Skip to content
  • Mon. Mar 2nd, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Mashambulizi ya Israel na Marekani nchini Iran yameua zaidi ya watu 550 kwa siku mbili Vifo vya wagonjwa kifafa vyapungua Honouring humble life of servant of all Mbuni ang’ara shindano la ndege wa mwaka Maxime ahofia kitu kwa kikosi chake akiisubiri Fountain Gate
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Mashambulizi ya Israel na Marekani nchini Iran yameua zaidi ya watu 550 kwa siku mbili

March 2, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

Vifo vya wagonjwa kifafa vyapungua

March 2, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Honouring humble life of servant of all

March 2, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

Mbuni ang’ara shindano la ndege wa mwaka

March 2, 2026 mjombazecoder
MWANASPOTI

Maxime ahofia kitu kwa kikosi chake akiisubiri Fountain Gate

March 2, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Mashambulizi ya Israel na Marekani nchini Iran yameua zaidi ya watu 550 kwa siku mbili
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Mashambulizi ya Israel na Marekani nchini Iran yameua zaidi ya watu 550 kwa siku mbili
Vifo vya wagonjwa kifafa vyapungua
HABARILEO
Vifo vya wagonjwa kifafa vyapungua
Honouring humble life of servant of all
LTV ENGLISH NEWS
Honouring humble life of servant of all
Mbuni ang’ara shindano la ndege wa mwaka
HABARILEO
Mbuni ang’ara shindano la ndege wa mwaka
Uncategorized
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Uncategorized
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Mashambulizi ya Israel na Marekani nchini Iran yameua zaidi ya watu 550 kwa siku mbili
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Mashambulizi ya Israel na Marekani nchini Iran yameua zaidi ya watu 550 kwa siku mbili
Vifo vya wagonjwa kifafa vyapungua
HABARILEO
Vifo vya wagonjwa kifafa vyapungua
Honouring humble life of servant of all
LTV ENGLISH NEWS
Honouring humble life of servant of all
Mbuni ang’ara shindano la ndege wa mwaka
HABARILEO
Mbuni ang’ara shindano la ndege wa mwaka
TZSPORTS

MAKALA MAALUMU: Jumatatu ya Februari 9, 2026 itakujia makala maalumu kuhusu asili na mapito ya Mbeya City

February 4, 2026 mjombazecoder

MAKALA MAALUMU: Jumatatu ya Februari 9, 2026 itakujia makala maalumu kuhusu asili na mapito ya Mbeya City. Unafahamu kuna mtu alitakiwa apelike chura mwenye mabaka…? Unafahamu kuna watu waliwapa watoto…

TRT SWAHILI

Kikao cha mwisho cha Jukwaa la Biashara kati ya Uturuki na Misri chafunguliwa jijini Cairo

February 4, 2026 mjombazecoder

Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, na Rais wa Misri, Abdel Fattah el Sisi, wanatarajiwa kuhudhuria kikao cha kufunga cha jukwaa hilo.

TUKO SWAHILI NEWS

Philip Aroko, Evans Kidero ni miongoni mwa wagombea kutoka Nyanza wanaosaka tiketi za UDA 2027

February 4, 2026 mjombazecoder

UDA ya Rais William Ruto imepata umaarufu katika eneo la Nyanza, huku viongozi kadhaa wakionyesha nia ya chama hicho huku kukiwa na migogoro ya ndani katika ODM.

MWANANCHI

Hospitali ya Mkapa yaandaliwa ubingwa matibabu ya saratani

February 4, 2026 mjombazecoder

Hii imetokana na kukubalika kwa miundombinu yake na mazingira yaliyoandaliwa kwa ajili ya...

MWANANCHI

Wenye shida ya macho waitwa kutibiwa, kupewa miwani bure

February 4, 2026 mjombazecoder

Watanzania wenye shida ya macho kama mtoto wa jicho, presha ya macho, kutokuona mbali wameitwa...

