#HABARI: Alan Thomas Mvano ambaye ameteuliwa na Chama cha Mapinduzi CCM kupeperusha bendera katika Jimbo la Kakonko tayari amech…
#HABARI: Alan Thomas Mvano ambaye ameteuliwa na Chama cha Mapinduzi CCM kupeperusha bendera katika Jimbo la Kakonko tayari amechukua fomu INEC, ili kuanzakwa Kampeni za kugombea Ubunge katika Jimbo hilo…
Jinsi Taiwan inavyojiandaa na mashambulizi ya China
Maelezo kuhusu taarifa Author, Tessa Wong Nafasi, BBC Dakika 8 zilizopita Ilikuwa ni Ijumaa nyingine asubuhi kwenye kisiwa cha Taiwan cha Kinmen, kilomita chache kutoka pwani ya China, wakati king’ora…
Je, inatosha kwa nchi za Magharibi kulaani kwa maneno matupu jinai za utawala wa Israel?
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi 21 za Magharibi kwa pamoja wamelaani uamuzi wa Israel wa kujenga makaazi mapya ya walowezi wa Kizayuni huko Quds Mashariki. BONYEZA HAPA USOME…
Khofu ya mafuriko yatanda Pakistan karibu na India
Pakistan imewahamisha maelfu ya watu na kuwapeleka maeneo salama baada ya nchi jirani ya India kufunguwa mabwawa yake yaliyofurika pamoja na mito na kuyaachia maji kumiminika kuelekea katika mikoa ya…
#HABARI: Mgombea ubunge Jimbo la Mwibara mkoani Mara Kangi Lugola, kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, ameonesha furaha wakat…
#HABARI: Mgombea ubunge Jimbo la Mwibara mkoani Mara Kangi Lugola, kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, ameonesha furaha wakati akielekea kuchukua fomu ya uteuzi, amesema alikuwa Benchi akisoma mchezo…
Nchi za Ulaya kujadili na Iran kuhusu mpango wa Nyuklia
Wajumbe kutoka mataifa ya Ulaya ya kile kinachojulikana kama E3 wanajiandaa leo Jumanne kwa mazungumzo ya dakika za mwisho pamoja na Iran mjini Geneva. Wajumbe kutoka Uingereza, Ufaransa na Ujerumani…
BurkinaFaso na Mali zasusia mkutano kuhusu ulinzi
Burkina Faso na Mali zimejizuia kutuma wawakilishi wake katika mkutano kuhusu masuala ya kijeshi barani Afrika unaoendelea nchini Nigeria. Mali na Burkinafaso zinazoongozwa na tawala za kijeshi bado hazina mahusiano…
🔴MEZAHURU: MOTISHA KWA WALIMU….AGOSTI 26, 2025
🔴MEZAHURU: MOTISHA KWA WALIMU….AGOSTI 26, 2025
Urusi yashambuliwa kwa droni na Ukraine
Viwanja kadhaa vya ndege nchini Urusi vimelazimika kusitisha shughuli zake nyingi usiku wa kuamkia leo kufuatia mashambulizi ya droni yaliyofanywa na Ukraine katika anga ya Urusi. Miongoni mwa viwanja vya…
🔴HABARI ZA SAA: SAA NANE NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA NANE NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025