Waarabu watia mkono Singida Black Stars
WAKATI Kiungo wa Singida Black Stars raia wa Nigeria, Morice Chukwu akibakisha mkataba wa mwaka mmoja na kikosi hicho, inadaiwa mabosi wa Esperance Sportive de Tunis ya Tunisia, wako tayari…
Jumuiya ya kimataifa yatakiwa ichukue hatua dhidi ya Urusi
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameitaka jumuiya ya kimataifa ichukue hatua baada ya nchi yake kushambuliwa na Urusi zaidi ya mara 4000 kutokea angani kwa muda wa wiki nzima.
Matayarisho ya kupeleka misaada katika Ukanda wa Gaza yaanza
Maandalizi kwa ajili ya kuingizwa misaada katika Ukanda wa Gaza yanaendelea baada ya kufikiwa makubaliano mapya ya kusimamisha mapigano.
#HABARI: Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyekuwa Mbunge Wa Simanjiro mkoani Manyara Bw
#HABARI: Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyekuwa Mbunge Wa Simanjiro mkoani Manyara Bw. Christophar Ole Sendeka amewataka wanasiasa wa vyama mbalimbali vya siasa ambao hawakupata nafasi za kuteuliwa…
Samia aahidi soko la kisasa, maghala ya chakula Mbogwe
Ujenzi wa soko la kisasa, maghala ya chakula na mradi wa maji utakaoondoa adha ya upatikanaji...
Straika Fountain Gate atangaza vita mpya
MSHAMBULIAJI wa Fountain Gate, Joshua Ibrahim, amesema baada ya kutoonekana tangu msimu huu umeanza kutokana na matatizo mbalimbali, kwa sasa mashabiki wake watarajie mambo mazuri, kwa sababu amejipanga vizuri ili…
Mradi wa maji wa Sh4.5 bilioni wazinduliwa, wananchi 44,939 kunufaika
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ismail Ussi amepongeza na kueleza kuridhishwa...
🔴HAPA NA PALE KUTOKA ARUSHA: OKTOBA 12, 2025,
🔴HAPA NA PALE KUTOKA ARUSHA: OKTOBA 12, 2025,
Ni JKT Queens tena, Simba Queens mmmh
NI JKT Queens inabeba taji la Ngao ya Jamii kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuifunga Simba Queens mabao 2-1, kwenye Uwanja wa KMC.
Mwili mgombea ubunge CUF kuzikwa kesho Siha
Mwili wa aliyekuwa mgombea ubunge wa Chama cha Wananchi (CUF) Jimbo la Siha, mkoani...
Nilisomea chini ya mti ila sababu ya elimu naishi vyema – Ole Millya
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, James Ole Millya ameiasa jamii ya wafugaji kusomesha...
Waziri Mkuu wa Ufaransa mbioni kuunda serikali mpya
Waziri Mkuu wa Ufaransa Sebastien Lecornu anafanya majadiliano ya kuunda serikali baada ya chama chake kumpoteza mshirika wake mkuu wa kisiasa.
JKT wababe Ngao ya Jamii
JKT Queens imebeba taji la Ngao ya Jamii kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuifunga Simba...
Bahanuzi: Yanga inaweza kutwaa ubingwa CAF
USAJILI inaofanya Yanga kupata wachezaji wa viwango vya juu katika madirisha ya miaka ya hivi karibuni, umemuibua mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo, Said Bahanuzi akiamini inaweza ikawa timu ya…
Ukosefu elimu ya tahadhari watajwa kuongeza athari za majanga
Wakati kesho Oktoba 13 ni Siku ya Kupunguza Hatari ya Majanga Duniani, Tanzania inaungana na...
Enzo Fernandez arudi fasta London kufanyiwa vipimo
Nyota wa Chelsea, Enzo Fernandez, amerejea jijini London, kufuatia hofu ya kuwa na majeraha...
Kibonde: Kila Mtanzania atapanda ndege
Kupanda ndege imekuwa ni ndoto ya kila mtoto. Hata hivyo, baadhi yao wanakuwa watu wazima bila...
Ameir aahidi kupunguza magari msafara wa Rais
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha Makini, Ameir Hassan Ameir, ameelezea namna...
Samia aahidi kukuza sekta ya maziwa Bukombe, kuanzisha viwanda
Samia amesema iwapo atachaguliwa kuendelea kipindi cha pili, Serikali yake itawekeza na kuinua...
Clara Luvanga anavyokimbiza kimya Saudi Arabia
NYOTA wa kimataifa, Clara Luvanga anayekipiga Al Nassr ya Wanawake ameendelea kuonyesha kiwango bora kwenye mechi nne za ligi, akiwa anaongoza hadi sasa kwenye msimamo wa wafungaji kwa mabao sita.
Arafat Masoud aanza na tatu Misri
KINDA wa ENNPI ya Ligi Kuu Misri, Arafat Masoud ‘Konde Boy’ amesema ameanza na mechi tatu za kirafiki akifunga bao moja na kutoa asisti mbili.
OMO: Nitatoa kipaumbele kwa bidhaa za ndani kuuzwa kimataifa
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT - Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema Serikali...
Chomelo atoa neno ligi Uturuki
KIUNGO mshambuliaji wa Konya Amputee inayoshiriki Ligi Kuu ya Walemavu nchini Uturuki, Ramadhan Chomelo amesema kuna asilimia 65 za kuondoka klabuni hapo baada ya kupata ofa kubwa kutoka timu mbili…
Santos aanza mazoezi ya viungo baada ya kupona
KINDA wa Kitanzania anayekipiga katika klabu ya Ceu Ciutat Meridiana ya Hispania, Fahmar Santos ameanza mazoezi mepesi ya viungo ikiwa ni sehemu ya kurejea uwanjani baada ya jeraha la goti.
Kiongozi wa upinzani Patrick Herminie ashinda marudio ya ucaguzi wa urais Ushelisheli
Herminie anawakilisha chama cha United Seychelles, ambacho kiliongoza nchi hiyo kwa miongo minne kabla ya kupoteza mamlaka mwaka wa 2020. Kilikuwa chama tawala kutoka 1977 hadi 2020.
Marekani yakaribisha wito wa DRC kwa FDLR kuweka china silaha na kujisalimisha
Marekani imekaribisha siku ya Ijumaa wito wa mamlaka ya Kongo kwa wapiganaji wa Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR) kuweka chini silaha zao, ikiona kuwa ni hatua madhubuti…
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Arusha linawashikilia watu watano wanaotuhumiwa kuhusika katika mauaji ya Omary Mnandi, mwenye u…
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Arusha linawashikilia watu watano wanaotuhumiwa kuhusika katika mauaji ya Omary Mnandi, mwenye umri wa miaka 30, ambaye alikuwa askari polisi mkazi wa Jiji la Arusha.…
Mkutano wa 8 wa Kimataifa wa Mshikamano na Watoto wa Palestina umefanyika Tehran
Mkutano wa 8 wa Kimataifa wa Mshikamano na Watoto na mabarobaro wa Kipalestina, umefanyika leo Jumapili kwenye Ukumbi wa Mikutano ya Kiislamu mjini Tehran, kwa kuhudhuriwa na maafisa wa ndani,…
#HABARI: Serikali wilayani Kakonko mkoani Kigoma, imepiga hatua katika masomo ya Sayansi hasa kwa wanafunzi wa kike baada ya kua…
#HABARI: Serikali wilayani Kakonko mkoani Kigoma, imepiga hatua katika masomo ya Sayansi hasa kwa wanafunzi wa kike baada ya kuanzisha shule ya sekondari ya wasichana na kusaidia kunusuru wasichana wengi…
Ndege ya timu ya soka ya Nigeria iliyokuwa inaelekea nyumbani yalazimika kutua kwa dharura
Ndege iliyobeba timu ya Nigeria kutoka Afrika Kusini kuelekea Uyo kwa mechi yao ya mwisho ya kufuzu kwa Kombe la Dunia ililazimika kutua kwa dharura nchini Angola siku ya Jumamosi.
Spika Qalibaf: Serikali na mahakama za kimataifa zifuatilie kesi ya wahusika wa mauaji ya kimbari Gaza
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) sambamba na kueleza kuwa usitishaji vita wa Gaza ni kushindwa kwa mipango michafu ya Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni…
Utawala wa kizayuni wa Israel wafukuzwa katika mashindano ya Dunia ya Jimnastiki
Ushiriki wa timu ya taifa ya utawala wa kizayuni wa Israel umefutwa katika mashindano ya Dunia ya Jimnastiki ya Jakarta Indonesia kulalamikia jinai za utawala huo ghasibu dhidi ya Wapalestina…
Kitengo asi cha jeshi la Madagaska chadai udhibiti, kinasema kitafanya ‘amri zote’ kwa wanajeshi
Kikosi cha wanajeshi waasi kimetangaza kuwa kinadhibiti vikosi vyote vya kijeshi vya Madagascar, huku Rais Andry Rajoelina akisema "jaribio la kunyakua mamlaka kinyume cha sheria" linaendelea nchini humo.
UNICEF yalaani shambulio lililoua watoto 17 Kaskazini mwa Darfur Sudan
Watoto wasiopungua 17 wasichana tisa na wavulana wanane, akiwemo mtoto mchanga wa siku saba wameuawa katika shambulio lililotokea katika kituo cha wakimbizi wa ndani cha Dar al-Arqam mjini El Fasher,…
Je, AI inaweza kujenga mustakabali wa haki zaidi kwa watu wenye ulemavu?
Kwa mamilioni ya watu wanaoishi na ulemavu duniani kote, akili Mnemba (AI) inaweza kuwa chachu ya mabadiliko makubwa.
Côte d’Ivoire: Maandamano ya upinzani yazuiwa Abidjan
Chama cha Democratic Party of Côte d’Ivoire (PDCI) na African Peoples’ Party – Côte d’Ivoire (PPA-CI), ambavyo viongozi wake hawakuidhinishwa kwenye uchaguzi wa urais, viliitisha maandamano Oktoba 11 huko Cocody,…
Wanafunzi Rombo watengeneza mfumo wa upigaji kura kidijitali
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mashati iliyopo wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro...
Marekani na Misri kuongoza mkutano wa amani ya Gaza
Mkutano wa kilele kuhusu amani ya Gaza utafanyika siku ya Jumatatu kwenye mji wa pwani wa Sharm el-Sheikh, nchini Misri.
INEC yafuta kata kumi, yatengua wagombea udiwani saba
Kwa mujibu wa INEC, kata zilizofutwa ni Litapunga, Kanoge, Katumba, Mishamo, Ilangu, Bulamata...
Sababu Kanisa Katoliki Kenya kubadilisha divai
Kwa mujibu wa taarifa ya KCCB, divai hiyo mpya imetengenezwa maalumu kwa ajili ya matumizi ya...
Yanga ya tatu tena
Yanga Princess imehitimisha michuano ya Ngao ya Jamii ya Wanawake kwa kishindo baada ya kuibuka...
China yailaumu Marekani kwa undumilakuwili
China imeishutumu Marekani kwa undumilakuwili baada ya Rais Donald Trump kutangaza ushuru wa ziada wa hadi asilimia 100 kuzitoza bidhaa za China zinazoingia Marekani.
Askari Polisi auawa Arusha akidhaniwa mwizi
Tukio hilo lililotokea saa tano usiku katika baa iitwayo Simaloi iliyopo maeneo ya Kaloleni...
Wananchi wa Cameroon washiriki zoezi la uchaguzi mkuu
Wananchi wa Cameroon wamepiga kura Jumapili (12.20.2025) katika uchaguzi mkuu utakaoamua hatma ya Rais Paul Biya mwenye miaka 92.
Mgogoro wa Madagascar: Ofisi ya rais yalaani ‘jaribio la kunyakua madaraka kinyume cha sheria’
Maandamano dhidi ya serikali nchini Madagascar yanazidi kuongezeka. Siku ya Jumamosi, Oktoba 11, makundi ya wanajeshi yalijiunga na maandamano katika mitaa ya Antananarivo, na kikosi cha jeshi la Madagascar kilitoa…
Mexico: Mafuriko makubwa na maporomoko yasababisha vifo
Mamlaka nchini Mexico imesema watu wapatao 41 wamekufa kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi kwenye eneo la kusini mashariki la nchi hiyo.
Rais wa Madagascar akanusha taarifa kuwa ametoroka nchi
Rais Andry Rajoelina wa Madagascar amewahakikishia wananchi kwamba yeye na Waziri Mkuu wanadhibiti hali nchini humo.
Wadau wapigia chapuo mageuzi ya elimu kuongoza Dira ya 2050
Mwishoni mwa wiki iliyopita, wadau hao wamejadili nafasi ya ubia katika utekelezaji wa dira hiyo.