Govt advances disability rights agenda
DODOMA:THE government has reiterated its commitment to ensuring persons with disabilities are fully involved in national development through the implementation of international conventions, policies and laws, which aim at protecting…
Mali: Jeshi latekeleza mashambulio dhidi ya waasi wa Azawad Liberation Front
Nchini Mali, jeshi limeendelea kutekeleza mashambulizi dhidi ya kundi la waasi wa Azawad Liberation Front wanaoshirikiana na wanajihadi katika mji wa Kidal, Kaskaeini mwa nchi hiyo. Imechapishwa: 28/05/2026 – 10:29…
Usaliti wa Rihanna wamtesa Alikiba!
Mwimbaji wa Pop na RnB, Rihanna amekuwa kimya tangu alipoachia albamu yake ya nane, ANTI ambayo...
HRs, administrators meet in Dodoma to align plans
DODOMA: THE government is set to bring together senior human resource and administration officials from ministries, agencies and local authorities in Dodoma next week as part of efforts to strengthen…
Mzozo unatatiza juhudi za kukabiliana na mlipuko wa Ebola DRC: WHO
Shirika la afya duniani limesema mzozo unaoshuhudiwa nchini Jamhuri ya Kidemorasia ya Congo, unalemaza juhudi za kukabiliana na mlipuko mpya wa virusi hatari vya Ebola nchini humo. Imechapishwa: 28/05/2026 –…
Baba Jimmy, mkewe wapoteza mtoto waliyekuwa wakimtarajia Marekani, mashabiki wawafariji
Baba Jimmy na Mama Jimmy wamefichua habari za kuhuzunisha za kumpoteza malaika wao mchanga waliyekuwa wakimtarajia, wakipokea rambirambi kutoka kwa mashabiki
George Ruto: Video yafichua ndani ya boma la kifahari la mwana wa rais, maegesho ni mashangingi tupu
Wakenya walipata mwonjo wa kipekee wa mtindo wa maisha ya kifahari ya George Ruto katika video iliyosambaa mtandaoni ikionyesha boma lake la kifahari.
Suluhisho la ajira kwa vijana Tanzania
Katika kipindi ambacho changamoto ya ajira inaendelea kuongezeka nchini Tanzania, ni muhimu...
Diana Marua aeleza masaibu anayopitia na Bahati katika safari ya kujenga: “Mjengo umetuhumble”
Diana Marua afichua mapambano ya kujenga nyumba mpya na Kevin Bahati, akishiriki changamoto za ujenzi na maisha ya familia huku kukiwa na vikwazo vya kifedha.
Mkasa Utumishi Girls: Baadhi ya wanafunzi walitoka nje ya shule baada ya moto kuzuka, polisi wasema
Tukio la moto lililoripotiwa katika shule ya Utumishi Girls huko Gilgil, na kusababisha jibu la dharura huku Shirika la Msalaba Mwekundu Kenya likikimbilia kusaidia
Utumishi Girls Academy: Mzazi asimulia jinsi wanafunzi walijaribu kujiokoa mkasa wa moto ulipozuka
Mzazi katika shule ya Utumishi amesimulia kuhusu moto wa kutisha wa bweni, na hivyo kuzua wasiwasi juu ya usalama wa wanafunzi katika shule za bweni za Kenya.
Utumishi Girls Academy Fire: Mzazi asimulia jinsi wanafunzi walijaribu kujiokoa moto ulipozuka
Mzazi katika shule ya Utumishi amesimulia kuhusu moto wa kutisha wa bweni, na hivyo kuzua wasiwasi juu ya usalama wa wanafunzi katika shule za bweni za Kenya.
Watanzania tujitoe kuchangia huduma za afya, elimu kama tunavyochangia harusi
Sisi Watanzania tuna utamaduni wa kuchangiana kwenye sherehe au misiba, hivyo ili Tanzania...
Siku iliomtoa machozi Pep Guardiola
Pep Guardiola alikuwa ametulia chini ya shinikizo la joto kali lililoambatana na mechi yake ya mwisho akiwa kocha wa Manchester City.
Mafisadi wawajibishwe, siyo kukemewa pekee
Kwa mara nyingine tena, Zanzibar zimesikika kauli za kusikitisha za mafisadi kutumia nyadhifa...
Wafanyakazi wa sekta ya matatu watishia mgomo, walalamika kazi imekuwa ya kijungujiko tu malipo duni
Usafiri jijini Nairobi huenda ukatatizwa tena huku wafanyakazi wa matatu wakitishia kugoma kwa sababu ya mishahara duni katikati ya mgogoro unaoendelea wa mafuta.
Moto Utumishi Girls Academy: Wanafunzi kadhaa wahofiwa kupoteza maisha, wengi wajeruhiwa huko Gilgil
Tukio la moto lililoripotiwa katika shule ya Utumishi Girls huko Gilgil, na kusababisha jibu la dharura huku Shirika la Msalaba Mwekundu Kenya likikimbilia kusaidia
Erling Haaland atuma onyo kwa Arsenal baada ya msimu wa Ligi Kuu kuisha
Erling Haaland atafakari kuhusu Manchester City kukosa ubingwa huku Arsenal ikitwaa Ligi Kuu. Enzi mpya chini ya Enzo Maresca inaanza huku City ikilenga kukomboa.
Kagera RC calls for heightened Ebola vigilance
BUKOBA: KAGERA Regional Commissioner Colonel Yahaya Ramadhan Kido has called for concerted efforts among citizens to strengthen precautionary measures against Ebola Virus Disease (EVD), following reported outbreaks in the neighbouring…
Mkewe Rais Rachel Ruto awarai Wakenya kuomba na kufunga miezi ya Juni na Julai
Mke wa Rais Rachel Ruto ametoa wito kwa Wakenya kutenga miezi ya Juni na Julai kwa maombi ya kina na kufunga kwa ajili ya umoja wa kitaifa, amani, na upya…
Senegal: Wadau katika sekta ya uchumi wanasubiri kwa hamu uteuzi wa serikali mpya
Nchini Senegal, mgogoro wa kisiasa katika ngazi za juu serikalini una athari za kifedha. Kufukuzwa kazi kwa Waziri Mkuu Ousmane Sonko na kutokuwepo kwa serikali kunazua hofu ya benki za…
Fahamu mpango wa NASA unaojumuisha hatua tatu katika vituo vya mwezi
China pia ina ushindani na Marekani katika mbio za kurudisha wanadamu mwezini.
Argentina: Wanyama 700 wa baharini kutoka Kenya wakamatwa katika uwanja wa ndege wa Buenos Aires
Zaidi ya wanyama wadogo 700 wa baharini—samaki, pweza, kaa, na samaki aina ya starfish—walikamatwa Aprili 26 katika Uwanja wa Ndege wa Buenos Aires nchini Argentina, katika shehena iliyowasili kutoka Kenya.…
Mwanamke Achomwa Kwa Supu ya Maharagwe Moto Baada ya Kutetea Serikali ya Ruto: “Maneno ya Tutam”
Mwanamke wa Kibera alazwa hospitalini akiwa na majeraha mabaya ya moto baada ya madai ya kushambuliwa kwa maoni ya kisiasa yanayomuunga mkono Rais William
Morocco yaipiku Afrika Kusini na kuwa nchi yenye viwanda zaidi barani Afrika
Kwa mara ya kwanza, Morocco imeibuka na kuwa nchi yenye uchumi wenye viwanda vingi zaidi barani Afrika mnamo mwaka wa 2025. Hii imefichuliwa katika ripoti ya Benki ya Maendeleo ya…
IRGC: Iran imepata uwezo mpya wa kukabiliana na maadui
Afisa mmoja mwandamizi wa kijeshi ameonya kwamba uchokozi wowote mpya wa kijeshi dhidi ya Iran utasababisha jibu la aina tofauti na lenye nguvu zaidi, “lisilofanana na chochote walichowahi kukiona hapo…
Al-Houthi: Umma wa Kiislamu unapaswa kujifunza kutokana na mapambano ya Iran dhidi ya Marekani na Israel
Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa: Msimamo imara wa Iran unapaswa kuwa kichocheo cha kuimarisha ushirikiano wa kikanda.
Ma’ariv: Maafisa 50 wa utawala unaotaka kujitenga Somaliland wamepewa nafunzo Israel
Gazeti la Kiebrania la Ma'ariv limefichua kashfa mpya kuhusu uhusiano wa siri kati ya Tel Aviv na eneo linalotaka kujitenga huko kaskazini mwa Somalia, likiandika kwamba askari 50 wa "Somaliland"…
Burkina Faso: Chama cha wanafunzi kimesitishwa, baadhi ya wanachama wake wamekamatwa
Chama kikubwa zaidi cha wanafunzi nchini Senegal (UGEB), kimesitishwa kwa miezi mitatu, na viongozi kadhaa, ambao idadi yao haijafichuliwa, wamekamatwa na kupelekwa mahali pasipojulikana. Sababu: taarifa iliyotolewa Mei 19, ambapo…
HRW: Mamluki wa Colombia katika vita vya Sudan wanapewa mafunzo UAE
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kwamba wapiganaji mamluki kutoka Colombia wanapewa mafunzo katika kambi za kijeshi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na…
Alkhamisi tarehe 28 Mei , 2026
Leo ni Alkhamisi tarehe 11 Mfunguo Tatu Dhulhijja 1447 Hijria mwafaka na tarehe 28 Mei 2026.
Marekani yashambulia Iran, ambayo imelipiza kisasi kwa kulenga kambi ya Marekani
Jeshi la Marekani limefanya mashambulizi mapya ya anga kusini mwa Iran, afisa mmoja wa Marekani amesema. Walinzi wa Mapinduzi wa Iran wametangaza leo Alhamisi, Mei 28, kwamba wamelenga kambi ya…
“Umetuletea Baraka”: Mbunge Gonzi Rai Amsifia Ruto Kufuatia Mvua Kunyesha Kwale
Mbunge mmoa amejikuta katikati ya dhoruba ya kisiasa baada ya kudai Mungu ameibariki Kaunti ya Kwale kwa mvua kubwa mahsusi sababu ya uongozi wa Rais William Ruto.
Uganda yafunga mpaka wake na Kongo kutokana na mlipuko wa Ebola
Uganda siku ya Jumatano imeamuru kufungwa kwa mpaka wake na Kongo, ambapo visa vinavyoshukiwa vya Ebola aina ya Bundibugyo vinaongezeka, na kama visa vimethibitishwa nyumbani baada ya wafanyakazi wa afya…
China: Kumi na tatu wafariki bada ya bus ndogo na lori kugongana katikati mwa China
Ajali kati ya basi dogo na lori imesababisha fivo vya watu 13 siku ya Alhamisi, Mei 28, 2026, katikati mwa China, televisheni ya serikali imeripoti. Basi dogo, lililoidhinishwa kubeba abiria…
Trump asema mazungumzo ya Marekani na Iran bado hayajafikia matokeo yanayoridhisha
Trump pia amekanusha uwezekano wa Marekani kulegeza vikwazo dhidi ya Iran ili kuruhusu mafuta ghafi ya Iran kuuzwa katika soko la kimataifa.
Magazeti ya Kenya: Jinsi Uhuru anavyodaiwa kukataa msururu wa majaribio ya Ruto wafanye maridhiano
Habari kuu za Kenya mnamo Mei 28: Utafutaji moja wa ODM, Upinzani kati ya Uhuru na Ruto, tahadhari kubwa za hali ya hewa Pwani, na mengineyo kutoka mahakamani.
Moto Utumishi Girls Academy: Wanafunzi kadhaa wahofiwa kufa, wengi wameumia Gilgil
Wanafunzi kadhaa wameripotiwa kufariki, wengine kujeruhiwa kufuatia moto uliozuka katika bweni katika Utumishi Girls Academy, Gilgil. Shughuli za uokozi zinaendela
Crystal Palace yatwaa Europa Conference League ikiendeleza heshima England
Crystal Palace imetwaa taji la UEFA Conference League baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0...
Mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon ni mashambulizi makali zaidi tangu usitishaji vita ulipoanza
Wizara ya Afya ya Lebanon ilisema kuwa takribani watu 31 waliuawa katika mashambulizi hayo ya hivi karibuni, wakiwemo watoto kadhaa.
Wabunge wa UDA kutoka Central wakwamia shingo la Omar Hassan wampa saa 48 kujiuzulu kisa ukabila
Wabunge wa UDA wametaka Hassan Omar ajiuzulu kwa matamshi yenye utata kuhusu masuala ya ardhi, wakikataa msamaha wake na kuunga mkono uchunguzi wa kauli za chuki.
Mwinyi stresses unity, peace
PEMBA: ZANZIBAR President Hussein Mwinyi has called on citizens to safeguard peace and national unity, urging Muslims to uphold the teachings of the Hajj pilgrimage, which promote solidarity, compassion and…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 28, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
Samia urges peace, generosity
DODOMA: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan yesterday called on Tanzanians to uphold peace, dignity and generosity within their communities as Muslims across the country joined fellow believers worldwide in celebrating Eid…
Mradi wachochea utalii ikolojia hifadhi ya misitu Pugu Kazimzumbwi
PWANI: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umesema maboresho ya miundombinu yanayotekelezwa kupitia Mradi wa Kujenga Ustahimilivu wa Bioanuwai ya Misitu dhidi ya Athari za Mabadiliko ya Tabianchi katika…
#BAL2026 Nusu fainali ya kwanza imekwisha… wenyeji RSSB Tigers ya Rwanda inatinga fainali, na Al Ahly ya Misri inaaga mashindano
#BAL2026 Nusu fainali ya kwanza imekwisha… wenyeji RSSB Tigers ya Rwanda inatinga fainali, na Al Ahly ya Misri inaaga mashindano. HT: Al Ahly 97-106 RSSR Tigers Kesho Mei 28 ni…
#TWPL Walichozungumza makocha baada ya mechi
#TWPL Walichozungumza makocha baada ya mechi.. FT: Yanga Princess 0-0 Fountain Gate Nusu fainali ya kikapu (BAL) inaendelea LIVE #AzamSports4HD #WPL #TanzaniaWomenPremierLeague #LigiKuuWanawake #WomenFootball #YangaPrincess #FountainGatePrincess (Feed generated with FetchRSS)
#MICHEZO: Baada ya taarifa kuhusu kocha Frolent Ibenge kuwa karibu kutangazwa na timu ya taifa ya Mali huku taarifa nyingine zik…
#MICHEZO: Baada ya taarifa kuhusu kocha Frolent Ibenge kuwa karibu kutangazwa na timu ya taifa ya Mali huku taarifa nyingine zikimuhusisha kuhitajiwa na timu ya taifa ya Angola. @hoseamchopa amezungumza…