Ukraine yatarajia jibu la Urusi kuhusu mpango wa amani
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema anatarajia kupata jibu la Moscow kuhusu toleo jipya la rasimu ya pendekezo la kumaliza vita lililokubaliwa kati ya Washington na Kyiv.
Muongo Mmoja wa Maendeleo na Matumaini Mapya: Namna THPS Inavyoimarisha Huduma za VVU Tanzania
Kwa zaidi ya miaka kumi, shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Health Promotion Support...
Meli mbili za mizigo zenye uwezo wa kubeba tani 2,000 kila moja zimeanza rasmi kutoa huduma katika Bandari ya Karema, mkoani Kat…
Meli mbili za mizigo zenye uwezo wa kubeba tani 2,000 kila moja zimeanza rasmi kutoa huduma katika Bandari ya Karema, mkoani Katavi, hatua inayotarajiwa kuchochea maendeleo ya biashara katika sekta…
“Kuna watu wameajiriwa kwenye makampuni lakini Mungu aliwaumba wawaajiri watu wengine” @prophet.edmoundmystic
"Kuna watu wameajiriwa kwenye makampuni lakini Mungu aliwaumba wawaajiri watu wengine" @prophet.edmoundmystic #Clouds360 #Clouds26Nyoosha #LainiYaWana
Meya wa Manispaa ya Kibaha, Nicas Mawazo, amemuomba Waziri wa Maji, Ijumaa Aweso, kutembelea eneo la Viziwaziwa ili kujionea hal…
Meya wa Manispaa ya Kibaha, Nicas Mawazo, amemuomba Waziri wa Maji, Ijumaa Aweso, kutembelea eneo la Viziwaziwa ili kujionea hali halisi ya changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama…
Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani limeendelea na operesheni maalum za utoaji elimu kwa madereva na watumiaji…
Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani limeendelea na operesheni maalum za utoaji elimu kwa madereva na watumiaji wa vyombo vya moto, zikiwa na lengo la kuwajengea uelewa na…
Marekani yawawekea marufuku wanaharakati wa mtandaoni
Marekani imeendelea na orodha ya marufuku ya kuingia nchini humo na kuwaongeza watu watano kutokana na madai ya kuhusika katika udhibiti wa majukwaa ya mtandaoni ya Marekani.
@prophet.edmoundmystic kutoka Heavenly Image Manifest Church akielezea aliyoyapitia kabla ya kuanza huduma ya kumtumikia Mungu
@prophet.edmoundmystic kutoka Heavenly Image Manifest Church akielezea aliyoyapitia kabla ya kuanza huduma ya kumtumikia Mungu. #Clouds360 #Clouds26Nyoosha #LainiYaWana
Watuhumiwa wawili wakabiliwa shtaka la mauaji Serengeti
WATUHUMIWA wawili, Marco Maginga (47) na Mwita Maginga (45), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma, mkoani Mara, wakikabiliwa na shtaka la mauaji ya mwanamke Rodha Jonathani (42). The post…
PM orders termination of TEMESA employees involved in 2.5bn loss
DAR ES SALAAM: THE Prime Minister, Mwigulu Nchemba, has ordered the immediate dismissal of employees of the Tanzania Electrical, Mechanical and Services Agency (TEMESA) who were involved in the embezzlement…
“Tangu mdogo nilikuwa na uwezo mkubwa sana
"Tangu mdogo nilikuwa na uwezo mkubwa sana. Nilikuwa Nina uwezo wa kujitenga porini kwa muda wa siku Tatu. Sikuwahi kutamani kuwa Mchungaji wala kuwa na kanisa kwa sababu Watumishi wote…
Mwigulu aagiza watumishi Temesa wafutwe kazi
DAR ES SAALM; WAZIRI Mkuu Dk Mwigulu Nchemba, ameagiza watumishi wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) waliohusika na ubadhirifu wa fedha kiasi cha Sh bilioni 2.5 wafukuzwe kazi mara…
Kocha wa Sudan atafuta furaha AFCON licha ya vita
Kocha wa timu ya taifa ya kandanda ya Sudan, James Kwesi Appiah, analenga kutumia michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kuwa chanzo cha furaha kwa WaSudan.
Iran, Russia na China Zaungana katika Kupinga Snapback
Wawakilishi wa Iran, Russia na China katika Umoja wa Mataifa wamesisitiza, katika mkutano wa Baraza la Usalama la umoja huo, kwamba madai ya Marekani pamoja na Uingereza na Ufaransa, hayakuwa…
Airtel expands network coverage with five new towers
SIMIYU: Airtel Tanzania has launched five new communication towers across Mkuranga, Kilimanjaro, Dodoma, Karatu, and Simiyu, signalling an accelerated push to deepen network coverage and narrow the connectivity gap between…
Mutukula border post hailed for efficiency as it generates 9bn/- monthly
MUTUKULA: THE Minister for Home Affairs, George Simbachawene, has called for strong cooperation among government employees working at the Mutukula One-Stop Border Post, located in Misenyi District, Kagera Region, which…
Ubalozi wa Uturuki unaomboleza kifo cha Mkuu wa Jeshi wa Libya
Ubalozi wa Uturuki nchini Libya umehuzunishwa na kifo cha Mkuu wa Jeshi wa nchi hiyo, Mohammed al-Haddad, ambaye alifariki katika ajali ya ndege pamoja na maafisa kadhaa wakuu wa kijeshi,…
Wazazi Mara watakiwa kula ‘bata’, wakikumbuka kulipa ada
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, amewahimiza wakazi kusherehekea sikukuu za Krismasi...
Kiswahili language captivates Havana University’s cultural festival
HAVANA: THE International Languages Center at the University of Havana has held a cultural festival aimed at promoting the cultures of countries associated with the international languages taught at the…
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, ametoa siku kumi kwa Msimamizi wa Miradi ya Serikali (TECU) Mkoa wa Songwe k…
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, ametoa siku kumi kwa Msimamizi wa Miradi ya Serikali (TECU) Mkoa wa Songwe kuwasilisha mpango kazi unaoonesha lini ujenzi wa barabara ya Isongole…
Tanzania, Saudi Arabia pledge to deepen ties in youth empowerment
RIYADH: The Kingdom of Saudi Arabia has pledged to strengthen its bilateral ties with Tanzania by supporting the Tanzanian government’s youth empowerment efforts, as outlined by Tanzania’s Minister for Foreign…
Kiswahili gains ground in Turkish College
ANKARA: KISWAHILI has continued to gain its ground in international realms where students from the Regional Studies Center (BAM) based in Ankara, Türkiye have already been able to write and…
Kizimbani akituhumiwa kumbaka ‘x’ wake, kupiga chabo watu wakiwa faragha
Miongoni mwa mashtaka 56 yanayomkabili Young, ambaye ni raia wa Uingereza anatuhumiwa pia kwa...
Gabo Zigamba: Jifunze kwa aliyekutangulia
MSANII wa Bongo Movie, Gabo Zigamba, amewataka watu kuacha chuki kwa wale waliowatangulia katika maisha au taaluma zao. Akiandika katika ukurasa wake wa Instagram, Gabo amesema watu ambao waliokuzidi kitaaluma…
Mastaa waliosepa katika lebo zao 2025
Pengine huu ndio mwaka tulioshuhudia wasanii wengi wenye majina makubwa wakiachana na rekodi...
Wachunguzi wa Uturuki wapekua eneo la ajali ya ndege iliyomuua Mkuu wa Jeshi la Libya
Waziri wa mambo ya ndani wa Uturuki alisema kituo cha mawasiliano ya uchunguzi kimeanzishwa katika eneo hilo ili kuratibu shughuli
Sea Cliff December Golf Challenge lights up Zanziba
DAR ES SALAAM: THE Sea Cliff December Golf Challenge was recently held at the scenic Sea Cliff Resort & Spa Zanzibar Golf Course in Mangapwani, bringing together golfers for a…
Ubongo wa Bruce Willis kuchunguzwa baada ya kifo chake
Familia ya mwigizaji mkongwe wa Hollywood, Bruce Willis, imetangaza kutoa ubongo wa mwigizaji...
Uturuki yatangaza kupatikana kwa kisanduku cheusi cha ndege iliyomuua Mkuu wa Jeshi wa Libya
Mchakato wa kuchunguza na kutathmini vifaa hivi umeanza, amesema Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Yerlikaya.
#HABARI: Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob, amesema kuwa katika suala la kutafuta maridhiano ya kisiasa nchini…
#HABARI: Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob, amesema kuwa katika suala la kutafuta maridhiano ya kisiasa nchini, aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Jaji Joseph Warioba ni mojawapo…
Aliyeshtakiwa kwa mauaji aachiwa huru
Mahakama Kuu ya Zanzibar imemuachia huru, Juma Suleiman Juma, aliyekuwa ameshtakiwa kwa kosa la...
Inspector Haroun afunga mwaka kibabe, aachia ngoma mbili
Mwaka 2025 ukiwa unaelekea ukingoni, wasanii baadhi wameachia ngoma ambazo zimekuwa kama ni...
Dhamira za kisiasa zinusuru mito isikauke
KWA kipindi cha Novemba 10 hadi 15 mwaka 2025 na kwa neema ya Mungu, nilitembelea Hifadhi ya Taifa Ruaha (RUNAPA) mkoani Iringa, Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania. Hifadhi hiyo…
Tanzania yaweka mikakati mipya upatikanaji dawa
DAR ES SALAAM: WIZARA ya Afya imetangaza rasmi mwelekeo mpya wa kimkakati wa kuharakisha ujenzi wa viwanda vya dawa na bidhaa za afya nchini, kwa lengo la kuimarisha usalama wa…
Mwasongwe awatia moyo mashabiki
MWIMBAJI maarufu wa nyimbo za Injili nchini Tanzania, Ambwene Mwasongwe, amewapa mashabiki na Watanzania ujumbe wa faraja na matumaini, akisisitiza umuhimu wa kumtegemea Mungu katika kila hatua ya maisha. The…
Ubelgiji yajiunga katika kesi ya ICJ dhidi ya mauaji ya kimbari ya Israel Gaza
Ubelgiji imetangaza kujiunga katika kesi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) dhidi ya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
Roads are infrastructures, dignity, opportunities and future
EARLY mornings in Iringa are cold. Before the sun rises, people step out of their homes to begin the day. Some walk to farms, others head to school, hospitals, or…
Receipt system boosts lentils sales in Geita
GEITA: THE introduction of the Warehouse Receipt System (WRS) in Geita has significantly boosted lentil sales, enabling farmers to access better market prices, secure financing against stored produce and improve…
#Usikose kufuatia kipindi maalum cha shule za Atlas kinachoelezea ubora wa shule hizo, Alhamis Saa 12:55 jioni
#Usikose kufuatia kipindi maalum cha shule za Atlas kinachoelezea ubora wa shule hizo, Alhamis Saa 12:55 jioni
Sina mpango wa kuacha muziki
MSANII wa muziki anayefahamika kwa jina la Haroun Rashid maarufu kama Inspector Haroun Babu ameweka wazi matarajio yake ya kuendelea kufanya kazi na wasanii mbalimbali wanaofanya vizuri katika muziki wa…
Haftar wa Libya atoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mkuu wa jeshi katika ajali ya ndege
Khalifa Haftar ameonyesha “huzuni kubwa” baada ya Mkuu wa Jeshi wa Libya, Mohammed al-Haddad, pamoja na maafisa wanne wakuu wa kijeshi, kufariki dunia katika ajali ya ndege karibu na Ankara.
Mashariki mwa DRC: WFP yatoa wito wa ufadhili wa dharura wa dola milioni 67
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) lina wasiwasi kuhusu kuibuka tena kwa vurugu katika mkoa wa Kivu Kusini. Katika taarifa iliyotolewa siku ya Jumanne, Desemba 23, shirika la Umoja…
🔴MASHINDANO YA AFCON 2025: TAIFA STARS YACHARAZWA 2 – 1 NA NIGERIA
🔴MASHINDANO YA AFCON 2025: TAIFA STARS YACHARAZWA 2 - 1 NA NIGERIA...
Yaliyojiri 2025: Siasa za Kenya baada ya kifo cha Raila Odinga
Wataalamu wa masuala ya kisiasa nchini Kenya wanasema Uchaguzi Mkuu wa 2027 utakuwa kipimo muhimu kwa Rais William Ruto ambapo kwa mara ya kwanza tangu 2002 Raila Odinga hatakuwa katika…
KONA YA MZAZI: Wazazi waandalieni watoto tafrija bora msimu huu wa sikukuu
Kila mwaka, msimu wa Krismasi na Mwaka Mpya, huwasili ukiwa umebeba matarajio makubwa hususan...
Waziri wa Ulinzi wa Israel aapa ‘kutoondoka’ Gaza
Katika Mashariki ya Kati, Israel inaendelea na matarajio yake ya eneo katika nyanja kadhaa. Siku ya Jumanne, Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz amebainisha kwamba jeshi la Israel halitaondoka…
Tuendelee kuenzi amani
JESHI la Polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama limehakikishia umma kwamba linaendelea kuimarisha ulinzi wakati wote wa sherehe za mwisho na mwanzo wa mwaka, zinazotanguliwa na…
Senegal: Utaratibu wa mapitio ya kesi ya Waziri Mkuu Ousmane Sonko wafunguliwa
Nchini Senegali, je, Ousmane Sonko anaweza kufutiwa mashitaka yanayomkabili miezi sita baada ya hukumu ya mwisho kwa kashfa mnamo mwezi Julai 2025? Siku ya Jumatatu, Desemba 22, mawakili wa Waziri…
Wavuvi wa samaki wilayani Ukerewe mkoani Mwanza wameiambia serikali kuwa suluhisho la kumalizika kwa uvuvi haramu lipo mikononi …
Wavuvi wa samaki wilayani Ukerewe mkoani Mwanza wameiambia serikali kuwa suluhisho la kumalizika kwa uvuvi haramu lipo mikononi dwa wavuvi wenyewe na serikali inapaswa kusimamia utekelezaji wa mikakati ya kwavuvi…