Hemed Suleiman ‘Morocco’ kutoipeleka Tanzania AFCON Morocco
Nafasi ya kocha huyo kwa sasa inachukuliwa na mzawa Miguel Gamondi, raia wa Argentina ambaye alikuwa akiifundisha Singida Big Stars ya nchini Tanzania.
Nafasi ya kocha huyo kwa sasa inachukuliwa na mzawa Miguel Gamondi, raia wa Argentina ambaye alikuwa akiifundisha Singida Big Stars ya nchini Tanzania.
Tawi la Kijeshi la Hamas limesema kuwa limeupata mwili wa mwanajeshi mmoja wa Israel katika Ukanda wa Gaza na linafanya mpango wa kuurejesha Israel.
Serikali ya Nigeria imepinga vikali vitisho vya kijeshi vilivyotolewa na Rais wa Marekani, Donald Trump kuhusu madai ya mateso dhidi ya Wakristo nchini humo.
Ujerumani na Ghana zataka kuimarisha mahusiano zaidi kwa maslahi ya pamoja kufuatia ziara ya rais Frank-Walter Steinmeier mjini Accra
Makamu wa rais wa zamani wa Marekani Dick Cheney amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84. Cheney alikuwa makamu wa rais wa 46, akihudumu chini ya rais Mrepublican George…
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa wito wa mshikamano wa kitaifa, akisisitiza umuhimu wa kudumisha amani, umoja na utulivu baada ya kuapishwa kwa muhula mpya wa miaka mitano. Katika…
Kansela wa Ujerumani Friedriech Merz amesema Wasyria hawana tena msingi wa kuomba hifadhi nchini Ujerumani kwa sababu vita vya wenyewe kwa wenyewe vimemalizika nchini mwao.
Singapore inapanga kuwaadhibu walaghai wa mitandaoni kwa kuwacharaza viboko sita. Hayo yamesemwa bungeni na waziri mmoja, wakati taifa hilo likiimarisha vita vyake dhidi ya makundi ya ulaghai.
Kiongozi wa utawala wa kijeshi nchini Guinea amewasilisha rasmi jina lake kugombea urais katika uchaguzi wa Disemba, akibatilisha ahadi yake ya awali kwamba hatagombea baada ya kuongoza mapinduzi miaka minne…
Nchini Tanzania hali imeanza kurejea kawaida licha baadhi ya maeneo kuarifiwa hali bado ni ya kusuasua tangu kulipofanyika Uchaguzi Mkuu, Oktoba 29.
Urusi imeshambulia miundombinu ya nishati nchini Ukraine huku Ukraine ikishambulia viwanda ndani ya Urusi
Serikali ya Tanzania imewaonya watu kutosambaza picha na video ambazo huenda zikasababisha hofu. Serikali imesema kufanya hivyo kutapelekea wao kukabiliwa na mashtaka ya uhaini.
Baraza la ulinzi linaloungwa mkono na jeshi la Sudan linatazamiwa kukutana leo ili kujadili pendekezo la kusitisha mapigano linaloungwa mkono na Marekani.
Israel imeikabidhi miili 45 ya Wapalestina siku moja baada ya wanamgambo wa Hamas kurejesha miili ya mateka watatu wa Israel kutoka Ukanda wa Gaza.
Mlinda lango mkongwe wa Bayern Munich, Manuel Neuer, amesema timu yake inafahamu pale pa kuiumiza Paris Saint Germain kuelekea mechi ya Ligi ya Vilabu Bingwa kati ya miamba hao wawili…
Serikali nchini Tanzania inakabiliwa na shinikizo linaloongezeka kufuatia mauaji yaliyoshuhudiwa wakati na baada ya uchaguzi wa wiki iliyopita+++Ujerumani na Ghana zinataka kuimarisha mahusiano yao zaidi kwa kuendesha mashauriano ya kisiasa…
Kulingana na Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, Ankara haipo tayari kuona ugaidi kwenye eneo lake wala kwa majirani zake.
Samia Suluhu Hassan alitangazwa mshindi katika uchaguzi wa urais wa Tanzania na kupata muhula mwingine licha ya ghasia zilizoshuhudiwa nchini humu.
Katika taarifa yake ya Jumatatu Novemba 3, ujumbe wa SADC umeainisha baadhi ya changamoto walizokutana nazo wakati wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, nchini Tanzania.
Nchi mbalimbali zinajitahidi kuwasilisha malengo mapya ya hali ya hewa kwa mwaka 2035. Hata hivyo, licha ya hatua zinazopigwa, bado kuna wasiwasi kwamba kasi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi…
Nchi mbalimbali zinajitahidi kuwasilisha malengo mapya ya hali ya hewa kwa mwaka 2035. Hata hivyo, licha ya hatua zinazopigwa, bado kuna wasiwasi kwamba kasi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi…
Mabingwa wa Ligi Kuu ya kandanda ya Ujerumani Bayern Munich, watakuwa na kibarua kigumu siku ya Jumanne watakapomenyana na mabingwa watetezi Paris Saint-Germain.
Afrika Kusini taifa lenye idadi kubwa zaidi duniani ya watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI limeingia kwenye orodha ya nchi za kwanza kunufaika na chanjo ya kuzuia maambukizi ya virusi…
Kenya iliwakilisha vyema kwa mbio za Marathon za New York Jumapili, wakati Benson Kipruto alipomaliza kwa muda wa saa mbili dakika nane na sekunde tisa kwa wanaume huku Hellen Obiri…
Kenya iliwakilisha vyema kwa mbio za Marathon za New York Jumapili, wakati Benson Kipruto alipomaliza kwa muda wa saa mbili dakika nane na sekunde tisa kwa wanaume huku Hellen Obiri…
Mwenyekiti wa Al Hilal Omdurman SC ya Sudan, Yasir Hassan Ibrahim amelishukuru shirikisho la soka nchini Rwanda, FERWAFA kwa kuzipa timu hizo fursa ya kushiriki ligi kuu kandanda ya Rwanda.
Rais Samia aliapishwa katika sherehe rasmi za kijeshi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Dodoma.
Rais Samia aliapishwa katika sherehe rasmi za kijeshi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Dodoma.
Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ameapishwa leo Jumatatu kuiongoza nchi hiyo kwa muhula mpya wa miaka mitano. Ameapishwa baada ya uchaguzi uligubikwa na vurugu.
Rais wa Kenya William Ruto ametoa wito kwa Watanzania kudumisha amani huku nchi hiyo ikukumbwa na machafuko ya kisiasa kufuatia maandamano ya kupinga uchaguzi uliofanyika Oktoba 29.
Rais wa Kenya William Ruto ametoa wito kwa Watanzania kudumisha amani huku nchi hiyo ikukumbwa na machafuko ya kisiasa kufuatia maandamano ya kupinga uchaguzi uliofanyika Oktoba 29.
Viongozi wa Afrika wasiopungua 14 wamekuwa wakivaa sare za jeshi hadharani katika miaka ya hivi karibuni, magwanda ambayo hufanya watu kuwaangalia kwa makini.
Viongozi wa Afrika wasiopungua 14 wamekuwa wakivaa sare za jeshi hadharani katika miaka ya hivi karibuni, magwanda ambayo hufanya watu kuwaangalia kwa makini.
Papa Leo ameitolea mwito jamii ya kimataifa kuchukua hatua na maamuzi ya kusaidia juhudi za uokozi kwa watu wa Sudan. Siku ya Ijumaa, Umoja wa Mataifa ulisema kwamba mamia ya…
Wanawake ''wamedhalilishwa kingono, vurugu, na mateso" na RSF, ikiwemo waandishi wa habari wa kike, waziri wa nchi masuala ya jamii amesema.
Wanawake ''wamedhalilishwa kingono, vurugu, na mateso" na RSF, ikiwemo waandishi wa habari wa kike, waziri wa nchi masuala ya jamii amesema.
Kiongozi mkuu wa kanisa Katoliki duniani, ametowa mwito wa kuanzishwa mazungumzo badala ya machafuko.
China imewakamata wachungaji kadhaa wa Kikristo katika msako dhidi ya makanisa yasiosajiliwa, huku waumini wa madhehebu ya Kikristo wanaoabudu nje ya mfumo wa makanisa yaliyoidhinishwa na serikali wakisakwa na dola.
Machafuko yalizuka katika sehemu tofauti nchini humo tangu 29 Oktoba 2025 huku waandamanaji wakipinga uchaguzi huo na kutaka mabadiliko.
Machafuko yalizuka katika sehemu tofauti nchini humo tangu 29 Oktoba 2025 huku waandamanaji wakipinga uchaguzi huo na kutaka mabadiliko.
Maafisa waliokamatwa kwa madai ya kuhusiska na jaribio hilo, wanahojiwa kwa sawa, naibu mkuu wa majeshi amesema
Maafisa waliokamatwa kwa madai ya kuhusiska na jaribio hilo, wanahojiwa kwa sawa, naibu mkuu wa majeshi amesema
Maandamano katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo yameathiri baadhi ya huduma, ikiwemo usafiri wa malori yanayopeleka bidhaa nje ya nchini na bidhaa kutoka nje kukwama.
Maandamano katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo yameathiri baadhi ya huduma, ikiwemo usafiri wa malori yanayopeleka bidhaa nje ya nchini na bidhaa kutoka nje kukwama.
Tume ya uchaguzi imesema kuwa rais ameshinda kwa asilimia 98 ya kura katika uchaguzi uliokuwa na utata.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Hakan Fidan, amesema kuwa Ankara imechukua jukumu muhimu chini ya Azimio la Sharm el-Sheikh, ikishirikiana na washirika wa kimataifa kuhakikisha kuwa usitishaji wa…
Waziri wa Mambo ya Nje Mahmoud Thabit Kombo, amekanusha madai ya upinzani ya kwamba mamia wameuawa.
Jukwaa la 9 la TRT World limeanza mjini Istanbul, likiunganisha viongozi, wanafikra na watunga sera kutoka sehemu mbalimbali za dunia.
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, pia ameikosoa mfumo wa propaganda ya Israel uliyojengwa kwa misingi ya uongo, akifichua idadi kubwa ya waandishi wa habari waliouawa Gaza.
Kiongozi wa Mawasiliano wa Uturuki, Burhanettin Duran, amesema Ankara inachukua jukumu la usuluhishaji, ikiweka kipaumbele usalama wa binadamu na kuamini kwamba amani ya kudumu inaweza kupatikana kupitia mazungumzo, si kwa…