DW SWAHILI

Nani anawajibika wakati wa majanga kama ya Rubaya

February 4, 2026 mjombazecoder

Baada ya mkasa wa mgodi wa madini ya coltan mjini Rubaya, mashariki mwa Kongo mamia ya familia ziko na sintofahamu. Inakadiriwa kuwa zaidi ya watu 200 wamefariki. Je nani anawajibika…

MWANANCHI

TFS yateketeza shamba la bangi hifadhini

February 4, 2026 mjombazecoder

Kamati ya Ulinzi na usalama ya Wilaya ya Geita, kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu...

TZSPORTS

#SportPesaLeague: Hizi hapa ‘chuma’ zote tatu zilizofungwa kwenye mchezo kati ya Nairobi United dhidi ya APS Bomet FC

February 4, 2026 mjombazecoder

#SportPesaLeague: Hizi hapa ‘chuma’ zote tatu zilizofungwa kwenye mchezo kati ya Nairobi United dhidi ya APS Bomet FC. Magoli ya APS Bomet yamefungwa na Antony Naibei na Dickson Mwangi. Goli…

MWANANCHI

RC atoa maagizo sakata la wachimbaji, mwekezaji mgodi wa Msasa

February 4, 2026 mjombazecoder

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela ameamua kuingilia kati sakata lililokuwa likiendelea...

DW SWAHILI

ACT-Wazalendo waipinga ZEC kuchoma nyaraka za uchaguzi

February 4, 2026 mjombazecoder

Chama kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar cha ACT-Wazalendo kimepinga mpango wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, ZEC wa kuteketeza nyaraka zote za uchaguzi mkuu uliofanyika October 29, 2025 na kusema…

MWANANCHI

KESI YA UBUNGE WA BABA LEVO: Pingamizi lingine la AG, Msimamizi latupwa

February 4, 2026 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

MWANANCHI

DC aagiza madiwani kushirikishwa ukusanyaji wa mapato ya ndani

February 4, 2026 mjombazecoder

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Solomon Itunda ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya...

DW SWAHILI

Maafisa 700 wa uhamiaji kupunguzwa Minnesota

February 4, 2026 mjombazecoder

Serikali ya Rais Donald Trump inapunguza idadi ya maafisa wa uhamiaji huko Minnesota baada ya jimbo hilo na maafisa wa jimbo kukubali kushirikiana kwa kuwasalimisha wahamiaji waliokamatwa.

TZSPORTS

MSHIKEMSHIKE: Azam FC, Yanga, Singida BS, kimahesabu zinaweza kufuzu robo fainali ya mashindano ya CAF msimu huu, unaiona Tanzan…

February 4, 2026 mjombazecoder

MSHIKEMSHIKE: Azam FC, Yanga, Singida BS, kimahesabu zinaweza kufuzu robo fainali ya mashindano ya CAF msimu huu, unaiona Tanzania ikipeleka timu ngapi robo fainali ya michuano hiyo? Tuandikie maoni yako…

Serikali imetoa wito kwa wadau kutoka sekta ya fedha nchini kuanzisha huduma na bidhaa za kifedha zitakazowezesha ajenda ya nish…

February 4, 2026 mjombazecoder

Serikali imetoa wito kwa wadau kutoka sekta ya fedha nchini kuanzisha huduma na bidhaa za kifedha zitakazowezesha ajenda ya nishati safi ya kupikia kusambaa zaidi, hususan kwa kuwawezesha wajasiriamali wadogo…

MWANANCHI

Ajali yakatisha maisha ya Diwani wa Ketara, Tarime

February 4, 2026 mjombazecoder

Diwani wa Kata ya Ketara (CCM) katika Halmashauri ya Mji wa Tarime mkoani Mara, Philipo Gikaro...

ASTV TANZANIA ITVBONGO

#HABARI: Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Geita imefyeka ekari tatu za bangi zilizokuwa zimepandwa kwa siri ndani ya Hi…

February 4, 2026 mjombazecoder

#HABARI: Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Geita imefyeka ekari tatu za bangi zilizokuwa zimepandwa kwa siri ndani ya Hifadhi ya Msitu wa Geita-Lwamgasa. Watu wasiofahamika walivamia hifadhi…

ASTV TANZANIA ITVBONGO

#HABARI: Askari Polisi wa Jiji la Tanga wakiwa na silaha za moto wamelazimika kuingilia kati kufuatia taharuki za mamia ya wakaz…

February 4, 2026 mjombazecoder

#HABARI: Askari Polisi wa Jiji la Tanga wakiwa na silaha za moto wamelazimika kuingilia kati kufuatia taharuki za mamia ya wakazi wa eneo la Neema kuingia katika barabara kuu inayounganisha…

DW SWAHILI

Mwana wa mrithi wa Ufalme Norway akana mashtaka ya ubakaji

February 4, 2026 mjombazecoder

Marius Borg Hoiby, mwana wa Crown Princess wa Norway, ameiambia mahakama ya Oslo kuwa hakuwabaka wanawake wanne kama inavyodaiwa, akisisitiza kuwa mahusiano yote yalikuwa ya ridhaa licha ya mashtaka mazito…

MWANANCHI

Wawekezaji Kanda ya Ziwa walalamikia kodi, miundombinu

February 4, 2026 mjombazecoder

Wawekezaji wa mikoa ya Kanda ya Ziwa wamefunguka changamoto zinazowakwamisha kuwekeza, zikiwemo...

Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Bi

February 4, 2026 mjombazecoder

Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Bi. Prisca Kayombo akimwakilisha Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Anamringi Macha ametoa rai kwa Wanachi Mkoani Simiyu kuchangamkia fursa ya umeme Vitongojini wenye thamani ya…

DW SWAHILI

Xi, Putin wasifu ushirikiano thabiti kati ya Urusi na China

February 4, 2026 mjombazecoder

Rais wa China Xi Jinping na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin, wamesifu ushirikiano thabiti wa kiuchumi, kisiasa na kiusalama kati ya nchi hizo mbili wakisema unatuliza hali katika nyakati hizi…

MWANANCHI

Hizi hapa saratani 10 zinazoitafuna Dar

February 4, 2026 mjombazecoder

Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) imezitaja aina 10 za saratani zinazosumbua katika Mkoa wa...

DW SWAHILI

Watu 21 wauawa Ukanda wa Gaza katika mashambulizi ya Israel

February 4, 2026 mjombazecoder

Watu wasiopungua 21 wanaripotiwa kuuawa na zaidi ya wengine 30 kujeruhiwa kutokana na mashambulizi ya Israel huko Gaza siku ya Jumatano baada ya mapigano kuanza upya katika eneo hilo la…

DW SWAHILI

Viongozi wa kikanda wajadili amani ya DRC Uganda

February 4, 2026 mjombazecoder

Katika juhudi za kuleta utulivu wa kudumu nchini Kongo, Umoja wa Afrika umeanzisha jopo maalum la upatanishi linalolenga kuratibu mazungumzo na kuhimiza ushirikiano wa kikanda. Ushiriki wa Museveni, Kenyatta, Obasanjo…

DW SWAHILI

Wajumbe wakutana Abu Dhabi kusaka amani ya Ukraine

February 4, 2026 mjombazecoder

Wajumbe kutoka Moscow na Kyiv wamekutana leo mjini Abu Dhabi kwa awamu nyingine ya mazungumzo yanayosimamiwa na Marekani kuhusu kumaliza vita vilivyodumu takribani miaka minne.

DW SWAHILI

Watu wenye silaha wamewaua zaidi ya raia 168 nchini Nigeria

February 4, 2026 mjombazecoder

Shirika la Msalaba Mwekundu limesema watu wenye silaha wamewauwa zaidi ya watu 168 katika jimbo la Kwara nchini Nigeria. Hayo ni ni miongoni mwa mashambulizi mabaya kutokea hivi karibuni.

MWANANCHI

Dk Nchimbi awaongoza waombolezaji maziko ya Munde

February 4, 2026 mjombazecoder

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi, leo amewaongoza...

DW SWAHILI

Nishati na mauzo ya silaha: Kansela Merz ziarani Ghuba

February 4, 2026 mjombazecoder

Kansela wa Ujerumani, Merz, anazuru nchi tatu za Ukanda wa Ghuba ndani ya saa 72 tu. Katika ziara hiyo, kama alivyofanya awali nchini India, anatafuta ushirikiano mpya wa kimkakati wakati…

DW SWAHILI

M23 yadai kuhusika na shambulio la uwanja wa ndege Kisangani

February 4, 2026 mjombazecoder

Waasi wa M23 wamekiri kuhusika na shambulizi la droni liliulolenga uwanja wa kimkakati wa ndege unaotumiwa na jeshi katika eneo la kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

ASTV TANZANIA

Jeshi la Polisi mkoani Mara limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa gari la kubebea wagonjwa …

February 4, 2026 mjombazecoder

Jeshi la Polisi mkoani Mara limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa gari la kubebea wagonjwa la Hospitali ya Manispaa ya Musoma mkoani Mara. Gari hiyo…

TZSPORTS

MSIMAMO: Mambo yalivyo baada ya mechi moja ya leo

February 4, 2026 mjombazecoder

MSIMAMO: Mambo yalivyo baada ya mechi moja ya leo. #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #Msimamo #Standing #LeagueTable

ASTV TANZANIA

Serikali imeshauriwa kuwekeza zaidi katika sekta ya ardhi na kuhakikisha inatoa hati kwa wananchi kwa wakati ili kuepukana na mi…

February 4, 2026 mjombazecoder

Serikali imeshauriwa kuwekeza zaidi katika sekta ya ardhi na kuhakikisha inatoa hati kwa wananchi kwa wakati ili kuepukana na migogoro ya ardhi. Ushauri huo umetolewa na Mbunge wa Jimbo la…

DW SWAHILI

WFP kusitisha shughuli Juba baada ya msafara wake kuvamiwa

February 4, 2026 mjombazecoder

Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, WFP limesitisha shughuli zake katika baadhi ya maeneo ya kaskazini mwa Sudan Kusini baada ya msafara wake wa misaada kushambuliwa.

TZSPORTS

#NBCPL: Shuti la mbali la Kassim Haruna Shaban likaitanguliza Fountain Gate na baadae Fabrice Wa Ngoy kuisawazishia

February 4, 2026 mjombazecoder

#NBCPL: Shuti la mbali la Kassim Haruna Shaban likaitanguliza Fountain Gate na baadae Fabrice Wa Ngoy kuisawazishia. FT: Fountain Gate 1-1 Namungo Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #FountainGateVsNamungo…

DW SWAHILI

Kansela Merz aanza ziara ya Ghuba

February 4, 2026 mjombazecoder

Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz Jumatano anaanza ziara yake ya siku tatu ambayo ni ya kwanza katika eneo tajiri na lenye umuhimu wa kimkakati la Ghuba.

MWANANCHI

Wabunge walia mpango kuwa na sheria za zamani, Tarimba ataka Dar ije kivingine

February 4, 2026 mjombazecoder

Mapendekezo ya Mpango wa Serikali ndani ya Bunge yameendelea kuibua hisia tofauti miongoni mwa...

MWANANCHI

Fidia inavyochelewesha ujenzi wa barabara za Tabata

February 4, 2026 mjombazecoder

Wananchi wa Tabata, jijini Dar es Salaam bado wanaishi katika sintofahamu huku wakilazimika...

MWANANCHI

Sh28.3 bilioni kufikisha umeme vitongoji 173 Songwe

February 4, 2026 mjombazecoder

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Tanzania...

TZSPORTS

#NBCPL: Wamegawana alama

February 4, 2026 mjombazecoder

#NBCPL: Wamegawana alama FT: Fountain Gate 1-1 Namungo Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #FountainGateVsNamungo #FountainGate #Namungo

TRT SWAHILI

Erdogan na Mwanamfalme wa Saudia waunga mkono umoja wa Somalia, wajadili masuala ya kikanda

February 4, 2026 mjombazecoder

Viongozi wa Uturuki na Saudi Arabia wamepinga vikali harakati za kujitenga na mifumo sambamba katika Pembe ya Afrika walipokutana jijini Riyadh, Saudi Arabia.

MWANASPOTI

Nyuma ya Mzize kusafiri na Yanga Morocco

February 4, 2026 mjombazecoder

Soma hapa

TZSPORTS

#NBCPL: Fountain Gate yaendelea kushika usukani

February 4, 2026 mjombazecoder

#NBCPL: Fountain Gate yaendelea kushika usukani. 60’: Fountain Gate 1-0 Namungo LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #FountainGateVsNamungo #FountainGate #Namungo

MWANANCHI

Vodacom Tanzania Foundation yavalia njuga magojwa yasiyoambukiza

February 4, 2026 mjombazecoder

Changamoto hiyo pia inawakumba wakazi wa Zanzibar, imepelekea Vodacom Tanzania Foundation...

HABARI ZA KIPEKEE

Wafuasi wa Imam Mahdi wakusanyika Jamkaran kuonesha imani na tumaini siku ya Nisf Sha’ban

February 4, 2026 mjombazecoder

Maelfu ya waumini na wafuasi wa Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake) wamekusanyika katika Msikiti mtukufu wa Jamkaran, mjini Qom, katika siku tukufu za mwezi wa Sha’ban, na kuugeuza…

HABARI ZA KIPEKEE

Waumini wa Imam Mahdi wakusanyika Jamkaran kuonesha imani na tumaini siku ya Nisf Sha’ban

February 4, 2026 mjombazecoder

Maelfu ya waumini na wafuasi wa Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake) wamekusanyika katika Msikiti mtukufu wa Jamkaran, mjini Qom, katika siku tukufu za mwezi wa Sha’ban, na kuugeuza…

ASTV TANZANIA

Rais wa Chama cha Wataalamu wa Matibabu ya Mionzi Tanzania (RAOTA), Dkt

February 4, 2026 mjombazecoder

Rais wa Chama cha Wataalamu wa Matibabu ya Mionzi Tanzania (RAOTA), Dkt. Fredrick Ludovick amesema miongoni mwa njia rahisi za kupambana na saratani ni pamoja na uchunguzi wa awali. Amewashauri…

MWANANCHI

Samia ainadi Tanzania jukwaa la uwekezaji duniani

February 4, 2026 mjombazecoder

Rais amesema Serikali ya Tanzania imejikita katika kujenga misingi imara inayowawezesha...

TUKO SWAHILI NEWS

Kombe la Carabao: Kiasi ambacho Chelsea imekosa baada ya kupigwa na Arsenal

February 4, 2026 mjombazecoder

Arsenal ilifika fainali yao ya kwanza katika zaidi ya miaka mitano, ikiishinda Chelsea 4-2 kwenye Kombe la Carabao. Kai Havertz alifunga bao muhimu dakika za mwisho.

TZSPORTS

#NBCPL: Fountain Gate wanakwenda Mapumziko wakiwa kifua mbele

February 4, 2026 mjombazecoder

#NBCPL: Fountain Gate wanakwenda Mapumziko wakiwa kifua mbele. HT: Fountain Gate 1-0 Namungo LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #FountainGateVsNamungo #FountainGate #Namungo

Posts pagination

1 … 98 99 100 … 647

Recent Posts

  • Mashambulizi ya Israel na Marekani nchini Iran yameua zaidi ya watu 550 kwa siku mbili
  • Vifo vya wagonjwa kifafa vyapungua
  • Honouring humble life of servant of all
  • Mbuni ang’ara shindano la ndege wa mwaka
  • Maxime ahofia kitu kwa kikosi chake akiisubiri Fountain Gate

Recent Comments

No comments to show.

Archives

  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Mashambulizi ya Israel na Marekani nchini Iran yameua zaidi ya watu 550 kwa siku mbili

March 2, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

Vifo vya wagonjwa kifafa vyapungua

March 2, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Honouring humble life of servant of all

March 2, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

Mbuni ang’ara shindano la ndege wa mwaka

March 2, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS