Balozi wa Iran atimuliwa kutoka Australia
Waziri mkuu wa Australia Anthony Albanese, amesema Shirika la Ujasusi wa Usalama la Australia (ASIO) limekusanya taarifa za kijasusi za kuaminika kwamba Iran ilielekeza mashambulizi hayo mawili katika miji ya…
Kenya yadhibiti uwindaji haramu wa faru kwa miaka mitano
Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, Kenya haijaripoti kisa chochote cha uwindaji haramu wa faru. Kulingana na Idara ya Ulinzi wa Wanyamapori nchini Kenya, KWS, matumizi ya teknolojia ya kisasa…
Xi: Uhusiano wa China na Urusi ndio thabiti zaidi duniani
Xi amesema hayo kwenye mazungumzo na Mwenyekiti wa Bunge la Urusi Vyacheslav Volodin na kuendelea kuusifia uhusiano huo alioutaja kama “chanzo thabiti cha amani ya ulimwengu,” hii ikiwa ni kulingana…
Hizi ndio nchi tano zilizo salama zaidi duniani kwa 2025
Chanzo cha picha, Getty Images Dakika 10 zilizopita Katika mwaka uliotawaliwa na na migogoro, mataifa matano yameendelea kuorodheshwa miongoni mwa mataifa yenye amani zaidi duniani. Wakazi wamefichua jinsi sera na…
UN yataka nchi za Afrika zishirikiane kijeshi ili kudumisha amani
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina J. Mohammed, amewataka viongozi wa kijeshi wa Afrika kushirikiana kwa karibu zaidi ili kukabiliana na ongezeko la vitisho vya usalama, ugaidi na…
#HABARI: Mtia nia Paul Makonda, leo Agosti 26, 2025 amefunga mitaa ya Arusha mjini wakati msafara wake ukimsindikiza kuchukua fo…
#HABARI: Mtia nia Paul Makonda, leo Agosti 26, 2025 amefunga mitaa ya Arusha mjini wakati msafara wake ukimsindikiza kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini katika ofisi…
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025
Kwanini wakristo wanauawa Makanisani DRC?
Chanzo cha picha, AFP Maelezo ya picha, Ripoti zinasema, nyumba na maduka kuzunguka Kanisa huko Komanda yalishambuliwa vibaya na waasi. Maelezo kuhusu taarifa Author, Yusuph Mazimu Nafasi, Akiripoti kutoka BBC…
Maafisa wa jeshi la DR Congo wasailiwa huku mapigano yakishadidi eneo la mashariki
Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo lilitangaza Jumatatu kwamba maafisa 41 wa ngazi za juu jeshini wamesailiwa kama sehemu ya uchunguzi kuhusu kushindwa kwa vikosi vya serikali wakati wa…
Israel: Waandamanaji wataka vita kusitishwa na Gaza na kuachiwa kwa mateka
Waandamanaji kutoka Israel wametoa wito wa kusitishwa kwa mapigano kwenye ukanda wa Gaza na kuachiwa kwa mateka. Imechapishwa: 26/08/2025 – 11:38 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma…