Skip to content
  • Mon. Oct 20th, 2025

LTV TANZANIA

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY

Latest Post

Gaza: Jeshi la Israel lasema ‘litaanza tena kutekeleza usitishaji mapigano’ Trump apunguza msaada kwa Colombia, inayodaiwa kuruhusu usafirishaji wa dawa za kulevya kustawi Watu wenye silaha wavamia Jumba la Makumbusho la Louvre Israel na Hamas zashutumiana kwa kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano yaaozidi kuwa tete Mazishi ya kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga yahudhuriwa na maelfu ya watu

Gaza: Jeshi la Israel lasema ‘litaanza tena kutekeleza usitishaji mapigano’

October 19, 2025 mjombazecoder

Trump apunguza msaada kwa Colombia, inayodaiwa kuruhusu usafirishaji wa dawa za kulevya kustawi

October 19, 2025 mjombazecoder

Watu wenye silaha wavamia Jumba la Makumbusho la Louvre

October 19, 2025 mjombazecoder

Israel na Hamas zashutumiana kwa kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano yaaozidi kuwa tete

October 19, 2025 mjombazecoder

Mazishi ya kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga yahudhuriwa na maelfu ya watu

October 19, 2025 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Gaza: Jeshi la Israel lasema ‘litaanza tena kutekeleza usitishaji mapigano’
Gaza: Jeshi la Israel lasema ‘litaanza tena kutekeleza usitishaji mapigano’
Trump apunguza msaada kwa Colombia, inayodaiwa kuruhusu usafirishaji wa dawa za kulevya kustawi
Trump apunguza msaada kwa Colombia, inayodaiwa kuruhusu usafirishaji wa dawa za kulevya kustawi
Watu wenye silaha wavamia Jumba la Makumbusho la Louvre
Watu wenye silaha wavamia Jumba la Makumbusho la Louvre
Israel na Hamas zashutumiana kwa kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano yaaozidi kuwa tete
Israel na Hamas zashutumiana kwa kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano yaaozidi kuwa tete
aarifa Kuu Za App
Uncategorized
aarifa Kuu Za App
Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimetoa wito kwa walimu kote nchini kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Uchaguzi Mkuu unaotara…
VIDEOS NEWS TV
Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimetoa wito kwa walimu kote nchini kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Uchaguzi Mkuu unaotara…
MICHEZO
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Gaza: Jeshi la Israel lasema ‘litaanza tena kutekeleza usitishaji mapigano’
Gaza: Jeshi la Israel lasema ‘litaanza tena kutekeleza usitishaji mapigano’
Trump apunguza msaada kwa Colombia, inayodaiwa kuruhusu usafirishaji wa dawa za kulevya kustawi
Trump apunguza msaada kwa Colombia, inayodaiwa kuruhusu usafirishaji wa dawa za kulevya kustawi
Watu wenye silaha wavamia Jumba la Makumbusho la Louvre
Watu wenye silaha wavamia Jumba la Makumbusho la Louvre
Israel na Hamas zashutumiana kwa kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano yaaozidi kuwa tete
Israel na Hamas zashutumiana kwa kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano yaaozidi kuwa tete
Uncategorized

Waziri wa Ulinzi: Vikosi vya Iran vilipenya mifumo ya ulinzi wa makombora ya Israel

August 28, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Ulinzi wa Iran amesifu uwezo wa hali ya juu wa kijeshi wa taifa hili wakati wa vita vya siku 12 vya uchokozi vilivyoanzishwa na Marekani na Israel, akisema…

BBC NEWS TANZANIA

Vipigo 10 visivyosahaulika England – BBC News Swahili

August 28, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Bryan Mbeumo alikosa goli ambalo lingewapa ushindi Manchester United dhidi ya Grimsby Maelezo kuhusu taarifa Author, Adam Millington Nafasi, Mwandishi BBC Sport…

LTV LIVE TV

🔴KUMEKUCHA MICHEZO…AGOSTI 28, 2025

August 28, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA MICHEZO…AGOSTI 28, 2025

Uncategorized

Zelensky: Ujumbe wa Ukraine utakutana na maafisa wa Marekani mjini New York Ijumaa

August 28, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametangaza siku ya Jumatano kwamba wajumbe wa utawala wake watakutana na maafisa wa Marekani mjini New York siku ya Ijumaa kama sehemu ya juhudi za…

Uncategorized

Alkhamisi, tarehe 28 Agosti, 2025

August 28, 2025 mjombazecoder

Leo ni Alkhamisi tarehe 4 Rabiul Awwal, mwaka 1447 Hijria, inayosadifiana na tarehe 28 Agosti mwaka 2025. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Uncategorized

Nigeria: Wawili wauawa na zaidi ya mia moja watekwa nyara Zamfara

August 28, 2025 mjombazecoder

Watu wenye silaha wamewauwa takriban watu wawili na kuwateka nyara zaidi ya watu 100, wengi wao wakiwa wanawake na watoto, katika shambulio lililotokea katika Jimbo la Zamfara, Nigeria, maafisa wa…

BBC NEWS TANZANIA

Amka Na BBC

August 28, 2025 mjombazecoder

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link

BBC LIVE SOMA

Israel yaendeleza operesheni ya kijeshi Gaza

August 28, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Israel limeendeleza operesheni zake za kijeshi katika Mji wa Gaza, huku ikiwa katika shinikizo kubwa la kuimaliza operesheni hiyo iliyodumu kwa takribani miaka miwili, ambako Umoja wa Mataifa…

Uncategorized

Nchi kadhaa zatoa wito wa kuimarisha Kikosi cha MSS kupambana na magenge nchini Haiti

August 28, 2025 mjombazecoder

Kundi la nchi saba, ikiwa ni pamoja na Marekani, limeliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumatano kuimarisha kikosi cha kimataifa kilichopewa jukumu la kupambana na ghasia…

Uncategorized

Kampeni za uchaguzi wa urais wa mwezi Oktoba zaanza rasimi Tanzania

August 28, 2025 mjombazecoder

Vyama 17 kati ya 18 vimetimiza masharti ya kuanza kampeni za urais kabla ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 nchini Tanzania. Wagombea walioteuliwa na tume huru ya uchaguzi INEC wamepewa…

Uncategorized

Kukanusha kukaribia kusainiwa makubaliano ya usalama kati ya serikali ya mpito ya Syria na utawala wa Israel

August 28, 2025 mjombazecoder

Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya serikali ya mpito ya Syria siku ya Jumamosi ilikanusha habari iliyochapishwa kuhusu kukaribia kusainiwa kwa makubaliano ya usalama kati ya Damascus na utawala wa…

BBC LIVE SOMA

Umoja wa Mataifa una wasiwasi kuhusu njaa Gaza

August 28, 2025 mjombazecoder

Katika mkutano wa Jumatano, wanachama wa baraza hilo wameonya kwamba kutumia njaa kama silaha ya kivita ni kinyume na sheria za kimataifa za kiutu. Wameelezea tahadhari na masikitiko yao makubwa…

LTV LIVE TV

🔴KUMEKUCHA:UZINDUZI KAMPENI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU….AGOSTI 28, 2025

August 28, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA:UZINDUZI KAMPENI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU….AGOSTI 28, 2025

LTV LIVE TV

#SWALILAKIPIMAJOTO:”Malori yanayosafirisha Makontena ya mizigo ndani na nje ya nchi

August 28, 2025 mjombazecoder

#SWALILAKIPIMAJOTO:”Malori yanayosafirisha Makontena ya mizigo ndani na nje ya nchi. Je, Mamlaka zinakagua ili kudhibiti ufungaji wa loki ipasavyo kuepusha majanga?

BBC NEWS TANZANIA

Kampeni za uchaguzi mkuu Tanzania kuanza rasmi leo

August 28, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, CCM Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka huu zimeanza rasmi leo, kwa mujibu wa ratiba ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC). Hata hivyo, uchaguzi…

BBC LIVE SOMA

Zelensky: Maafisa wa Marekani na Ukraine kukutana Ijumaa

August 28, 2025 mjombazecoder

Akilihutubia taifa kwa njia ya video Jumatano usiku, Zelensky amesema Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Ukraine, Andriy Yermak na Katibu wa Baraza la Usalama na Ulinzi wa Taifa, Rustem…

LTV LIVE TV

🔴MAGAZETI: CCM YALIAMSHA YAANZA NA MIKOA MITATU..AGOSTI 28, 2025

August 28, 2025 mjombazecoder

🔴MAGAZETI: CCM YALIAMSHA YAANZA NA MIKOA MITATU..AGOSTI 28, 2025

BBC LIVE SOMA

Watu 5 wameuawa kwenye mapigano kati ya Kongo na Wazalendo

August 28, 2025 mjombazecoder

Duru za kijeshi zimeeleza kuwa mapigano hayo yalizuka siku ya Jumanne katika mpaka wa Kavimvira, karibu na Uvira. Msemaji wa jeshi la Kongo katika jimbo la Kivu Kusini, Reagan Mbuyi…

BBC LIVE SOMA

Nchi kadhaa zataka kuongezwa kikosi cha kimataifa Haiti

August 28, 2025 mjombazecoder

Kulingana na barua iliyoonekana na Shirika la Habari la Ufaransa, AFP, nchi hizo zitaunda ”kundi la washirika” kwa ajili ya kusimamia ujumbe huo ambao uliidhinishwa kwa mara ya kwanza na…

BBC LIVE SOMA

Watu wenye silaha waua watu wawili na kuwateka 100 Nigeria

August 28, 2025 mjombazecoder

Maafisa na viongozi wa eneo hilo wamesema kuwa washambuliaji walikivamia kijiji cha Gamdum Mallam huko Adafka Bukkuyum siku ya Jumamosi, wakiwa wanaendesha pikipiki na kuanza kufyatua hovyo risasi. Mwenyekiti wa…

Uncategorized

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa: Ni wakati wa kuchukua hatua; tunahitaji usitishaji mapigano mara moja Gaza

August 28, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema kuhusiana na tangazo rasmi la mgogoro wa baa la njaa huko Gaza, kwamba anaamini…

Uncategorized

Kiongozi Muadhamu: Iran itasimama kidete dhidi ya matakwa ya Marekani

August 28, 2025 mjombazecoder

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani inahujumu na kukabiliana na Iran kwa sababu inataka taifa hili liwe tiifu kwake, lakini wananchi wa Jamhuri ya…

Uncategorized

Jaribio la Wazayuni la kumuua kigaidi Mkuu wa Majeshi ya Yemen lagonga mwamba

August 28, 2025 mjombazecoder

Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeripoti habari ya kufeli jaribio la utawala haramu wa Israel la kumuua Mkuu wa Majeshi ya Yemen, kwa mara ya pili sasa. BONYEZA HAPA USOME…

BBC LIVE SOMA

Mkwamo wa soka la Wanawake visiwani Zanzibar

August 28, 2025 mjombazecoder

Najjat Omar28.08.202528 Agosti 2025 Soka la wanawake Zanzibar linakumbwa na changamoto kadhaa zinazozuia ukuaji wake licha ya vipaji vilivyopo visiwani humo. Hali ya uwekezaji duni imeathiri pakubwa ustawi wa wachezaji,…

BBC LIVE SOMA

Mwelekeo wa magari ya umeme EVs nchini Kenya

August 28, 2025 mjombazecoder

28.08.202528 Agosti 2025 Magari ya umeme nchini Kenya yanaanza kuchukua nafasi kubwa katika sekta ya usafiri huku juhudi za serikali na kampuni binafsi zikichochea mabadiliko kuelekea nishati jadidifu. Hata hivyo…

BBC LIVE SOMA

28.08.2025

August 28, 2025 mjombazecoder

SK2 / S02S28.08.202528 Agosti 2025 Urusi imefanya mashambulizi makubwa ya droni na makombora yaliyoulenga mji wa Kyiv ambako takriban watu 14 wameuawa+++Rwanda na Msumbiji zimetia saini makubaliano ya “amani na…

BBC LIVE SOMA

Matangazo ya Asubuhi 28.08.2025

August 28, 2025 mjombazecoder

28.08.202528 Agosti 2025 Jeshi la Israel limeendeleza operesheni zake za kijeshi katika Mji wa Gaza // Wanasiasa wa Iraq wanalenga kufanya mageuzi ya sheria inayowahusu wanamgambo walio nje ya udhibiti…

Uncategorized

TICAD inaimarisha vipi nafasi ya Afrika katika siasa na uchumi wa dunia?

August 27, 2025 mjombazecoder

Mkutano wa 9 wa Kimataifa wa Maendeleo ya Afrika, Tokyo International Conference on African Development (TICAD), ulimalizika Ijumaa, Agosti 22 kwa kusainiwa mikataba takriban 300 ya ushirikiano kati ya taasisi…

Uncategorized

Je, kustawishwa ushirikiano wa Russia na India ni jibu kwa sera ya mashinikizo ya Trump?

August 27, 2025 mjombazecoder

Sambamba na mashinikizo ya utawala wa Trump dhidi ya India ili ipunguze uhusiano wake na Russia, Waziri wa Mambo ya Nje wa India alisafiri hadi Moscow na kukutana na kufanya…

Uncategorized

Jumatano, tarehe 27 Agosti, 2025

August 27, 2025 mjombazecoder

Leo ni Jumatano tarehe 3 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Agosti 27 mwaka 2025. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Uncategorized

Ugonjwa wa kipindupindu wauwa watu 63 mashariki mwa Chad

August 27, 2025 mjombazecoder

Watu wasiopungua 63 wamepoteza maisha kwa ugonjwa wa kipindupindu katika jimbo la Ouaddai mashariki mwa Chad tangu katikati ya mwezi Julai mwaka huu. Taraifa hii imetolewa na Wizara ya Afya…

Uncategorized

Zaidi ya mabalozi 206 wa zamani wa EU wataka Israel ichukuliwe hatua kali

August 27, 2025 mjombazecoder

Zaidi ya mabalozi 200 wa zamani wa Umoja wa Ulaya na maafisa wa ngazi ya juu jana Jumanne waliituhumu Brussels kwa kushindwa kuchukua hatua za kukabiliana na hali mbaya ya…

LTV LIVE TV

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 27, AGOSTI 2025

August 27, 2025 mjombazecoder

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 27, AGOSTI 2025

Uncategorized

Venezuela yapeleka meli za kivita, ndege zisizo na rubani pwani, wakati kikosi cha wanamaji cha Marekani kikikaribia

August 27, 2025 mjombazecoder

Venezuela imetangaza kuwa imepeleka meli za kivita na ndege zisizo na rubani kwenye eneo lake la maji na kufanya doria kwenye ufuo wa pwani ya nchi hiyo ili kukabiliana na…

Uncategorized

Hamas yakadhibisha madai ya kuuawa kigaidi Khalil al-Hayya

August 27, 2025 mjombazecoder

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga madai ya utawala haramu wa Israel kwamba umemuua kigaidi Khalil al-Hayya, mmoja wa viongozi waandamizi wa kundi hilo la Muqawama. BONYEZA…

LTV LIVE TV

#HABARI: Rais William Ruto ameongoza Wakenya katika Maadhimisho ya kwanza ya siku ya katiba, siku ambayo Wakenya walipiga kura n…

August 27, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Rais William Ruto ameongoza Wakenya katika Maadhimisho ya kwanza ya siku ya katiba, siku ambayo Wakenya walipiga kura na kupitisha Katiba ya mwaka Katiba ambayo ilitambulika kama moja ya…

Uncategorized

Rais wa Sudan Kusini atuhumiwa kwa upendeleo baada ya kumteuwa binti yake katika cheo cha juu serikalini

August 27, 2025 mjombazecoder

Adut Salva Kiir, binti wa Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ameteuliwa na baba yake kuwa Mjumbe wa Rais Anayehusika na Mipango Maalumu, kazi ambayo awali ilikuwa inafanywa na Makamu…

Uncategorized

Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel akiri kutengwa utawala huo kisiasa

August 27, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kutengwa na kuzingirwa kisiasa utawala huo katika ngazi za kimataifa. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

LTV LIVE TV

🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 27, 2025 – TUME YATENGUA UTEUZI WA MGOMBEA WA ACT WAZALENDO LUHAGA MPINA

August 27, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 27, 2025 – TUME YATENGUA UTEUZI WA MGOMBEA WA ACT WAZALENDO LUHAGA MPINA

Uncategorized

Abbas Araghchi: Wakaguzi wa IAEA wanaingia nchini kwa uamuzi wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa

August 27, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuingia nchini kwa wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA ni uamuzi uliochukuliwa na…

Uncategorized

Sisitizo la Malaysia juu ya uungaji mkono endelevu kwa Palestina

August 27, 2025 mjombazecoder

Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Malaysia amesema kuwa, nchi hiyo itadhibiti na kusimamia vilivyo vitisho au ugaidi wowote unaohusiana na suala la uungaji mkono wa Kuala Lumpur kwa…

LTV LIVE TV

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg

August 27, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Haran Sanga, amechukua fomu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Wilaya ya Kigamboni na kuomba kuteuliwa kuwania…

BBC LIVE SOMA

Baa la njaa ni nini? Wataalamu wa afya wafafanua

August 27, 2025 mjombazecoder

Ripoti hiyo ya IPC iliyochapishwa Ijumaa iliyopita imesema zaidi ya watu nusu milioni huko Gaza sio tu wamenaswa kwenye baa la njaa, bali pia wanakabiliwa na mateso yatokanayo na kukosa…

LTV LIVE TV

#HABARI: Wakulima wa Zao la Tumbaku katika Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma, wametakiwa kuacha tabia ya kuchanganya maji kwenye…

August 27, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Wakulima wa Zao la Tumbaku katika Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma, wametakiwa kuacha tabia ya kuchanganya maji kwenye Tumbaku kwa lengo la kuiongezea uzito na kwamba kitendo hicho kinaharibu…

BBC LIVE SOMA

Trump apingwa baada ya kudai kuvimaliza vita vya Kongo

August 27, 2025 mjombazecoder

Mnamo Jumatatu ya wiki hii, Trump alirudia madai kwamba ameumaliza mzozo huo uliodumu kwa miongo kadhaa huku akiielezea Kongo kama taifa la Afrika lililoko gizani. “Nimevimaliza vita saba, vita vilivyokuwa…

LTV LIVE TV

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Muleba Kaskazini, mkoani Kagera, Adonis Alfred Bitegeko, amerejesha fomu ya kupeperusha bendela…

August 27, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Muleba Kaskazini, mkoani Kagera, Adonis Alfred Bitegeko, amerejesha fomu ya kupeperusha bendela ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa Mwaka 2025 – 2030. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania…

LTV LIVE TV

#HABARI: Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Bw

August 27, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Bw. Raymond Mndolwa, amewataka watumishi wapya wa NIRC kutumia maarifa na ujuzi walionao ili kufanikisha malengo ya Tume na kuzingatia…

Uncategorized

Hamas: Kitendo cha utawala wa Kizayuni kukataa kukabidhi miili ya mashahidi wa Kipalestina kinaonyesha ukatili

August 27, 2025 mjombazecoder

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeashiria kuwa, utawala ghasibu wa Israel umekataa kukabidhi maiti 726 za mashahidi wa Kipalestina na kukitaja kitendo hicho kuwa jinai na ukatili…

BBC LIVE SOMA

Netanyahu ashtumiwa kwa matamshi kuhusu mauaji ya Armenia

August 27, 2025 mjombazecoder

Wizara hiyo ya mambo ya nje ya Uturuki, imesema taarifa ya Netanyahu kuhusu matukio ya mwaka 1915 ni jaribio la kutumia mikasa ya zamani kwa sababu za kisiasa. Wizara hiyo…

BBC LIVE SOMA

Urusi yakataa kupelekwa kwa vikosi vya Ulaya nchini Ukraine

August 27, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov, amesema wana mtazamo mbaya kuhusu mijadala ya uwezekano wa kikosi cha kulinda amani cha Ulaya kama sehemu ya makubaliano ya kumaliza vita vya…

Posts pagination

1 … 168 169 170 … 179

Recent Posts

  • Gaza: Jeshi la Israel lasema ‘litaanza tena kutekeleza usitishaji mapigano’
  • Trump apunguza msaada kwa Colombia, inayodaiwa kuruhusu usafirishaji wa dawa za kulevya kustawi
  • Watu wenye silaha wavamia Jumba la Makumbusho la Louvre
  • Israel na Hamas zashutumiana kwa kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano yaaozidi kuwa tete
  • Mazishi ya kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga yahudhuriwa na maelfu ya watu

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on aarifa Kuu Za App

Archives

  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • July 2025
  • August 2024
  • June 2016

Categories

  • BBC LIVE SOMA
  • BBC NEWS TANZANIA
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • LTV LIVE TV
  • LTV TV
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • MWANANCHI
  • ONLINETV
  • SPORTVTV
  • Uncategorized
  • VIDEOS NEWS TV

You missed

Gaza: Jeshi la Israel lasema ‘litaanza tena kutekeleza usitishaji mapigano’

October 19, 2025 mjombazecoder

Trump apunguza msaada kwa Colombia, inayodaiwa kuruhusu usafirishaji wa dawa za kulevya kustawi

October 19, 2025 mjombazecoder

Watu wenye silaha wavamia Jumba la Makumbusho la Louvre

October 19, 2025 mjombazecoder

Israel na Hamas zashutumiana kwa kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano yaaozidi kuwa tete

October 19, 2025 mjombazecoder

LTV TANZANIA

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS