Misri imesema iko tayari kupokea wagonjwa kutoka Gaza Mpaka wa Rafah utakapofunguliwa

Gavana wa Kaskazini mwa Sinai Meja Jenerali Khaled Mujawir ameiambia televisheni ya taifa Jumatano kwamba upande wa Misri wa mpaka wa Rafah umejiandaa kwa kitakachojiri.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *