Hizi hapa saratani 10 zinazoitafuna Dar
Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) imezitaja aina 10 za saratani zinazosumbua katika Mkoa wa...
Watu 21 wauawa Ukanda wa Gaza katika mashambulizi ya Israel
Watu wasiopungua 21 wanaripotiwa kuuawa na zaidi ya wengine 30 kujeruhiwa kutokana na mashambulizi ya Israel huko Gaza siku ya Jumatano baada ya mapigano kuanza upya katika eneo hilo la…
Viongozi wa kikanda wajadili amani ya DRC Uganda
Katika juhudi za kuleta utulivu wa kudumu nchini Kongo, Umoja wa Afrika umeanzisha jopo maalum la upatanishi linalolenga kuratibu mazungumzo na kuhimiza ushirikiano wa kikanda. Ushiriki wa Museveni, Kenyatta, Obasanjo…
Wajumbe wakutana Abu Dhabi kusaka amani ya Ukraine
Wajumbe kutoka Moscow na Kyiv wamekutana leo mjini Abu Dhabi kwa awamu nyingine ya mazungumzo yanayosimamiwa na Marekani kuhusu kumaliza vita vilivyodumu takribani miaka minne.
Watu wenye silaha wamewaua zaidi ya raia 168 nchini Nigeria
Shirika la Msalaba Mwekundu limesema watu wenye silaha wamewauwa zaidi ya watu 168 katika jimbo la Kwara nchini Nigeria. Hayo ni ni miongoni mwa mashambulizi mabaya kutokea hivi karibuni.
Dk Nchimbi awaongoza waombolezaji maziko ya Munde
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi, leo amewaongoza...
Nishati na mauzo ya silaha: Kansela Merz ziarani Ghuba
Kansela wa Ujerumani, Merz, anazuru nchi tatu za Ukanda wa Ghuba ndani ya saa 72 tu. Katika ziara hiyo, kama alivyofanya awali nchini India, anatafuta ushirikiano mpya wa kimkakati wakati…
M23 yadai kuhusika na shambulio la uwanja wa ndege Kisangani
Waasi wa M23 wamekiri kuhusika na shambulizi la droni liliulolenga uwanja wa kimkakati wa ndege unaotumiwa na jeshi katika eneo la kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Jeshi la Polisi mkoani Mara limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa gari la kubebea wagonjwa …
Jeshi la Polisi mkoani Mara limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa gari la kubebea wagonjwa la Hospitali ya Manispaa ya Musoma mkoani Mara. Gari hiyo…
MSIMAMO: Mambo yalivyo baada ya mechi moja ya leo
MSIMAMO: Mambo yalivyo baada ya mechi moja ya leo. #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #Msimamo #Standing #LeagueTable
Serikali imeshauriwa kuwekeza zaidi katika sekta ya ardhi na kuhakikisha inatoa hati kwa wananchi kwa wakati ili kuepukana na mi…
Serikali imeshauriwa kuwekeza zaidi katika sekta ya ardhi na kuhakikisha inatoa hati kwa wananchi kwa wakati ili kuepukana na migogoro ya ardhi. Ushauri huo umetolewa na Mbunge wa Jimbo la…
WFP kusitisha shughuli Juba baada ya msafara wake kuvamiwa
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, WFP limesitisha shughuli zake katika baadhi ya maeneo ya kaskazini mwa Sudan Kusini baada ya msafara wake wa misaada kushambuliwa.
#NBCPL: Shuti la mbali la Kassim Haruna Shaban likaitanguliza Fountain Gate na baadae Fabrice Wa Ngoy kuisawazishia
#NBCPL: Shuti la mbali la Kassim Haruna Shaban likaitanguliza Fountain Gate na baadae Fabrice Wa Ngoy kuisawazishia. FT: Fountain Gate 1-1 Namungo Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #FountainGateVsNamungo…
Kansela Merz aanza ziara ya Ghuba
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz Jumatano anaanza ziara yake ya siku tatu ambayo ni ya kwanza katika eneo tajiri na lenye umuhimu wa kimkakati la Ghuba.
Wabunge walia mpango kuwa na sheria za zamani, Tarimba ataka Dar ije kivingine
Mapendekezo ya Mpango wa Serikali ndani ya Bunge yameendelea kuibua hisia tofauti miongoni mwa...
Fidia inavyochelewesha ujenzi wa barabara za Tabata
Wananchi wa Tabata, jijini Dar es Salaam bado wanaishi katika sintofahamu huku wakilazimika...
Sh28.3 bilioni kufikisha umeme vitongoji 173 Songwe
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Tanzania...
#NBCPL: Wamegawana alama
#NBCPL: Wamegawana alama FT: Fountain Gate 1-1 Namungo Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #FountainGateVsNamungo #FountainGate #Namungo
Erdogan na Mwanamfalme wa Saudia waunga mkono umoja wa Somalia, wajadili masuala ya kikanda
Viongozi wa Uturuki na Saudi Arabia wamepinga vikali harakati za kujitenga na mifumo sambamba katika Pembe ya Afrika walipokutana jijini Riyadh, Saudi Arabia.
#NBCPL: Fountain Gate yaendelea kushika usukani
#NBCPL: Fountain Gate yaendelea kushika usukani. 60’: Fountain Gate 1-0 Namungo LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #FountainGateVsNamungo #FountainGate #Namungo
Vodacom Tanzania Foundation yavalia njuga magojwa yasiyoambukiza
Changamoto hiyo pia inawakumba wakazi wa Zanzibar, imepelekea Vodacom Tanzania Foundation...
Wafuasi wa Imam Mahdi wakusanyika Jamkaran kuonesha imani na tumaini siku ya Nisf Sha’ban
Maelfu ya waumini na wafuasi wa Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake) wamekusanyika katika Msikiti mtukufu wa Jamkaran, mjini Qom, katika siku tukufu za mwezi wa Sha’ban, na kuugeuza…
Waumini wa Imam Mahdi wakusanyika Jamkaran kuonesha imani na tumaini siku ya Nisf Sha’ban
Maelfu ya waumini na wafuasi wa Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake) wamekusanyika katika Msikiti mtukufu wa Jamkaran, mjini Qom, katika siku tukufu za mwezi wa Sha’ban, na kuugeuza…
Rais wa Chama cha Wataalamu wa Matibabu ya Mionzi Tanzania (RAOTA), Dkt
Rais wa Chama cha Wataalamu wa Matibabu ya Mionzi Tanzania (RAOTA), Dkt. Fredrick Ludovick amesema miongoni mwa njia rahisi za kupambana na saratani ni pamoja na uchunguzi wa awali. Amewashauri…
Samia ainadi Tanzania jukwaa la uwekezaji duniani
Rais amesema Serikali ya Tanzania imejikita katika kujenga misingi imara inayowawezesha...
Kombe la Carabao: Kiasi ambacho Chelsea imekosa baada ya kupigwa na Arsenal
Arsenal ilifika fainali yao ya kwanza katika zaidi ya miaka mitano, ikiishinda Chelsea 4-2 kwenye Kombe la Carabao. Kai Havertz alifunga bao muhimu dakika za mwisho.
#NBCPL: Fountain Gate wanakwenda Mapumziko wakiwa kifua mbele
#NBCPL: Fountain Gate wanakwenda Mapumziko wakiwa kifua mbele. HT: Fountain Gate 1-0 Namungo LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #FountainGateVsNamungo #FountainGate #Namungo
Ibenge azipigia hesabu dakika 90 CAFCC
ZIKIWA zimesalia dakika 180 kwa Azam FC kusaka tiketi ya kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, kocha mkuu wa kikosi hicho, Florent Ibenge, amesema timu hiyo…
VIWANJANI: “Mtanda ni mtu wa mpira ndio maana Pamba pale ilipo inafanya vizuri kwa sababu yake…”
VIWANJANI: “Mtanda ni mtu wa mpira ndio maana Pamba pale ilipo inafanya vizuri kwa sababu yake…” Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), anayewakilisha Mkoa…
Mkurugenzi wa Hospitali ya Ocean Road, Dkt
Mkurugenzi wa Hospitali ya Ocean Road, Dkt. Diwani Msemo amesema idadi ya wagonjwa wa saratani wanaotibiwa katika hospitali hiyo inaendelea kuongezeka, na kuwataka wananchi kujenga utamaduni wa kufanya uchunguzi wa…
Mkakati wa Katwila mechi 3 za uamuzi Championship
MECHI tatu za mwezi Februari huenda zikatoa picha na ramani ya safari ya Geita Gold kuelekea Ligi Kuu Bara kwani zinaweza kuharibu hesabu na kutibua mipango endapo haitachukua alama zote…
Winga Azam FC atimkia Kenya
WINGA wa Azam raia wa Senegal, Pape Doudou Diallo, amekamilisha uhamisho wa kujiunga na Shabana FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Kenya kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu, baada ya…
Daruwesh Saliboko avunja ukimya KMC
KIUNGO mshambuliaji wa KMC, Daruwesh Saliboko ametumia siku 86 ambazo ni sawa na miezi miwili na siku 25 kupachika bao lake la tatu na la ushindi kwa timu hiyo ikiichapa…
Serikali yataja sababu kutojenga stendi Ngara, kugawa ardhi Hifadhi ya Isalalo
Serikali imekiri stendi ya mabasi katika wilaya ya Ngara, Mkoa wa Kagera haitoshelezi mahitaji...
Salum Mayanga akalia kuti kavu Mashujaa
BAADA ya kukosa ushindi kwenye mechi tano mfululizo za Ligi Kuu Bara, uongozi wa Mashujaa upo katika mazungumzo ya kumalizana na kocha wa kikosi hicho, Salum Mayanga ili kufikia makubaliano…
Mfumo wa Usimamizi wa Kodi za Ndani (IDRAS) utasaidia kuboresha utoaji wa huduma, kuongeza ufanisi wa kazi na kutumia teknolojia…
Mfumo wa Usimamizi wa Kodi za Ndani (IDRAS) utasaidia kuboresha utoaji wa huduma, kuongeza ufanisi wa kazi na kutumia teknolojia ya kisasa katika kusimamia kodi za ndani. Hayo yameelezwa na…
Edwin Sifuna asema hana wasiwasi kuhusu kunyang’anywa kiti cha SG katika ODM: “Ni sawa”
Katibu mkuu wa ODM, Edwin Sifuna, alizungumzia uvumi anaondoka chamani, akithibitisha uaminifu wake katikati ya fujo kuhusu uongozi na uhalali wa kikatiba wa chama.
Marekani yaanzisha upya AGOA kwa mwaka mmoja
Baraza la Seneti la Marekani limepiga kura siku ya Jumanne, Februari 3, 2026, kuanzisha upya AGOA kwa mwaka mmoja. Hatua hii imesainiwa mara moja kuwa sheria na Rais wa Marekani…
Tanzania: Chama cha ACT-Wazalendo chalaani uchomwaji wa nyaraka za Uchaguzi wa Zanzibar
ACT-Wazalendo imesisitiza kuwa, ni kosa la jinai kuharibu ushahidi wakati kuna shauri la kisheria linaloendelea.
Serikali imejipanga kuhakikisha wakulima nchini wanaondokana na kilimo cha mkono kupitia mpango wa kugawa matrekta 10,000 katika…
Serikali imejipanga kuhakikisha wakulima nchini wanaondokana na kilimo cha mkono kupitia mpango wa kugawa matrekta 10,000 katika halmashauri zote nchini, ambayo utawawezesha wakulima kuyakodi kwa gharama nafuu. Mhariri | John…
VIWANJANI: “Yale mahitaji amabayo Wydad wanataka kwa Aziz imekuwa ngumu sana kwake…”
VIWANJANI: “Yale mahitaji amabayo Wydad wanataka kwa Aziz imekuwa ngumu sana kwake…” Mchambuzi wa soka Iddy Nonga amesema ujio wa nyota wakubwa katika soka kwenye klabu ya Wydad Casablanca kumeweka…
Uturuki yaahidi msaada zaidi kwa Sudan
Uturuki inalenga kuwasaidia watu wa Sudan na mamlaka za nchini humo katika kushughulikia matatizo ya watu.
DRC: AFC/M23 yadai kuhusika na mashambulizi kwenye Uwanja wa Ndege wa Kisangani
Waasi wa AFC/M23 wamedai kuhusika na shambulio la ndege zisizo na rubani kwenye Uwanja wa Ndege wa Bangoka katika jiji la Kisangani, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).…
Watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia petroli wataendelea kuugulia maumivu ya ongezeko la bei kwa mwezi Februari, huku kwa w…
Watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia petroli wataendelea kuugulia maumivu ya ongezeko la bei kwa mwezi Februari, huku kwa watumiaji wa dizeli na mafuta ya taa hali ikiwa tofauti. Hali…
WHO yaomba dola bil.1 za kukabiliana na majanga ya kiafya
Shirika la Afya Duniani, WHO, limeomba dola bilioni moja za Marekani ili kukabiliana na majanga ya kiafya mwaka huu kwa ajili ya maeneo 36 yenye dharura zaidi duniani, huku watu…
Ahadi ya Sh200 bilioni zitaakisi fursa au changamoto kwa wafanyabiashara wadogo?
Ahadi ya utoaji wa Sh200 bilioni ilitolewa na Rais Samia alipokuwa akiomba ridhaa ya wananchi...
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Hamisa Kalombola ameliagiza Baraza la Wafanyakazi la Tume hiyo kufanya majadiliano …
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Hamisa Kalombola ameliagiza Baraza la Wafanyakazi la Tume hiyo kufanya majadiliano ya kina kuhusu Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027, akisisitiza kuwa…
FOUNTAIN GATE vs NAMUNGO: Tazama vikosi vya timu zote mbili vikiwasili katika dimba la Tanzanite Kwaraa tayari kwa mchezo wa NBC…
FOUNTAIN GATE vs NAMUNGO: Tazama vikosi vya timu zote mbili vikiwasili katika dimba la Tanzanite Kwaraa tayari kwa mchezo wa NBC Premier League. Mechi ni saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports1HD…