Mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa akamatwa baada ya abiria mwenzake kukutwa na $5.9m

Mamlaka za nchini Ureno zimemshtaki mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa, ikiwa ni sehemu ya uchunguzi kuhusu madai ya utakatishaji fedha, polisi walisema siku ya Jumanne.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *