Skip to content
  • Mon. Oct 20th, 2025

LTV TANZANIA

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY

Latest Post

Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League
HABARI ZA KIPEKEE

Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania

October 20, 2025 mjombazecoder
BBC NEWS TANZANIA

Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga

October 20, 2025 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha

October 20, 2025 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano

October 20, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League

October 20, 2025 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania
HABARI ZA KIPEKEE
Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania
Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga
BBC NEWS TANZANIA
Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga
Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha
HABARI ZA KIPEKEE
Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha
Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
HABARI ZA KIPEKEE
Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
aarifa Kuu Za App
Uncategorized
aarifa Kuu Za App
MICHEZO
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania
HABARI ZA KIPEKEE
Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania
Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga
BBC NEWS TANZANIA
Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga
Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha
HABARI ZA KIPEKEE
Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha
Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
HABARI ZA KIPEKEE
Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
MICHEZO

Budeba aeleza sababu Mbuni kuwaka Championship

October 13, 2025 mjombazecoder

KOCHA wa Mbuni FC, Leonard Budeba, amesema maandalizi makini na umakini wa wachezaji wake katika kufuata maelekezo ndiyo siri ya ushindi mnono wa mabao 4-0 walioupata dhidi ya Mbeya Kwanza…

MICHEZO

Aman Josiah kutua Dodoma Jiji

October 13, 2025 mjombazecoder

DODOMA Jiji ipo hatua za mwisho kumchukua kocha Aman Josiah ili kuziba pengo la Vincent Mashami raia wa Rwanda wanayetaka kuachana naye ikitajwa sababu ya kukosa vigezo vya kukaa benchi…

MWANANCHI

Wenje ahamia CCM, Samia ampokea

October 13, 2025 mjombazecoder

Wenje amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM,Balozi Dk Asha-Rose Migiro.

MWANANCHI

Samia aahidi mitaji kwa wachimbaji wadogo, kupima maeneo ya wafugaji

October 13, 2025 mjombazecoder

Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kwamba endapo atapata...

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Ziwa Victoria, Ezekiel Wenje, amejiuga na Chama cha Mapinduzi CCM leo, wakati …

October 13, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Ziwa Victoria, Ezekiel Wenje, amejiuga na Chama cha Mapinduzi CCM leo, wakati wa Kampeni za CCM za kumnadi mgombea wake wa Urais Dkt.…

MWANANCHI

MOI yazindua mfumo wa kuweka miadi na madaktari kidijitali

October 13, 2025 mjombazecoder

Septemba 15, 2025, jijini Dar es Salaam, Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI)...

VIDEOS NEWS TV

“…kipindi tunamzika Mzee wetu Mama ulisema hautatuacha Chato na hakika hili umeweza kulidhihirisha sana, na mimi leo niko mbel…

October 13, 2025 mjombazecoder

"...kipindi tunamzika Mzee wetu Mama ulisema hautatuacha Chato na hakika hili umeweza kulidhihirisha sana, na mimi leo niko mbele yenu wazazi wangu lakini niko mbele hapa nikiongea katika ardhi ambayo,…

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Rais Dkt

October 13, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alisema "Kaka yangu Magufuli ameondoka lakini Dada yenu sitaiacha Geita". Mgombea Ubunge wa Jimbo la Pangani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jumaa Aweso, amesema…

MWANANCHI

Dhamana ya Sh2.4 trilioni yachochea uwekezaji sekta ya kilimo nchini

October 13, 2025 mjombazecoder

Katika kuhakikisha sekta ya kilimo inakuwa nchini ndani ya kipindi cha miaka mitano, Taasisi...

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Halmshauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, imetia saini mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa soko jipya la…

October 13, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Halmshauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, imetia saini mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa soko jipya la Kwa Sadala, utakaogharimu zaidi ya shilingi bilioni kumi huku…

MWANANCHI

CCM yaahidi maendeleo Kigoma

October 13, 2025 mjombazecoder

Katika siku ya mwisho mkoani humo, Dk Nchimbi amesema miaka mitano ijayo, Serikali itaimarisha...

BBC LIVE SOMA

Patrick Herminie: Rais mpya wa Ushelisheli ni nani?

October 13, 2025 mjombazecoder

Patrick Herminie alikuwa mwanachama wa People's Party, aligombea katika uchaguzi wa urais wa 2025 kama mgombeaji wa United Seychelles.

MWANANCHI

EALA yaitaka Nelson Mandela kuendeleza tafiti zinazozalisha ajira kwa vijana

October 13, 2025 mjombazecoder

Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) wameitaka Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya...

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu katika Mahakama Kuu …

October 13, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imeahirishwa kwa muda. Kesi hiyo iliyooanza…

VIDEOS NEWS TV

Umepanga kutoa zawadi ya nyumba, kiwanja harusini?

October 13, 2025 mjombazecoder

Umepanga kutoa zawadi ya nyumba, kiwanja harusini? basi zingatia haya ili kuepusha migogoro ya kisheria inayoweza kutokea kwa wanandoa waliopewa zawadi hiyo. #SheriaUpdates

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Mbunge wa viti maalum mstaafu, Felista Njau, ameibukia Tarime mkoani Mara na kutoa wito kwa Watanzania kuendelea kumuun…

October 13, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mbunge wa viti maalum mstaafu, Felista Njau, ameibukia Tarime mkoani Mara na kutoa wito kwa Watanzania kuendelea kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisema ni wajibu wa taifa…

MWANANCHI

Kambaya atahadharisha siasa za fujo kuelekea uchaguzi mkuu

October 13, 2025 mjombazecoder

Kambaya amewataka wananchi wa Makurumla kutoingia kwenye mtego wa watu wanaohubiri mambo...

BBC NEWS TANZANIA

Je, mateka wanaoachiliwa ni akina nani?

October 13, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Israel linasema mateka wa kwanza wamekabidhiwa na Hamas na wamerejea Israel.

MWANANCHI

‎TFS yaanza kutumia teknolojia kubaini moto kabla haujasambaa

October 13, 2025 mjombazecoder

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kupitia shamba la miti la Sao Hill, umeingia katika...

MWANANCHI

Ofisi ya rais Madagascar yalaani jaribio la kupinduliwa

October 13, 2025 mjombazecoder

Baada ya siku kadhaa za hekaheka za maandamano ya wananchi dhidi ya serikali ya Madagascar...

MWANANCHI

Utafiti wabaini changamoto maabara za usalama wa chakula nchini

October 13, 2025 mjombazecoder

Kati ya maabara tisa zilizofanyiwa utafiti ni moja pekee ambayo imeonekana kuwa na cheti cha...

VIDEOS NEWS TV

Kuishi watu wengi katika familia moja ni jambo linaloendelea kujadiliwa katika jamii nyingi, hasa kwa kuzingatia mabadiliko ya m…

October 13, 2025 mjombazecoder

Kuishi watu wengi katika familia moja ni jambo linaloendelea kujadiliwa katika jamii nyingi, hasa kwa kuzingatia mabadiliko ya maisha ya kisasa. Wapo wanaoona ni maendeleo, wakisema mfumo huu hujenga umoja,…

MWANANCHI

Sintofahamu INEC ikiwaengua madiwani saba

October 13, 2025 mjombazecoder

Kwa nini uamuzi huu sasa…? Ni swali wanalohoji wachambuzi wa masuala ya siasa na wagombea...

MWANANCHI

Doyo aahidi kupitia upya mikataba ya madini nchini

October 13, 2025 mjombazecoder

Doyo ametoa ahadi hiyo katika Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga kwenye mkutano wake wa kampeni...

Madagascar: Rais Andry Rajoelina aandolewa nchini kwa ndege ya kijeshi ya Ufaransa

October 13, 2025 mjombazecoder

Rais wa Madagascar Andry Rajoelina ameondolewa nchini kwa ndege ya kijeshi ya Ufaransa mnamo Oktoba 12, 2025, RFI inaweza kuthibitisha hili. Makubaliano na Rais Emmanuel Macron yaliripotiwa kuruhusu kuondolewa kwa…

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia Justine Gama (40), Raia wa Malawi anayeishi mjini Mzuzu, kwa tuhuma za kuku…

October 13, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia Justine Gama (40), Raia wa Malawi anayeishi mjini Mzuzu, kwa tuhuma za kukutwa na vipande 15 vya pembe za ndovu kinyume na Sheria…

MWANANCHI

OMO: Nitashughulikia malalamiko ya fidia uwanja wa ndege Pemba

October 13, 2025 mjombazecoder

Othman amesema Serikali atakayoiunda kuanzia Oktoba 29, itahakikisha kila mwananchi aliyepisha...

