WHO: Makumi ya watu wameuawa katika mashambulio dhidi ya vituo vya afya Sudan
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, makumi ya watu wameuawa kufuatia mashambulio dhidi ya vituo vya afya nchini Sudan.
Afisa wa EU awashinikiza waasi wa DR Congo kufungua njia za kibinadamu
Kamishna wa Umoja wa Ulaya, anayehusika na masuala ya misaada ya kibinadamu, amewasihi waasi wa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufungua njia za kibinadamu kwa ajili ya kupata misaada…
Shirikisho la Soka Senegal lapinga hukumu ya mashabiki wao Morocco
Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) limelaani hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Morocco dhidi ya mashabiki 18 wa Senegal waliopatikana na hatia ya kufanya vurugu kufuatia fainali ya Kombe la…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 22, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Uchawi unakwama Binti Msumi na mwanaye hawaelewi
Uchawi unakwama Binti Msumi na mwanaye hawaelewi #KombolelaSeries (Feed generated with FetchRSS)
Tanzania is fully armed to fight heart attack, now turned the youth’s heartache
DAR ES SALAAM: LOOLING calm and relaxed, Baraka Samson walked to lane 4 as he and the other six runners from Class V lined for the 100m race at Filbert…
Mauaji ya Monicah Nyambura: Picha 5 za binti kijana aliyepatikana amekufa nyumbani kwake Githurai
Mfanyabiashara kijana Monicah Nyambura akipatikana amekufa mtaani Githurai, na kuwaacha majirani zake na watumiaji wa mitandao ya kijamii wakitafuta majibu.
Hii kesi bado tunayo hatua kwa mguu hadi kieleweke 😅
Hii kesi bado tunayo hatua kwa mguu hadi kieleweke 😅 #NomaSeries (Feed generated with FetchRSS)
Rigathi Gachagua acheza kanda ya sauti ya Oscar Sudi akimtolea vitisho na kumtusi: “Ni vyema mjue”
Makamu wa rais wa zamani Rigathi Gachagua alizua utata kwa kucheza noti ya sauti kutoka kwa Oscar Sudi, akionyesha mvutano ndani ya uongozi wa Rais Ruto.
Dada ameamua kusimama kama kiongozi kwa Zeliha
Dada ameamua kusimama kama kiongozi kwa Zeliha (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Jamii imeendelea kushauriwa na wataalamu pamoja na taasisi mbalimbali kutoficha watoto wanaozaliwa na matatizo ya utind…
#HABARI: Jamii imeendelea kushauriwa na wataalamu pamoja na taasisi mbalimbali kutoficha watoto wanaozaliwa na matatizo ya utindio wa ubongo kama vile cerebral palsy (CP), ili waweze kupata haki na huduma…
Unaumwa af unakutana na deni la mwenye nyumba
Unaumwa af unakutana na deni la mwenye nyumba #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
Mike hataki kabisa kuyaacha maisha ya Wendy…Kazi ipo
Mike hataki kabisa kuyaacha maisha ya Wendy...Kazi ipo #NomaSeries (Feed generated with FetchRSS)
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 20, 2026- SERIKALI YATAHADHARISHA VUMBI LINALOSABABISHA SILIKOSISI
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 20, 2026- SERIKALI YATAHADHARISHA VUMBI LINALOSABABISHA SILIKOSISI (Feed generated with FetchRSS)
Edwin Sifuna, Babu Owino wamwokoa jambazi baada ya kupigwa kitutu katika mkutano wao Kakamega
Edwin Sifuna na Babu Owino walimwokoa mshukiwa wa uhuni wakati wa mkutano wao Kakamega uliokumbwa na vurugu. Kundi lao la ODM likiapa kumng'oa Ruto madarakani 2027.
Majirani Githurai 45 washtuka kumkuta mwenzao amekufa chumbani, harufu mbaya ilikuwa imejaa ploti
Wakazi wa Githurai 45 wameshtuka baada ya mwanamke kupatikana amekufa chumbani kwake siku mbili baada ya kuonekana akiwa hai, na kuzua wasiwasi kuhusu usalama.
#SerieA Como moto chini…!!!
#SerieA Como moto chini…!!! FT: Juventus 0-2 Como Inafuata Lecce vs Inter saa 2:00 usiku LIVE #AzamSports3HD #SerieA #LigiKuuItalia #SerieAUpdates #JuveComo (Feed generated with FetchRSS)
#SportPesaLeague Haya hap magoli yote matatu, Leopards wakitangulia kupitia kwa Kelly Okonji Madada na Kayci Odhiambo… na Posta …
#SportPesaLeague Haya hap magoli yote matatu, Leopards wakitangulia kupitia kwa Kelly Okonji Madada na Kayci Odhiambo… na Posta wakapata la kufutia machozi kupitia kwa super sub, Karisa ambaye ameingia tu…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka amesema changamoto zinazowakabili vijana zinapaswa kutatuliwa …
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka amesema changamoto zinazowakabili vijana zinapaswa kutatuliwa haraka ili kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika nyanja za elimu, biashara na uchumi.…
Serikali imeshauriwa kufuta faini kwa wafanyabiashara watakaobainika kufungasha bidhaa kwa mfumo wa ‘lumbesa’, hatua inayolenga …
Serikali imeshauriwa kufuta faini kwa wafanyabiashara watakaobainika kufungasha bidhaa kwa mfumo wa ‘lumbesa’, hatua inayolenga kuondoa mianya ya rushwa na kuhakikisha wafanyabiashara wanafuata taratibu rasmi. Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti…
Wafunguka kinachoshusha uzalishaji viwandani Zanzibar
Moja ya sababu zilizotajwa ni kushuka kwa ukuaji wa sekta ya viwanda hadi asilimia 2.3 kutoka...
Basketball on spotlight as Dar welcomes Ramadhan Stars League
R ES SALAAM: THE Tanzanian government has reaffirmed its commitment to investing in sports infrastructure in the country, particularly basketball, to nurture new talent and transform the sector into a…
#SportPesaLeague Sindano tatu za Nairobi United..Wauaji ni Mustapha Kizza, Kevin Wangaya na Benson Ochieng
#SportPesaLeague Sindano tatu za Nairobi United..Wauaji ni Mustapha Kizza, Kevin Wangaya na Benson Ochieng. Mechi imepigwa Ulinzi Sports Complex. FT: Shabana FC 1-0 Tusker FC Burudani ya soka inaendelea LIVE…
Visiwa 65 Mwanza kupata umeme jua kwa ruzuku
Serikali inatarajia kufunga na kusambaza mifumo ya umeme wa jua katika visiwa 65 vya mkoani...
65’ | #SerieA
65’ | #SerieA Juventus 0-2 Como Iko LIVE #AzamSports1HD #SerieA #LigiKuuItalia #SerieAUpdates #JuveComo (Feed generated with FetchRSS)
Tende fursa mpya ya kilimo, kipato Dodoma
Sifa kuu iliyofanya Dodoma kuthibitishwa ni hali ya ukame inayofaa kwa usatwishaji wa tende...
Wakazi wa Mtaa wa Wazo Kata ya Wazo wilaya ya Kinondoni Jijini Dar Es Salaam wamelalamikia uvamivi wa barabara ya Mtaa wa Wazo M…
Wakazi wa Mtaa wa Wazo Kata ya Wazo wilaya ya Kinondoni Jijini Dar Es Salaam wamelalamikia uvamivi wa barabara ya Mtaa wa Wazo Maarufu kama barabara ya Magereji ambayo inatumiwa…
PM in Arusha to launch development projects worth 194.2bn/-
ARUSHA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba will this weekend begin a three-day working tour of Arusha Region from February 22 to 24, 2026,wheree will inspect and launch development projects worth 194.2bn/-.…
Mkutano wa dharura wa EAC kuja na mwarobaini wa nchi zisizochangia
Tangu kuanzishwa kwa EAC mwaka 1999 nafasi ya juu ya jumuiya hiyo ya Katibu Mkuu imekua ni...
Walioachishwa kazi bila malipo kuanza kulipwa baada ya siku 14
Mtu anapotafuta ajira huweka matumaini makubwa ya kupata kipato cha kuendesha familia, kulipa...
Moody’s yachambua matumaini, changamoto uchumi wa Tanzania
Moody’s inaeleza kuwa Tanzania inaendelea kuhamia katika mfumo wa uchumi unaotegemea zaidi...
‘Maisha hayamfanikishi mtu kwa kumwonea huruma’
Nanauka amebainisha kuwa kila kijana anapaswa kuwa na ndoto, kuanza kujisaidia mwenyewe na...
Serikali yatoa tahadhari ugonjwa wa silikosisi, 40 wakilazwa Kibong’oto
Mpaka sasa zaidi ya watu 40 wanaosumbuliwa na ugonjwa huo wamelazwa katika Hospitali maalumu...
Kiwira Mine tasked to increase coal production while supporting clean energy campaign
TABORA: THE Tanzanian government has directed the Board of the State Mining Corporation (STAMICO) to increase coal production at the Kiwira Mine in Mbeya Region as part of the government’s…
Kero zinazomsubiri Waziri Mkuu Mwigulu Arusha
Arusha. Wakati Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba akitarajiwa kuanza zira ya siku tatu mkoani...
Jukwaa vijana Shinyanga lazinduliwa
SHINYANGA: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Dk Joel Nanauka amezindua rasmi Jukwaa la Vijana la Mkoa wa Shinyanga litakalowakutanisha na kuwashirikisha vijana pamoja ili kujadili fursa…
‘Punde si punde’ umeokota fuko lenye shilingi bilioni moja, utazifanyia nini ili utoboe kimaisha💰
'Punde si punde' umeokota fuko lenye shilingi bilioni moja, utazifanyia nini ili utoboe kimaisha💰 Tukutane kwenye comments✍ #AzamTVUpdates ✍John Mbalamwezi (Feed generated with FetchRSS)
Mwisho wa zama za Profesa Lipumba CUF
Huu ndiyo mwisho wa zama za Profesa Ibrahim Lipumba. Ndivyo unavyoweza kuelezea mfululizo wa...
Tanzania offers vocational training to motorcyclists, tricycle riders
MWANZA: THE Minister of State in the President’s Office – Youth Development, Joel Nanauka, has officially launched a Motorcycle (Bodaboda) and Tricycle (Bajaji) Driving Training Program at VETA College in…
Songwe lures development investors with the launch of a special platform
TUNDUMA: SONGWE Region has continued to show great awareness in the investment sector following a special seminar to promote investment provided by the Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority…
Tanzania set strategies to protect homes, farms against wild animals pests
DODOMA: THE Tanzanian government will continue to collaborate with conservation stakeholders in strengthening the protection of protected areas in parallel with addressing the challenge of wild animals and pests that…
Alicia Keys, WHO Chief underway to launch Tanzania’s facility for preterm infants
DAR ES SALAAM: THE Internationally renowned American artist, Alicia Keys is expected to arrive in Tanzania to take part in the inauguration of a special facility dedicated to the care…
CCM yamuonya mkandarasi soko la Mwanga
Chama hicho tawala kimesema wananchi wana ufahamu kuhusu mwenendo wa ujenzi wa soko hilo, hivyo...
Skills over degrees: How vocational training has become magic transforming tool inTanzania
AS Tanzania grapples with persistent youth unemployment and a widening disconnect between formal education and labour market needs, skills-based interventions are increasingly being recognised as a vital pathway to economic…
Why teachers should incorporate AI in teaching
DAR ES SALAAM: THE advancement of science and technology is invading each sector, hence requiring people to adapt to such changes or else they may be left far behind. Nowadays,…
Akutwa na uvimbe kilo 7 akidhani ujauzito
CHATO: HOSPITALI ya Rufaa ya Kanda Chato (CZRH) imefanikisha upasuaji wa kuondoa uvimbe wa kilogramu saba kutoka kwenye tumbo la mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 44. Mwanamke huyo ambaye…
Kliniki ya sheria yawaunganisha wanandoa waliotengena vyumba miaka minne
Hii ndio iliyoibuka kwa mwanandoa mmoja jijini Dar es Salaam, ambapo baba alidai kunyanyaswa na...