Hofu yaibuka biashara ya mishkaki ikishika kasi kando ya Barabara Morogoro
Baadhi ya wananchi wa Manispaa ya Morogoro wameeleza wasiwasi wao kuhusu usalama wa afya...
Kesi ya kung’atuliwa kwa Gachagua: Njeri Maina aambia mahakama mchakato ulikuwa haramu, ulipangwa
Wakili wa Rigathi Gachagua, Njeri Maina, aliiambia mahakama kwamba Bunge lilikiuka Katiba wakati wa mchakato wa kumshtaki Gachagua na ushiriki wa umma.
Wadau wa ujenzi wa meli wataka udhibiti wa mafundi
Wadau wa sekta ya ujenzi wa meli nchini wametaka kuwepo kwa udhibiti madhubuti ili kuondoa...
Jamaa Mkenya asalimisha gari kwa benki baada ya mkopo kuwa mzigo mzito kwake
Mwanamume kijana Mkenya amezua mjadala mtandaoni baada ya kusalimisha gari lake kwa benki kihisia wakati marejesho ya mkopo yalipokuwa magumu sana kuyamudu.
Halmashauri Kuu CCM yaazimia mambo matano
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimepanga kujifanyia tathmini ili kujiboresha kiutendaji, kimuundo...
Happy Birthday @yusufbakhresa
Happy Birthday @yusufbakhresa (Feed generated with FetchRSS)
NCCR Mageuzi yatofautiana uteuzi wa Evaline
Uteuzi wa Katibu Mkuu wa chama cha NCCR- Mageuzi, Evaline Munisi, kuwa mbunge na naibu waziri...
Asha Baraka alia na mzigo wa mabegi kwa wanafunzi, ashauri haya
Mbunge wa Viti Maalumu, Asha Baraka ameiomba Wizara ya Elimu kuangalia upya utaratibu wa elimu...
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limekutana na kufanya kikao na wadau wa ujenzi wa meli jijini Mwanza kwa lengo la k…
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limekutana na kufanya kikao na wadau wa ujenzi wa meli jijini Mwanza kwa lengo la kuhamasisha uwekezaji katika ujenzi wa meli na vyombo…
Mwili wa mwanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) JAMES TEMBA aliefariki dunia kwa kukichwa na kisha mwili wake kutupwa m…
Mwili wa mwanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) JAMES TEMBA aliefariki dunia kwa kukichwa na kisha mwili wake kutupwa mto msimbazi jijini Dar es salaam umezikwa leo nyumbani…
Familia yaomba mwili wa baharia aliyefariki Hormuz urejeshwe haraka
Familia ya baharia Mtanzania, Mchama Mongu aliyefariki dunia baada ya meli aliyokuwa akihudumu...
Polisi wachunguza tukio la majeruhi kushushwa njiani na gari la wagonjwa
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeanza uchunguzi wa tukio la kijana aliyedaiwa kushushwa...
Chaumma yataka shinikizo utekelezwaji ripoti Tume ya Jaji Chande
Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimesema badala ya wadau kupinga ripoti ya Tume ya...
Chadema Pwani yataka hatua kwa waliotajwa katika Ripoti ya CAG
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Pwani kimesema kasoro zilizobainishwa...
Mahakama Kuu yatengua uamuzi wa awali katika shauri la uchaguzi Tunduru Kusini
Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Songea imebatilisha uamuzi wake wa awali uliotolewa Desemba 29...
Leo dunia inaadhimisha siku ya nywila ‘password’ ikiwa ni kumbukizi na jukwaa la kutoa elimu kuhusu umuhimu wa nywila kwa ajili …
Leo dunia inaadhimisha siku ya nywila 'password' ikiwa ni kumbukizi na jukwaa la kutoa elimu kuhusu umuhimu wa nywila kwa ajili ya kulinda taarifa muhimu binafsi na za umma ambazo…
NCCR Mageuzi yatofautiana uteuzi wa Munisi
Uteuzi wa Katibu Mkuu wa chama cha NCCR- Mageuzi, Evaline Munisi, kuwa mbunge na naibu waziri...
Simba yarudisha majeshi KMC Complex ikihama Meja Jenerali Isamuhyo
Simba imeuhama Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo na sasa itautumia Uwanja wa KMC Complex kwa...
Uhaba wa makazi bora na yenye staha nchini umeendelea kuwa changamoto kubwa, huku ikielezwa kuwa Tanzania ina upungufu wa nyumba…
Uhaba wa makazi bora na yenye staha nchini umeendelea kuwa changamoto kubwa, huku ikielezwa kuwa Tanzania ina upungufu wa nyumba zaidi ya milioni tatu. Aidha, mahitaji mapya ya nyumba yanakadiriwa…
Mwombolezaji afariki dunia kwenye msiba wa mwanafunzi wa IFM, Kilimanjaro
Mwombolezaji Leah Ngowi, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 60 mkazi wa Kiboriloni wilayani...
Yusuf Chippo akalia kuti kavu Mtibwa Sugar
UONGOZI wa Mtibwa Sugar, uko katika hatua za mwisho za kuachana na kocha mkuu wa timu hiyo, Mkenya Yusuf Chippo ikidaiwa ni kutoridhishwa na mwenendo wa kiuchezaji wa kikosi hicho…
Mkenya Mtibwa Sugar akalia kuti kavu
UONGOZI wa Mtibwa Sugar, uko katika hatua za mwisho za kuachana na kocha mkuu wa timu hiyo, Mkenya Yusuf Chippo ikidaiwa ni kutoridhishwa na mwenendo wa kiuchezaji wa kikosi hicho…
Namba zinaikataa KMC
IKIWA ipo mkiani mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara ikikusanya pointi tisa baada ya mechi 21, KMC sasa inaingia kwenye vita ya mwisho ya kujiokoa isishuke daraja zikisalia mechi tisa…
Nauli za usafiri wa majini Dar–Zanzibar zapaa, Tasac yapiga jaramba
Maumivu ya ongezeko la bei ya nauli sasa yanahamia katika usafiri wa majini kwa watu wanaofanya...
Simba yaifuata Yanga KMC Complex, sababu yatajwa
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC, wametangaza rasmi kuhama kutoka Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo uliopo Mbweni na kuhamishia michezo yao ya nyumbani kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, Dar es…
PSSSF, NSSF donate 160 beds,160 mattresses worth 43m/- to support Sober Houses
ARUSHA: THE Public Service Social Security Fund (PSSSF), in collaboration with the National Social Security Fund (NSSF), has donated 160 beds and 160 mattresses worth 43m/- to support drug addicts…
Nyuma ya pazia ‘birthday’ za mastaa
Zamani sherehe za kuadhimisha siku za kuzaliwa 'birthday' za mastaa wa Bongo Movie na muziki...
ICTC sees rapid growth in Tanzania’s digital economy as it easily lures global investors
DAR ES SALAAM: The Director General of the Information and Communication Technologies Commission (ICTC), Dr Nkundwe Mwasaga, has said that Tanzania’s digital economy continues to grow rapidly, attracting investors from…
Mtuhumiwa vurugu za Kibaha akamatwa, waathirika wajisitiri kwenye mapagale
Serikali ya Mtaa wa Vikawe Shule imewaombea hifadhi waathirika wa vurugu za Lupaso, Kibaha...
Mwanafunzi IFM azikwa bila kichwa kijiji kwao, mama mzazi atoa ujumbe
Aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), James Temba aliyeuawa na mwili wake...
Argentina: Maambukizo ya virusi vya Hanta yaongezeka
Watalaam wa afya wanasema ongezeko la maambukizi ya virusi vya hanta nchini Argentina, ambako meli ya kitalii MV Hondius ilitia nanga, inatokana na mabadiliko ya hali ya hewa. Imechapishwa: 07/05/2026…
Mkenda outlines five priorities in 2.394tri/- education plan
DODOMA: Minister for Education, Science and Technology, Professor Adolf Mkenda, has requested Parliament’s approval of a total budget of 2.394tri/- for the 2026/27 financial year, as his ministry seeks to…
Washington inasubiri majibu kutoka kwa Iran kuhusu usitishaji vita
Marekani inasubiri jibu kutoka kwa Iran, kuhusu mapendekezo ya kusitisha vita katika eneo la Mashariki ya Kati, na kufunguliwa tena kwa mlango wa Bahari wa Hormuz, ili kuruhusu safari za…
Tanzania tables 2.39tri/- budget for the Ministry of Education, Science and Technology
DODOMA: THE Minister for Education, Science and Technology, Professor Adolf Mkenda, has requested Parliament to approve a total of 2.398tri/- for the ministry’s budget for the 2026/2027 financial year with…
Tume huru ya uchaguzi yavunjwa Ivory Coast
Nchini Ivory Coast, serikali imetangaza kuvunjwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi, iliyoundwa mwaka 2001, ambapo tangu kipindi hicho, imekuwa ikiandaa na kusimamia uchaguzi mbalimbali. Imechapishwa: 07/05/2026 – 16:14Imehaririwa: 07/05/2026 –…
Zahanati kunufaisha wakazi kijiji cha Lidumbe Newala
NEWALA: WAKAZI wa Kijiji cha Lidumbe Shuleni katika Halmashauri ya Mji Newala mkoani Mtwara watanufaika na mradi wa ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Lidumbe yenye thamani ya Sh milioni…
WTTC sees Tanzanian efforts to develop tourism in technology and investment sectors
ALEXANDRIA: THE Permanent Secretary of the Ministry of Natural Resources and Tourism, Dr Hassan Abbasi, today led a Tanzanian delegation to participate in the International Conference bringing together World Tourism…
Tanzania kubadilishana ujuzi na Urusi kidijitali
DAR ES SALAAM: MKURUGENZI Mkuu wa Tume ya TEHAMA, Dk Nkundwe Mwasaga, amesema uchumi wa kidijitali wa Tanzania unaendelea kukua kwa kasi na kuvutia wawekezaji kutoka mataifa mbalimbali duniani. Amesema…
Wizara yataja vipaumbele vitano ya elimu
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetaja vipaumbele vitano katika bajeti Sh2.4 trilioni...
Nyerere National Park readies to host the Youth Bush Talk, a transformative bootcamp
MOROGORO: NYERERE National Park has been picked to host this year’s Youth Bush Talk (Vijana Mbugani), a transformative youth bootcamp that combines nature, mentorship and real-life skill development. Organised by…
Doyo: Afrika inahitaji kujitegemea zaidi
DAR ES SALAAM — Mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania Doyo Hassan Doyo amehoji uhalali na usawa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), akisisitiza kuwa Afrika inapaswa kuimarisha taasisi zake…
Peninsula Club earns global recognition for Tanzania
DAR ES SALAAM: THE Peninsula Club, a private members’ club established in Dar es Salaam, has been formally admitted to the International Associate Clubs (IAC), a global network of almost…
Mwanafunzi IFM azikwa bila kichwa kijijini kwao, mama mzazi atoa ujumbe
Aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), James Temba aliyeuawa na mwili wake...
TACTIC injects 33bn/- into upgrading roads, markets and coastal infrastructure
TANGA: THE government’s Tanga City transformation is set for a major economic and social shift as the Tanzania Cities Transformation and Infrastructure Development Project (TACTIC) injects over 33bn/- into upgrading…
Indonesia injects 547,624 US dollars into Tanzania’s agricultural training system
MOROGORO: INDONESIA has injected over 547,624 US dollars into the development of Tanzania’s agricultural training system, strengthening practical farmer training and modern farming technology at the Mkindo Farmers Training Centre…