🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewapongeza wanachama wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) walioteuliwa kugombea nafasi za Ubunge, Uwakilishi na Udiwani. Kupitia Ukurasa…
Kwa nini Pakistan imeunda kamandi mpya ya kijeshi?
Kwa mujibu wa Waziri Mkuu, kamandi hii kitakuwa na zana za kisasa na kueleza kuwa ni ‘hatua muhimu’ ambayo itaimarisha zaidi uwezo wa ulinzi wa Pakistan.
🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu: Liverpool kurudi na dau jipya kwa Isak wiki hii
Newcastle kupokea ofa mpya kutoka Liverpool kwa mshambuliaji wao wa Sweden, Alexander Isak, huku Spurs ikiendelea na jitihada za kumsaka Savinho wa Man City Liverpool kutoa dau jipya kwa Alexander…
CHAN 2024: Wenyeji wana chakujivunia baada ya kutolewa?
Mashindano ya CHAN ni kipimo kizuri kwa nchi hizi kuangalia fursa na changamoto kuelekea AFCON. Kwa kuzingatia ukweli kwamba nusu na robo ya viwanja ambavyo vitatumika bado havijakamiliki.
🔴HABARI ZA SAA: SAA TATU NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
🔴HABARI ZA SAA: SAA TATU NA DAKIKA 55, AGOSTI 25, 2025
Uchaguzi Tanzania 2025: Familia tano za vigogo CCM zilizopenya mbio za Ubunge
Katika orodha ya wagombea wa CCM, wapo ambao wametoka katika familia za vigogo wa chama cha Mapinduzi kutoka upande wa Tanzania bara na Zanzibar, kuanzia rais wa sasa na marais…
#HABARI: Wiki moja baada ya Rais William Ruto kuibua madai ya ufisadi kukithiri katika kamati za bunge nchini Kenya, viongozi na…
#HABARI: Wiki moja baada ya Rais William Ruto kuibua madai ya ufisadi kukithiri katika kamati za bunge nchini Kenya, viongozi na wananchi nchini humo sasa wanamtaka Rais Ruto kuongoza katika…
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UFUNDI KWENYE UMEME, AGOSTI 25, 2025
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: UFUNDI KWENYE UMEME, AGOSTI 25, 2025