Mahakama yaagiza Lissu ajibiwe ndani ya siku 7
Shauri hilo limefunguliwa na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA, Said Mohamed, pamoja na wajumbe wawili wa bodi ya wadhamini wa CHADEMA Zanzibar, Ahmed Rashid na Maulida Komu ambaye sasa ni…
Shauri hilo limefunguliwa na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA, Said Mohamed, pamoja na wajumbe wawili wa bodi ya wadhamini wa CHADEMA Zanzibar, Ahmed Rashid na Maulida Komu ambaye sasa ni…
Visa viwili vipya vya maambukizi ya virusi vya Ebola vimeripotiwa nchini Uganda, Wizara ya Afya ya Uganda imetangaza katika taarifa yake mnamo Mei 25, 2026. Imechapishwa: 25/05/2026 – 13:09Imehaririwa: 25/05/2026…
Kwa nini taifa hili lenye uwezo mkubwa wa kiuchumi sio tu barani Asia ''linamtelekeza'' mshirika huyu wa kihistoria
Ripoti mpya ya Bunge la Congress ya Marekani imefichua ukubwa wa hasara za kijeshi za Marekani katika vita vyake na Iran, huku ripoti ikiongezea kuwa jumla ya ndege 42 za…
Zaidi ya mahujaji milioni 1.5 Waislamu kutoka kote ulimwenguni wameondoka kwenda Makka nchini Saudi Arabia kwa ajili ya ibada takatifu ya Hija, hija kuu ya kila mwaka inayoanza leo Jumatatu,…
Rais wa Lebanon ametetea uamuzi wake wa kujadiliana na Israel na kuthibitisha kwamba ombi lake la jeshi la Israel kuondoka kusini mwa Lebanon “haliwezi kujadiliwa,” wakati mazungumzo kati ya nchi…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio amependekeza kwa uangalifu kwamba Washington inaweza kuwa na habari njema leo Jumatatu kuhusu uwezekano wa makubaliano na Iran. Imechapishwa: 25/05/2026 –…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio amesema leo Jumatatu kwamba Israel “daima” itakuwa na haki ya kujilinda bila kujali makubaliano yoyote kati ya Washington na Tehran, akirudia…
Serikali mpya ambayo imetangazwa saa chache tu baada ya sherehe ya kuapishwa kwa rais mteule, ina wajumbe 24, wakiwemo mawaziri kadhaa wa zamani waliohudumu katika utawala wa Talon. Ingawa robo…
Mkutano mkuu wa All Progressives (APC), chama cha rais wa Nigeria anayemaliza muda wake, umemteua rasmi kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi wa urais utakaofanyika Januari 16 nchini Nigeria.…
Wanaume, wanawake, na watoto 243 kutoka Côte d’Ivoire ambao walikuwa wameishi nchini Tunisia kwa miezi kadhaa katika mazingira ngumu sana, wameamua kurudi nyumbani na wamerejeshwa Abidjan mwishoni mwa wiki hii…
Zaidi ya watu 900 sasa wanashukiwa kuambukizwa virusi vya Ebola, nchini DRC kulingana na takwimu za hivi karibuni zilizotolewa jana na Shorka la Afya Duniani, WHO. Shirika la afya la…
Rubio alisema katika mkutano na waandishi wa habari nchini India, bila kutoa maelezo zaidi, kwamba makubaliano yanayotarajiwa "kwa kiasi kikubwa" yatashughulikia wasiwasi wa Marekani kuhusu Mlango wa Bahari wa Hormuz…
Mkuu wa shirika la afya dunini WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema kwamba watu zaidi ya 900 wanashukiwa kuwa wameambukizwa virusi vipya vya Ebola nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo. Imechapishwa:…
Viwango vya juu vya madeni vinavyodaiwa na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na wakopeshaji wengine wa nje vinaweza kusababisha hatari kubwa za kiuchumi za muda mrefu kwa nchi za…
Nchini Uganda, wabunge leo Jumatatu, wanatarajiwa kumchagua Spika mpya, baada ya kuapishwa wiki moja iliyopita, kufuatia uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Januari mwaka huu. Imechapishwa: 25/05/2026 – 05:48Imehaririwa: 25/05/2026 – 06:00…
Spika wa bunge nchini Senegal El Malick Ndiaye, ametangaza kujiuzulu, uamuzi ambao unaiweka nchi hiyo kwenye sintofahamu ya kisiasa. Imechapishwa: 25/05/2026 – 05:43Imehaririwa: 25/05/2026 – 05:43 Dakika 1 Wakati wa…
Rais wa Marekani Donald Trump, amewaagiza wajumbe kutoka nchi yake, wasiwe na haraka ya kusaini mkataba wowote na Iran, licha ya hapo awali kudai kuwa mwafaka ulikuwa unakaribia kupatikana. Imechapishwa:…
Makubaliano yanayojadiliwa yanaripotiwa kuhusisha kuongeza muda wa kusitisha mapigano hadi siku 60, kufungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz na mpango wa mazungumzo zaidi kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran.
Kuanzia kwa wakongwe waliodumu kwa zaidi ya miongo miwili hadi vijana wadogo waliotikisa dunia kwa mafanikio makubwa, EPL imeandika upya historia yake katika msimu ambao mashabiki hawatausahau kwa haraka.
Rais mteule Romuald Wadagni, aliyetangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Aprili 12 nchini Benin, ataapishwa na kukabidhiwa rasmi mamlaka ya uongozi wa nchi wakati wa sherehe ambayo inatarajiwa kufanyika…
Milio ya risasi imesikika karibu na Ikulu ya White House jioni ya Jumamosi, Mei 23. Kulingana na ripoti za awali, mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka ishirini alivamia kituo cha…
Mfululizo wa mashambulizi na uhalifu unaowalenga watu wenye ulemavu wa ngozi umesababisha kukamatwa kwa watu wapatao kumi. Kwa wale wenye ulemavu huu na wanasheria wanaowaunga mkono, kampeni kubwa ya uhamasishaji…
Mpango wa kurefusha muda wa usitishaji mapigano umeripotiwa na vyombo vya Habari vya pande zote mbili lakini hakuna makubaliano rasmi yaliyofikiwa.
Mji mkuu wa Ukraine na viunga vyake umeshambuliwa vikali na jeshi la Urusi usiku wa Jumamosi, Mei 23, kuamkia Jumapili, Mei 24, ikiwa ni pamoja na kombora la balestiki la…
Je, Marekani na Iran zinaweza kupata msingi wa makubaliano? Rais wa Marekani Donald Trump amependekeza hili siku ya Jumamosi, Mei 23, akimaanisha makubaliano ambayo yalikuwa “yamejadiliwa kwa kina na kwa…
Angalau watu 24 wameuawa leo Jumapili katika shambulio la bomu kwenye treni iliyokuwa imewabeba wanajeshi katika jimbo lenye vurugu la kusini-magharibi mwa Balochistan, afisa mkuu amesema. Imechapishwa: 24/05/2026 – 09:14…
Sunil Puniya alikuwa kwenye kazi yake ya kwanza ya baharini wakati kombora lilipoipiga meli ya mafuta ya Skylight mwanzoni mwa vita vya Iran.
Hofu kuhusu usalama wa chakula nchini India inaongezeka huku video zinazosambaa kwa kasi mtandaoni na vipimo vilivyoshindikana vikiongeza kutokuaminiana kwa umma.
Tangu Mei 22, Shirika la Afya Duniani (WHO) limeongeza hatari inayosababishwa na mlipuko wa virusi vya Ebola kwa afya ya umma mashariki mwa DRC kwa kiwangu cha “juu sana.” Ingawa…
Marekani imeimtuhumu rais wa zamani wa Cuba, Raúl Castro, mwenye umri wa miaka 94, kwa mauaji, jambo lililochochea uvumi kwamba Havana inaweza kuwa shabaha inayofuata katika orodha ya Washington ya…
Wachezaji hawa walishuka ugani na kutoa mchango mkubwa sana kwa timu zao za taifa katika michuano ya kombe la dunia licha ya umri wao. Hii ni mifano hai inayodhihirisha kuwa…
Idadi ya watu waliouawa katika shambulio la Kyiv kwenye shule moja katika eneo la linalokaliwa na Urusi Mashariki mwa Ukraine imefikia 10. Imechapishwa: 23/05/2026 – 13:17 Dakika 1 Wakati wa…
Uganda imethibitisha visa vitatu vipya ya Ebola, na kufikisha idadi ya watu walioambukizwa kuwa watano tangu kuripotiwa kwa kisa cha kwanza cha Ebola katika taifa hilo la Afrika Mashariki Mei…
Iran imeishutumu siku ya Jumamosi, Mei 23, Marekani kwa kuhujumu mazungumzo ya kukomesha vita kwa “misimamo inayokinzana na madai ya mara kwa mara.” Mambo haya “yanavuruga mchakato wa mazungumzo yanaoongozwa…
Safari ya Salah inaonyesha kiwango cha kipekee cha kujitolea, uvumilivu na shauku.
Nchini Zambia, sheria mpya kuhusu usalama wa mtandaoni na uhalifu wa kimtandao zinasababisha wasiwasi miongoni mwa waandishi wa habari na watetezi wa haki za binadamu. Sheria hizi zilizopitishwa mwezi Aprili…
Nchini Mali, vijiji vitano katika mkoa wa Bandiagara, katikati mwa nchi, vimeshambuliwa siku ya Alhamisi alasiri, Mei 21, 2026. Kundi linalodai kuunga mkono Uislamu na Waislamu (JNIM), linalohusishwa na Al…
Mlipuko wa gesi kwenye mgodi wa makaa ya mawe katika jimbo la kaskazini mwa China la Shanxi umeua watu wasiopungua 82 na makumi ya watu kukwama chini ya ardhi, vyombo…
Hizi ni baadhi ya nadharia maarufu kuhusu jinsi mwisho wa dunia au ulimwengu unaweza kuwa katika siku za mbali sana zijazo, ikiwa kweli kutakuwa na mwisho kabisa.
Kwa usaidizi wa Shirika lisilo la kiserikali la Medical Corps, taasisi hiyo katika mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kaskazini unayodhibitiwa na wasi wa AFC/M23 imeanzisha mzunguko mpya wa kuwapima…
Katika juhudi za kuzuia kuenea kwa virusi vya Ebola kwa raia wake, Uganda imetangaza kusitisha usafiri wote wa anga na ardhini na nchi jirana ya DRC, huku Rwanda ikiamua kupiga…
Rubio ameingilia kati baada ya Rais Donald Trump kusema kwamba Marekani itatuma wanajeshi zaidi nchini Poland, wiki moja baada ya mpango wa kupeleka wanajeshi nchini humo kufutwa.
Abdoul Salam Maïga, mwalimu wa Quran katika madrasa huko Tonka, amepigwa risasi hadharani na wanajihadi wa JNIM siku ya Alhamisi, Mei 21. Mamo mwezi Novemba mwaka uliyopita, mji huuulioko katikati…
Rais wa Senegal Bassirou Diomaye Faye amemfuta kazi Waziri wake Mkuu, Ousmane Sonko, jioni ya Mei 22, 2026. Tangazo hilo lilitolewa kwenye kituo cha televisheni cha RTS muda mfupi kabla…
Kila mara alipomfanyia vibaya msichana, alimwambia asimweleze mtu yeyote, na alikuwa akimfuatilia kwa karibu, akimtisha kwamba baadhi ya watu wa familia yake wangeweza kuumizwa.
Kisonono na kaswende, miongoni mwa maambukizi mengine ya zinaa (STIs), vinafikia viwango vya juu vya rekodi barani Ulaya.
Chanzo hicho kiliongeza kuwa urani iliyorutubishwa ya Iran na udhibiti wa Tehran juu ya Mlango bahari wa Hormuz bado ni miongoni mwa masuala yanayokwaza mazungumzo.
Ripoti imenukuu afisa wa Pentagon, Jules W. Hurst, akiliambia Bunge kuwa gharama za vita dhidi ya Iran zimezidi dola bilioni 29 za Marekani, kiwango kinachojumuisha matengenezo na ukarabati wa ndege…
Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio imesema kwa kuzingatia taarifa zinazoaminika, Mafwele alihusika katika ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.