🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 17, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, OKTOBA 17, 2025
Marekani: John Bolton, mshauri wa usalama wa kitaifa wa Donald Trump, akabiliwa na mashtaka 18
Aliyekuwa mshauri wa usalama wa taifa wa Donald Trump anakabiliwa na mashtaka 18 yanayohusiana na kumiliki na kufichua nyaraka za siri wakati wa muhula wake wa kwanza. John Bolton, ambaye…
Wadau wa elimu jumuishi wameandaa mbio maalum za uhamasishaji kuhusu changamoto ya ‘dyslexia’, ambazo zinatarajiwa kufanyika Okt…
Wadau wa elimu jumuishi wameandaa mbio maalum za uhamasishaji kuhusu changamoto ya 'dyslexia', ambazo zinatarajiwa kufanyika Oktoba 19, 2025. Waandaaji wa mbio hizo wamesema lengo kuu la tukio hilo ni…
NBC Premier League inarejea leo Ijumaa kwa michezo miwili
NBC Premier League inarejea leo Ijumaa kwa michezo miwili Saa 8:00 mchana, Pamba Jiji watakuwa dimba la CCM Kirumba wakiwakaribisha Mashujaa FC. Saa 10:15 jioni, Fountain Gate watakuwa uwanja wa…
#HABARI: Serikali kupitia Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii imejipanga kuimarisha ufuatiliaji na kuwajengea uwezo wataalam wa af…
#HABARI: Serikali kupitia Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii imejipanga kuimarisha ufuatiliaji na kuwajengea uwezo wataalam wa afya nchini ili kuboresha utambuzi wa haraka wa ugonjwa wa Kipindupindu, hatua…
NBC Premier League inarejea leo Ijumaa hii kwa michezo miwili
NBC Premier League inarejea leo Ijumaa hii kwa michezo miwili Saa 8:00 mchana, Pamba Jiji watakuwa dimba la CCM Kirumba wakiwakaribisha Mashujaa FC. Saa 10:15 jioni, Fountain Gate watakuwa uwanja…
Peru: Serikali kutangaza hali ya hatari katika mji wa Lima kufuatia wimbi la maandamano ya ghasia
Serikali mpya ya Peru imetangaza siku ya Alhamisi nia yake ya kutangaza hali ya hatari katika mji mkuu, Lima, kufuatia wimbi la ghasia za uhalifu zilizopangwa ambazo zimesababisha maandamano makubwa…
#MICHEZO : Baada ya safari ya muda mrefu hatimaye Jana usiku mashabiki wengi wa Yanga walifanikiwa kufika mpakani
#MICHEZO : Baada ya safari ya muda mrefu hatimaye Jana usiku mashabiki wengi wa Yanga walifanikiwa kufika mpakani. Ingawa muda ulikuwa umeenda hivyo ililazimu kulala hapa na kisha Asubuh tumeanza…
Donald Trump atangaza kuwa atakutana na Vladimir Putin Budapest
Donald Trump ametangaza siku ya Alhamisi, Oktoba 16, kwamba atakutana na Vladimir Putin huko Budapest, mji mkuu wa Hungary, bila kutoa tarehe maalum, baada ya mazungumzo ya simu na mwenzake…
Mradi wa CookFund wakabidhi mashine ya kupima hewa isiyo safi kwa TBS kuboresha majiko yanayotumika kupikia
Mfuko wa Maendeleo ya Mitaji wa Umoja wa Mataifa (UNCDF), kupitia mradi wa CookFund...
Sababu Watanzania kuchangamkia tiba asili
Hata hivyo, hakuna utafiti wa kina unaoonyesha kama watumiaji hao ni wakazi wa vijijini au mijini.
Kanali Michael Randrianirina kuapishwa kama rais mpya wa Madagascar
Kiongozi mpya wa kijeshi nchini Madagascar Kanali Michael Randrianirina ataapishwa kuwa Rais mapema leo Ijumaa. Amesema pia kuwa yuko tayari kwa mazungumzo na Umoja wa Afrika baada ya taasisi hii…
Wajasiriamali wanawake wapelekwa China kuchukua ujuzi mpya, teknolojia
Wajasiriamali 20 kutoka Tanzania wameondoka kwenda nchini China kujifunza teknolojia za...
Ibada ya mazishi ya kwenye uwanja wa Nyayo kudumu saa mbili
Makamu wa Rais Kithure Kindiki ametangaza kuwa ibada ya mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga yatafanyika katika uwanja wa kitaifa wa Nyayo siku ya Ijumaa, kuanzia saa…
Keki ya Taifa inapopishana na mstaafu ‘aliyeipika’!
Mstaafu wetu anashukuru alianza kazi miaka ilee ambayo mashirika na kampuni za Siri-kali na...
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 17, 2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 17, 2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
Kenya: Wanne wauawa kufuatia vurugu wakati wa kuagwa mwili wa Raila Odinga
Watu wanne waliuawa katika mji mkuu wa Kenya Nairobi siku ya Alhamisi baada ya vikosi vya usalama kufyatua risasi na vitoa machozi kutawanya umati mkubwa wa watu katika uwanja wa…
🔴KUMEKUCHA: UMUHIMU WA KUPIGA KURA …OKTOBA 17, 2025
🔴KUMEKUCHA: UMUHIMU WA KUPIGA KURA ...OKTOBA 17, 2025
Namna ya kuwafariji wafiwa katika Uislamu
Wanazuoni wamekubaliana kuwa ni Sunna kutoa pole kwa wafiwa wote wanaume kwa wanawake, wakubwa...
Sababu watoto kupata UTI kirahisi
Habari nzuri za kitakwimu ni kuwa UTI haijakuwa tishio kama ilivyo kwa magonjwa kama malaria...
Tumia vyakula hivi kuboresha afya ya macho
Uhaba wa Vitamin A mwilini unaweza kusababisha matatizo mbalimbali ya macho ikiwemo upofu wa...
Namna ya kuuwafariji wafiwa katika Uislamu
Wanazuoni wamekubaliana kuwa ni Sunna kutoa pole kwa wafiwa wote wanaume kwa wanawake, wakubwa...
Waajiri wanavyoweza kuokoa afya za wafanyakazi
Wafanyakazi wengi hukumbana na changamoto mbalimbali kazini ambazo huongeza hatari ya kupata...
Prediabetes ni kengele ya onyo kwa afya yako
Prediabetes ni kama kengele inayokutaarifu kuwa unaweza kupata kisukari, Hali hii husababishwa...
🔴MAGAZETI: MAPOKEZI MWILI WA ODINGA USIPIME AIRPORT YAVAMIWA…..OKTOBA 16, 2025
🔴MAGAZETI: MAPOKEZI MWILI WA ODINGA USIPIME AIRPORT YAVAMIWA.....OKTOBA 16, 2025
#KIPIMAJOTO: Wanaochana na kuharibu mabango ya Kampeni za Wagombea
#KIPIMAJOTO: Wanaochana na kuharibu mabango ya Kampeni za Wagombea. Je, waadhibiwe kama wachochezi?
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …OKTOBA 17, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 17, 2025
Pezeshkian: Vijana wa Iran wamebobea katika uzalishaji wa makombora
Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameashiria uwezo wa kustaajabisha wa vijana wa Jamhuri ya Kiislamu na kusisitiza kuwa, vijana wa taifa hili ndio ambao wanetengeneza makombora na nishati ya nyuklia…
Mawaziri wa Iran na Tunisia: Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni kukomeshwa uvamizi wa Israel
Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Tunisia wamesisitiza kuwa, kulitatua suala la Palestina kunahitaji kukomeshwa kukaliwa kwa mabavu na kutekelezwa haki ya kujitawala wananchi…
Rais Rajoelina athibitisha kuikimbia Madagascar
Rais wa Madagascar aliyeondolewa madarakani Andry Rajoelina amethibitisha kwa mara ya kwanza kwamba aliikimbia nchi hiyo kati ya Oktoba 11 na 12.
China yakataa takwa la Trump la kutonunua mafuta ya Russia
Ubalozi wa China mjini Washington umesisitiza kuwa, kuwekwa vikwazo vya upande mmoja na mashinikizo mengine yoyote kutoka kwa serikali ya Marekani hakutaathiri ushirikiano wa kunufaishana kati ya China na Russia.
Gaza, miaka miwili katika moto na damu; kilio kisicho na majibu katika kimya cha dunia
Mashambulio ya utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Gaza yamesababisha kuibuka migogoro 15 ya kimsingi kwa wakazi wa eneo hilo.
Ijumaa, Oktoba 17, 2025
Leo ni Ijumaa, tarehe 25 Mehr, 1404 Hijria Shamsia, sawa na tarehe 24 Rabi' al-Thani, 1447 Hijiria Qamaria, na inayosadifiana na Oktoba 17, 2025 Miladia.
Mamlaka ya Elimu nchini (TEA), Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) na Serikali ya Canada zimekamilisha ujen…
Mamlaka ya Elimu nchini (TEA), Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) na Serikali ya Canada zimekamilisha ujenzi na ukarabati wa maabara nne za majaribio ya kisayansi katika…
“Kama mnavyofahamu Baba wa Taifa alikuwa ni mtu makini sana, katika kuhakisha kwamba anahubiri na kuitunza amani” Edward Katisho…
"Kama mnavyofahamu Baba wa Taifa alikuwa ni mtu makini sana, katika kuhakisha kwamba anahubiri na kuitunza amani" Edward Katisho - Mshiriki Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: -…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 16, OKTOBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 16, OKTOBA 2025
#HABARI: Wajumbe wa Mradi wa Pamoja wa Vyama Vikuu vya Ushirika wa Korosho (KCJE LTD), wameendelea na ziara yao ya kutembelea vy…
#HABARI: Wajumbe wa Mradi wa Pamoja wa Vyama Vikuu vya Ushirika wa Korosho (KCJE LTD), wameendelea na ziara yao ya kutembelea vyama vingine vya ushirika wa mazao nchini, kwa lengo…
Mke wa Rais wa Uturuki Emine Erdogan atetea nafasi ya wanawake katika Jukwaa la Uturuki-Afrika
Katika hotuba yake kwenye Jukwaa la Tano la Biashara na Uchumi la Uturuki-Afrika siku ya Alhamisi, Mke wa Rais wa Uturuki Emine Erdogan alisisitiza nafasi muhimu ya wanawake katika kuunda…
Benki ya CRDB yajitosa kusaidia wawekezaji Afrika Mashariki
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB, Profesa Neema Mori amesema benki hiyo imejipanga...
#HABARI: Seif Msumari Hozza (26), Mkazi wa Luchelele na mfanyabiashara, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Nyamagana mkoan…
#HABARI: Seif Msumari Hozza (26), Mkazi wa Luchelele na mfanyabiashara, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, kwa tuhuma za kulawiti mtoto wa kike mwenye umri wa miaka…
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Makame, amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, akisisitiza kuwa maamuzi y…
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Makame, amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, akisisitiza kuwa maamuzi yao ndiyo yatakayoweka msingi wa ndoto na hatma ya watoto wao…
UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Mtazamo kupiga kura kishabiki, bendera fuata upepo
Kama wengi wetu tunavyofahamu, Oktoba 29,2025 ndio siku ambayo taifa letu litafanya uchaguzi...
Raia wawili wa Kenya wamefariki dunia baada ya polisi nchini humo kufyatua risasi kuwatawanya waombolezaji wa msiba wa Raila Odi…
Raia wawili wa Kenya wamefariki dunia baada ya polisi nchini humo kufyatua risasi kuwatawanya waombolezaji wa msiba wa Raila Odinga katika uwanja wa Kasarani baada ya maelfu ya waombolezaji hao…
Shahidi kesi ya Lissu alivyohitimisha ushahidi wa siku tano
Shahidi wa pili wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu, amehitimisha...
Wakimbizi wa Burundi wanaoishi katika kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma wamefutiwa rasmi hadhi ya ukimbizi na kutakiwa kurejea Bu…
Wakimbizi wa Burundi wanaoishi katika kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma wamefutiwa rasmi hadhi ya ukimbizi na kutakiwa kurejea Burundi hadi kufikia Juni mwakani kabla ya hatua kuanza kuchukuliwa dhidi yao…
🔴 MALUMBANOYAHOJA: “MIAKA 26 BAADA YA KIFO CHA MWALIMU JULIUS NYERERE
🔴 MALUMBANOYAHOJA: "MIAKA 26 BAADA YA KIFO CHA MWALIMU JULIUS NYERERE . JE, AMEACHA URITHI GANI KWA WATANZANIA?", OKTOBA 16, 2025
Watu wanne wafariki dunia kufuatia majaribio ya vikosi vya usalama kuwatawanya waombolezaji wa Raila
Watu wanne wamefariki dunia jijini Nairobi, Kenya, siku ya Alhamisi baada ya vikosi vya usalama kufyatua risasi na kurusha mabomu ya gesi kuwatawanya maelfu ya watu waliokusanyika kwenye uwanja wa…
Athari za mabadiliko ya Tabianchi zinatajwa kuwa sehemu ya vikwazo katika maendeleo na ustawi wa mwanamke wa Tanzania hususani a…
Athari za mabadiliko ya Tabianchi zinatajwa kuwa sehemu ya vikwazo katika maendeleo na ustawi wa mwanamke wa Tanzania hususani anayeishi kijijini. Leo wakati dunia ikiadhimisha “Siku ya Kimataifa ya Mwanamke…
#HABARI:Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe
#HABARI:Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza walimu nchini wasichoke kujiendeleza kitaaluma ili kuendana na mabadiliko yanayoendelea kutokea Duniani. Dkt. Biteko amesema katika Manispaa ya…