Kuacha kazi ni uamuzi mkubwa unaoweza kuathiri maisha yako kifedha na kitaalamu
Kuacha kazi ni uamuzi mkubwa unaoweza kuathiri maisha yako kifedha na kitaalamu. Ondoka mikononi mwa mwajiri wako wa awali kwa heshima na hakikisha unahifadhi uhusiano mzuri wa kikazi.' Kabla ya…
“Chama chetu chama cha Mapinduzi ndio kimebeba matumaini ya Watanzania ndani ya nchi yetu, kuanzia vijana ambao ndio moyo wa nch…
"Chama chetu chama cha Mapinduzi ndio kimebeba matumaini ya Watanzania ndani ya nchi yetu, kuanzia vijana ambao ndio moyo wa nchi yetu, wanawake walezi wa Taifa hili, lakini makundi mbalimbali…
Mastaa Yanga wavuna Sh210 milioni
BAADA ya Yanga kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, mabosi wa klabu hiyo wamewatunuku mastaa wa kikosi hicho Sh200 milioni kufuatia kazi kubwa waliyoifanya.
🔴HAPA NA PALE KUTOKA NJOMBE: OKTOBA 27, 2025
🔴HAPA NA PALE KUTOKA NJOMBE: OKTOBA 27, 2025
Othman aibua tuhuma mpya kuhusu uchaguzi, ZEC yamuonya
Wakati mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman akitoa tuhuma...
NLD yaahidi kutekeleza Dira 2050
Chama cha National League for Democracy (NLD) kimesema kinakwenda kutekeleza Dira ya Taifa ya...
Mwalimu aapa kupunguza umaskini, gharama za maisha
Amesema amedhamiria kutatua kero za wananchi kwa sababu Chaumma ina mipango mizuri ya kuondoa...
Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM, Paul Makonda, ameahidi kujenga barabara ya juu (flyover) na barabara za nji…
Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM, Paul Makonda, ameahidi kujenga barabara ya juu (flyover) na barabara za njia nne katika maeneo yenye msongamano mkubwa jijini Arusha, endapo…
Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) limeendelea kutoa elimu kwa wadau wa kilimo cha korosho kuhusu matumizi ya mfumo wa mauzo ya minad…
Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) limeendelea kutoa elimu kwa wadau wa kilimo cha korosho kuhusu matumizi ya mfumo wa mauzo ya minada kwa njia ya kidijitali, ikiwa ni maandalizi ya…
Serikali imeendelea kuibua matumaini mapya kwa wakulima waliokuwa wakijihusisha na kilimo cha mazao haramu kama bangi na mirungi…
Serikali imeendelea kuibua matumaini mapya kwa wakulima waliokuwa wakijihusisha na kilimo cha mazao haramu kama bangi na mirungi, kwa kuwawezesha kuingia kwenye kilimo cha mazao halali yenye tija. Kupitia Mamlaka…
DSE yazidi kupata faida, imani ya uwekezaji yaongezeka
Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) limeendelea kutengeneza faida na kukua huku uelewa na...
Zanzibar kuanza kupiga kura kesho
Ni dhahiri safari ya siku 46 za kampeni za kuusaka urais, ubunge, uwakilishi na udiwani...
#HABARI: Wizara ya Nishati imeanza kutoa elimu kuhusu nishati safi ya kupikia kwa Maafisa Dawati wa Nishati Safi ya Kupikia nga…
#HABARI: Wizara ya Nishati imeanza kutoa elimu kuhusu nishati safi ya kupikia kwa Maafisa Dawati wa Nishati Safi ya Kupikia ngazi ya mikoa na halmashauri kwa lengo la kuwa na…
#HABARI: Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapindunzi (CCM) katika Jimbo la Rorya Mhe
#HABARI: Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapindunzi (CCM) katika Jimbo la Rorya Mhe. Jafarry Chege amehitimisha kampeni zake huku akiwataka wananchi kuhakisha wanajitokeza kwenda kupiga kura na kuwachagua…
JKT Queens yapewa kundi la vigogo Klabu Bingwa Afrika
Wawakilishi wa Tanzania na Afrika Mashariki na Kati katika Fainali za Klabu Bingwa Afrika kwa...
Jude Bellingham matatani kisa Lamine Yamal
Tabia za Jude Bellingham zimeanza kuchunguzwa upya baada ya nyota huyo wa Real Madrid kuonekana...
Taarifa kwa Umma:
Taarifa kwa Umma: Ahsanteni na tunawatakia kila la kheri katika uchaguzi mkuu5 hakutakuwa na safari yoyote ya boti na meli. Huduma zetu zitarejea siku ya Alhamis tarehe 30/10/2025 kwa nyakati…
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Ruvuma limeongezewa nguvu kwa kupewa vifaa mbalimbali vya kukabiliana na majanga ya moto iki…
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Ruvuma limeongezewa nguvu kwa kupewa vifaa mbalimbali vya kukabiliana na majanga ya moto ikiwa ni sehemu ya kuliongezxea nguvu. Vifaa hivyo vyenye thamani ya…
Iran: UN isipendelee upande wowote, ikabiliane na ukiukwaji wa sheria za kimataifa unaofanywa na Marekani na Israel
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametaka Umoja wa Mataifa kuwakilisha kwa dhati haki za mataifa yote, huku akilaani uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran…
Mpinzani mkuu Ivory Coast akubali kushindwa huku matokeo ya awali yakionyesha rais Ouattara anashinda
Waziri wa zamani wa biashara wa Ivory Coast, Jean-Louis Billon, amekubali kushindwa na Rais aliyepo madarakani, Alassane Ouattara, katika uchaguzi wa urais wa taifa hilo, kufuatia matokeo ya awali yanayoonyesha…
Marekani yamkamata mwandishi muunga mkono Palestina Sami Hamdi
Mwandishi wa habari raia wa Uingereza anayejulikana kwa kuunga mkono Palestina amekamatwa nchini Marekani na shirika la Uhamiaji na Forodha (ICE), kufuatia shinikizo kutoka kwa makundi yanayoiunga mkono Israel.
Shirika la Kitaifa la Vipaji la Iran lawatunuku washindi 17 wa medali za Olimpiadi za Sayansi
Shirika la Kitaifa la Vipaji la Iran (INEF) limeandaa hafla maalum ya kuwatunuku wanafunzi 17 wenye vipaji na vijana waliotwaa medali za dhahabu, fedha na shaba katika mashindano ya kimataifa…
Velayati: Iran, Russia na China zina mchango madhubuti katika kuunda mfumo mpya wa dunia
Mshauri mwandamizi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Dkt. Ali Akbar Velayati, amesema kuwa Iran, China na Russia, kama mataifa matatu huru yenye nguvu barani Asia,…
Waarabu kuamua Simba, Yanga kukutana makundi CAF
Tanzania sasa ina furaha baada ya Klabu zake zote nne kutinga hatua ya makundi ya mashindano ya...
🔴MEZA HURU: KAMERA ZA ULINZI …OKTOBA 27, 2025
🔴MEZA HURU: KAMERA ZA ULINZI ...OKTOBA 27, 2025
Katibu Mkuu wa UN aeleza wasiwasi mkubwa kufuatia kuongezeka kwa mapigano El Fasher, Sudan
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameelezea wasiwasi wake mkubwa kufuatia kuongezeka kwa mapigano ya kijeshi mjini El Fasher, jimbo la Darfur Kaskazini, nchini Sudan.
RSF yapanua wigo wa udhibiti wake Sudan ikiongeza ukatili kwa raia: OHCHR
Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa OHCHR leo imesema imepokea taarifa za kutisha kuwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) vinafanya ukatili wa kutisha, ikiwemo mauaji ya…
Kimbunga Melissa ni tishio Carribea ,watoto milioni 1.6 wako hatari: UNICEF
Wakati Kimbunga Melissa kikitarajiwa kuleta mvua kubwa na upepo mkali katika eneo la Carribea, takriban watoto milioni 1.6 wako hatarini, huku familia katika nchi za Jamaica, Haiti na visiwa jirani…
Guterres: Ni wakati wa kukomesha ukatili Myanmar
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa wito kwa dunia na mataifa wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kusini-Mashariki mwa Asia, ASEAN kuchukua hatua za haraka kumaliza machafuko…
Kupunguzwa kwa misaada kunatishia juhudi za kukomesha ukatili dhidi ya wanawake: Ripoti ya UN Women
Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Wanawake UN Women, limeonya kuwa upunguzaji mkubwa wa ufadhili unavunja misingi ya mashirika muhimu yanayopigania kukomesha ukatili dhidi ya wanawake na wasichana.
