Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika aeleza wasiwasi wake kuhusu kuongezeka kwa uhasama jimbo la Tigray

Mahmoud Ali Youssouf ametaka kuwepo kwa utulivu, na kuonya dhidi ya kukiuka makubaliano ya amani ya Pretoria ya 2022 huku kukiwa na wito wa kuepuka mapigano eneo la Tigray

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *