Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi Mabalozi wanaokwenda kuiwakilisha Tanzania katika Mataifa mbalimbali kutanguliza mbele maslahi ya Taifa ya kiuchumi, kisiasa na kidiplomasia.

Makamu wa Rais amesema hayo, wakati akizungumza na Mabalozi wateule wanaokwenda kuiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mataifa mbalimbali, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma kwa lengo la kuwaaga mabalozi hao.

#kilichoborakabisa

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *