
Maafisa 2 wa Kenya wamefariki baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa na kundi la al-Shabab
Maafisa wawili wa Kikosi cha Ulinzi wa Mipakani nchini Kenya wamefariki siku ya Jumatano baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa ardhini (IED) na wanamgambo wa al-Shabab wanaotoka Somalia, kwa mujibu wa polisi wa Kenya.