Skip to content
  • Sat. Jun 27th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Zuio la mikutano ya kisiasa Tanzania ni mtihani kwa taasisi za dola au vyama vya siasa Njia 15 rahisi zinazosemekana kuwa bora katika kupunguza makali ya maumivu yanayotokana na hedhi Marekani imeishambulia Iran kujibu shambulio dhidi ya meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz Mambo 5 yanayosababisha wenza kutoelewana Ya Baba Levo ni “kicheko cha maumivu”
IDHAA YA DUNIA

Zuio la mikutano ya kisiasa Tanzania ni mtihani kwa taasisi za dola au vyama vya siasa

June 27, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Njia 15 rahisi zinazosemekana kuwa bora katika kupunguza makali ya maumivu yanayotokana na hedhi

June 27, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Marekani imeishambulia Iran kujibu shambulio dhidi ya meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz

June 27, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Mambo 5 yanayosababisha wenza kutoelewana

June 27, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Ya Baba Levo ni “kicheko cha maumivu”

June 27, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Zuio la mikutano ya kisiasa Tanzania ni mtihani kwa taasisi za dola au vyama vya siasa
IDHAA YA DUNIA
Zuio la mikutano ya kisiasa Tanzania ni mtihani kwa taasisi za dola au vyama vya siasa
Njia 15 rahisi zinazosemekana kuwa bora katika kupunguza makali ya maumivu yanayotokana na hedhi
TUKO SWAHILI NEWS
Njia 15 rahisi zinazosemekana kuwa bora katika kupunguza makali ya maumivu yanayotokana na hedhi
Marekani imeishambulia Iran kujibu shambulio dhidi ya meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Marekani imeishambulia Iran kujibu shambulio dhidi ya meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz
Mambo 5 yanayosababisha wenza kutoelewana
IDHAA YA DUNIA
Mambo 5 yanayosababisha wenza kutoelewana
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Zuio la mikutano ya kisiasa Tanzania ni mtihani kwa taasisi za dola au vyama vya siasa
IDHAA YA DUNIA
Zuio la mikutano ya kisiasa Tanzania ni mtihani kwa taasisi za dola au vyama vya siasa
Njia 15 rahisi zinazosemekana kuwa bora katika kupunguza makali ya maumivu yanayotokana na hedhi
TUKO SWAHILI NEWS
Njia 15 rahisi zinazosemekana kuwa bora katika kupunguza makali ya maumivu yanayotokana na hedhi
Marekani imeishambulia Iran kujibu shambulio dhidi ya meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Marekani imeishambulia Iran kujibu shambulio dhidi ya meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz
Mambo 5 yanayosababisha wenza kutoelewana
IDHAA YA DUNIA
Mambo 5 yanayosababisha wenza kutoelewana
Uncategorized

Yanga yamvunjia mkataba Folz, Mabedi achukua mikoba

October 18, 2025 mjombazecoder

Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja rasmi mkataba na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Romain Folz, ambaye amejiunga na timu hiyo mwanzo wa msimu.

Uncategorized

#HABARI: Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimetoa taarifa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho John Heche amewekwa ki…

October 18, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimetoa taarifa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho John Heche amewekwa kizuizini, taarifa iliyosainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Brenda Rupia, imeeleza kuwa Heche…

Uncategorized

#HABARI: Tamko la kamishna Jenerali wa Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya (DCEA), la kuwataka waathirika…

October 18, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Tamko la kamishna Jenerali wa Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya (DCEA), la kuwataka waathirika wa dawa hizo kujitokeza kupata tiba bila kukamatwa, linaendelea kupongezwa na…

MWANANCHI

Yanga yamtimua Romain Folz, Mabedi apewa Mikoba

October 18, 2025 mjombazecoder

Yanga imefikia uamuzi wa kuachana na kocha huyo baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka...

Uncategorized

#HABARI: Mbunge wa viti maalum mstaafu kupitia CHADEMA, Felista Njau, amesema Rais Dkt

October 18, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mbunge wa viti maalum mstaafu kupitia CHADEMA, Felista Njau, amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amevunja mfumo dume kwa vitendo na kuwataka wanawake wa Mkoa wa Mara kujitokeza kwa…

Uncategorized

Maafisa usafirishaji (boda boda na bajaji) zaidi ya 1,000 wa jimbo la Mtumba mkoani Dodoma wamefanya maandamano ya kuweka wazi a…

October 18, 2025 mjombazecoder

Maafisa usafirishaji (boda boda na bajaji) zaidi ya 1,000 wa jimbo la Mtumba mkoani Dodoma wamefanya maandamano ya kuweka wazi azma yao ya kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29.…

Uncategorized

#HABARI: Shirikisho la watu Wenye ulemavu mkoani Tanga, limeiomba Tume Huru ya Uchaguzi, kuhakikisha inaboresha vituo vya kupiga…

October 18, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Shirikisho la watu Wenye ulemavu mkoani Tanga, limeiomba Tume Huru ya Uchaguzi, kuhakikisha inaboresha vituo vya kupiga kura, kwa kuweka vifaa na miundombinu rafiki, ili waweze kutumia haki yao…

Uncategorized

Katika lugha ya Kiswahili tumezoea misemo mbalimbali iliyotungwa na wahenga wa zamani, lakini kwa kijana Milomilo, mjasiriamali …

October 18, 2025 mjombazecoder

Katika lugha ya Kiswahili tumezoea misemo mbalimbali iliyotungwa na wahenga wa zamani, lakini kwa kijana Milomilo, mjasiriamali kutoka Bariadi mkoani Simiyu, mambo ni tofauti. Yeye ameamua kutunga misemo yake mwenyewe…

Uncategorized

Uelewa mdogo kuhusu njia sahihi za kujikinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza umetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la magonjwa hayo…

October 18, 2025 mjombazecoder

Uelewa mdogo kuhusu njia sahihi za kujikinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza umetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la magonjwa hayo, ambapo kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO)…

MWANANCHI

Apoteza maisha baada ya kulipukiwa na mtungi wa gesi

October 18, 2025 mjombazecoder

Mtu mmoja amefariki dunia baada ya kupigwa kipande cha mtungi wa gesi uliolipuka katika eneo la...

Uncategorized

Laizer alia na kiungo Fountain Gate

October 18, 2025 mjombazecoder

KOCHA wa Fountain Gate, Mohamed Ismail ‘Laizer’ amesema huu ni mwanzo mzuri kwa timu hiyo kupata ushindi nyumbani, licha ya kuwa kikosi hicho bado kuna maeneo yanavuja ikiwemo nafasi ya…

Uncategorized

Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha NRA, Almas Kisabya, ameahidi kutunga sheria kali za kupambana na mmomonyoko wa…

October 18, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha NRA, Almas Kisabya, ameahidi kutunga sheria kali za kupambana na mmomonyoko wa maadili nchini, sambamba na kufuta bili za maji kwa…

Uncategorized

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imeeleza kuwa nauli ya mabasi ya mwendo wa haraka itaendelea kuwa shilingi 750 ha…

October 18, 2025 mjombazecoder

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imeeleza kuwa nauli ya mabasi ya mwendo wa haraka itaendelea kuwa shilingi 750 hadi pale watakapojiridhisha kuwa changamoto zote za usafiri huo zimekwisha.…

Uncategorized

Maximo amaliza utata kwa Ajibu

October 18, 2025 mjombazecoder

KOCHA wa KMC, Marcio Maximo ameonyesha kuwa na imani na ubora wa kiungo wake mshambuliaji Ibrahim Ajibu, licha ya kutompa nafasi ya kucheza mara kwa mara kwenye kikosi cha kwanza…

MWANANCHI

CCM yajipanga kuinua uchumi, biashara Nkasi

October 18, 2025 mjombazecoder

Ahadi hizo na nyingine zilizopo kwenye ilani ya CCM ya mwaka 2025/2030 zimetolewa leo Jumamosi...

Uncategorized

#MICHEZO : Baada ya Yanga kupoteza 1-0 dhidi ya Silver Strikers katika hatua ya pili ya ligi ya mabingwa

October 18, 2025 mjombazecoder

#MICHEZO : Baada ya Yanga kupoteza 1-0 dhidi ya Silver Strikers katika hatua ya pili ya ligi ya mabingwa. Kocha huyo ameonekano mwenye mawazo Sana na wengi wakiwa na hofu…

Uncategorized

#HABARI: Chama cha Mapinduzi kupitia mgombea mwenza nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt

October 18, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Chama cha Mapinduzi kupitia mgombea mwenza nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmnauel Nchimbi, akiwa katika maeneo ya Kilosa, Mikumi na Kilombero mkoani morogoro…

Uncategorized

Maafande kutuliza hasira kwa watoza kodi

October 18, 2025 mjombazecoder

BAADA ya kufungwa mabao 2-1 na Pamba Jiji, benchi la ufundi la Mashujaa FC limesema kwa sasa akili yao inawaza namna ya kufanya vizuri katika mechi ijayo dhidi ya TRA…

Uncategorized

Baraza: Tumetoa gundu, sasa subirini

October 18, 2025 mjombazecoder

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Francis Baraza amesema ushindi wa mabao 2-1 walioupata dhidi ya Mashujaa FC, ni kama wametoa bahati mbaya kwenye kikosi chao na sasa watacheza kwa kujiamini…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 18, 2025 –

October 18, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 18, 2025 -

MWANANCHI

RC Mbeya awaonya wananchi dhidi ya vurugu siku ya uchaguzi

October 18, 2025 mjombazecoder

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Beno Malisa amewaomba wananchi mkoani humo kutoshawishiwa na yeyote...

MWANANCHI

Tanzania yapambana na udumavu licha ya mafanikio sekta ya afya

October 18, 2025 mjombazecoder

Wakati Tanzania ikiendelea kupiga hatua katika kuboresha viashiria vya afya na kupunguza vifo...

Uncategorized

#HABARI: Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe

October 18, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo upanuzi wa barabara kuu ya TANZAM kipande cha Igawa…

MWANANCHI

Takukuru Mufindi yaihimiza Ruwasa usimamizi wa miradi ya maji

October 18, 2025 mjombazecoder

Abdarahman ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Oktoba 18, 2025 wakati akiwasilisha mada ya Kanuni za...

MWANANCHI

Kamati za ukaguzi zafundwa kukabili upotevu fedha za umma

October 18, 2025 mjombazecoder

Mwanza. Zaidi ya washiriki 240 kutoka sekretarieti za mikoa na mamlaka za serikali za mitaa...

MWANANCHI

Familia ya Msigala yamtafuta kijana wao, waripoti Polisi Dar

October 18, 2025 mjombazecoder

Familia ya Tabu Msigala (49), ambaye mkazi wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam, imeeleza...

Uncategorized

Raila Odinga kuzikwa Jumapili nyumbani Bondo

October 18, 2025 mjombazecoder

Mwili wa mwanasiasa mkongwe nchini Kenya Raila Odinga, umewasili huko Bondo karibu na kaunti ya Siaya tayari kwa mazishi ya faragha yatakayofanyika siku ya Jumapili.

Uncategorized

Israel yarejesha miili 15 ya Wapalestina huko Gaza

October 18, 2025 mjombazecoder

Israel imerejesha miili ya Wapalestina 15 huko Gaza siku ya Jumamosi, na kufanya idadi hiyo kufikia 135.Taarifa hizo zimethibitishwa na wizara ya afya katika eneo linaloongozwa na Hamas.

Uncategorized

Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) imelipa Shilingi bilioni 1.6 kwa wananchi 213 wa Kijiji cha Mpeta, Wilaya ya Uvi…

October 18, 2025 mjombazecoder

Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) imelipa Shilingi bilioni 1.6 kwa wananchi 213 wa Kijiji cha Mpeta, Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma, wanaopisha ujenzi wa mradi wa reli ya…

Uncategorized

Maelfu wakimbia pwani ya Ufilipino kutokana na dhoruba

October 18, 2025 mjombazecoder

Maelfu ya wakaazi wamekimbia makaazi yao kando ya bahari ya Pasifiki nchini Ufilipino wakati dhoruba ya kitropiki Fengshen ikitua na kusababisha tahadhari ya mafuriko katika pwani.

Uncategorized

Urusi yaishambulia Ukraine katikati mwa juhudi za diplomasia

October 18, 2025 mjombazecoder

Urusi imeishambulia miundombinu ya nishati ya Ukraine usiku wa kuamkia jumamosi, mnamo wakati mazungumzo kati ya Rais Donald Trump na Volodomyr Zelensky yakifanyika.

Uncategorized

Afghanistan na Pakistan zajaribu kutuliza uhasama kati yao

October 18, 2025 mjombazecoder

Wajumbe wa Afghanistan na Pakistan wako katika mji mkuu wa Qatar, Doha, kwa mazungumzo ya kutuliza mzozo mbaya zaidi kati ya nchi hizo jirani.

Uncategorized

Upinzani Ivory Coast walaani marufuku ya maandamano

October 18, 2025 mjombazecoder

Vyama vya upinzani vya Ivory Coast na mashirika yasiyo ya kiserikali yameshutumu marufuku ya mikutano ya kisiasa wiki moja tu kabla ya uchaguzi wa rais.

MWANANCHI

ZEC yapokea karatasi za kura, vyama vya siasa vyatoa kauli

October 18, 2025 mjombazecoder

Unguja. Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imepokea rasmi karatasi za kura zilizochapishwa na...

MWANANCHI

Azam yatanguliza mguu makundi Afrika, Yanga ikipoteza Malawi

October 18, 2025 mjombazecoder

Bao pekee la Silver Strikers katika mchezo huo limefungwa Yosefe Andrew katika dakika ya 76 ya...

Uncategorized

Kitambala, Msindo waing’arisha Azam FC, Mabaharia wa KMKM wakwaa kisiki nyumbani

October 18, 2025 mjombazecoder

MATAJIRI wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC, wameanza vyema tiketi ya kuisaka hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya leo Oktoba 18, 2025 kuibuka na…

Uncategorized

Chama Cha Makini kimetoa rai kwa Watanzania kutoshabikia au kushiriki maandamano yanayohamasishwa kufanyika siku ya uchaguzi mku…

October 18, 2025 mjombazecoder

Chama Cha Makini kimetoa rai kwa Watanzania kutoshabikia au kushiriki maandamano yanayohamasishwa kufanyika siku ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, na badala yake wajitokeze kwa wingi kupiga kura kisha kurejea…

Uncategorized

Kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu, Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Wilaya ya Lindi lim…

October 18, 2025 mjombazecoder

Kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu, Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Wilaya ya Lindi limeendesha semina maalum kwa viongozi wake kutoka kata zote za wilaya hiyo,…

MWANANCHI

Wafanyabiashara Kariakoo wataka maboresho zaidi

October 18, 2025 mjombazecoder

Mlelwa amesema utekelezaji wa mpango huo utaondoa mgongano uliopo kati ya wamiliki wa maduka na...

Uncategorized

Yanga yapigwa ugenini, Folz aacha maswali kibao

October 18, 2025 mjombazecoder

DAKIKA tisini za ugenini kwa Yanga leo Oktoba 18, 2025 zimekuwa ngumu baada ya kupokea kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa wenyeji wao, Silver Strikers ikiwa ni mechi ya mkondo…

Uncategorized

🔴HAPA NA PALE KUTOKA : OKTOBA 18, 2025

October 18, 2025 mjombazecoder

🔴HAPA NA PALE KUTOKA : OKTOBA 18, 2025

MWANANCHI

Umedhalilishwa kwa kukopa mtandaoni, suluhisho ni hili

October 18, 2025 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

MWANANCHI

Changamoto tatu zabainika mwendokasi Mbagala

October 18, 2025 mjombazecoder

Miongoni mwa mambo yalioangaliwa ni uendeshaji wa mabasi hayo pamoja na mifumo ya kutolea...

Uncategorized

Serikali ya meaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati mkoani Songwe ikiwemo upanuzi wa barabara kuu ya Tanzania na Zambi…

October 18, 2025 mjombazecoder

Serikali ya meaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati mkoani Songwe ikiwemo upanuzi wa barabara kuu ya Tanzania na Zambia (TANZAM) kipande cha Igawa - Tunduma chenye urefu kwa kilometa 218…

Uncategorized

Wizara ya Afya imesema inaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo katika kuhakikisha Taifa linaweka mifumo endelevu ya kukabi…

October 18, 2025 mjombazecoder

Wizara ya Afya imesema inaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo katika kuhakikisha Taifa linaweka mifumo endelevu ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, hususan katika sekta ya afya. Kauli…

MWANANCHI

Dk Mwinyi aahidi kujenga viwanda vya kuchaka samaki

October 18, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi amesema...

MWANANCHI

Samia aahidi kukuza biashara kati ya Tanzania, DRC

October 18, 2025 mjombazecoder

Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake aliahidi hayo jana katika...

MWANANCHI

Paresso: Kwa nini Watanzania wachague wagombea wa CCM

October 18, 2025 mjombazecoder

Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Cecilia Pareso amesema wananchi wanapaswa kujitokeza kupiga...

MWANANCHI

CCM yaahidi ujenzi barabara Morogoro, tembo wavamizi kushughulikiwa

October 18, 2025 mjombazecoder

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kuufungua Mkoa wa Morogoro kwa kujenga barabara mbalimbali...

Uncategorized

Kiongozi wa mapinduzi ya Madagascar Randrianirina aliapishwa kuwa rais

October 18, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Afrika na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres wamelaani mapinduzi hayo, ambayo yalikuja baada ya wiki kadhaa za maandamano ya "Gen Z" yaliyochochewa na uhaba mkubwa…

Posts pagination

1 … 842 843 844 … 1,012

Recent Posts

  • Zuio la mikutano ya kisiasa Tanzania ni mtihani kwa taasisi za dola au vyama vya siasa
  • Njia 15 rahisi zinazosemekana kuwa bora katika kupunguza makali ya maumivu yanayotokana na hedhi
  • Marekani imeishambulia Iran kujibu shambulio dhidi ya meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz
  • Mambo 5 yanayosababisha wenza kutoelewana
  • Ya Baba Levo ni “kicheko cha maumivu”

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

IDHAA YA DUNIA

Zuio la mikutano ya kisiasa Tanzania ni mtihani kwa taasisi za dola au vyama vya siasa

June 27, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Njia 15 rahisi zinazosemekana kuwa bora katika kupunguza makali ya maumivu yanayotokana na hedhi

June 27, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Marekani imeishambulia Iran kujibu shambulio dhidi ya meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz

June 27, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Mambo 5 yanayosababisha wenza kutoelewana

June 27, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS