Korosho Marathon yaja kwa watoto, wazee
BODI ya Korosho Tanzania (CBT) kwa kushirikiana na Kampuni ya Rhino Sports Talents Promotion imezindua vifaa vya mbio za Korosho Marathon msimu wa nne, huku mwaka huu zikitarajiwa kuwahusisha pia…
BODI ya Korosho Tanzania (CBT) kwa kushirikiana na Kampuni ya Rhino Sports Talents Promotion imezindua vifaa vya mbio za Korosho Marathon msimu wa nne, huku mwaka huu zikitarajiwa kuwahusisha pia…
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Geita, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Safia Jongo, ametoa wito kwa wazazi na walezi nchini kuhakikisha wanatekeleza wajibu wao ipasavyo katika malezi ya watoto…
KIKONGWE mwenye umri wa miaka 93, Eliashisauwa Isay, mjane wa kijiji cha Ngira, kata ya Masama Mashariki wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro, amemuomba serikali kuingilia kati mgogoro unaomhusisha na mkwewe anayedai…
DODOMA: MBUNGE wa Jimbo la Ngorongoro mkoani Arusha, Yannick Ndoinyo ameahidi kutekeleza ahadi zote alizoahidi kwa wananchi wa jimbo hilo. Akizungumza leo nje ya ukumbi wa bunge mara baada ya…
DAR ES SALAAM: SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linaendelea kukuza uchumi wa kidijitali kwa kuhakikisha inatoa huduma bora kwa gharama nafuu. Agenda hiyo ambayo pia inaungwa mkono na serikali inakuja…
MENEJA wa Msanii wa Bongo Fleva, Grady Godlove 'Pipi Jojo', maarufu kama Chief Godlove, amefunguka kuhusu uhusiano wake na msanii huyo, akisisitiza kuwa hana mkataba rasmi naye bali anamsaidia kwa…
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ametangaza kuwa kesho, Novemba 13, 2025, Bunge litakuwa na kikao maalum cha kuthibitisha uteuzi wa Waziri Mkuu wa…
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, ametoa wito kwa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kuanzisha kozi maalum za muda mfupi na mrefu za…
DAR ES SALAAM: CHAMA cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) kimelaani vurugu na uharibifu wa mali uliotokea Oktoba 29 siku ya Uchaguzi Mkuu wa 2025. Chama hicho pia kimetoa pole…
MRATIBU wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TENMET), Martha Makala, ameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kuongeza wigo wa ushirikiano na wadau mbalimbali wa elimu hatua ambayo…
TANGA: HALMASHAURI ya Mji Handeni imeainisha mikakati mitano ya kuimarisha utekelezaji wa afua za lishe, ili kukabiliana na changamoto za utapiamlo na kupunguza idadi ya watoto wanaozaliwa wakiwa na uzito…
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu 38, wakiwemo raia mmoja wa Ethiopia, kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria. The post Wahamiaji 38 Wakamatwa Mbeya first appeared on…
SHIRIKA la Utafiti na Maendeleo ya Viwwanda Tanzania (TIRDO) pamoja Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yameingia makubaliano ya awali (MOU),kuhusu utafiti na uendelezaji wa Madini ya kimkakati (strategic minerals)…
KUTOKUTUMIKA ipasavyo kwa miundombinu ya kisasa kwenye masoko yanayomilikiwa na Manispaa ya Kinondoni iliyopo Dar es Salaam kunasababisha upotevu mkubwa wa mapato. Kama masoko hayo yangetumika ipasavyo, yangeingiza mabilioni ya…
NOVEMBA Mosi mwaka huu ndani ya ukumbi wa makao makuu ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Jacobs Mwambegele anatangaza matokeo ya Urais katika…
GEITA: MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amewataka viongozi wa serikali za mtaa kushirikiana na halmashauri kufuatilia kwa ukaribu na kudhibiti uvamizi wa maeneo ya taasisi ikiwemo shule. Kauli…
GEITA: WAKALA wa Huduma za Barabara Mjini na Vijijini Tanzania (TARURA) imetoa muda wa fidia ya makubaliano ya siku 100 kwa mkandarasi wa Mradi wa Uboreshaji wa Miji (TACTICS) mjini…
WANANCHI wakiwemo viongozi wa dini wametoa mwito kwa wananchi kuipenda nchi yao na kulinda amani kwa kuzingatia falsafa ya 4R inayomaanisha ya Maridhiano, Ustahimilivu, Mageuzi na Kujenga upya. Katibu wa…
WALIOKUWA wagombea urais wa vyama pinzani wamemshauri Spika mpya wa Bunge, Mussa Azzan Zungu aongoze mhimili huo wa dola kwa kuzingatia maslahi ya nchi pamoja na kuwaunganisha wabunge na si…
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Novemba 11, 2025 limefanya ziara maalum nyumbani kwa Makamu wa Rais mstaafu Dk Philip Isdor Mpango, eneo la Mayamaya mkoani…
MKUU wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Makalla amekutana na kuzungumza na Balozi Mdogo wa Kenya mkoani humo Balozi David Maina, wakikubaliana kuendelea kuimarisha mahusiano ya pande hizo mbili kupitia…
KURA 378 kati ya kura 383 zilizopigwa zimempa ushindi Mbunge wa Ilala kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mussa Azzan Zungu, kuwa Spika wa nane wa Bunge la Jamhuri…
AFISA Madini Mkazi wa Mkoa wa Simiyu, Mayigi Makolobela, amesema mkoa huo umeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato yatokanayo na Sekta ya Madini, ambapo makusanyo ya robo ya kwanza…
TANGA ni miongoni mwa mikoa ya mwanzo kabisa nchini kuwa na viwanda vikubwa vya uzalishaji tangu miaka ya 1960. Miongoni mwa viwanda hivyo ni Kiwanda cha Saruji cha Tanga, Amboni…
DODOMA : WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo wameapishwa kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. The post Wabunge waapishwa mjini Dodoma first…
DODOMA: Mbunge Mteule wa Jimbo la Ilala, Dar es salaam Mussa Azzan Zungu ameibuka mshindi wa kinyang’anyiro cha Kiti cha Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Zungu…
WADAU mbalimbali wa maendeleo kwa nyakati tofauti wanazungumzia nafasi na umuhimu wa nguvukazi ya vijana kujenga nyumba yao (taifa), badala ya kuibomoa. Katika mazungumzo na gazeti la HabariLEO kwa nyakati…
DODOMA : BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemchagua Mussa Azzan Zungu kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 378 kati ya…
“TUMELETA vifaa vya kisasa na vya kutosha zikiwemo mashine zaidi ya 20 za kuchimba kwenye maji na tumeongeza wataalamu kutoka Ulaya na nchi nyingine za Afrika ili kupata taarifa nzuri…
ARUSHA: Jiji la Arusha linajiandaa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kwanza wa Afrika wa Akili Mnemba (Africa Premier AI Conference – APAIC 2025) utakaofanyika kuanzia Novemba 24 hadi 27, 2025,…
MGOMBEA wa nafasi ya uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Democratic Party (DP), Chrisant Ndege ameahidi kuligeuza Bunge hilo kuwa la maendeleo kwa kufanya…
MBEYA: Mwakilishi wa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya, Simon Parmet, ameipongeza Wizara ya Nishati kwa kutoa elimu kwa Maofisa Dawati kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia. Hatua hiyo…
KATIKA gazeti la HabariLEO kuna habari kuhusu biashara ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kupanda hadi kufikia thamani ya Dola za Marekani bilioni 38.2 katika robo ya pili ya…
RIYADH: Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk Hassan Abbasi akifuatilia mjadala wa matumizi ya akili mnemba (Artificial Inteligence) katika Sekta ya Utalii kwenye Mkutano wa 26 wa Baraza…
MKUTANO wa kwanza kwa Bunge la 13 la Tanzania unaanza leo jijini Dodoma ambao pamoja na masuala mengine, Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufungua bunge hilo jipya. Taarifa ya Katibu…
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ameteua wabunge sita kuingia katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi Zanzibar na kutoa mwelekeo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar…
MAMLAKA ya Bandari Mkoani Mtwara imesema mwaka huu inashirikiana na sekta binafsi kuendesha Bandari kavu kwa ajili ya kufungasha kontena za korosho ghafi zinazosafirishwa kupitia Bandari hiyo. The post Ufanisi…
GEITA; JESHI la Polisi mkoani Geita limesema limejizatiti kuhakikisha linakomesha vitendo vya utapeli, ukatili wa kijinsia na ramli chonganishi vinavyofanywa na watu mbalimbali kwa kivuli cha tiba za asili. Kamanda…
WAKALA ya Maabara ya Vetenari Tanzania (TVLA) Kanda ya Kaskazini wamewashauri wafugaji kanda hiyo kuhakikisha wanaipa chanjo mifugo yao ili kuikinga na magonjwa. The post Wafugaji Kaskazini Wahimizwa Kuchanja Mifugo…
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amewataka wananchi wa mkoa huo kuchukua hatua madhubuti za kujikinga na kudhibiti majanga ya moto katika mkoa huo. Senyamule alitoa kauli hiyo jijini…
WATANZANIA wametakiwa kuitumia Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe mkoani Dodoma kupata ushauri ukiwemo wa kisaikolojia. Daktari katika hospitali hiyo iliyopo jijini hapa Godfrey Mkama alitoa ushauri huo…
ASKOFU wa makanisa ya PMC Tanzania, Gervase Masanja amesema ni muhimu viongozi wa dini waelimishe waumini waombe amani na utulivu. Askofu Masanja amesema jambo kubwa kwa sasa ni kuendeleza mshikamano…
SERIKALI imesema hali ya utalii na amani viko imara nchini Tanzania. Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk Hassan Abbasi alisema hayo alipoongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa…
VIONGOZI wa dini na watu mbalimbali wametoa mwito kwa wananchi kuipenda nchi yao na kulinda amani kwa kuzingatia falsafa ya 4R. Katibu wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT),…
VIONGOZI vya vyama vya upinzani wamesema Rais Samia Suluhu Hassan akitekeleza mambo aliyoahidi kuyafanya katika siku 100 tangu aapishwe, wananchi watapata manufaa makubwa. Alitoa ahadi hizo wakati anazindua kampeni za…
DAR ES SALAAM; YANGA imeibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya KMC mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyika leo Uwanja wa KMC, Kinondoni, Dar es Salaam. Mabao ya…
DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Kawaida, amesema Tanzania ikiwa na amani ni faraja kwa nchi jirani, hasa zile zinazotegemea Bandari ya…
ENGLAND: Manchester City watakuwa uwanja wa nyumbani wa Etihad kuwakaribisha Liverpool, mchezo wa Ligi Kuu England utakaopigwa saa 1:30 usiku wa leo. City wanaingia katika mchezo huo wakiwa nafasi ya…
ILI taifa lolote lipate maendeleo, kuna mambo ya msingi yanayopaswa kuzingatiwa, ikiwemo uwepo wa amani na utulivu. Amani katika nchi inachochea ustawi wa jamii kwani huvutia wawekezaji, watalii na kuchochea…