#HABARI: Madereva bodaboda jijini Mbeya, wamelalamikia baadhi ya wamiliki wa usafiri huo kuwapa mikataba kandamizi ambayo huwafa…
#HABARI: Madereva bodaboda jijini Mbeya, wamelalamikia baadhi ya wamiliki wa usafiri huo kuwapa mikataba kandamizi ambayo huwafanya kutotimiza malengo yao. Madereva bodaboda wamebainisha hayo baada ya kupata fursa ya kukopeshwa…
#HABARI: Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imetoa ufafanuzi kuhusu mwenendo wa soko la mbaazi duniani,…
#HABARI: Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imetoa ufafanuzi kuhusu mwenendo wa soko la mbaazi duniani, ikieleza mafanikio na changamoto zinazolikumba zao hilo muhimu kwa wakulima wa…
#NUKUU: “Mungu atapokea maombi yetu, swala zetu, dua zetu, ikiwa nyoyo zetu zina amani, kwasababu ukiomba huna amani hata ile du…
#NUKUU: “Mungu atapokea maombi yetu, swala zetu, dua zetu, ikiwa nyoyo zetu zina amani, kwasababu ukiomba huna amani hata ile dua utaiweka kinyumenyume………” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
🔴TAMASHA LA MICHEZO: WENYEJI CHAN 2024 WAUMALIZA MWENDO ..AGOSTI 24, 2025
🔴TAMASHA LA MICHEZO: WENYEJI CHAN 2024 WAUMALIZA MWENDO ..AGOSTI 24, 2025
Hofu ya vita Ulaya yazua wimbi la uandikishaji jeshini
Shule ya sheria haikumfundisha Constance jinsi ya kufanya mazoezi, kutambua alama za mawasiliano ya redio, au kulala kifudifudi juu ya zege huku akielekeza bunduki yake kwa adui. Badala yake, mwanafunzi…
Ukraine yaadhimisha miaka 34 ya uhuru wake
Hayo yanajiri wakati viongozi mbalimbali wa Ulaya wametoa wito wa kusitishwa kwa vita kati ya Urusi na Ukraine ambavyo vimedumu kwa zaidi ya miaka mitatu. Viongozi kadhaa akiwemo Mfalme Charles…
Netanyahu akabiliwa na shinikizo la kumaliza vita huko Gaza
Miezi kadhaa ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Israel na Hamas hadi sasa hayajazaa matunda.Wanachama wa siasa kali za mrengo wa kulia wanaounda serikali ya mseto ya…
Sudan: Watu 158 wafariki kwa kipindupindu huko Darfur
Wizara ya afya katika jimbo hilo linalodhibitiwa na wanamgambo wa RSF imesema vifo hivyo vimeripotiwa kuanzia mwishoni mwa mwezi Mei mwaka huu. Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limesema…
Korea Kaskazini yafanya jaribio la makombora mapya
Shirika la habari la Korea Kaskazini (KCNA) limesema bila kutoa maelezo zaidi kuwa jaribio hilo la Jumamosi limethibitisha kuwa makombora hayo yanao uwezo wa kukabiliana na vitisho vyote vya angani…
Morocco na nchi zingine 3 zatinga nusu fainali CHAN
Katika mtanange wa nusu fainali za CHAN, Sudan itavaana na Madagascar jijini Dar es Salaam huku Morocco ikimenyana na mabingwa watetezi Senegal mjini Kampala. Mechi hizo zitachezwa Jumanne ya Agosti…