Mkufu wa Nile ni nini? Na kwanini Sisi anampa Trump
Katika hatua iliyozua mjadala ndani na nje ya Misri, Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri amemtunuku Rais wa Marekani, Donald Trump, Nishani ya Nile (Order of the Nile), ambayo ni…
Katika hatua iliyozua mjadala ndani na nje ya Misri, Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri amemtunuku Rais wa Marekani, Donald Trump, Nishani ya Nile (Order of the Nile), ambayo ni…
Mara tu awamu ya kwanza itakapokamilika, mazungumzo yanatarajiwa kuanza kwa awamu nyingine.
Mfalme Abdullah II wa Jordan ameonya kuwa Mashariki ya Kati itaangamia iwapo hakutakuwa na mchakato wa amani utakaopelekea taifa la Palestina.
Trump aliwaita viongozi wa Kiislamu na Ulaya nchini Misri kujadili mustakabali wa Ukanda wa Gaza na uwezekano wa kupatikana kwa amani ya kudumu ya eneo hilo.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov amesema ushirikiano wa kijeshi na Iran utaendelea "kwa mujibu wa sheria za kimataifa," hata baada ya vikwazo vya silaha vya Umoja…
Manchester United na Crystal Palace wanamfuatilia Jobe Bellingham, Arsenal na Manchester City miongoni mwa klabu zinazomtaka Nathaniel Brown, harakati za Chelsea kumnasa Adam Wharton zaongezeka.
Jeshi la Israel linasema mateka wa kwanza wamekabidhiwa na Hamas na wamerejea Israel.
Kuna uvumi unaowazunguka matajiri wengine wa teknolojia, ambao baadhi wanaonekana kununua ardhi kwa wingi, kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za chini ya ardhi. Kwa nini?
Mshambuliaji bora ni yule aliye katika kiwango kizuri, akipachika magoli, akifunga karibu kila mechi . Anaongoza klabu yake kutwaa ubingwa na kuipeleka nchi kwenye Kombe la Dunia. Ni yupi kati…
Ingawa dawa za ugonjwa wa akili ni haramu nchini Afrika Kusini, waganga wengi walioko mjini Cape Town wanatangaza waziwazi kwamba wanazijumuisha katika matibabu yao.