#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Hajat Fatma Mwassa, ametoa onyo kwa Madereva wanaoendesha Magari yanayofanya kazi za kubeba abi…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Hajat Fatma Mwassa, ametoa onyo kwa Madereva wanaoendesha Magari yanayofanya kazi za kubeba abiria katika maeneo mbalimbali yaliyoko mkoani humo, wanaotumiwa kuwasafirisha watoto wadogo…
Urusi na Ukraine zashambuliana kwa droni usiku kucha
Vikosi vya Ukraine vimedungua droni 40 kati ya 62 za aina mbalimbali zilizorushwa na Urusi usiku kucha. Haya yameripotiwa na jeshi la anga la Ukraine leo Jumapili kupitia mtandao wa…
Rekodi ya siku 315 ilivyokula kichwa cha Folz Yanga
KIPIGO cha bao 1-0 ilichopokea Yanga juzi Jumamosi katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya pili, ilihitimisha simu 315 sawa na miezi 10 na siku 11 kwa kikosi…
Msikilize mwanasheria wetu akifafanua jinsi mjukuu anavyoweza kurithi mali za babu au bibi yake kisheria
Msikilize mwanasheria wetu akifafanua jinsi mjukuu anavyoweza kurithi mali za babu au bibi yake kisheria. #AzamTVUpdates #SheriaUpdates
ZEC yatoa mafunzo kwa Jeshi la Polisi kuelekea uchaguzi mkuu
Zikiwa zimesalia siku 10 kufikia Oktoba 29, 2025 ili Watanzania wapige kura, Tume ya Uchaguzi...
Maandamano juu ya uhamiaji yafanyika Rome nchini Italia
Wahamiaji na wanaharakati wa haki za binadamu, waliandamana jana mjini Rome, Italia kupinga makubaliano ya uhamiaji kati ya nchi hiyo na Libya.
China yaishtumu Marekani kwa shambulizi la mtandaoni
China imeishtumu idara ya Usalama wa Kitaifa ya Marekani kwa kutekeleza shambulizi la mtandao kwenye kituo chake cha kitaifa cha Kusimamia usahihi wa saa kwa sekta kama vile za mawasiliano.
Chama tawala nchini Zimbabwe chachukua hatua ya kurefusha muhula wa rais Mnangagwa
Azimio lililopitishwa katika kongamano la kila mwaka la chama linaelekeza serikali "kuanzisha marekebisho ya sheria yanayohitajika" ili kutekeleza mpango huo.
Wakulima Maswa wakabidhiwa matrekta kilimo cha pamba
Wakulima wa zao la pamba wilayani Maswa, mkoani Simiyu, wamekabidhiwa matrekta 50 yaliyotolewa...
#HABARI: Wakati zoezi la kusaka kura kwa vyama vya siasa likiendelea katika maeneo mbalimbali nchini, Chama cha Mapinduzi (CCM) …
#HABARI: Wakati zoezi la kusaka kura kwa vyama vya siasa likiendelea katika maeneo mbalimbali nchini, Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Mgombea Mwenza Nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa…
Jeshi la Nigeria limekanusha kukamatwa baadhi yao kwa ‘njama ya mapinduzi’ dhidi ya Tinubu
Taarifa ya awali ya jeshi ilisema maafisa 16 wamekamatwa kwa "maswala ya utovu wa nidhamu''.
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Wakulima (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuongoza serikali,…
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Wakulima (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuongoza serikali, atahakikisha anajenga kiwanda cha saruji mkoani Mwanza ili kupunguza gharama za…
Waturuki wa Kupro wapiga kura katika kinyang’anyiro cha urais
Wapiga kura katika Jamhuri ya Uturuki ya Kupro ya Kaskazini (TRNC) walishiriki katika duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais, na uwezekano wa kurudiwa kwa uchaguzi ikiwa hakuna mgombea atakayeshinda…
Historia yaibeba Simba ikiivaa Nsingizini ugenini leo
Simba ipo ugenini katika Uwanja wa Somhololo leo huko Eswatini ambako kuanzia saa 10:00 jioni...
#HABARI: Mtoto wa Hayati Dkt.John Magufuli, Bi
#HABARI: Mtoto wa Hayati Dkt.John Magufuli, Bi. Jesca Magufuli yupo nchini Kenya kushiriki ibada ya mazishi ya aliyekuwa kiongozi wa upinzani, hayati Raila Odinga. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI…
MNEC Mwaselela azindua kampeni ya ‘Amka Twende pamoja Kupiga kura’
Mbeya. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya (MNEC), Ndele...
Kwa rekodi hizi Liverpool ishindwe yenyewe Anfield
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu England, Liverpool watashuka dimbani leo kuvaana na Mashetani...
Haya ndio mazoezi yatakayosaidia mwili wako kuwa mwepesi
Haya ndio mazoezi yatakayosaidia mwili wako kuwa mwepesi. @mcjojo__ ✍Juliana James Mhariri | @claud_jm #AzamTVUpdates
Jeshi la Sudan liko tayari kwa mazungumzo ya kurejesha umoja: Burhan
Matamshi ya Burhan yalikuja kabla ya mikutano ya pande nne iliyopangwa mjini New York kushinikiza suluhu la amani la vita nchini Sudan.
Samia aendelea kusaka kura, abisha hodi Sumbawanga Mjini
Samia anatarajiwa kufanya mkutano mmoja, baada ya jana kufanya mikutano mitatu mkoani Katavi na...
Mamia ya waombolezaji wakiongozwa na Rais wa Kenya, William Ruto wamejitokeza kwenye shughuli ya kuaga mwili wa Waziri Mkuu wa z…
Mamia ya waombolezaji wakiongozwa na Rais wa Kenya, William Ruto wamejitokeza kwenye shughuli ya kuaga mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya na kiongozi wa upinzani nchini humo, Raila…
Huzuni yatanda Raila Odinga akizikwa leo Jumapili
Odinga alifariki Jumatano, Oktoba 15, alipokuwa akipatiwa matibabu katika hospitalini huko...
#HABARI: Wananchi wa Kata ya Ng’anzo wilayani Bukombe mkoani Geita, waliokuwa wakilazimika kutembea umbali wa zaidi ya Kilometa …
#HABARI: Wananchi wa Kata ya Ng'anzo wilayani Bukombe mkoani Geita, waliokuwa wakilazimika kutembea umbali wa zaidi ya Kilometa 20, kutafuta huduma za Mahakama wameondokana na adha hiyo baada ya serikali…
Trump abadilisha msimamo wa kutuma makombora ya Tomahawk kwenda Ukraine
Rais Donald Trump wa Marekani amebadilisha ghafla msimamo wake wa kutuma makombora ya cruise ya Tomahawk kwenda Ukraine.
Arteta amwagia sifa Trossard Arsenal ikibaki kileleni EPL
Kocha mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta amempongeza Leandro Trossard kwa kitendo cha kuisaidia timu...
Uhamiaji yafunguka sakata la Heche kuzuiwa kusafiri
Alidai Heche amezuiwa mpaka wa Tanzania na Kenya wa Sirari Wilaya ya Tarime akibainisha kwamba...
Kisa Chelsea, Nottingham Forest yamtimua kocha
Dakika 18 baada ya kupoteza kwa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea katika mechi ya Ligi Kuu England...
Iran yailaani Israel kwa kuendelea kuua wanawake na watoto Gaza
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran, Esmaeil Baghaei amelaani ukiukaji wa mara kwa mara wa makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza unaofanywa na utawala ghasibu…
China, Iran na Russia zathibitisha; Muda wa Azimio Nambari 2231 umemalizika
Iran, China na Russia zimemwandikia barua ya pamoja Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, kuthibitisha kumalizika muda wa Azimio Nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC)…
Iran yazindua makombora ya Emad, Ghadr yaliyoboreshwa
Kikosi cha Wanaanga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimezindua makombora yaliyoboreshwa ya Emad na Ghadr katika miji ya makombora ya chini ya ardhi.
Libya yafanya uchaguzi wa mitaa ulioakhirishwa tangu Agosti
Tume Kuu ya Uchaguzi ya Libya (HNEC) imetangaza kuanza kwa uchaguzi wa serikali za mitaa katika manispaa 16 nchini kote. Uchaguzi huo ulipaswa kufanyika mwezi Agosti.
Mshindi wa Tuzo ya Nobel ampongeza Netanyahu kwa vita dhidi ya Gaza
María Corina Machado, kiongozi wa upinzani wa Venezuela na Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel ametoa shukrani zake za dhati kwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kwa maamuzi…
Anko Kitime: Franco jabali la muziki Afrika Mashariki na Kati
Kwa wapenzi wa muziki wa dansi kuanzia miaka ya 1951 jina la mwanamuziki Franco Makiadi wa...
#HABARI: Moto ambao uliwashwa kwa ajili ya kusafisha mashamba maeneo ya Kipalapala Mashariki, Kata ya Itetemia Manispaa ya Tabor…
#HABARI: Moto ambao uliwashwa kwa ajili ya kusafisha mashamba maeneo ya Kipalapala Mashariki, Kata ya Itetemia Manispaa ya Tabora, umepeperushwa na upepo na kuteketeza nyumba moja ya muhudumu wa Afya…
#MICHEZO: Baada ya jana timu ya Silver Strikers ya Malawi kuwafunga Yanga goli 1-0, imani ya wachezaji na benchi la ufundi imeku…
#MICHEZO: Baada ya jana timu ya Silver Strikers ya Malawi kuwafunga Yanga goli 1-0, imani ya wachezaji na benchi la ufundi imekuwa kubwa kuelekea mechi ya marudiano tarehe 25. Hizi…
Lulu ni somo na funzo kwa masista duu
Msanii Elizabeth Michael maarufu Lulu. Ni mtu mwenye haiba ya kipekee, mchapakazi, jasiri na...
#HABAI: Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC), imewalipa Shilingi bilioni 1.6 wananchi 213 wa Kijiji cha Mpeta Wilayan…
#HABAI: Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC), imewalipa Shilingi bilioni 1.6 wananchi 213 wa Kijiji cha Mpeta Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma, wanaopisha utekelezaji wa mradi wa SGR kipande cha…
Wanawake aina hii doa kwa jamii
Kwa kutumia lugha ya kiungwana na sura zenye mvuto, wanawake hawa hujifanya wa heshima na wa...
Mapigano kwenye ndoa sawa na uhayawani
Wanandoa wanaopigana wana tofauti gani na hayawani? Hupata faida au burdani gani? Hujenga...
Siri usizopaswa kumueleza mwenza wako
Makala yanajadili baadhi ya siri ambazo si busara kumweleza mwenza wako, hasa kwa wale walio...
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …OKTOBA 19, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 19, 2025
Namna ya kushughulikia hofu,wasiwasi kwa watoto wadogo
Watoto wanapopata usalama wa kihisia kutoka kwa wazazi wao, hujenga misingi imara ya kujiamini...
Mwanasiasa mkongwe wa Kenya Raila Odinga kuzikwa leo
Mwanasiasa mkongwe na mashuhuri barani Afrika Raila Odinga atazikwa leo nyumbani kwake Bondo.
🔴KUMEKUCHA: MATAWI YA CHUO KIKUU MIKOANI…OKTOBA 19, 2025
🔴KUMEKUCHA: MATAWI YA CHUO KIKUU MIKOANI...OKTOBA 19, 2025
🔴#MAGAZETI: SAMIA KUPELEKA BIASHARA KIMATAIFA/ YANGA YAPOTEZA UGENINI…..OKTOBA 19, 2025
🔴#MAGAZETI: SAMIA KUPELEKA BIASHARA KIMATAIFA/ YANGA YAPOTEZA UGENINI.....OKTOBA 19, 2025
#SWALILAKIPIMAJOTO: “Ombi la Shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu kuhusu kuboreshewa vituo vya kupigia kura
#SWALILAKIPIMAJOTO: "Ombi la Shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu kuhusu kuboreshewa vituo vya kupigia kura. Je, linatekelezwa mapema kuwawezesha kupigakura bila vikwazo?
MAHUBIRI: Bwana Yesu anakuja kuchukua kanisa lake
Ukiangalia kichwa cha somo hapo unaweza usielewe lakini ndio programu ya mwisho ya Mungu...
Hizbullah: Vita vya utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya kusini mwa Lebanon vingali vinaendelea
Mbunge mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon Hizbullah amesisitiza kuwa, vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya maeneo ya kusini mwa Lebanon vingali vinaendelea kwa…
HAMAS: Hatutajifunga kukabidhi silaha mpaka yatakapofanyika mazungumzo zaidi
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa haitajifunga moja kwa moja kukabidhi silaha na inatumai usitishaji vita na utawala wa kizayuni wa Israel utadumu kwa muda wa…
HAMAS: Hatutajifunga kukabidhi silaha mpaka yatakapofanyika mazungumzo zaidi palestina na gaza
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa haitajifunga moja kwa moja kukabidhi silaha na inatumai usitishaji vita na utawala wa kizayuni wa Israel utadumu kwa muda wa…