UNICEF yachukua hatua za kukabiliana na mlipuko wa MPOX Kenya
Katika kaunti ya Mombasa nchini Kenya, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) kwa kushirikiana na wa Mastercard Foundation na Serikali ya Kaunti ya Mombasa, imechukua hatua za…
Umoja wa Mataifa waonya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu El Fasher, Sudan
Ofisi ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeelezea wasiwasi mkubwa kufuatia ripoti za vifo vya raia na wimbi la wakimbizi wa ndani, kufuatia kuendelea kwa…
#HABARI: Aliyekuwa Meya wa Halmashauri ya Manisapaa ya Tabora na Mgombea Udiwani wa Kata ya Isevya Mkoani Tabora kupitia CCM Bw
#HABARI: Aliyekuwa Meya wa Halmashauri ya Manisapaa ya Tabora na Mgombea Udiwani wa Kata ya Isevya Mkoani Tabora kupitia CCM Bw. Ramadhan Kapela, ametamatisha kampeni zake za kuomba kura, akiahidi…
Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema imekamilisha usambazaji wa vifaa vya kura zikiwemo karatasi za kupigia kura kat…
Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema imekamilisha usambazaji wa vifaa vya kura zikiwemo karatasi za kupigia kura katika vituo vyote vya uchaguzi huku kesho Oktoba 28, 2025 kura…
Katika kukabiliana na hali ya kukatika kwa umeme mara kwa mara mkoani Mtwara, Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limezindua mtamb…
Katika kukabiliana na hali ya kukatika kwa umeme mara kwa mara mkoani Mtwara, Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limezindua mtambo wa kuzalisha umeme kwa kutumia gesi ili kuongeza Megawati 20…
Wataalamu wa mazingira kutoka nchi mbalimbali Afrika wameanza kikao cha kuandaa mkakati wa pamoja wa kukabiliana na athari za ma…
Wataalamu wa mazingira kutoka nchi mbalimbali Afrika wameanza kikao cha kuandaa mkakati wa pamoja wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi ambayo yameendelea kuchangia kuathiri nyanja mbalimbali za maisha…
Zimamoto Mbeya: Majanga yatabaki historia
Jeshi la Zimamoto na uokoaji Mkoa wa Mbeya limesema matukio ya majanga na ajali za moto...
#HABARI: Serikali kwa kushirikiana na wanaharakati wa kukabiliana na vitendo vya ukatili dhidi ya watoto jijini Tanga ikiwemo k…
#HABARI: Serikali kwa kushirikiana na wanaharakati wa kukabiliana na vitendo vya ukatili dhidi ya watoto jijini Tanga ikiwemo kuwaingilia watoto wao kinyume na maumbile,wameiomba jamii kusaidia kuwafichua baadhi ya wazazi…
Sita wafariki katika matukio ya moto 16 mkoani Mara
Watu sita wamefariki dunia na wengine wanane kujeruhiwa mkoani Mara katika kipindi cha miezi...
Siri ya urembo ipo kwenye mambo haya
Katika dunia ya sasa, urembo wa mwanamke haupimwi tena kwa vipodozi vya bei ghali au mavazi ya...
Kilichopo nyuma ya Mr Blue na ngoma zake kali
Msanii wa R&B na Bongo Flava, Khery Sameer Rajab 'Mr Blue' ameelezea namna anavyofanya...
Katibu wa Itikadi, Siasa, Mafunzo na Uenezi wa Wilaya ya Tanga, Kipanga Salim Juma, ametoa tathmini ya kampeni zilizofanyika kat…
Katibu wa Itikadi, Siasa, Mafunzo na Uenezi wa Wilaya ya Tanga, Kipanga Salim Juma, ametoa tathmini ya kampeni zilizofanyika katika Jimbo la Tanga, akisema chama kimefanya kazi kubwa ya kuwasilisha…
Serikali mkoani Mara imeliagiza Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani humo kufanya ukaguzi katika majengo ya serikali na majengo y…
Serikali mkoani Mara imeliagiza Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani humo kufanya ukaguzi katika majengo ya serikali na majengo yanayoendelea kujengwa ili kubaini usalama wa mifumo ya kupambana na majanga…
Ushirikiano mpya utakavyoimarisha afya, utawala
Dar es Salaam. Jumuiya ya Afya ya Afrika Mashariki, Kati na Kusini (ECSA-HC) na Jukwaa la...
Mastaa kuongozana na ‘mabodigadi’ siri ni hii!
Bongo ukiachana na viongozi wa serikali na sekta binafsi, wasanii wanaongoza kwa kuwa na...
Velayati: Uhusiano wa Iran na China ni wa kimkakati na wa kina
Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa wa kina uhusiano wa kihistoria na mzuri uliopo kati ya Iran na China na kusema: "Uhusiano wa nchi hizo mbili una…
Meneja wa kituo cha uzalishaji umeme cha mradi wa Rusumo, Mhandisi Patrick Lwesya amesema zaidi ya tani 10 za magugu maji yamedh…
Meneja wa kituo cha uzalishaji umeme cha mradi wa Rusumo, Mhandisi Patrick Lwesya amesema zaidi ya tani 10 za magugu maji yamedhibitiwa kwa kuvunwa katika mradi huo na kutumika kwa…
NBC Premier League Jumapili hii
NBC Premier League Jumapili hii. Mnyama Simba SC atakuwa dimba la Benjamin Mkapa akiwakaribisha matajiri wa jiji, AzamFC. Mechi hii itapigwa kuanzia saa 11:00 jioni na kuruka mbashara kupitia AzamSports1HD.…
‘Wafanyakazi waruhusiwe wakapige kura walikojiandikisha’
Haya yamesemwa ikiwa zimebaki siku mbili kabla Watanzania kwenda kupiga kura kumchagua Rais...