Steinmeier akamilisha ziara yake Afrika kwa kuizuru Angola
Rais wa Ujerumani Frank -Walter Steinmeier amewahimiza wafanyabiashara wa Ujerumani kufanya uwekezaji katika mradi mkubwa wa miundombinu ya reli wa Lobito kusini mwa Afrika.
Rais wa Ujerumani Frank -Walter Steinmeier amewahimiza wafanyabiashara wa Ujerumani kufanya uwekezaji katika mradi mkubwa wa miundombinu ya reli wa Lobito kusini mwa Afrika.
Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, tangu yalipoanza kutekelezwa makubaliano ya kusitisha vita tarehe 10 Oktoba, utawala wa kizayuni wa Israel umekataa maombi 107 ya kuingizwa vifaa vya misaada katika Ukanda…
Utafiti mpya uliofanywa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kupambana na Madawa ya Kulevya na Uhalifu UNODC umeonyesha kupungua kwa kiasi kikubwa kwa kilimo cha mmea wa afyuni (Opium)…
Mbeya. Wakati shughuli zikirejea rasmi jijini Mbeya baada ya vurugu wakati wa uchaguzi, Mamlaka...
Joshua alitekwa wakati akifanya mazoezi ya kilimo kusini mwa Israel wakati wapiganaji wa Hamas...
Rais wa Kenya William Ruto atoa wito wa kuachiliwa kwa Wakenya wanaoshikiliwa nchini Ukraine baada ya kufanya maongezi ya simu na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky.
WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Mbinga umepokea jumla ya shilingi milioni 403.7 kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya kurejesha mawasiliano ya barabara zilizoharibiwa na mvua…
ZANZIBAR : SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Zuberi Ali Maulid, amewaapisha wajumbe wateule wa Baraza hilo leo, kufuatia uteuzi uliofanywa jana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la…
Mfanyabiashara Jenifer Jovin (26) maarufu Niffer na wenzake 21 amefikishwa katika Mahakama ya...
Afrika imekumbwa na shinikizo kubwa la maandamano ya vijana maarufuiru Gen Z,maandamano hayo yamekuwa yakibeba ujumbe wa vijana kupinga mifumo ya kiutawala,hali ya uchumi,haki za binadamu na matumizi ya rasilimali.
TANZANIA ni nchi iliyobarikiwa kuwa na aina nyingi za vivutio vya utalii vikiwamo vya wanyamapori kama swala wa aina mbalimbali wanaopatikana katika mapori ya akiba na hifadhi nyingi za taifa.…
Familia nyingi zinasema bado hazijaweza kupata miili ya wapendwa wao waliotoweka wakati wa makabiliano yaliyotokea wakati wa uchaguzi wa wabunge na urais wa Oktoba 29 nchini Tanzania. RFI imepata ushuhuda…
Mwaka mmoja tangu kuangushwa kwa utawala wa kidikteta wa Bashar Al Assad, Syria bado imezongwa na vurugu.
KESHO Jumamosi Novemba 8, 2025, Pamba Jiji itaikaribisha Singida Black Stars katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayochezwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kuanzia saa 10:00 jioni, huku…
Wakati Singida Black Stars ikijiandaa kuikabili Pamba Jiji kesho kwenye uwanja wa CCM Kirumba...
Paul Biya, Rais mkongwe zaidi duniani, mwenye umri wa miaka 92 ameapishwa kuwa Rais wa Cameroon kwa muhula wa nane.
Wasiwasi unaendelea kuongezeka kuhusu ukubwa wa ukatili unaofanywa na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika jiji la El-Fasher, ambalo sasa linakabiliwa na hali ngumu ya kibinadamu. Ingawa…
WAKATI Singida Black Stars ikijiandaa kuikabili Pamba Jiji, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi amewaruhusu wachezaji watatu walio kwa mkopo kucheza ili kutaza viwango vyao.
Waasi wa AFC/M23 wamewateua mamia ya mahakimu katika majimbo ya Kivu Kaskazini na Kivu Kusini huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Mahakimu hao watakuwa na jukumu la kufufua…
Rais wa Marekani amebainidha siku ya Alhamisi kwamba mpango wa nyuklia wa Iran “umeangamizwa” na mashambulizi ya Marekani yaliyofanywa mwishoni mwa mwezi wa Juni. Imechapishwa: 07/11/2025 – 09:39 Dakika 1…
Kocha wa zamani wa Azam FC, Marian Marinica ameteuliwa kuwa Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya...
Pamba Jiji FC wataikaribisha Singida Black Stars katika kesho, Novemba 8, 2025 mchezo wa Ligi...
