
Mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa akamatwa baada ya abiria mwenzake kukutwa na $5.9m
Mamlaka za nchini Ureno zimemshtaki mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa, ikiwa ni sehemu ya uchunguzi kuhusu madai ya utakatishaji fedha, polisi walisema siku ya Jumanne.