Nairobi: Wanaume 2 wafariki baada ya polisi kuwapiga, kuwalazimisha kula mahindi na pilipili mbichi
Wakazi mtaani Kahawa West walipandwa na hasira kufuatia vifo vya James Muraga Maina na Daniel Nudhu Njoki wanaodaiwa kukutana na ukatili wa polisi.
Wakazi mtaani Kahawa West walipandwa na hasira kufuatia vifo vya James Muraga Maina na Daniel Nudhu Njoki wanaodaiwa kukutana na ukatili wa polisi.
Mjakazi raia wa Uganda, Vicky Ajok, anadaiwa kukiri kumuua mwigizaji wa Kisiria Huda Shaarawi. Mwigizaji huyo alipatikana amefariki dunia huko Damascus.
ODM kilichukua hatua ya kubadilisha uongozi wake mkuu, na kuzua wasiwasi wa ndani kuhusu utaratibu, uhalali na umoja wa chama kabla ya maamuzi muhimu ya kisiasa.
IEBC ilithibitisha kuondoka kwa Afisa Mkuu Mtendaji wake Marjan Hussein Marjan kwa ridhaa ya pande zote, na baadaye ikatangaza mipango ya muda kuhusu 2027.
Arsenal imewaachia wachezaji saba, akiwemo Oleksandr Zinchenko, wakati wa dirisha la uhamisho la Januari, Wanakutana na Chelsea Nusu Fainali ya Kombe la Carabao.
Muungano wa Azimio La Umoja umemteua Kalonzo Musyoka kuwa kiongozi wa chama na Caroli Omondi kuwa katibu mkuu baada ya mkutano wa NEC ulioongozwa na Uhuru Kenyatta.
Wakazi wa Homa Bay wenye hasira walichoma moto nyumba sita za mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi ya Onyege baada ya kudaiwa kumuua mwalimu mstaafu na mkewe.
Wingi la hofu lilitanda kaunti ya Kericho baada ya mwanamke kupatikana ameuawa kikatili katika gesti. Polisi wanawasaka washukiwa uchunguzi ukiendelea.
Mbunge wa Kisumu Ruth Odinga akosoa hatua ya polepole ya Kenya Kwanza kuhusu ajenda ya pointi 10. Ameangazia ahadi ambazo hayati Raila Odinga alitaka zitimizwe.
Magdaline Wangeci, Mkenya anayeishi Uingereza alifikishwa kortini CCTV ilipommulika jaribio lake la kuchoma nyumba ya jirani wakati wa shambulio la kulipiza kisasi
Magdaline Wangeci, Mkenya anayeishi Uingereza alifikishwa kortini CCTV ilipommulika jaribio lake la kuchoma nyumba ya jirani wakati wa shambulio la kulipiza kisasi
Utabiri wa hali ya hewa wa kila wiki Kenya unaonyesha hali ya jua na ukame maeneo mengi, huku mvua ya hapa na pale ikinyesha katika maeneo teule.
Afisa wa mifugo wa Baringo Juliah Wangari Karanja na mtoto wake walifariki katika hospitali za Nakuru, na kuzua wasiwasi kuhusu huduma ya mama na msaada wa afya.
Shule ya Upili ya Wasichana ya Njoro ilifungwa kwa muda usiojulikana baada ya fujo za wanafunzi kufuatia kifo cha mmoja wao wa kidato cha nne shuleni humo.
Rigathi Gachagua, ambaye alizungumzia masuala mengi ya kikanda na kitaifa wakati wa mahojiano, alibadilisha sauti yake alipoulizwa kuhusu uhusiano wake na Ruto.
Mwaka mmoja baada ya Mike Sonko kuamua kumpanga Mvulana James alibadilika na kuwa mtoto mwenye furaha na afya njema. Alionekana likizoni nje ya nchi na babake mpya.
Seneta wa Siaya Oburu Oginga anapuuza vitisho vya maandamano kutoka kwa Gachagua na viongozi wa upinzani, akidai maendeleo ni haki ya wote, si chombo cha kisiasa.
Kutana na Tenfold Matimba, 53 ambaye ameoa wake saba ana watoto 62, wanaostawi kwenye shamba lenye mafanikio linalozalisha magunia 5,000 ya mahindi kila mwaka.
Chelsea wanakutana na Arsenal katika mechi ya mkondo wa pili ya Kombe la Carabao, na watakosa huduma za hadi wachezaji saba muhimu. Je watafaulu Emirates?
Manchester United iliwaachia wachezaji saba katika dirisha la uhamisho la Januari, lakini haikufanya usajili mpya. Uhamisho wa mkopo wa Tyrell Malacia ulizuiwa.
Victoria Zubuike alisimulia kwa furaha safari yake ya ajabu kutafuta Green Card ya Marekani, na kuipokea ndani ya miezi minne tu. Alisema hakutumia njia za mkato.
Wakazi wa Nairobi walipitia hali ngumu kufuatia mgomo wa matatu baada ya bodaboda kuongeza nauli. Cha ajabu ni kwamba mgomo huo ni kulalamika kuhusu utundu wao.
Gavana Ken Lusaka, ambaye alifika mbele ya Kamati ya Hesabu za Umma ya Seneti Jumatatu, Februari 2, alitazama kwa makini huku maseneta wakidai majibu.
Ujanja fiche kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Kenya wa 2027 umeibuka na kuonyesha jinsi viongozi wanavyojipanga ndani ya vyama vya DCP na Jubilee kabla ya 2027.
Benki Kuu ya Kenya inaonya dhidi ya ubunifu wa kutumia noti kuunda zawadi za mashada, ikitaja hatari za kisheria na kiuchumi kwa uaminifu wa Shilingi ya Kenya.
Baada ya kupata tunguri za kutisha zimefichwa mvunguni mwa kitanda cha mkjakazi wake, mama Mkenya alitafuta ushauri mtandaoni, jambo lililozua mjadala kuhusu mila
Oburu amekanusha madai ya kuwepo kwa mashindano na Kindiki, akithibitisha kuwa ODM inalenga maslahi ya taifa kuliko madaraka katika mazungumzo ya muungano na UDA.
Janga limekumba eneo la Kuresoi Kaskazini baada ya wanandoa kupatikana wameaga dunia kutokana na kiel kinachoshukiwa kuwa mzozo wa kinyumbani......
Janga limekumba eneo la Kuresoi Kaskazini baada ya wanandoa kupatikana wameaga dunia kutokana na kiel kinachoshukiwa kuwa mzozo wa kinyumbani......
Kitabu hicho hakielezei tu mafanikio, bali kinatoa mfano wa jinsi China ilivyoweza kudumisha mwelekeo wa maendeleo na uthabiti wa utawala licha ya changamoto.
Oburu Odinga aliwaahidi wafuasi wa ODM safari ya kuelekea Canaan, akihusisha ukuaji wa Kenya na mtindo wa Singapore, huku akiahidi uaminifu kwa Rais William Ruto.
Aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang'i amejibu matamshi ya Rais William Ruto huku kukiwa na mvutano mkubwa Uchaguzi Mkuu wa 2027 ukikaribia.
Daniel Jeremiah, mvulana mdogo kutoka Arusha, Tanzania, aliungana na mamake baada ya kutoroka kutafuta pesa za kujitunza huku familia yao ikihangaika kumtafuta.
Mhubiri mahiri Lucy Natasha anapanua huduma yake, Empowerment Christian Church (ECC), hadi Sudan Kusini wiki chache tu baada ya kufunga tawi la Nairobi.
Moses Kuria ametangaza atawania ubunge wa Gatundu Kusini mwaka wa 2027 chini ya UDA, na hivyo kuzua mjadala kuhusu uwiano wa vyama na uongozi.........
Ibada ya kipekee ya Miracle Money Service ya pasta Kanyari ilimwona akipeana pesa kanisani, jambo lililozua maoni mseto. Muumini mmoja alitoa maelezo ya tukio hilo
Idara ya DCI ilimkamata mshukiwa wa mauaji ya mwanafunzi wa kidato cha nne huko Endebess baada ya operesheni ya pamoja ya Kenya na Uganda katika mpaka wa Suam.
Mchungaji Robert Lumbasi alidai kuwa alimuoa Rose Muhando lakini alizima madai hayo. Video iliibuka wawili hao wakiwa pamoja wakionekana kupendeza
Chama cha ODM na UDA chazamia mazungumzo kabla ya 2027, huku uchunguzi wa polisi na juhudi za Gachagua kumteua Kalonzo kuwa kiongozi wa upinzani zikichochea mvutano.
Baada ya miaka minne ya kutembea bila kujua wanakokwenda, familia ya Kisii imepata makazi Kericho, kutokana na usaidizi wa Mbunge Nelson Koech......
Gavana Gladys Wanga aliunga mkono ombi la ODM la kutaka asilimia 50 ya serikali katika mazungumzo ya muungano na UDA kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2027.
Rais William Ruto alitangaza mpango wa kupanua Soko la Gikomba, kushughulikia masuala ya umiliki wa ardhi, hatari za mioto kwa hati miliki mpya ya Kaunti ya Nairobi.
William Ruto amelaani vurugu katika ibada ya kanisa huko Othaya, akihimiza heshima kwa maeneo ya ibada huku mvutano wa kisiasa ukiongezeka kabla ya uchaguzi wa 2027.
Serikali iliwalinda viongozi wa upinzani wakati wa ibada ya kanisa huko Murang'a baada ya mashambulizi ya Nyeri. Seneta wa Murang'a Joe Nyutu alitaka uwajibikaji.
Rais William Ruto alitoa mchango wa KSh 2 milioni kwa ujenzi wa Kanisa la Mtakatifu Petro la Enocha Legio Maria. Kiongozi wa ODM Oburu Oginga alichangia KSh 1m.
Mchezaji wa Arsenal Bukayo Saka anakabiliwa na wasiwasi kuhusu jeraha baada ya kupata maumivu wakati wa mazoezi, na kulazimisha Noni Madueke kuanza mechi siku hiyo.
Aliyekuwa Miss Utalii Lilian Musau amefariki baada ya mwezi mmoja hospitalini. Familia na marafiki zake wanaomboleza mwanamke anayekumbukwa kwa neema na imani yake.
Kiongozi wa chama cha DAP-K Eugene Wamalwa anasema yuko tayari kabisa kupambana na Rais William Ruto mwaka wa 2027. Anasema lengo lake si kuwa Waziri.
Siku chache baada ya shambulio Naibu rais wa zamani Rigathi Gachagua anarudi Othaya kwa mkutano wa siasa. Upinzani ulisema hatua hiyo ni kupigania demokrasia.
Mkenya, Clinton Mogesa, aliuawa katika uwanja wa vita kati ya Ukraine na Urusi alipokuwa akipigania jeshi la Urusi. Aliondoka Qatar kwenda Urusi ili kuwa mamluki.