Shambulio jipya la Marekani katika Bahari ya Karibea dhidi ya meli inayoshutumiwa kwa biashara ya dawa za kulevya limewaua watu watatu, Waziri wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegseth ametangaza. Shambulio…
Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya limetangaza nia maalumu ya kuwaombea watu waliopoteza maisha...
Jumamosi ya Novemba 15, timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars itakuwa uwanja wa Al Salam, jijini Cairo ikicheza mechi ya kirafiki na Kuwait. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 1:00…
Rais wa Marekani Donald Trump amesema siku ya Alhamisi, Novemba 6, kwamba Jeshi la Kimataifa litatumwa “hivi karibuni” kwenda Gaza, siku moja baada ya Marekani kutangaza rasimu ya azimio la…
John Okoth Ogutu, Mkenya mwenye umri wa miaka 33 aliyeishi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi, amethibitishwa kuuwawa kwa risasi wakati wa machafuko yaliyotokea Dar es Salaam baada ya uchaguzi.
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jordan imetangaza kuwa, inalaani vikali uamuzi wa hivi karibuni wa utawala ghasibu wa Israel wa kutangaza zabuni ya ujenzi wa vitongoji vipya 356 vya…
Mashirika matatu ya Kipalestina yanayohusiana na masuala ya mateka yametangaza kuwa, utawala ghasibu wa Israel unawashikilia Wapalestina 9,250 wakiwemo wanawake 49 na watoto 350 katika jela zake.
Kiongozi wa muda mrefu wa Cameroon, Paul Biya, ameapishwa kwa muhula mpya wa miaka saba kufuatia ushindi wake katika uchaguzi wa rais wa mwezi uliopita, ambao mpinzani wake ameutaja kama…
Vikosi vya Usaidizi wa Haraka vya Sudan (RSF) vimetangaza kwamba vinakubali usitishaji vita uliopendekezwa na Kamati ya Kimataifa ya Pande Nne.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana Alhamisi Novemba 6, 2025 na waandaaji hao, usajili...
Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya Wairani ni jinai dhidi ya ubinadamu.
Mchezaji Ousmane Dembele ni mshambuliaji anayeona mbele siku zote. Akikipiga na timu ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa (PSG). Pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa.
Pamoja na faida lukuki, swali linaibuka: Je, ni salama kula maganda ya matunda
Kwa muda mrefu, tohara ya wanaume imekuwa ikihusishwa na manufaa ya kiafya, ikiwemo kupunguza...
Nchini Tanzania, changamoto ya uelewa wa kisukari aina hii bado ipo, hasa vijijini ambako...
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kwamba Kazakhistan itajiunga na Mikataba ya Amani ya Abraham katika hatua muhimu ya kuimarisha jitihada za kutafuta amani ya Mashariki ya Kati.
Jeshi la Israeli limesema kuwa limekamilisha mashambulizi dhidi ya maeneo ya kijeshi ya kundi la wanamgambo wa Hezbollah kusini mwa Lebanon.
Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameteua wanane kuwa wajumbe wa Baraza la...
Uvimbe ndio chanzo kikuu cha maumivu kwenye viungo.
Wanamgambo wa kikosi cha Rapid Support Forces RSF nchini Sudan wamekubali pendekezo la kusitisha vita katika makubaliano ya kibinadamu yatakayotoa nafasi ya misaada kupelekwa katika maeneo inakohitajika.
Mstaafu anakiri kwamba hakuwa miongoni mwa wananchi kadhaa waliotiki ama kutoka, hakutiki wala...
Mawaziri wa nishati kutoka Marekani na nchi za Ulaya wamkutana mjini Athens, Ugiriki kujaribu kutafuta njia ya kuisadia Ukraine katika usambazaji wa gesi ili kukabiliana na msimu mkali wa baridi.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wizara yake inaendelea na jitihada zake za kidiplomasia za kufungua milango ya masoko ya kimataifa kwa ajili…
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Rwanda, amekosoa ujumbe wa kueneza amani wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (MONUSCO) kwa kutoa mafunzo kwa wanajeshi 120 wa…
Shambulizi dhidi ya meli katika pwani ya Somalia limeibua hofu ya kurejea tena kwa matukio ya uharamia katika eneo hilo.
Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limemuondolea vikwazo rais wa mpitio wa Syria Ahmed al-Sharaa ili kumuwezesha kusafiri kwenda Washington kukutana na rais wa Marekani Donald Trump Niovemba 10.
Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mauaji ya kimbari ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza yangali yanaendelea.