gg

Chanzo cha picha, Serenity Strull/ BBC

    • Author, Jessica Bradley
    • Nafasi,

Wengi wetu tunafahamu kwamba kulala tukiwa tumeshiba sana kunaweza kuathiri usingizi wetu.

Lakini kubadilisha kile tunachokula na muda tunapokila baadhi ya vyakula kunaweza kusaidia kuboresha usingizi wetu.

Sote tumewahi kuamka asubuhi baada ya kula mlo mkubwa usiku tukihisi uchovu.

Nguvu ya ziada inayohitajika kumeng’enya chakula kikubwa inaweza kuvuruga usingizi na kusababisha usiku wa usumbufu.



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *