Marco Rubio aelekea ziarani Israel
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio ameelekea Israel atakapokutana kwa mazungumzo na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu. Ni katika juhudi za kudumisha makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya…
Ligi ya Taifa Kikapu itakuwa ni vita
TIMU 16 za wanaume na 12 za wanawake zitashiriki Ligi ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) itakayoanza Novemba 17, mwaka huu huku ikitarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.
Azam FC, KMKM mechi ya historia mpya CAF
HISTORIA mpya itaandikwa kesho kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar es Salaam, wakati matajiri wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC itakapocheza dhidi ya Kikosi Maalumu cha…
Shilole atoa tahadhari, mastaa wanaoiga biashara zake
Kutokana na wimbi la mastaa wa kike kuzidi kujiingiza kwenye biashara ya vyakula maarufu ‘mama...
Hatutaki visingizio timu nne ziingie makundi
WIKIENDI hii klabu za Tanzania zitakuwa na kibarua cha kuhakikisha nchi inaandika historia ya kuingiza klabu nne katika mashindano ya Klabu Afrika msimu huu.
Mechi mbili zijazo ni moto kwa Maximo
MZEE wetu Marcio Maximo aliingia kwa matumaini makubwa ndani ya timu ya Manispaa ya Kinondoni (KMC) kama kocha mkuu kwa ajili ya msimu huu.
Mfalme Charles III na Papa wafanya ibada ya kihistoria
Mfalme Charles III, amekuwa kiongozi wa kwanza wa Kanisa la England kufanya ibada ya hadharani na kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki ulimwenguni Papa Leo XIV
Andabwile asiiangushe Yanga na Folz
YANGA ilipoamua kumsajili Aziz Andabwile kutoka Singida Fountain Gate kuna kitu ambacho ilikiona kwa mchezaji huyo na ikaamini atatoa mchango kwenye kikosi chake.
Viongozi wa dini wavitaka vyombo vya ulinzi kutowatisha wananchi kuelekea uchaguzi
Viongozi wa dini Nyanda za Juu Kusini wameviomba vyombo vya ulinzi na usalama kutumia...
Iran yasema mashambulizi mapya dhidi yake ‘yatashindwa tena’
Iran imetahadharisha kuhusu mashambulizi mapya ya kijeshi dhidi yake na kusema 'yatashindwa tena'.
Jeshi la Polisi Iringa lakabidhiwa magari mapya kuongeza ufanisi
Katika kuimarisha usalama wa wananchi na kudhibiti uhalifu, Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa...
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetoa taarifa ya kurejea kwa huduma za usafiri wa treni za SGR baada ya hitilafu iliyotokea map…
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetoa taarifa ya kurejea kwa huduma za usafiri wa treni za SGR baada ya hitilafu iliyotokea mapema leo, likiwahakikishia wananchi kuwa usafiri unaendelea kama kawaida.…
Droo ya makundi CAF kuchezeshwa Novemba
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limetangaza Novemba 3, 2025, itachezeshwa droo ya upangaji wa makundi kwa msimu wa 2025-2026 katika michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la…
Vance akosoa Israel, mpango wa kuzingira Ukingo wa Magharibi
Makamu wa rais wa Marekani JD Vance, amelikosoa Bunge la Israel kwa kupitisha miswada ya kuuzingira Ukingo wa Magharibi.
#HABARI: Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kufunguliwa kwa vyuo vikuu nchini mwezi Novemba, Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)…
#HABARI: Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kufunguliwa kwa vyuo vikuu nchini mwezi Novemba, Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imewataka wahadhiri na wataalamu wa elimu kufundisha kwa mtazamo wa…
Asilimia 40 ya mizozo ya silaha duniani hutokea Afrika: ICRC
Takriban asilimia 40 ya mizozo inayohusu zana za kivita inatokea bara la Afrika.
Vikwazo dhidi ya Urusi: EU yaziorodhesha kampuni za China
Umoja wa Ulaya umezijumuisha kampuni tatu za China, vikiwemo viwanda viwili vya kusafisha mafuta na kampuni ya biashara ya Chinaoil, katika orodha ya vikwazo dhidi ya Urusi kwa kusaidia biashara…
Vibali vya biashara kilio kipya kwa wafanyabiashara mipakani
Vibali na vyeti vya biashara vimekuwa kilio kipya kwa wafanyabiashara wa mipakani katika...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza kituo cha polisi Nandagala kilichopo Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi kianze kutoa huduma if…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza kituo cha polisi Nandagala kilichopo Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi kianze kutoa huduma ifikapo Novemba Mosi mwaka huu. Akikagua ujenzi wa kituo hicho leo, Majaliwa…
TUCTA: Chagueni viongozi watakaojali haki na maslahi ya wafanyakazi nchini
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, amewataka...
EU kujadili malengo ya utoaji wa gesi chafu
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wakutana mjini Brussels kwa mazungumzo muhimu ya kuweka lengo jipya la kupunguza utoaji wa gesi chafu kwa asilimia 90 ifikapo mwaka 2040.
Jamhuri yaridhia maelezo ya shahidi wake kuwa kielelezo cha utetezi wa Lissu
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imeipokea nakala ya maelezo ya maandishi ya shahidi...
Benki ya CRDB imewataka wafanyabiashara, wajasiriamali na wananchi kwa ujumla kuendelea kukumbatia matumizi ya huduma za kifedha…
Benki ya CRDB imewataka wafanyabiashara, wajasiriamali na wananchi kwa ujumla kuendelea kukumbatia matumizi ya huduma za kifedha za kidijitali ili kuongeza ufanisi katika shughuli zao za kiuchumi na kufikia maendeleo…
#HABARI: Mgombea Mwenza wa nafasi ya Makama wa Rais Mhe
#HABARI: Mgombea Mwenza wa nafasi ya Makama wa Rais Mhe. Devota Minja amesema CHAUMMA kikipata ridhaa itashirikiana na Serikali ya Zanzibar kutafuta masoko ya uhakika ya karafuu na mwani ili…
Dk Mwinyi: Tunataka kurejesha heshima ya zao la karafuu
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amesema Serikali imefanya uamuzi wa makusudi kukabidhi...
Madereva bodaboda, bajaji wafundwa kupambana na rushwa
Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza, Crispin Francis...
Ada Tadea kuufanya Wete mji wa biashara
Mgombea urais wa chama hicho amesema katika kuinua Mji wa Wete kibiashara, ni lazima kuwepo na...
Mgombea wa upinzani Cameroon Tchiroma atoa wito wa maandamano kabla ya matokeo
Maafisa wamepiga marufuku mikusanyiko ya umma na safari za boda boda katika miji mbalimbali wakati wakisubiri kutangazwa kwa matokeo ya mwisho kufikia Jumatatu jioni.
Jinsi wateja wanavyoomba keki, vinywaji vyenye dawa za kulevya
Wakati vijana wa vyuo vikuu wakituhumiwa kutengeneza biskuti za bangi, wapishi na watengeneza...
Chadema wahoji alipo Heche, baada ya kukamatwa na Polisi
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimehoji mahali alipo Makamu Mwenyekiti wake...
INEC yatoa maelekezo ya kisera kuelekea uchaguzi mkuu
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetoa maelekezo ya kisera katika uchaguzi mkuu...
Mtoto wa Mjini – 12
“Finally we have met once again. (Hatimaye tumeonana kwa mara nyingine)” Linnie alisema na kuachia tabasamu lililoonyesha meno yake meupe yalipangiliwa vizuri kinywani mwake. “God is great...” (Mungu ni mkubwa),…
Benítez apata ajira ya 17 baada ya miezi 19
Baada ya kusubiri kwa miezi 19 bila kazi ya ukocha, kocha raia wa Hispania Rafa Benítez yuko...
