Tanzania yatangaza kurejesha shughuli za utalii
Wizara ya Maliasili na Utalii, imewataka watalii waliokuwa wamepanga kutembelea Tanzania...
UN: Watu 40 wameuawa katika mashambulizi ya RSF Sudan
Ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo imesema watu 40 wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa dhidi ya waombolezaji huko Kardofan nchini Sudan. RSF imeendelea kuteka maeneo kadhaa kutoka kwa jeshi la…
Azam FC yanogewa mapema CAF, Bosi atoa kauli ya kibabe
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC wameanza kunogewa mapema baada ya timu hiyo kufuzu makundi kwa mara ya kwanza hatua ya makundina mmoja wa…
Urusi: Vikosi vyetu vinazidi kusonga mbele Ukraine
Vikosi vya Urusi vinasonga mbele ndani ya mji wa Pokrovsk mashariki mwa Ukraine na kuharibu mifumo ya kijeshi iliyoundwa na vikosi vya Ukraine pamoja na kuzuia juhudi za Ukraine kujitoa…
Jude Bellingham bado nje kikosi cha England
Akiwa amerejea England kwa mara ya kwanza tangu ajiunge na Real Madrid, Jude Bellingham...
Israel yapokea mabaki ya mwanajeshi wake kutoka Gaza
Israel imethibitisha hivi leo kupokea mabaki ya mwili wa mwanajeshi wake mwenye uraia pia wa Marekani kutoka kwa wanamgambo wa Hamas, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano ya kusitisha…
SADC: Kukosekana kwa utulivu Tanzania kutaathiri chumi zetu
Hali ikirejea kuwa shwari Tanzania, wataalamu na wanasiasa mbalimbali katika mataifa ya kusini mwa Afrika wametoa angalizo kuwa hali yoyote ya ukosefu wa uthabiti wa kisiasa Tanzania utaathiri uchumi wa…
JKT Queens yaenda Misri kwa mafungu
WAWAKILISHI pekee wa Cecafa kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake, JKT Queens wameanza safari kwenda Misri inakofanyika michuano hiyo huku kundi la kwanza limeondoka leo Jumatano Novemba…
TRA yamrudisha Ndayiragije Bara
MABOSI wa TRA United wanadaiwa kumalizana na aliyekuwa Kocha wa Polisi Kenya, Etienne Ndayiragije muda mfupi baada ya kuachana na maafande hao aliofanya nao kazi kwa miezi 11 na kuwapa…
CAF yaongeza timu za WAFCON
KAMATI Kuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) imeidhinisha kuongeza idadi ya timu zitakazoshiriki mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) kutoka timu 12 hadi…
Singida BS kuifuata Pamba Jiji kesho
KIKOSI cha Singida Black Stars kinaondoka jijini Dar es Salaam kesho Alhamisi ili kuwahi pambano lijalo la Ligi Kuu Bara dhidi ya Pamba Jiji, huku kocha msaidizi wa timu hiyo,…
Wenger afichua mfumo ulivyoitafuna Liverpool
Kocha wa zamani wa Arsenal, Arsène Wenger amefichua kwamba Liverpool ilivuruga mfumo wake wa...
Tamwa yatoa pole kwa waathirika wa vurugu
Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa) kimeeleza huzuni na kutoa pole kwa Watanzania...
26,093 wakacha mtihani darasa la saba, asilimia 81.8 wakifaulu
Dar es Salaam. Wakati Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) likitangaza matokeo ya mtihani wa...
Kutoka Baghdad hadi Abuja: Muenendo wa Marekani wa zamani wa uhuru na uharibifu
Madai ya Trump kuhusu mauaji ya halaiki ya Wakristo nchini Nigeria na vitisho vya mashambulizi ya kijeshi ni muenendo waliyozowea Marekani kwa kisingizio cha misaada kwa watu.
CHADEMA: Heche afunguliwa mashtaka ya ugaidi
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, kimesema kuwa Makamu Mwenyekiti wake, John Heche, amefunguliwa mashtaka ya ugaidi — siku chache baada ya ghasia za uchaguzi mkuu.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Tuzo ya Nobel imepoteza itibari kwa mpokeaji kumsifu Netanyahu
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amekosoa tuzo ya Nobel ya Amani ya mwaka 2025, na kusema tuzo hiyo imepoteza uhalali wake kutokana na kupewa kwa Maria…
Waziri wa Mambo ya Iran: Tuzo ya Nobel imepoteza itibari kwa mpokeaji kumsifu Netanyahu
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amekosoa tuzo ya Nobel ya Amani ya mwaka 2025, na kusema tuzo hiyo imepoteza uhalali wake kutokana na kupewa kwa Maria…
Iran yataka UN ichukue hatua kufuatia kauli ya Trump kuhusu majaribio ya silaha za nyuklia
Iran imetoa wito kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kukutana kwa dharura kufuatia kauli za “kushtua sana” zilizotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu kuanza tena majaribio…
Iran yataka UN ichukue kufuatia kauli ya Trump kuhusu majaribio ya silaha za nyuklia
Iran imetoa wito kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kukutana kwa dharura kufuatia kauli za “kushtua sana” zilizotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu kuanza tena majaribio…
Nigeria yapinga madai ya Trump kuhusu mauaji ya Wakristo
Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria, Yusuf Tuggar, amepinga madai ya Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu mauaji ya Wakristo nchini Nigeria, akionya dhidi ya kauli zinazoweza kuchochea mgawanyiko…
Maonesho ya 16 ya Teknolojia ya Nano ya Iran yafanyika Tehran
Maonesho ya 16 ya Teknolojia ya Nano ya Iran yamefanyika katika Uwanja wa Maonesho wa Kimataifa jijini Tehran, yakileta pamoja zaidi ya kampuni 150 za kiteknolojia.
Maonesho ya 16 ya Teknolojia ya Nano ya Iran yafanika Tehran
Maonesho ya 16 ya Teknolojia ya Nano ya Iran yamefanyika katika Uwanja wa Maonesho wa Kimataifa jijini Tehran, yakileta pamoja zaidi ya kampuni 150 za kiteknolojia.
Kamanda wa RSF ajigamba kuwaua raia 2,000 El Fasher, Sudan; ICC yaanza uchunguzi
Video za kushtua zimeibuka zikimuonesha kamanda wa kikundi cha waasi wa RSF nchini Sudan akijigamba kwa kuwaua binafsi zaidi ya raia 2,000 wakati wa utekaji wa mji wa El Fasher…
Uwekezaji kuhimili tsunami uwe endelevu – Guterres
Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu Tsunami Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesisitiza umuhimu wa kuwekeza katika kujiandaa dhidi ya mawimbi hayo makubwa…
FODDAJ nchini Kenya yasongesha SDG3 kwa wanawake manusura wa ukatili wa kijinsia
Nchini Kenya, shirika la kiraia la FODDAJ au la Forum for Women Development, Democracy and Justice linatekeleza kivitendo lengo namba 3 la Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs la afya bora…
Rais wa Baraza Kuu la UN awatembelea wakimbizi wa Kipalestina nchini Qatar
Rais wa mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Annalena Baerbock ametembelea wakimbizi wa kipalestina huko Doha nchini Qatar kuwajulia hali na kujionea maisha yao baada ya…
Takwimu mpya zaonya kushuka kwa mavuno ya mazao katika nchi maskini
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo (UNDP) limetoa takwimu mpya zinazoonesha kuwa mabadiliko ya tabianchi yanatarajiwa kudhoofisha kwa kiwango kikubwa uzalishaji wa kilimo na ustawi wa binadamu…
Wafanyabiashara Kampala wagoma kufuatia msururu wa kodi
Mienendo ya wafanyabiashara kufunga maduka yao jijini Kampala nchini Uganda kama njia ya kugoma imeanza kuwa chukizo kwa wateja. Wafanyabiashara wanasema hatua hiyo ni kupunguza mzigo wa kodi inayotozwa na…
Ijumaa ya Novemba 14, timu ta Taifa ya Tanzania, Taifa Stars itakuwa uwanja wa Al Salam, jijini Cairo ikicheza mechi ya kirafiki…
Ijumaa ya Novemba 14, timu ta Taifa ya Tanzania, Taifa Stars itakuwa uwanja wa Al Salam, jijini Cairo ikicheza mechi ya kirafiki na Kuwait. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 3:00…
Zohran Mamdani mazaliwa Uganda achaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York
Zohran Mamdani,mwenye umri wa miaka 34 na anayejitambulisha kama msoshalisti, amechaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York.
Mamdani: New York itasalia kuwa jiji la wahamiaji
Zohran Mamdani, kutoka chama cha Demokrat alichaguliwa kuwa meya wa Jiji la New York siku ya Jumanne, akimaliza ushawishi wa muda mrefu wa gavana wa zamani Andrew Cuomo aliyesimama kama…
Upinzani Tanzania wadai kutupwa kisiri maiti za waandamanaji
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA chadai kuwa vikosi vya usalama vilikuwa vikitupa miili ya mamia ya waliouawa katika ghasia za uchaguzi.
Hamas yakabidhi mwili wa mateka mwingine kwa Israel
Mabaki ya mateka yaliokabidhiwa kwa Israeli na kundi la Hamas jana jioni yametambuliwa kuwa ya mwanajeshi aliyetakwa nyara mnamo Oktoba 7, 2023. Haya yamesemwa mapema leo na jeshi la Israel.
IAEA: Iran inapaswa kuimarisha ushirikiano kuhusu nyuklia
Iran lazima iimarishe ushirikiano wake na wakaguzi wa Umoja wa Mataifa ili kuepuka kuzidisha mvutano na nchi za Magharibi.Haya yameripotiwa na gazeti la Financial Times lililomnukuu mkuu wa Shirika la…
EU bado haijafikia makubaliano ya malengo ya hali ya hewa
Nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya bado hazijafikia makubaliano kuhusu malengo muhimu ya uzalishaji wa hewa chafuzi kabla ya mkutano wa kilele wa Umoja wa Mataifa wa COP30 utakaofanyika wiki…
Mganga mmoja auawa Uganda wa kushambulia kambi za kijeshi
Vikosi vya usalama nchini Uganda vimesema kuwa vimemuua mganga mmoja kwa jina Christian Asuman Muganzi, anayedaiwa kuongoza mashambulizi ya kuratibiwa wikendi iliyopita dhidi ya vituo vya polisi na jeshi .
ZEC yateua wawakilishi wa viti maalumu, INEC mguu sawa
Tayari Rais Samia Suluhu Hassan, kwa mamlaka aliyopewa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa...
NBC Premier League inaendelea wikiendi hii
NBC Premier League inaendelea wikiendi hii Jumamosi Novemba 8, Saa 10:00 jioni Pamba Jiji watakuwa uwanja wa nyumbani CCM Kirumba wakiwakarobisha Singida BS. Saa 1:00 usiku, JKT Tanzania watakuwa dimba…
Mwalimu Mkenya aripotiwa kuuwawa Tanzania
John Okoth Ogutu, Mkenya mwenye umri wa miaka 33 aliyeishi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi, ameripotiwa kuuawa kwa risasi wakati wa machafuko yaliyotokea Dar es Salaam baada ya uchaguzi.
Rais Samia amuapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Johari ameapishwa baada ya kuteuliwa na Rais Samia Novemba 3, 2025, saa chache baada ya Samia...
Yanga yakimbilia Zanzibar makundi Ligi ya Mabingwa Afrika
Yanga imeamua kucheza mechi zake za hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu...
Wabunge wateule waitwa Dodoma, kumpata Spika mpya moto
Rais Samia Suluhu Hassan kwa mamlaka aliyopewa na Katiba ya nchi, amewaita wabunge wateule wote...
Anachoamini AY kwenye muziki wa Bongo Fleva
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Ambwene Yessayah ‘AY’ ameweka wazi imani yake kwenye muziki kwa...
Yanga yahamishia mechi zake za CAF Zanzibar
KLABU ya Yanga imetangaza kuwa, mechi zake za nyumbani katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu itatumia Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Zanzibar.
Mzize apasuliwa goti, kuwakosa Simba, Waarabu
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize amefanyiwa upasuaji wa goti na anatarajia kuwa nje ya uwanja kwa wiki nane hadi kumi.
Haya hapa matokeo darasa la saba 2025
Matokeo hayo yametangazwa leo, Jumatano Novemba 5, 2023 na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Said...
Nyuma ya wimbo ‘Kidampa’ kuna haya…
Msanii chipukizi wa muziki nchini, Diameter Pallet ambaye anatamba na wimbo ‘Kidampa’, ameweka...
Ahmad Ally msaidizi wa Gamondi Taifa Stars
Kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally ndiye atamsaidia Miguel Gamondi katika benchi la ufundi la timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’.