UNHCR: Karibu wakimbizi 61 wa Sudan wamefariki dunia katika ajali ya boti Libya
Boti iliyokuwa ikiwasafirisha wahamiaji 74 ilipatwa na maafa katika pwani ya Libya, na kusababisha vifo vya wahamiaji 61. Taarifa hii imetolewa na Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa(…