#HABARI: Watu wanne wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamefariki dunia wakati wakipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa katika majib…
#HABARI: Watu wanne wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamefariki dunia wakati wakipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa katika majibizano ya risasi na Jeshi la Polisi mkoani Songwe. Tukio hilo lilitokea katika eneo…
Mbaroni kwa tuhuma za kuteka lori la mizigo
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora linamshikilia mtu mmoja kati ya watuhumiwa sita wanaodaiwa...
Prof. Jay atimiza miaka 50
MAENDELEO ya afya ya msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya na mbunge wa zamani wa Mikumi, Joseph Haule ‘Professor Jay’, yameimarika kwa kiasi kikubwa, huku ikitabiriwa kuwa atarejea rasmi…
Falme ya Kiarabu yashutumiwa kwa kuhusika na vitendo hatari Yemen
Nchi ya Saudi Arabia, inaishtumu Falme ya Kiarabu, kwa kuhusika kwenye vitendo inavyosema ni hatari nchini Yemen. Imechapishwa: 30/12/2025 – 16:10Imehaririwa: 30/12/2025 – 16:31 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo…
#HABARI: Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu, leo Disemba 30, 2025, …
#HABARI: Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu, leo Disemba 30, 2025, imekutana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Jenerali Jacob…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA PWANI- DISEMBA 30, 2025
🔴HAPA NA PALE KUTOKA PWANI- DISEMBA 30, 2025
Abiria SGR walalamika kusafiri wima, TRC yafafanua
Ruhere amesema licha ya kukata tiketi ya Business Class, hakukuwa na utaratibu wa wazi wakati...
Ruksa ACT-Wazalendo kupinga uteuzi wabunge viti maalumu
Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Kuu Dodoma, imeridhia maombi ya Chama cha ACT–Wazalendo ya...
Makabila atumia Mil.20 kwenye video mpya
MSANII wa muziki wa kizazi kipya na miondoko ya Singeli, Abdallah Ahmed, maarufu kama ‘Dulla Makabila’, amesema ameweka rekodi mpya katika safari yake ya sanaa baada ya kutumia Sh milioni…
Sauti zao zimebeba heshima
Sauti zao zimebeba heshima thamani na hadhi ya dhahabu. Ni sauti zinazoimba nidhamu, zinazoeleza maadili, na kugusa mioyo bila kelele. Wanaitwa The Golden Voice wameitwa na Makachero na wameitika kwa…
Mauya, Mbeya City kuna jambo
WAKATI dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa kuanzia Januari Mosi, 2026, uongozi wa Mbeya City uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya aliyekuwa kiungo wa Yanga, Zawadi Mauya, ikiwa ni…
Chama tawala chashinda uchaguzi wa wabunge Côte d’Ivoire
Nchini Ivory Coast, chama tawala chake rais Allasane Ouattara, RHDP kimepata ushindi kwenye uchaguzi wa wabunge uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita. Imechapishwa: 30/12/2025 – 15:52Imehaririwa: 30/12/2025 – 15:54 Dakika 1…
Karabaka bado Haamini mabao
KIUNGO wa JKT Tanzania, Saleh Karabaka amesema japo msimu huu anataka kufunga mabao mengi ikiwezekana 20, lakini bado haamini kilichomtokea hadi sasa kwani tangu aanze kucheza Ligi Kuu ndiyo mara…
Winga Mghana anukia Dodoma Jiji
DODOMA Jiji iko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Coastal Union, Mghana Dennis Modzaka baada ya kikosi hicho na nyota husika kufikia makubaliano.
TISEZA earns 10b US dollars from 915 registered investment projects
BAGAMOYO: THE Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority (TISEZA) has broken a record by registering a total of 915 investment projects valued at 10.95 billion US dollars during the…
Marekani kuzisaidia nchi zinazokabiliwa na utovu wa usalama
Marekani imezindua mpango wa kutafuta Dola Bilioni 2 kusaidia kuinua mfuko maalum unaoshughulikia masuala ya kibinadamu katika nchi mbalimbali zinazokabiliana na utovu wa usalama. Imechapishwa: 30/12/2025 – 15:38Imehaririwa: 30/12/2025 –…
Ali Kamwe : Nitawarejea tena
OFISA Habari wa Klabu ya Young Africans, Ali Kamwe, amezua mjadala katika mitandao ya kijamii baada ya kuchapisha ujumbe unaogusia uwezekano wa kurejea mahusiano yake ya zamani. The post Ali…
Fufuni yaichimba mkwara Simba, kocha ajilipua
MABINGWA mara nne wa Kombe la Mapinduzi, Simba SC, imeambiwa ije kwa tahadhari kushiriki mashindano hayo kwani ratiba ya mechi zao mbili hatua ya makundi hazitakuwa rahisi.
Ndayiragije awasapraizi Chobwedo, Adam adam
HEBU fikiria. Wewe ni mchezaji, inatoka listi ya wanaoanza kikosi cha kwanza katika mechi, jina lako lipo, lakini baada ya dakika 28 tangu kipute kuanza, unaitwa benchi. Nafasi yako anachukua…
#Happybirthday | Godbright Mlay (Public Relation Officer Tanzania Commercial Bank)
#Happybirthday | Godbright Mlay (Public Relation Officer Tanzania Commercial Bank) tunakutakia maisha marefu yenye baraka na mafanikio zaidi. #Clouds26Nyoosha
TISEZA yavunja rekodi, yasajili miradi ya dola bilioni 10
BAGAMOYO: MAMLAKA ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imevunja rekodi kwa kusajili jumla ya miradi 915 yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 10.95 kwa kipindi cha…
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anamringi Macha ameuagiza uongozi wa Halmashauri Wilayani Busega kuchukua hatua madhubuti ikiwemo kuwata…
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anamringi Macha ameuagiza uongozi wa Halmashauri Wilayani Busega kuchukua hatua madhubuti ikiwemo kuwatafutia eneo mbadala Wananchi wanaofanya shughuli zao za biashara katika Soko la Kisesa…
TIB ordered to enhance its operations to align with its role as an investment facilitator
DODOMA: The Minister of Finance, Khamis Mussa Omar, has directed the Tanzania Investment Bank (TIB) to further strengthen its operational systems in order to achieve the objectives for which it…
Sandra yuko mafichoni kumbe anawasiliana na Bisura 😱
Sandra yuko mafichoni kumbe anawasiliana na Bisura 😱
TFS wakabidhiwa vitendea kazi vya Sh33 bilioni
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji amekabidhi vitendea kazi vyenye thamani ya...
Harmonize,Kajala wavishana pete ya uchumba
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Rajab Abdul maarufu kama ‘Harmonize’, na mwigizaji Frida Kajala, wamevuta hisia za wadau wa burudani baada ya kuvishana pete ya uchumba kwa mara…
Gaikwad kortini akidaiwa kujipatia Sh457 mil za mitambo ya Excavator
Mfanyabiashara na raia wa India, Dharmendra Gaikwad (49) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...
Mahakama yaamuru kesi dawa za kulevya kuanza upya
Mahakama ya Rufaa nchini imefuta hukumu ya kifungo cha maisha jela aliyokuwa amehukumiwa Rahim...
Upigaji kura waendelea Siha, matokeo kutangazwa kesho
Shughuli ya upigaji kura kumchagua Mbunge wa Jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro inaendelea...
Ushirikiano duni kwenye kilimo, chanzo migogoro ya familia
Dawati la jinsia Mkoa wa Iringa limesisitiza kuwa kuimarisha ushirikiano wa kifamilia ni njia...
Dr Gwajima orders MCs,DJs to register to BASATA before Dec 31 deadline
DAR ES SALAAM: THE Minister for Community Development, Gender, Women and Special Groups, Dorothy Gwajima, has commended the National Arts Council of Tanzania (BASATA) for directing masters of ceremonies (MCs),…
Msando avunja ukimya tathimini uharibifu, upotevu mali Kanisa la Gwajima
Wakati waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima, wakisubiri msimamo wa...
#HABARI: Abiria wanaosafiri kati ya Dar es Salaam na Dodoma kupitia Reli ya Kisasa (SGR), wamepongeza Shirika la Reli Tanzania …
#HABARI: Abiria wanaosafiri kati ya Dar es Salaam na Dodoma kupitia Reli ya Kisasa (SGR), wamepongeza Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa kuchukua hatua za haraka kushughulikia changamoto za usafiri…
Manispaa Geita yawahakikishia usalama wahitaji shuleni
HALMASHAURI ya Manispaa ya Geita imeweka wazi kuwa imejipanga kikamilifu kuhakikisha kila shule inakuwa na miundombinu rafiki kwa watoto ambao ni wanafunzi wenye mahitaji maalum. Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo,…
Wananchi wa Kijiji cha mgagao na vijiji jirani wanaozunguka Kijiji hicho klilicho wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro wameondoka…
Wananchi wa Kijiji cha mgagao na vijiji jirani wanaozunguka Kijiji hicho klilicho wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro wameondokana na adha ya kutembea umbaki mrefu kutafuta maji safi na salama,baada ya…
Waziri mkuu wa zamani wa Bangladesh, afariki dunia
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Bangladesh, Khaleda Zia amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 80.
Kwa nini Mabunge Jumuiya ya Madola yanafanana
MACHO ya mgeni yeyote anayetembelea kumbi za mikutano za mabunge kuanzia Dodoma, Tanzania, pale Nairobi, Kenya na hata London, Uingereza yatakutana na mandhari yanayofanana kwa namna ya ajabu. The post…
Heri ya kumbukizi ya siku yako ya kuzaliwa, Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Bukombe, Mheshimiwa Dkt
Heri ya kumbukizi ya siku yako ya kuzaliwa, Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Bukombe, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko (@biteko). #Cloudsmediagroup tunakutakia maisha marefu yenye mafanikio na baraka…
Mauzo ya nje ya Iran barani Afrika yamepanda kwa 77% katika miezi minane iliyopita
Takwimu rasmi zinaonyesha ukuaji wa mauzo ya nje ya Iran kwa nchi za Afrika katika miezi minane iliyopita.
Somaliland; nukta ya makutano ya maslahi ya kimataifa na njama za Kizayuni
Hatua ya utawala vamizi wa Israel ya kulitambua rasmi eneo la 'Somaliland, ambalo limejitenga na Somalia, kama taifa huru na lenye mamlaka kamili.imekabiliwa na radiamali kali ya Jumuiya ya Nchi…
Kilimanjaro fame sky-rockets as Kanye West lists it as his 2026 priorities
DAR ES SALAAM: MOUNT Kilimanjaro has once again drawn global attention after international artist Kanye West, popularly known as Ye, listed the iconic mountain as the first goal among his…
Tanzania seeks to improve the Education Act to suit current reforms
DODOMA: THE Ministry of Education, Science and Technology and the Prime Minister’s Office, Regional Administration and Local Government (PO-RALG), has received a preliminary report from the Committee for the Review…
Najma Giga: Kielelezo cha hekima, uthubutu kiti cha mamlaka
KATIKA anga za siasa za Tanzania zinazohitaji umakini na ustahimilivu wa hali ya juu, jina la Najma Murtaza Giga linasimama kama alama ya uongozi uliotukuka na utumishi uliotukuka.Akiwa amehudumu bungeni…
Dar leads as the favourite destination of human trafficking victims
DAR ES SALAAM: CHILDREN and teenagers are the most affected victims of human trafficking in Tanzania Mainland; the new data has revealed that more than 2,400 cases reported across the…
Rasmi sasa Beyonce ni bilionea
Jarida maarufu dunia la Fobes limemtaja mwanamuziki wa Pop, Beyonce kuwa rasmi ni bilionea...
UNICEF: Ukatili wa kingono dhidi ya watoto ‘umeimarika’ na unaendelea kuwa mbaya zaidi DRC
Zaidi ya visa 35,000 vya ubakaji na unyanyasaji wa kingono vinavyowalenga watoto vimerekodiwa kote nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) mwaka wa 2025. Imechapishwa: 30/12/2025 – 13:03Imehaririwa: 30/12/2025 –…
Sababu Kajala na Harmonize kutoachia picha za kuvishana pete
Usiku wa kuamkia leo, Desemba 30, 2025, mwanamuziki Harmonize alimvisha pete ya uchumba mpenzi...
Umoja wa Mataifa waidhinisha bajeti ya uendeshaji, dola bilioni 3.45 kwa mwaka 2026
Kamati ya Utawala na Bajeti ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (Kamati ya Tano) imeidhinisha bajeti ya uendeshaji ya dola bilioni 3.45 kwa ajili ya mwaka 2026, ikihitimisha wiki…