambia imeripoti visa 20 vipya vya kipindupindu katika kipindi cha saa 24 zilizopita hadi Jumatatu, huku mji mkuu Lusaka ukichangia visa 11 kati ya hivyo.
Somalia: Israel kuitambua ‘Somaliland’ ni ukiukaji wa sheria za kimataifa
Serikali ya Somalia imeendelea kukosoa vikali uamuzi wa utawala haramu wa Israel wa kutambua kama nchi eneo la Somalia lililojitenga na kujiita Somaliland, ikisema kuwa hatua hiyo ni ukiukaji wa…
Watu 21 wauawa katika hujuma ya waasi wa ADF nchini DRC
Takriban watu 21 wameuawa katika shambulio la hivi karibuni linalohusishwa na waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), afisa mmoja amesema Jumatatu.
Huyu naye kaharibu mipango
Huyu naye kaharibu mipango (Feed generated with FetchRSS)
MKUTANO MKUU CAF KUFANYIKA TANZANIA: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema kufanyika kwa Mkutano M…
MKUTANO MKUU CAF KUFANYIKA TANZANIA: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa CAF, katika ardhi ya Tanzania, itasaidia kupata ushirikiano kati ya…
MASHABIKI AZAM FC: “Tunakwenda kumuua Wydad, tupo zetu robo fainali”
MASHABIKI AZAM FC: “Tunakwenda kumuua Wydad, tupo zetu robo fainali” Mashabiki Azam FC hawana wasiwasi juu ya timu yao kutinga robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC). Shabiki mwingine…
Simulizi ya Isrey Athuman, binti mwenye miaka 26 ambaye ameishi na kifafa kwa zaidi ya miaka 10
Simulizi ya Isrey Athuman, binti mwenye miaka 26 ambaye ameishi na kifafa kwa zaidi ya miaka 10. Takwimu zinaonyesha kuwa takriban watu milioni 50 duniani kote wanaishi na ugonjwa wa…
Wazazi wa wanafunzi wa shule ya msingi Buyuni, iliyopo wilayani Chakechake, Pemba, wameiomba Wizara ya Elimu kuwabadilishia mwal…
Wazazi wa wanafunzi wa shule ya msingi Buyuni, iliyopo wilayani Chakechake, Pemba, wameiomba Wizara ya Elimu kuwabadilishia mwalimu mkuu wa shule hiyo kwa madai kuwa hana ushirikiano na wazazi na…
#HABARI: Mchungaji Rose Masesa, dada mkubwa wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amemuomba Rais Dkt
#HABARI: Mchungaji Rose Masesa, dada mkubwa wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amemuomba Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuangalia upya kesi ya uhaini inayomkabili mdogo wake. Akizungumza leo Februari…
SIMBA SC: “Mashabiki wetu wasiingie kwenye malumbano”
SIMBA SC: “Mashabiki wetu wasiingie kwenye malumbano” Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amewaomba mashabiki wa timu hiyo kuwa watulivu nyakati hizi ili kikosi hicho kiweze kufanya…
MASHABIKI SIMBA: “Alikuwa amechelewa kuja Simba”
MASHABIKI SIMBA: “Alikuwa amechelewa kuja Simba” Mashabiki wa Simba waonesha kukoshwa na viwango vya wachezaji wao wapya waliowasajili katika kipindi cha dirisha dogo. Mashabiki hao wanasema wanamsubiri kwa hamu nyota…
Afrika Kusini imetangaza uamuzi mzito wa kisera na kiusalama, kuanza kuwaondoa wanajeshi wake waliokuwa wakihudumu chini ya ujum…
Afrika Kusini imetangaza uamuzi mzito wa kisera na kiusalama, kuanza kuwaondoa wanajeshi wake waliokuwa wakihudumu chini ya ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya…
Wahenga walishasema wivu ni kidonda😂😅
Wahenga walishasema wivu ni kidonda😂😅 #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
Tafiti zinaonyesha kuwa matokeo duni ya mwanafunzi ni dalili ya changamoto zilizoanza mapema, wakati wa kumjengea maarifa ya msi…
Tafiti zinaonyesha kuwa matokeo duni ya mwanafunzi ni dalili ya changamoto zilizoanza mapema, wakati wa kumjengea maarifa ya msingi. Ili taifa lipate mafanikio ya kweli, ni lazima kuwekeza sasa katika…
🔴#DAKIKA45 NA HASSAN SAID – MKURUGENZI MKUU REA …..FEBRUARI 09, 2026
🔴#DAKIKA45 NA HASSAN SAID - MKURUGENZI MKUU REA .....FEBRUARI 09, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Ikiwa leo ni siku ya kwanza tangu kuzinduliwa kwa Soko la Kariakoo na Rais Samia Suluhu Hassan, wafanyabiashara wamekuwa na heka…
Ikiwa leo ni siku ya kwanza tangu kuzinduliwa kwa Soko la Kariakoo na Rais Samia Suluhu Hassan, wafanyabiashara wamekuwa na hekaheka za kujipanga kuingia na kufanya shughuli zao. Katika hatua…
Mkewe Askofu Kiengei aonekana akiwa katika maombi mazito wakati wa ibada ya kanisani
Mchungaji Joy Benson amevuta mioyo ya wengi katika maombi wakati wa ibada ya Jumapili. Mke huyo wa Askofu Kiengei amewatia watu moyo kwa imani yake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan @samia_suluhu_hassan , akizungumza mara baada ya kuwaapisha viongoz…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan @samia_suluhu_hassan , akizungumza mara baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali wateule. Miongoni mwa viongozi walioapishwa ni pamoja na Dkt Fabian Madele…
Azam TV’s video
Katika kuhakikisha kunakuwepo suluhu ya kudumu ya utatuzi wa changamoto ya vituo vya kujazia gesi, Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji kupitia ubia kati…
Pedro hashikiki Ligi Kuu, atwaa tena tuzo
Tuzo hiyo ni ya pili mfululizo kwa Pedro kwani ndiye aliibuka mshindi kwa tuzo za mwezi Desemba.
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA AHUHURI – 9/02/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA AHUHURI - 9/02/2026
Wachuuzi wavamia vizimba Soko Kuu la Kariakoo
Soko hilo lilifunguliwa jana na Rais Samia Suluhu Hassan, ikiwa imetimia miaka mitano baada ya...
Prof Mkenda kukimbia na waliosoma vyuo vikuu nje ya nchi
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, anatarajia kuwa mgeni rasmi katika...
Ukosefu wa miundombinu rafiki kwaajili ya mazoezi kwa timu ya Fountain Gate kumetajwa kuwa ni sababu zilizochangia timu hiyo kuo…
Ukosefu wa miundombinu rafiki kwaajili ya mazoezi kwa timu ya Fountain Gate kumetajwa kuwa ni sababu zilizochangia timu hiyo kuondoka mkoani Manyara na kuhamishia Makazi yako mkoani Arusha. (Feed generated…
Walemavu 110 kukutanishwa Kilimanjaro usiku wa ‘Night to shine’
Wakati jamii ikitakiwa kuwaibua na kutowaonea aibu watu wenye ulemavu nchini, Shirika la New...
Serikali yataka nguvu ya pamoja kuimarisha huduma za kifafa
Dk Samizi amewahimiza wadau kuongeza juhudi za kupambana na unyanyapaa dhidi ya watu wanaoishi...
DC Simanjiro ahimiza wanafunzi wote wapelekwe shule bila visingizio
Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Fakii Lulandana, amewaagiza wakuu wa shule za...
Je, akili unde (AI) ni fursa au tishio?
Je, akili unde (AI) ni fursa au tishio? Usikose kufuatilia Morning Trumpet kwa mjadala wa kina kuhusu faida na hasara ya teknolojia hii. Jiunge nasi kesho kuanzia saa 12:00 asubuhi…
#NBPL: Ilitokea piga nikupige flani hivi kabla ya Laurian Makame kuukwamisha mpira nyavuni akiiandikia JKT goli lenye hadhi ya a…
#NBPL: Ilitokea piga nikupige flani hivi kabla ya Laurian Makame kuukwamisha mpira nyavuni akiiandikia JKT goli lenye hadhi ya alama tatu. FT: JKT Tanzania 1-0 Mashujaa FC Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD…
Madereva wataka Polisi iweke wazi kituo anachoshikiliwa kiongozi wao
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Augustino Senga, alisema Materu anashikiliwa kwa mahojiano...
MSHIKEMSHIKE: Yanga baada ya kupoteza dhidi ya AS FAR ugenini, matumaini pekee ni ushindi kwenye mchezo wa mwisho dhidi ya JS Ka…
MSHIKEMSHIKE: Yanga baada ya kupoteza dhidi ya AS FAR ugenini, matumaini pekee ni ushindi kwenye mchezo wa mwisho dhidi ya JS Kabylie, unaionaje nafasi ya wananchi kufuzu robo fainali ya…
Tetesi za soka nchini England zinasema Kiungo wa kati wa klabu ya Newcastle ya Uingereza na timu ya taifa ya Italia Sandro Tonal…
Tetesi za soka nchini England zinasema Kiungo wa kati wa klabu ya Newcastle ya Uingereza na timu ya taifa ya Italia Sandro Tonali, 25, yuko juu kwenye orodha fupi ya…
AZAM FC: Afisa Habari wa Azam FC, @hasheem_ibwe ataja ratiba ya timu hiyo kuelekea nchini Morocco kuifuata Wydad AC
AZAM FC: Afisa Habari wa Azam FC, @hasheem_ibwe ataja ratiba ya timu hiyo kuelekea nchini Morocco kuifuata Wydad AC. Ibwe amesema timu ya utangulizi itaondoka Februari 10 na wengine wataondoka…
Vigogo Bara wapewa mchekea Shirikisho
DROO ya mechi za hatua ya 64-Bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) imefanyika jana na vigogo va Ligi Kuu Bara ikiwamo, Simba, Yanga, Azam FC na Singida Black…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amewataka watendaji wote aliowateuwa na kuwaapisha, kuhakikisha wanaifanya Tanzania iendelee na wa…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amewataka watendaji wote aliowateuwa na kuwaapisha, kuhakikisha wanaifanya Tanzania iendelee na wasimamie utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050. Dkt Samia ametoa…
Makapu, Bahanuzi waukubali mziki wa Bacca
MWENDELEZO wa kiwango anachokionyesha beki wa Yanga, Ibrahim Hamad ‘Bacca’ kimemuibua kiungo wa Bigman FC iliyopo Ligi ya Championship, Said Juma ‘Makapu’ anayeamini kinatokana na uvumilivu na nidhamu, huku straika…
Usipange kukosa kuitazama Grey’s Anatomy kuaniza saa 4:00 usiku ndani ya #AzamONE chaneli yako pendwa ya filamu na tamthilia kal…
Usipange kukosa kuitazama Grey's Anatomy kuaniza saa 4:00 usiku ndani ya #AzamONE chaneli yako pendwa ya filamu na tamthilia kali... (Feed generated with FetchRSS)