BBC LIVE SOMA

Taharuki Madagascar: Rais Rajoelina ‘hajulikani aliko’

October 13, 2025 mjombazecoder

Rajoelina, ambaye hajaonekana hadharani tangu Jumatano, alisema mwishoni mwa wiki kuwa kulikuwa na "njama ya kuchukua madaraka kinyume cha sheria."

BBC LIVE SOMA

Watanzania waaswa kuepuka vurugu kuelekea uchaguzi mkuu

October 13, 2025 mjombazecoder

Serikali kupitia vyombo vyake vya dola, imewatahadharisha wananchi dhidi ya kujihusisha na vitendo ambavyo vinaweza kuvunja amani, huku ikiahidi kuchukua hatua kali za kisheria kwa watakaobainika kufanya hivyo.

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Uwekezaji, uwezeshaji na maboresho madhubuti ya Vipaumbele 5 vya Sera ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi ikiwemo kilimo, nisha…

October 13, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Uwekezaji, uwezeshaji na maboresho madhubuti ya Vipaumbele 5 vya Sera ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi ikiwemo kilimo, nishati, miundombinu ya usafiri majini na utalii endelevu vimechochea ongezeko kubwa…

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Arusha, Cecilia Paresso amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura…

October 13, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Arusha, Cecilia Paresso amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM Oktoba 29, mwaka huu. Amesema hayo wakati wa mkutano…

BBC LIVE SOMA

Samia: Vijana lindeni nchi yenu

October 13, 2025 mjombazecoder

Mgombea huyo wa CCM, alisisitiza kuwa amani ikivurugika vijana watashindwa kushiriki shughuli mbalimbali kama vile uchimbaji madini na burudani.

HABARI ZA KIPEKEE

Iran: Dunia iwe macho, isikubali Israel ikiuke usitishaji vita Gaza

October 13, 2025 mjombazecoder

Iran imesisitiza uungaji mkono wake usioyumba kwa juhudi zozote zinazolenga kukomesha mauaji na mauaji ya halaiki ya Israel huko Gaza, ikionya kuhusu historia ya utawala unaoikalia kwa mabavu Quds ya…

VIDEOS NEWS TV

🔴MEZA HURU: SOKO LA KARIAKOO .OKTOBA 13, 2025

October 13, 2025 mjombazecoder

🔴MEZA HURU: SOKO LA KARIAKOO .OKTOBA 13, 2025

Hali yazidi kuwa tete Madagascar kufuatia maandamano ya vijana, UN yafuatilia kwa karibu

October 13, 2025 mjombazecoder

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema anaendelea kufuatilia kwa karibu maendeleo ya hali nchini Madagascar kufuatia kuibuka kwa maandamano ya vijana na wasiwasi juu ya uwezekano wa…

Tume ya Umoja wa Mataifa yahimiza hatua za dharura kuzuia Sudan Kusini kusambaratika zaidi

October 13, 2025 mjombazecoder

Tume ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu kuhusu Sudan Kusini imeonya kuwa mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini humo umechochea upya mapigano, ukiathiri vibaya hali ya kibinadamu na haki…

Tathmni ya ‘chanya na hasi’ katika amani Mashariki mwa DRC

October 13, 2025 mjombazecoder

Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa Ukanda wa Maziwa Makuu barani Afrika, Huang Xia, amehutubia Baraza la Usalama akionesha taswira ya mchanganyiko wa matumaini na tahadhari…

WHO: Usugu wa bakteria dhidi ya viuavijasumu vya kawaida waenea duniani

October 13, 2025 mjombazecoder

Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani WHO limeonya kuwa usugu wa bakteria dhidi ya viuavijasumu vya kawaida unaongezeka kwa kasi duniani, hali inayotishia afya ya watu na mafanikio…

Utafiti: Takwimu na uwajibikaji vinaweza kuongeza tija ya maendeleo mara kumi

October 13, 2025 mjombazecoder

Licha ya mabilioni kutumika katika elimu, afya na miundombinu, kwa nini bado mataifa mengi yanashindwa kufikia maendeleo ya maana Je, tatizo ni matumizi kidogo au matumizi yasiyo sahihi?

SIKU YA KIMATAIFA YA MTOTO WA KIKE

October 13, 2025 mjombazecoder

Tarehe 11 mwezi Oktoba kila mwaka dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike, ikiwa ni siku muhimu ya kutambua mchango na uwezo wa mabinti katika jamii.

Mateka waachiliwa Gaza, misaada yaanza kuingia na UN iko msitari wa mbele: UN

October 13, 2025 mjombazecoder

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, leo amekaribisha kwa furaha kuachiliwa kwa mateka wote waliokuwa hai kutoka Gaza, huku mashirika ya misaada yakiripoti kwamba usambazaji wa misaada ya…

HABARI ZA KIPEKEE

Ulimwengu wa Spoti, Okt 13

October 13, 2025 mjombazecoder

Ufuatao ni mkusanyiko wa matukio yaliyotifua mavumbi viwanjani ndani ya siku zilizopita duniani, kuanzia hapa Iran hadi barani Afrika.

VIDEOS NEWS TV

Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura na kudumisha amani na utulivu kipindi hiki cha uchaguzi, …

October 13, 2025 mjombazecoder

Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura na kudumisha amani na utulivu kipindi hiki cha uchaguzi, ili kuendele kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere.…

VIDEOS NEWS TV

Faida na changamoto za kuishi watu wengi katika familia moja : Je, ni maendeleo au kurudi nyuma

October 13, 2025 mjombazecoder

Faida na changamoto za kuishi watu wengi katika familia moja : Je, ni maendeleo au kurudi nyuma Tupe maoni yako na tutayasoma katika #Kilingechafamilia Jumapili saa 1:00 kamili usiku. 📸iStock

HABARI ZA KIPEKEE

Mali yajibu mapigo, yawawekea Wamarekani vikwazo

October 13, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Mali imeweka masharti ya bondi ya viza kwa raia wa Marekani, ili kulipiza kisasi cha uamuzi wa Washington wa kuwawekea vikwazo vya usafiri raia wa nchi hiyo ya…

MWANANCHI

Wiki ya lawama, heshima CAF

October 13, 2025 mjombazecoder

Wikiendi tunayoiendea, wawakilishi wa Tanzania katika michuano inayosimamiwa na Shirikisho la...

MWANANCHI

Ferran Torres kuikosa Bulgaria kesho

October 13, 2025 mjombazecoder

Kiungo mshambuliaji wa Barcelona, Ferran Torres amelazimika kuondoka kwenye kambi ya timu ya...

MWANANCHI

Mechi za mchujo Kombe la Dunia 2026 kupigwa Morocco

October 13, 2025 mjombazecoder

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeitaja nchi ya Morocco kuwa mwenyeji wa mashindano...

BBC LIVE SOMA

Rais Rajoelina kulihutubia taifa kufuatia maandamano

October 13, 2025 mjombazecoder

Baada ya maandamano makubwa ya vijana kuungwa mkono na jeshi, rais Rajoelina azungumzia wasiwasi wa kupinduliwa madarakani

VIDEOS NEWS TV

Wakulima wa mkoani Kagera wamesema bado wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa mikopo yenye gharama nafuu kutoka taasisi z…

October 13, 2025 mjombazecoder

Wakulima wa mkoani Kagera wamesema bado wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa mikopo yenye gharama nafuu kutoka taasisi za kifedha, hali inayosababisha kushindwa kuendeleza shughuli zao za kilimo, ikiwemo upanuzi…

Posts pagination

1 … 25 26 27 … 180

Recent Posts

  • Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania
  • Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga
  • Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha
  • Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
  • Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on aarifa Kuu Za App

Archives

  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • July 2025
  • August 2024
  • June 2016

Categories

  • BBC LIVE SOMA
  • BBC NEWS TANZANIA
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • LTV LIVE TV
  • LTV TV
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • MWANANCHI
  • ONLINETV
  • SPORTVTV
  • Uncategorized
  • VIDEOS NEWS TV

You missed

HABARI ZA KIPEKEE

Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania

October 20, 2025 mjombazecoder
BBC NEWS TANZANIA

Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga

October 20, 2025 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha

October 20, 2025 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano

October 20, 2025 mjombazecoder

LTV TANZANIA

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS