Watu zaidi ya milioni moja warejea katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum
Watu zaidi ya milioni moja wamerejea katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum, katika kipindi cha miezi 10 iliyopita licha ya hali ya ukosefu wa usalama, shirika la Kimataifa la Uhamiaji…
Salum Mwalimu anayewania Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) amesema jiji la Dodoma linahitajika kuwa…
Salum Mwalimu anayewania Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) amesema jiji la Dodoma linahitajika kuwa na ubora wa miundombinu na huduma za hadhi ya juu ili…
Staa wa zamani Simba, Yanga Alphonse Modest afariki dunia
Staa wa zamani wa Simba na Yanga, Alphonce Modest amefariki dunia leo jioni, akiwa nyumbani kwao Kigoma baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.
Mgombea Urais wa chama cha ADA TADEA, Georges Busungu ameahidi kutenga mji maalumu wa teknolojia kwa ajili ya wabunifu ambao wat…
Mgombea Urais wa chama cha ADA TADEA, Georges Busungu ameahidi kutenga mji maalumu wa teknolojia kwa ajili ya wabunifu ambao watapewa nafasi ya kufanyia kazi ubunifu wao na kuwezesha taifa…
Wakulima wa mwani visiwani Zanzibar wameahidiwa kupata soko la uhakika na thamani ya zao hilo itakayofikia Shilingi 5,000 kwa ki…
Wakulima wa mwani visiwani Zanzibar wameahidiwa kupata soko la uhakika na thamani ya zao hilo itakayofikia Shilingi 5,000 kwa kilo iwapo Chama Cha MAKINI kitafanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu. Ahadi hiyo…
Mgombea Urais wa NRA, Almas Hassan Kisabya amesema chama chake kimeweka kipaumbele katika maeneo matatu ya msingi ya afya, elimu…
Mgombea Urais wa NRA, Almas Hassan Kisabya amesema chama chake kimeweka kipaumbele katika maeneo matatu ya msingi ya afya, elimu na maslahi kwa watumishi wa umma. Mawazo Mwaijengo amehudhuria mkutano…
Tume ya Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya SADC imesema tathmini waliyoifanya na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 samb…
Tume ya Waangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya SADC imesema tathmini waliyoifanya na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 sambamba na mwenendo wa kampeni umeonesha hali ya kuridhisha. Taarifa…
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeanza kubandika majina ya wapiga kura walioandikishwa na kuwahimiza wananchi kuhakikisha…
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeanza kubandika majina ya wapiga kura walioandikishwa na kuwahimiza wananchi kuhakikisha taarifa zao kupitia kwenye vituo walivyoandikishwa. Mwandishi wetu Upendo Michael ametembelea baadhi…
#HABARI: Mkurugenzi wa Everlasting Legal Aid Foundation, Dokta Khamis Masoud, amezungumzia umuhimu wananchi kupiga kura pamoja n…
#HABARI: Mkurugenzi wa Everlasting Legal Aid Foundation, Dokta Khamis Masoud, amezungumzia umuhimu wananchi kupiga kura pamoja na madhara ya vurugu na maandamano wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na…
Erdogan awasili Qatar kwa mkutano na Amir Al Thani
Kiongozi wa Uturuki atakutana na amiri wa Qatar na kuhudhuria mkutano wa Kamati Kuu ya Kimkakati ya Uturuki-Qatar.
Ajali ya treni mashariki mwa Ethiopia yaua watu 14, wengine 29 wajeruhiwa
Watu wasiopungua 14 wamefariki dunia na wengine 29 kujeruhiwa baada ya treni ya abiria kupata ajali mashariki mwa Ethiopia, kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa Jumanne na vyombo vya habari vya…
Mageuzi mapya usafirishaji Dar
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi...
#HABARI: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata jumla ya kilogramu10,763.94 za aina mbalimbali za…
#HABARI: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata jumla ya kilogramu10,763.94 za aina mbalimbali za dawa za kulevyapamoja na kilogramu 6,007 na lita 153 za kemikalibashirifu,…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora Kikosi cha Usalama Barabarani limetoa saa ishirini na nne pekee kwa madereva wa vyombo v…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora Kikosi cha Usalama Barabarani limetoa saa ishirini na nne pekee kwa madereva wa vyombo vyote vya moto mkoani hapo kuhakikisha vyombo vyao vinakaguliwa…
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI KAMILI…OKTOBA 21, 2025 – MPINA AKATA RUFAA KUPINGA KUENGULIWA KWENYE UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 2…
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI KAMILI...OKTOBA 21, 2025 - MPINA AKATA RUFAA KUPINGA KUENGULIWA KWENYE UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 29
#HABARI: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt
#HABARI: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa serikali yake itakwenda kusimamia na kukamilisha mradi wa miundombinu ya Barabara ya mabasi yaendayo haraka…
Kyara aahidi usawa wa kijinsia, kuwekeza tafiti za mimea tiba
Mgombea urais wa Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara amesema akipewa ridhaa ya...
Wasio na kitambulisho cha mpigakura kutumia leseni ya udereva, pasipoti au Nida
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetoa mwongozo kwa wananchi waliopoteza kitambulisho cha...
Mtanzania Gabriel Geay akiri kukutana na ugumu Amsterdam Marathon
Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay amerejea nchini akitokea Uholanzi alikokwenda kushiriki mashindano ya TCS Amsterdam Marathon 2025, ambapo amekiri kukutana na ugumu.
#HABARI: Raia 11 kutoka mataifa ya Bangladesh, Somalia, Ethiopia na Burundi wamekamatwa na mamlaka ya uhamiliaji mkoani Morogoro…
#HABARI: Raia 11 kutoka mataifa ya Bangladesh, Somalia, Ethiopia na Burundi wamekamatwa na mamlaka ya uhamiliaji mkoani Morogoro wakiwa wamejificha katika pori lililopo kitongoji cha Rranchi Dakawa, wilayani Mvomero, baada…
Kibaha wafikia mwishoni maandalizi Uchaguzi Mkuu
Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 katika Manispaa ya Kibaha, mkoani Pwani, yameingia...
Mwalimu aahidi kuondoa barabara za vumbi Dodoma
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amesema...
#HABARI: Mawakili wa Chama Cha ACT Wazalendo leo wamekataa rufaa katika Mahakama ya Rufani ya Tanzania jijini Dar es Salaam baad…
#HABARI: Mawakili wa Chama Cha ACT Wazalendo leo wamekataa rufaa katika Mahakama ya Rufani ya Tanzania jijini Dar es Salaam baada Bwana Luhaga Mpina na Bodi ya Wadhamini ya Chama…
Mwita aahidi Kuinua elimu Geita Mjini, ujenzi chuo cha VETA
Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi Chacha...
Mgombea udiwani Kirua Vunjo Magharibi afariki dunia
Mgombea udiwani wa Kata ya Kirua Vunjo Magharibi, Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro kupitia...
Saratani ya matiti kwa wanaume yaongezeka nchini
Tofauti na miaka ya nyuma, saratani ya matiti kwa wanaume imeendelea kuongezeka nchini, baada...
Mtaka awataka wananchi kutumia nishati safi kulinda afya zao na mazingira
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amewataka wananchi kutumia fursa iliyopo ya matumizi ya...
Naomba utumishi, siombi ubosi kwenu – Chimbason
Mgombea udiwani wa Kata ya Endiamtu, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, kupitia Chama cha...
Dk Shein aongoza waombolezaji kumzika mtoto wa Aboud Jumbe
Rais mstaafu wa awamu ya saba wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein...
WFP: Usitishaji mapigano umefungua njia ya misaada Gaza
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, WFP limesema leo kwamba usambazaji wa misaada ndani ya Ukanda wa Gaza umeongezeka kufuatia usitishaji wa mapigano uliosimamiwa na Marekani.
Uamuzi mbovu Ligi ya Zanzibar chanzo ni pesa
WAKATI baadhi ya makocha wa timu zinazoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), wakitoa malalamiko kwa baadhi ya waamuzi kutotenda haki huku wakiziomba mamlaka kuwachukulia hatua, Chama cha Waamuzi Zanzibar kimesema malipo…
Waamuzi Zanzibar wacharuka kulipwa Sh30,000 kwa mechi
WAKATI baadhi ya makocha wa timu zinazoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), wakitoa malalamiko kwa baadhi ya waamuzi kutotenda haki huku wakiziomba mamlaka kuwachukulia hatua, Chama cha Waamuzi Zanzibar kimesema malipo…
Mgombea udiwani Pasua aahidi kuwakwamua vijana kiuchumi
Mgombea udiwani wa Kata ya Pasua, Jimbo la Moshi Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)...
Othman aahidi kukuza, kuendeleza vipaji Zanzibar
Miongoni mwa vipaji ni pamoja na michezo ya sarakasi muziki, filamu na uchongaji, akiahidi...
Tanzania yahimizwa kuongeza fursa elimu ya juu
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa William Anangisye ametoa wito kwa...
Uwanja wa ndege wa Khartoum wakumbwa na shambulio
Vyanzo na mashahidi wanaripoti milipuko ya mapema asubuhi karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Khartoum, ambao umekuwa umepangwa kufunguliwa tena leo Jumatano. Imechapishwa: 21/10/2025 – 18:01 Dakika 1…
Watatu kunyongwa kwa mauaji ya muuguzi wa KCMC
Mahakama Kuu Kanda ya Moshi imewahukumu kunyongwa hadi kufa wakazi watatu wa mjini Moshi...
Kutosoma masharti ya mikopo kunavyowaweka wakopaji hatarini
Wakati Lucy John (si jina lake halisi) alipohitaji msaada wa kifedha kwa dharura, aliamua...
Yanga yaonywa ikijiandaa kuivaa Silver Strikers
NYOTA wa zamani wa Taifa Stars, Yanga na Simba, Willy Martin, amesema amefuatilia vyema mechi za wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kimataifa ngazi ya klabu msimu huu na kubaini…
Mrithi wa Folz Yanga ndani ya siku tatu, mashabiki bure kwa Mkapa
Zikiwa zimepita siku tatu baada ya kuachishwa kazi aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga, Romain Folz...
Uganda: Uchaguzi wa urais na wa wabunge kufanyika Januari 15, 2026
Tume ya uchaguzi imetangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa urais na wa wabunge mwaka ujao. Uchaguzi wa rais na wa wabunge utafanyika Januari 15, 2026. Imechapishwa: 21/10/2025 – 17:45Imehaririwa: 21/10/2025…
Vaibu Yanga Mzize akirejea kupiga mzigo
KULE Malawi wiki iliyopita, Yanga ilisafiri ikiwa na mshambuliaji wake hatari, Clement Mzize, lakini hakucheza dhidi ya Silver Strikers katika mechi ya awali ya mkondo wa pili wa kuwania kufuzu…
Mara yajitosa kampeni ya nishati safi
Wakala wa Nishati Vijijini (REA), umeanza kusambaza mitungi ya gesi 19,530 yenye thamani ya...
Erdogan atumia mpango wa Gaza kuimarisha nafasi ya Uturuki
Baada ya kuishawishi Hamas kuukubali mpango wa kusitisha mapigano wa Rais wa Marekani Donald Trump, Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameibuka kama mpatanishi mwenye ushawishi mkubwa Mashariki ya Kati.
Hizi hapa sababu viongozi kukosa maadili
Mwenyekiti wa Kigoda cha Karume, Eginald Mihanjo amesema kukosekana vyuo vinavyotoa mafunzo ya...
Tatu kali kupigwa Ligi Kuu Bara leo
LIGI Kuu Bara inaendelea leo Jumatano na kuna mechi tatu za kibabe kuanzia saa 10:00 jioni hadi saa 3:00 usiku.