
Uturuki kuwa mwenyeji wa mkutano wa mazingira wa COP31 baada ya makubaliano na Australia
Waziri Mkuu wa Australia Anthony Albanese anasema Waziri wa Mabadiliko ya Tabianchi Chris Bowen atakuwa Rais wa COP katika mashauriano, huku Uturuki ikiwa mwenyeji wa mkutano na Urais wa COP.