Ruto: Tanzania, Kenya border is a lifeline of cooperation
DODOMA: PRESIDENT William Ruto has insisted on cementing the cooperation between Kenya and Tanzania as the two neighbours share a unique relationship strengthened by geography, culture, and cross-border social interactions.…
Ruto Azua Ucheshi Bungeni Tanzania Kuhusu Historia ya Kiswahili Kabla ya Kuhutubu kwa Kiingereza
Rais William Ruto aliwafanya wabunge wa Tanzania walipuke kwa kicheko Jumanne, Mei 5, 2026 baada ya kutumia mbinu ya kipekee kukwepa kujiuma ulimi katika hotuba.
Ruto Azua Ucheshi Bungeni Tanzania Kabla ya Kuhutubu kwa Kiingereza: “Kiswahili Kilizikwa Congo”
Rais William Ruto aliwafanya wabunge wa Tanzania walipuke kwa kicheko Jumanne, Mei 5, 2026 baada ya kutumia mbinu ya kipekee kukwepa kujiuma ulimi katika hotuba.
Africa Media Convention calls for women inclusion in leadership
LUSAKA: CALLS to strengthen the participation of youth and women in leadership positions within the media sector have taken centre stage at the ongoing Africa Media Convention in Lusaka, as…
Dar hosts push to put nutritious meals on Africa’s school plates
DAR ES SALAAM: Efforts to strengthen the link between agriculture and nutrition took center stage in Dar es Salaam this week as stakeholders from across Africa’s agri-food system convened for…
Iran yatibua mpango wa Trump kuhusu Kombe la Dunia
Iran imevuruga mipango ya Rais wa Marekani, Donald Trump, si tu katika nyanja za uchumi, siasa na masuala ya kijeshi kufuatia mvutano kati ya pande hizo mbili, bali pia katika…
WHO yaadhimisha Siku ya Usafi wa Mikono Duniani 2026 kwa wito wa kuimarisha udhibiti wa maambukizi
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO limehimiza juhudi zaidi za kuhakikisha usafi wa mikono unazingatiwa katika huduma za afya, likisisitiza kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kuokoa…
Licha ya hatari na machafuko, wakunga wanasaidia wanawake wakimbizi Musenyi Burundi
Wangunga ni wadau muhimu katika kuhakikisha afya ya mama na mtoto inakuwa sama, kabla, wakati na baada ya kujifungua limesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watun a…
WHO: Mlipuko wa hatari wa hantavirus kwenye meli ya watalii wachunguzwa
Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani (WHO) linasema mlipuko wa virusi vya hanta au hantavirus ulioibuka kwenye meli ya watalii katika Bahari ya Atlantiki unaweza kuhusisha maambukizi machache…
Timothy ageuza ukosefu wa ajira kuwa fursa ya biashara ya miwa Kenya
Leo tunammulika Timothy Henry, kijana huyu mkazi wa Embulbul Kaunti ya Kajiado nchini Kenya ambaye baada ya maisha ya ajira ‘kumtupa mkono’ aliamua kugeukia biashara ya juisi ya miwa na…
Ripoti mpya ya UN yafichua udhaifu wa mifumo ya kidijitali na kuonya hatari ya “janga la kidijitali”
Ripoti mpya ya pamoja ya Shirika la Kimataifa la Mawasiliano (ITU), Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupunguza Hatari za Maafa (UNDRR), na Sciences Po inaonya kuwa mifumo ya kidijitali…
Ripoti ya IOM: Uhamiaji unachochea uchumi na maendeleo, lakini mafanikio yako hatarini
Ripoti mpya ya Shirika laUmoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) inaonesha kuwa upatikanaji wa njia salama, za mpangilio na za kawaida za uhamiaji unaendelea kuchangia ukuaji wa uchumi, maendeleo na…
Sita kortini wakidaiwa kutumia Nida za wenzao kutakatisha Sh355 milioni
Mfanyabiashara na mkazi wa Madale, Gilbert Nyamitah (33), na wenzake watano wamefikishwa...
UNFPA: Wakunga ni wadau muhimu wa afya ya uzazi duniani kote
Leo May 5 ni Siku ya Kimataifa ya Wakunga nak wa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watun a Afya ya Uzazi UNFPA, Wakunga hutoa huduma…
Trump ataka kufichwa picha za vituo vya Marekani vilivyoharibiwa na Iran
Donald Trump, Rais wa Marekani, amezitaka kampuni za satalaiti kuficha picha za vituo na kambi za kijeshi za Marekani zilizoharibiwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika eneo la Asia…
Africa urged to reform taxes to accelerate Digital Inclusion
KINSHASA: THE Head of regulatory affairs at Airtel Africa and chair of the GSMA Africa Policy Group, Daddy Mukadi, has called on African governments to recognize the telecommunications sector as…
Rostam calls for unified commercial system to broaden the Kenya-Tanzania trade ties
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S mega investor and the Chairman of Taifa Group, Rostam Azizi has called for the establishment of a unified commercial system to accelerate investment, mobilise capital, and…
Taasisi yahimiza usawa kijinsia
DAR ES SALAAM: Jamii imehimizwa kuwa na usawa wa kijinsia kwa wanawake katika jamii ili kusukuma gurudumu la maendeleo lengo kuwe na mshikamano katika majukumu ya kila siku kwani imeonekana…
TISEZA, TIB kuongeza kasi maendeleo kiuchumi
DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) kwa kushirikiana na TIB Development Bank wamesaini hati ya makubaliano (MoU) yenye lengo la kuimarisha uhamasishaji wa…
Ruto cherishes Tanzania, Kenya’s historic neighborhood
DODOMA: PRESIDENT William Ruto of Kenya has said that the relationship between Tanzania and Kenya is unique and historical, emphasizing that the two countries are connected not only by borders…
Sudan yazituhumu Imarati na Ethiopia kushambulia uwanja wa ndege wa Khartoum
Sudan leo Jumanne imrudisha nyumbani balozi wake nchini Ethiopia kwa mashauriano na kuzituhutumu Ethiopia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa zimehusika na mashambulizi ya ndege zisizo na rubani…
Ripoti: Ajali ya ndege ya China mwaka 2022 iliyoua watu 132 huwenda ilikuwa ya makusudi
Televisheni ya CNN imeripoti kuwa, ikiwa imepita zaidi ya miaka minne baada ya ndege ya abiria ya Boeing 737-800 kuanguka mlimani kusini mwa China na kuua watu wote 132 waliokuwa…
Ruto banks on the intra-regional trade as key to advance the EAC economy
DODOMA: PRESIDENT William Ruto has said that East African countries have significant potential to increase intra-regional trade and achieve greater economic benefits if they take deliberate steps to strengthen their…
Mali: Umoja wa Mataifa ‘unatiwa wasiwasi’ na ripoti za mauaji ya kiholela
Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake mkubwa leo Jumanne kuhusu ripoti za mauaji ya kiholela nchini Mali, ambayo inakabiliwa na hali mbaya ya usalama kufuatia mashambulizi ambayo hayakuweza kutarajiwa ya…
Palestina yajibu hatua ya Rais wa FIFA, yasema wanasoka 566 wa wameuawa na Israel
Shirikisho la Soka la Palestina limechapisha ripoti kuhusu mauaji ya wachezaji wa mpira wa miguu na uharibifu wa miundombinu ya soka uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
WHO yatoa kauli mlipuko wa hantavirus
Wakati hofu ikitanda kimataifa baada ya mlipuko wa ugonjwa hatari wa hantavirus kuripotiwa...
Mshukiwa wa jaribio la mauaji apigwa risasi karibu na Ikulu ya White House
Maafisa wa serikali ya Marekani wamesema kwamba maajenti wa Huduma za Siri (Secret Service) wamempiga risasi na kumjeruhi mwanaume aliyekuwa na silaha katikati mwa jiji la Washington, D.C., karibu na…
NCAA expertise lands in Tz, ignites local talent surge
DAR ES SALAAM: Tanzania’s swimming landscape has taken a decisive leap forward with the arrival of acclaimed American coach Austin Pillado, whose presence in Dar es Salaam signals a shift…
Kiongozi wa kijeshi Mali achukua nafasi ya waziri wa ulinzi aliyeuawa
Kiongozi wa kijeshi wa Mali, Assimi Goita, atachukua wadhifa mwingine wa Waziri wa Ulinzi, kwa mujibu wa dikrii iliyotangazwa kufuatia kuuawa waziri wa wizara hiyo katika mashambulizi makubwa ya hivi…
Tanzania launches a new campaign to combat non-communicable diseases
MWANZA: THE Minister for Health, Mohamed Mchengerwa, has issued specific instructions to citizens and health sector stakeholders to wake up and fight non-communicable diseases without shame in order to protect…
Mwenge wapitia miradi ya bil 1.7/- Nanyamba
MTWARA: MIRADI saba ya maendeleo yenye thamani ya Sh bilioni 1.7 imepitiwa na Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri ya Mji Nanyamba mkoani Mtwara. Katika miradi hiyo saba iliyopitiwa na Mwenge…
Urusi inaisaidia Iran vipi katika vita vinavyoendelea
Urusi inaisaidia Iran kwa kuwapa taarifa za kijasusi, kufuatilia picha za setilaiti, kuwapa teknolojia mpya ya ndege zisizo na rubani pamoja na ushauri wa kijeshi.
Ruto apendekeza ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Tanga Tanzania
Rais wa Kenya William Ruto ametoa wito wa ushirikiano wa kikanda na ushirikiano wa kiuchumi, akizitaka Kenya na Tanzania kuimarisha uhusiano wa uwekezaji na kuepuka tofauti zinazogawanya majirani hao wawili
Mahakama yatupilia mbali maombi ya mapitio kesi ya uchaguzi Kigoma Mjini
Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma, imetupilia mbali maombi ya mapitio yaliyowasilishwa na Msimamizi...
TISEZA, TIB sign strategic deal to boost investment and industrial growth
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority (TISEZA) has signed a strategic cooperation agreement with TIB Development Bank aimed at accelerating investment, strengthening industrial development, and…
Watakiwa kutoa mapendekezo kuimarisha haki za binadamu
DAR ES SALAAM: Asasi za kiraia zimetakiwa kuwasilisha mapendekezo yatakayosaidia kutatua changamoto zinazoendelea kukwamisha utekelezaji wa majukumu ya Serikali, hususan katika kuhakikisha kila Mtanzania anafurahia kikamilifu haki zake za msingi…
Ethiopia yashtumu Sudan kwa ‘kutoa silaha na usaidizi wa kifedha’ kwa mamluki wa Tigray
Ethiopia imevishutumu mnamo Mei 5, 2026 ,”vikosi vya kijeshi vya Sudan” kwa “kutoa silaha na usaidizi wa kifedha kwa mamluki wa Tigray,” na hivyo “kuwezesha uvamizi wao kwenye mpaka wa…
Shirika la 82 Sports lake George Ruto lamheshimisha katika tuzo za Africa Golden Awards
George Ruto alisherehekewa katika Africa Golden Awards, ambapo kampuni yake ya 82 Sports ilishinda tuzo ya NGO bora kwa kuinua vipaji vya soka mashinani kote Kenya
Wadaiwa sugu wa kodi ya pango la ardhi wapewa siku 14 kulipa
Ofisi ya Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Dodoma imesisitiza kuwa hatua kali za kisheria...
Vitendo vya uharamia vinaongezeka pwani ya Somalia
Wakati meli mbili zikikamatwa na nyingine kushambuliwa mwezi Aprili pwani ya Somalia, meli ya Eureka, yenye bendera ya Togo, ilitekwa nyara na watu wenye silaha waliokuwa wakisafiri kwenye meli za…
Ichaweri: Ndani ya boma la familia ya Kenyatta lenye ulinzi mkali huko Gatundu
Gundua mali ya familia ya Kenyatta huko Ichaweri, mahali patakatifu pa kihistoria palipo na nyasi, hatua za usalama na Kanisa la St. John the Baptist Chapel.
15m Tanzanians to gain from the camera technology used for early screening of diabetic retina
DAR ES SALAAM: OVER 15 million Tanzanians across the Dar es Salaam, Dodoma, and Mbeya regions, as well as surrounding areas, are expected to benefit from the introduction of Portable…
Minister Aweso acts tough on irresponsibility in the water sector
DODOMA: THE Minister of Ministry of Water Tanzania, Jumaa Aweso, has issued directives to officials in the water sector, emphasizing the need to deliver tangible services to Tanzanian citizens rather…
Senegal: Rais amfuta kazi msemaji wa ikulu ya rais katikati ya mvutano na Waziri Mkuu
Siku mbili baada ya mahojiano marefu na waandishi wa habari wa Senegal, ambapo Rais alisisitiza mamlaka yake ya kumfukuza Waziri Mkuu wake iwapo atapoteza imani naye na kushughulikia hoja zake…
Matarajio ya wananchi baraza la bajeti likianza
Wakati mkutano wa tatu wa baraza la 11 la wawakilishi ukianza kesho, Mei 6, 2026, wananchi na...
Aweso ataja mikakati ya kufikia vipaumbele
Wizara ya Maji imetaja mikakati sita itakayosaidia kuvifikia vipaumbele saba kwenye sekta ya...
Dr Samia, Ruto grace the signing of eight MoUs to broaden the Tanzania-Kenya bilateral ties
DAR ES SALAAM: TANZANIAN President, Dr Samia Suluhu Hassan, and President of Kenya, William Ruto, have witnessed the signing of eight Memoranda of Understanding (MoUs) and bilateral agreements aimed at…
Wakenya wamuomboleza tajiri na mwanzilishi wa kampuni ya Isuzu CFG Ltd Evanson Njenga
Evanson Njenga mwanzilishi wa CFG Ltd, ameaga dunia akiwa na miaka 90 na kuacha historia tajiri katika sekta ya magari nchini Kenya, iliyosherehekewa kwa hekima yake
Aweso awapa tabasamu waliokatiwa maji
Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameagiza katakata ya maji isiwepo kuanzia sasa bali ukataji uwe ni...
Uganda: Rasimu ya sheria kuhusu ufadhili wa kigeni yazua utata
Nchini Uganda, rasimu ya sheria ya kudhibiti ufadhili wa kigeni yarejea Bungeni Jumanne hii, Mei 5, 2026. Ikiwasilishwa na serikali kama chombo cha kulinda uhuru, maandishi hayo yanazua utata. Watetezi…