TRA United yaandika rekodi mpya Ligi Kuu
BAADA ya TRA United zamani Tabora United jana kushindwa kufungana na maafande wa Mashujaa FC kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mkoani Tabora, timu hiyo imefikisha mechi 11 mfululizo za…
Pointi nne zampa mzuka Kocha Fountain Gate
KOCHA wa Fountain Gate, Mohamed Ismail 'Laizer' amesema kupata pointi nne kati ya sita katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara na kikosi hicho, zimeamsha morali kubwa kwa wachezaji kupambana…
Jinamizi la saratani ya matiti
Oktoba ni mwezi maalumu kwa ajili ya kujenga ufahamu kuhusu saratani ya matiti. Ni wakati wa kuwakumbuka waathirika wa aina hii ya saratani, lakini pia kuthibitisha tena dhamira yetu ya…
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imekabidhiwa rasmi majengo ya kikosi cha mafunzo kwa Mbwa Nusa, yaliyotolewa…
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imekabidhiwa rasmi majengo ya kikosi cha mafunzo kwa Mbwa Nusa, yaliyotolewa na Shirika la Kimataifa la African Wildlife Foundation (AWF) jijini Arusha. Lengo…
Richkard matumaini kibao Ligi Kuu Zanzibar
KOCHA Msaidizi wa Malindi, Mohamed Salah ‘Richkard’ ameanza kujipa matumaini wakati kikosi hicho kikishikilia nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar.
Nahdi ajiona bingwa Guru Nanak
DEREVA chipukizi kutoka Morogoro, Waleed Nahdi ambaye amekuwa tishio jipya kwenye mbio za magari kuwania ubingwa wa taifa mwaka huu, amesema anaamini atashinda za Guru Nanak, zitakazofanyika Novemba 8, 2025…
Erdogan na Sultan wa Oman wakutana Muscat, waahidi kuimarisha uhusiano, kuunga mkono Palestina
Uturuki, Oman wana misimamo sawa katika masuala mengi, hasa Palestina, na watafanya kazi pamoja kuelekea suluhu ya mataifa mawili, Rais wa Uturuki amwambia sultani wa Oman.
TRC yarejesha safari za SGR
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limerejesha safari za treni za umeme za SGR, baada ya kusitisha...
Wanawake wahamasishwa kupiga kura
Muunganiko wa asasi za wanawake umewahimiza wanawake nchini kujitokeza kupiga kura Oktoba 29...
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Felista Mdemu amesema anatarajiwa kuona ufanisi wa kazi wa maafisa maendeleo ya …
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Felista Mdemu amesema anatarajiwa kuona ufanisi wa kazi wa maafisa maendeleo ya jamii nchini unaimarika na kuongezeka hasa katika ngazi za chini,…
#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Rombo mkoani Kilimanjaro na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof
#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Rombo mkoani Kilimanjaro na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali inaendelea kufanya mageuzi makubwa katika kukuza sekta ya elimu nchini,…
Kutoka siku 15 hadi saa 72: Malipo ya kidijitali yaharakisha fidia kwa wahudumu wa afya 120,000 nchini Kenya
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) kwa ushirikiano na Wizara ya Afya, Jamhuri ya Kenya wametoa ripoti leo hii kuwa kwa miaka mingi, wahudumu wa afya nchini…
Baraza la Usalama lajadili changamoto ya misaada na usitishwaji mapigano Gaza
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekutana leo jijini New York kujadili masuala ya Mashariki ya Kati, ikiwemo suala la Palestina ambapo Ramiz Alakbarov, Naibu Mratibu Maalum wa kanda…
UN ikiadhimisha miaka 80 wakimbizi wasihi kupatikana kwa amani ya kudumu ili warejee makwao
Dunia ikiadhimisha siku ya Umoja wa Mataifa tarehe 24 Oktoba ambapo inatimiza miaka 80 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1945 huko San Fransisco nchini Marekani mara baada ya kumalizika kwa vita…
Msimu wa nne wa baridi, UN yaendelea kutoa msaada nchini Ukraine licha ya mashambulizi
Kadri Ukraine inavyoingia katika msimu wake wa nne wa baridi tangu kuanza kwa uvamizi wa Urusi kwa kiwango kikubwa mwaka 2022, Umoja wa Mataifa unaendelea kujitolea kutoa msaada wa kibinadamu…
Mashirika ya UN yatoa wito wa dharura kukabili janga la kibinadamu linalongezeka Sudan
Mashirika manne ya Umoja wa Mataifa lile la Uhamiaji IOM, la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR, la Kuhudumia Watoto UNICEF na la Mpango wa Chakula Duniani WFP leo yametoa wito wa pamoja…